Swali langu hapo juu...
Nini kinachopelekea watu kupewa majina haya yafuatayo..
1.Mwanaume Suruali.
2.Gogo mtu
3.Nyoka wa kibisa
....mengine mtaongeza..na sababu....
...,
..........
Swali langu hapo juu...
Nini kinachopelekea watu kupewa majina haya yafuatayo..
1.Mwanaume Suruali.
2.Gogo mtu
3.Nyoka wa kibisa
....mengine mtaongeza..na sababu....
...,
..........
khaa hayo majina mie hoooii Gogo mtu? nyoka wa kibisa? duuuh
sielewi ngoja nikatafute kamusi
tena siku hizi sio mwanamme suruali tena maana hata wanawake wanavaa.
Siku hizi wanaitwa 'mwanamme shati'
sii wanawake wanataka wanaume kitega uchumi
when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!
whom the gods seek to destroy first call promising
Eti mwanaume ni kutoa na kudeposit bank.
Mwanaume majukumu na sio jina
Hayo yana tokana na kuto jishughulisha!
Hao wanaume vitegauchumi wapo saSA?manake wengi mimi na wanawake ninaowahamu wanaokutana ni miundombinu a.k.a marioo.Mwaname suruali ni yule anasubiri kutuzwa na mwanamke.
Mnaitwa hivyo kwasabau mnataka kulelewa na nyie majukumu hamtimizi mnategemea nini??
What One Man Doesn't Another Man Will.
Ni niliwahi kuyasikia maneno haya yakitumika mtaani kwetu ila yalikuwa yamebeba maana zifuatazo ingawa sina uhakika sana kama maana hizi zinatumika maeneo yote ...
1.Mwanaume Suruali. - Mwanaume ambaye ni kula kulala, kazoea kutunzwa tu, haieleweki, hafanya kazi, anapiga mizinga tu na mambo mengine yote yanayofanana na hayo
2.Gogo mtu - Mwanaume asiyejituma kwenye ndoa
3.Nyoka wa kibisa - Mwanaume asiyeweza shughuli za ndoa
Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.
Jamani mbona tunaonewa hivi??? tukijishughulisha kiuchumi tunaitwa Gogo mtu au nyoka wa kibisa...tukijishughulisha kwenu mnatuita mwanaume suruali...Mimi ninachofahamu mwanamke haridhiki na alichonacho...Mnatuyumbisha sana........
" To be happy, we must not be too concerned with others"
Follow Us Here