Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 96
    1. #1
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,187
      Rep Power : 27037
      Likes Received
      8460
      Likes Given
      17781

      Default Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?


      Kuna jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Nakumbuka katika kipindi changu cha mpito wakati natafuta jiko, nilibahatika kuwa na mitoko (dates) na wadada kadhaa…….. Naam, kipindi hicho nilikuwa katika pilika za kutafuta ni nani atakayenifaa kwa ajili ya kujenga familia.

      Kama mjuavyo mtoko ni gharama na gharama hizi mara nyingi huzibeba mwanaume, ambaye ndiye anayetoa mwaliko. Ni vigumu kutabiri gharama za mtoko na hiyo ni kutokana na kutojua kama mwenzako anapendelea aina gani ya vinywaji au vyakula. Hivyo inabidi kabla ya mtoko basi ujikague kama mfuko unakidhi usije ukaumbuka bure.

      Lakini pia inategemea ni sehemu gani mtakwenda kwa ajili ya mtoko wenu, kwani kila sehemu ina gharama zake. Kwa mfano, kuna kwenda sinema, kuna kutoka kwenda kupata chakula cha jioni na hii inategemea mnakwenda wapi, kwani kuna mighahawa ya inayouza vyakula vya kitalii, kuna hoteli za nyota tatu, nne mpaka tano, maeneo yote hayo yanatofautiana bei, na ndio maana nikasema mtoko ni gharama.

      Swali kwa wanawake:

      Inaweza kutokea baada ya mtoko wa kwanza mwanaume akavutiwa na wewe akiamini kwamba, mnaweza kujenga familia. Lakini ili kufahamiana zaidi akawa anakualika kwenye mtoko mara kwa mara ili mpate fursa ya kufahamiana zaidi.

      Kwa kuwa mara nyingi hutokea wanaume ndio hubeba gharama za mitoko (dates) kwa sababu wao ndio waalikaji, Je mnadhani ni wakati gani mnapaswa kuanza kulipa gharama za mtoko…………?

      Niliwahi kuzungumza na baadhi ya wafanyakazi wenzangu wa jinsia ya kike kuhusu jambo hili. Baadhi walisema wanaweza kutoa mwaliko wa mtoko wa tatu na kubeba gharama. Wengine walisema mtoko wa pili wanaweza kulipa gharama za matumizi ya mtoko huo, hata na kama wao ndio wamealikwa na ikitokea mwanaume analazimisha kulipa, basi watajaribu japo kuchangia gharama za vinywaji. Lakini wapo waliodai kwamba wao wataanza kulipa pale tu ambapo mwanaume huyo ataonyesha dalili zote za kuwavisha pete za uchumba au kufunga nao ndoa…………………..

      Naomba kupata mtazamo wenu juu ya jambo hili, Je nyie mnasemaje?.


    2. #21
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,333
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10550
      Likes Given
      14628

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By nyumba kubwa View Post
      Ndio maana nikasema analipa kwa sababu ya PR tu maana ela yetu tunachanga Lol.
      Ukizingatia tayari niko powerful nsipojishusha kwenye kadamnsasi kwa mila za kiafrika mume anaweza kudharauliwa. Lol.
      sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    3. #22
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Mtambuzi mwanamume kulipia mitoko kwa mila zetu za kiafrika imejengwa kama lazima..japo binafsi siliafiki sana.
      Na kwa kulitambua hili ndio maana hata sisi wanaume huwa kwenye mitoko tunapatumia sana ku'take advantage'
      Kikubwa ninachokiona wanawake zetu wa kiafrika wameaminishwa kwamba ili kuona kama mwanaume anakupenda lazima akuhudumie na mitoko ikiwa included..kinyume chake unapotaka kumshirikisha kwenye gharama inaonyesha kama hauko 'stable' na in a long run anaweza hata akakumwaga bro..Lakini all in all mkishakuwa pamoja kwa muda nadhani mnaweza kuanza ku'share' costs..Kwa sababu hata ukijidanganya kwamba hulipii kumbuka zinatoka kwenye 'basket fund'..kwa hiyo nitagharamia sana mitoko but kuna sehemu na mimi ntakuachia kiaina..
      sakapal and gfsonwin like this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    4. #23
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,979
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By neylu View Post
      Mmmh... Mtambuzi umenikumbusha mbali kidogo.... Nilikuwa na mpenzi wangu, mara nyingi tukitoka out mie ndie nilikuwa nalipa gharama zooote kisa, nilikuwa nampenda hata sikutaka aingie gharama za aina yeyote... Alivyokuja kunitenda nikapata somo.... Mimi kulipa gharama za outing kwa boyfriend sijui mpenzi, mchumba ni MARUFUKU!! Mpaka hapo nitakapokuwa wake rasmi ( Ndoa) hapo ndio nitagharamia outing..
      Unadhani hapo hawezi kukutenda?

    5. #24
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Huyo alokwambia usipotumbua ela ya mumeo watakula vimada...hana akili na ulifanya vizuri kumtema...Mume achunwi bana. Na hizo mentality kwangu ni upuuzi mtupu.

      Kuna mtu alishawahi nambia NK una joint account na mumeo...unawajua wanaume wewe? Nkamwambia siwajuhi wanaume namjua mume wangu. Huyo ni accountant wetu huyo na ni mama mlokole. Hapo nilikuwa ndio naolewa...basi alinambia "mi nipo utanifuata kubadili account' nkamwambia 'ushindwe na ulegee"

      Nadhani bado anasubili na huu ni mwaka wa nane na sina mpango wa kubadili account.


      Quote By gfsonwin View Post
      i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.

      btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
      mito and gfsonwin like this.

    6. #25
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 451
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By gfsonwin View Post
      i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.

      btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
      hahahahahaha lo sitihi neno kimyaaaaaaaaaa hapa it like ulikuwa unasubiri mtu alete uzi huu am tied now


    7. #26
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,979
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Kila mtu hapa atakuja na kituko chake,lakini nawaambieni,kile kinachokufanya ufanye jambo lolote ndo chenye maana kubwa!
      gfsonwin likes this.

    8. #27
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,193
      Rep Power : 25454
      Likes Received
      14891
      Likes Given
      15864

      Default

      bora umesema, ya nini kunipeleka kwenye hotel ambazo msosi unatambuliwa kwa mboga??

      Eti 'Prawns with mashed potato'

      ni bora anipeleke za kiswahili ambapo msosi unatambuliwa kwa nafaka 'wali ng'ombe'

      ikishindikana, hata kiosk akaninyweshe soda tu.

      Quote By nyumba kubwa View Post
      Tatizo si Binti wala Hotel, ila kiherehere cha kumpeleka sehemu usoweza ku afford, lol.
      gfsonwin likes this.

    9. #28
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24029
      Likes Received
      2400
      Likes Given
      3298

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By Kaunga View Post
      Hasara tena Mtambuzi? What is the use of money then?
      Jamani nitachangia kwenye Ada za watoto, ujenzi na maendeleo mengine; lkn mtoko akuuu!
      Sasa mbona hapa ndio gharama zaidi my dear Kaunga
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    10. #29
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Hizo si sapuraiz!!! Tunaongelea utaratibu wa kila siku wa maisha ...hasa sie tunaotoka kila week end. Lol.

      Quote By gfsonwin View Post
      sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?
      gfsonwin likes this.

    11. #30
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,333
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10550
      Likes Given
      14628

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By telitaibi View Post
      hahahahahaha lo sitihi neno kimyaaaaaaaaaa hapa it like ulikuwa unasubiri mtu alete uzi huu am tied now
      umechoka nini kwani?
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    12. #31
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,333
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10550
      Likes Given
      14628

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By nyumba kubwa View Post
      Hizo si sapuraiz!!! Tunaongelea utaratibu wa kila siku wa maisha ...hasa sie tunaotoka kila week end. Lol.
      hizo hizo outing za kila siku, huwez siku kusema i will clear the bill?
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    13. #32
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,333
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10550
      Likes Given
      14628

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By nyumba kubwa View Post
      Huyo alokwambia usipotumbua ela ya mumeo watakula vimada...hana akili na ulifanya vizuri kumtema...Mume achunwi bana. Na hizo mentality kwangu ni upuuzi mtupu.

      Kuna mtu alishawahi nambia NK una joint account na mumeo...unawajua wanaume wewe? Nkamwambia siwajuhi wanaume namjua mume wangu. Huyo ni accountant wetu huyo na ni mama mlokole. Hapo nilikuwa ndio naolewa...basi alinambia "mi nipo utanifuata kubadili account' nkamwambia 'ushindwe na ulegee"

      Nadhani bado anasubili na huu ni mwaka wa nane na sina mpango wa kubadili account.
      hapo dada mkubwa umenena, kuna watu huwa wanaona kwakua wao wamepitia magumu basi na wenzao ni lazima wapite kumbe si lazima bali ni nafasi tu pia kuna misimamao ambayo mtu binafsi anayo nyumbani kwake usilazimishe iwe sawa na ya kwako hapo mimi huwaga wala siangalii.

      maisha yangu mimi hata kama nikiatumia kukushuhudia sikwambii fanya kama mimi neva manake bana maisha ya mtu ni yake.
      nyumba kubwa likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    14. #33
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,185
      Rep Power : 668
      Likes Received
      627
      Likes Given
      1612

      Default

      Quote By Mtambuzi View Post
      Halafu ndio imetokea umempeleka binti Hoteli kama Kilimanjaro Grand Hyatt, pale soda tu shilingi 5,000, bado hujasoma menu, ikitokea kaagiza Lobuster, mai weee..........!
      Ha ha ha...kitu lobster...halafu kinachouma zaidi lobster mwenyewe anaguswaguswa tu juu juu,robo tatu nzima mnaacha mezani hapo

    15. #34
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,193
      Rep Power : 25454
      Likes Received
      14891
      Likes Given
      15864

      Default

      kiukweli naskia raha akilipa yeye, sana tena sana.

      Mie nitacompasate kwenye matumizi mengine home, ila kama ananitoa out acha nideke japo nina mvi.

      Mwanamme akitoa ina raha yake bwana, unakuwa unajisifia unaona 'jembe' langu, saa hizo mie 'toto' nimetulia tuli.

      Ila kama najua hana, hapo nitarekebisha tokea huko nyumbani, akae nazo pesa basi atalipia yeye, ila awe hana.
      Ila tena, kama hana ananialika twende wapi???

      Quote By gfsonwin View Post
      i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.

      btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
      nyumba kubwa and mito like this.

    16. #35
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Mialiko ya hivyo ipo...na ni special places si kule tunakokwenda mara kwa mara. Lakini inategemea na timing maana mume wangu always yuko kamili tukienda mahali kwani anajua yeye ndie mlipaji. Narudia tena kwangu sioni kama namuumiza jamaa kulipa kwa kuwa ela yangu ni yake na yake ni yangu. Hiyo ndo point kubwa...sasa nani kalipa haibadili ukweli kuwa ela yetu imetumika.


      Quote By gfsonwin View Post
      sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?

    17. #36
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 451
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By gfsonwin View Post
      umechoka nini kwani?
      kukimbia

    18. #37
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,333
      Rep Power : 34416
      Likes Received
      10550
      Likes Given
      14628

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By Eiyer View Post
      Kila mtu hapa atakuja na kituko chake,lakini nawaambieni,kile kinachokufanya ufanye jambo lolote ndo chenye maana kubwa!
      hapa mdogo wangu umesema kweli kabisa, na hapa watu wengi huwa tuna ova look hili. mfano mim nikisema namtoa hubby yaweza ikawa ni gia ya mimi kuwin jambo kwake mwingine akisema anamtoa sababu ainaweza ikawa ni ziada aliayao nayo, wakati mtu kama aneth akisema ana mtoa hubby ni just kumuonyesha kwamba anampenda na anatamani sana kuona mumewe anapata raha.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    19. #38
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Umeona eeh...Kitendo cha mwanaume kuingiza mkono mfukoni na kutoa ela kina heshima yake bwana. Waswahili hawakawii kusema yule mwanaume anamtegemea mkewe. Lol.

      Quote By Kongosho View Post
      kiukweli naskia raha akilipa yeye, sana tena sana.

      Mie nitacompasate kwenye matumizi mengine home, ila kama ananitoa out acha nideke japo nina mvi.

      Mwanamme akitoa ina raha yake bwana, unakuwa unajisifia unaona 'jembe' langu, saa hizo mie 'toto' nimetulia tuli.

      Ila kama najua hana, hapo nitarekebisha tokea huko nyumbani, akae nazo pesa basi atalipia yeye, ila awe hana.
      Ila tena, kama hana ananialika twende wapi???
      Kongosho and mito like this.

    20. #39
      CORAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 644
      Rep Power : 594
      Likes Received
      138
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Kaunga View Post
      Hasara tena Mtambuzi? What is the use of money then?
      Jamani nitachangia kwenye Ada za watoto, ujenzi na maendeleo mengine; lkn mtoko akuuu!
      Ni kweli mtoko aliyeuchokoza ndiye anayepaswa kulipa. Mara nyingi ni mwanaume. Kuna mambo mengi ya kulipia sio mtoko tu. Kwa hiyo mwanamke bado anaweza kujazia mchango wake kwenye mahitaji mengine ya kifamilia. Sometimes wakati wa mtoko, katika hali ya kimapenzi kabisa huenda bibie akaagiza kitu fulani baada ya kumwambia mpenziwe:ungepena kula.... Au kunywa...? Kwa kuwa kajitolea mwenyewe basi inabidi alipie.

    21. #40
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 640
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1573

      Default Re: Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

      Quote By Kaunga View Post
      Jamani mualikaji si ndio analipa bill?
      Wanaume wengine hawapendi hasa kwa huu mfumo jike unaoanza.

      Ila kiukweli inapendeza mwanaume ndio alipie, naweza compasate kinamna nyingine; kama kununua kitu cha thamani kwa ajili ya nyumbani!

      Raha ya mtoko, hubby atoboke! LOL
      Aaaha, nimecheka hap kwa red
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...