Haya mi yangu macho tu hapa
Attachment 61803 Attachment 61937
Haya kuna haka kajikitu nimekutana nako nikaona ni kama kamwendelezo hivyo
Haya mi yangu macho tu hapa
Attachment 61803 Attachment 61937
Haya kuna haka kajikitu nimekutana nako nikaona ni kama kamwendelezo hivyo
Last edited by M'Jr; 15th August 2012 at 18:34.
A hen is only an egg's way of making another egg
"Kula uliwe".
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Hapo hakuna cha kushangaa, ni kwamba unatakiwa ulipie kulingana na bidhaa au huduma unayoipata. Kama hakuna proportional and equivalence lazima ulalamike..........vyoooote hivyo kwa dakika tatu tu?
Halafu hebu tufanye hesabu kidogo ili tujue hii invoice ina value gani kimsingi;
Vocha 5,000
Chips Kuku 4 (12,000 x 4) 48,000
Deni analodaiwa 35,000
Hela ya Salon 20,000
Total 108,000 Tshs
Kimsingi hii ndio thamani ya bill aliyopewa huyu jamaa kwa kuonana na kibinti for 3 minutes!
A hen is only an egg's way of making another egg
M'Jr sasa laki kitu gani bwana kama una shughuli?na ulimfatia nini mtoto wa kike kama unataka k tu afu unasepa,toa pesa wewe mwanamke huduma!!ungemuona kama si muonekano wake unaotokana na pesa?
A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
The greedy people are the victims to the evil people.
A hen is only an egg's way of making another egg
M'Jr ikiwa ni rship au business mtoto wa kike matunzo basi,wewe kama unaona kutoa pesa kwa mdada ni ishu basi achana nae,ata ivo mahusiano ya vijana wengi wa kiume ni kibiashara zaidi wachache wanaoaza uhusiano na mdada kwa nia ya dhati na wala hutaona shida kutoa pesa za mboga km izo
A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
The greedy people are the victims to the evil people.
mkuu Nambe nakusupport 100 va 100, mana sure inantokeaga san mm, yan unakuta dem anashare gud tm naww wakat kahongwa na ***** lngne huko.
Wakuu m2 acwadangany kuhonga co ujanja weng wanaohonga huwa hawapendw kwa dhat bal utakuta dem ana kajamaa kengne ka pemben kanapendwa knoma na kula gud tm nae bla garam yyte.
THS IS SURE THNG-ANAEBSHA ANPM NMPE EVDENCE
Follow Us Here