Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Broken heart

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Iteitei Lya Kitee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2008
      Posts : 560
      Rep Power : 693
      Likes Received
      25
      Likes Given
      71

      Default Broken heart

      Wadau tusaidiane
      what are the do's and dont's ya mtu alie katika broken heart situation?
      Ni dillema kwa kweli!!
      But najua jamvi litatoa msaada wa kutosha hapa
      SERIKALI INAPENDA WANANCHI WAKE!!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Soulbrother's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th April 2009
      Location : ndani ya nyumba
      Posts : 410
      Rep Power : 597
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Broken heart

      do's

      jichanganye na ndugu, washikaji
      kuwa bize
      jipe moyo, she is not the only fish in the sea

      donts
      Usianze uhusiano mpya
      usiwatafute wapenzi wa zamani
      usijitenge

    4. #3
      Mshiiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2008
      Location : Sillicon Valley - USA
      Posts : 1,351
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: Broken heart

      Do's
      -Fikiria mipango yako ya maisha na jinsi gani uko huru sasa.
      -It would not work and neither will work in the long run a relationship
      -Think of what you an highly achieve without him or her and plan for it
      -Set small short achievable plans and then along a long term plan

      Don'ts
      THINK OF HIM OR HER
      “You will not be punished for your anger; you will be punished by your anger.”

    5. #4
      Mshiiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2008
      Location : Sillicon Valley - USA
      Posts : 1,351
      Rep Power : 1233
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: Broken heart

      Do's
      -Fikiria mipango yako ya maisha na jinsi gani uko huru sasa.
      -It would not work and neither will work in the long run a relationship
      -Think of what you an highly achieve without him or her and plan for it
      -Set small short achievable plans and then along a long term plan

      Don'ts
      THINK OF HIM OR HER
      “You will not be punished for your anger; you will be punished by your anger.”

    6. Mbu
      #5
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Broken heart

      Quote By Iteitei Lya Kitee
      Wadau tusaidiane
      what are the do's and dont's ya mtu alie katika broken heart situation?
      Ni dillema kwa kweli!!
      But najua jamvi litatoa msaada wa kutosha hapa
      ...inategemeana na 'situation' yenyewe, Broken hearts zipo za aina nyingi i.e kuachwa, kufumania, kukataliwa uchumba, kukataliwa unyumba nk...fafanue ndugu Iteitei lya kitee...
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    7. Miaka 50

    8. #6
      Iteitei Lya Kitee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2008
      Posts : 560
      Rep Power : 693
      Likes Received
      25
      Likes Given
      71

      Default Re: Broken heart

      Quote By Mbu
      ...inategemeana na 'situation' yenyewe, Broken hearts zipo za aina nyingi i.e kuachwa, kufumania, kukataliwa uchumba, kukataliwa unyumba nk...fafanue ndugu Iteitei lya kitee...
      Ni kuachana kwa kushindwa kuelewana tu mkuu,
      Mie mitizamo yangu ni tofauti na yake ni tofauti kimaisha.
      Yaani tumegungua kua hatutofika kule tuendako hivyo tumeona tutengane tu.
      Ni uamuzi mzito ambao una umiza roho hasa ukizingatia mtu mmeanza nae mbali.
      SERIKALI INAPENDA WANANCHI WAKE!!

    9. #7
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,815
      Rep Power : 11188
      Likes Received
      7006
      Likes Given
      5176

      Default Re: Broken heart

      Quote By iteitei lya kitee
      wadau tusaidiane
      what are the do's and dont's ya mtu alie katika broken heart situation?
      Ni dillema kwa kweli!!
      But najua jamvi litatoa msaada wa kutosha hapa

      jipe kila aina ya sifa....
      Amini kuwa unayaweza yote bila hata kuwa na mwanamke aliye kupondea moyo wako..
      Bitches ain't shit
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    10. #8
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,979
      Rep Power : 2634
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      501

      Default Re: Broken heart

      Quote By Soulbrother
      do's

      jichanganye na ndugu, washikaji
      kuwa bize
      jipe moyo, she is not the only fish in the sea

      donts
      Usianze uhusiano mpya
      usiwatafute wapenzi wa zamani
      usijitenge

      - Usijali sana, hayo ni kama mabasi ya daladala, ukikosa la sasa utapanda linalokuja nyuma;

      - Kuwa karibu na familia yako (baba, mama na ndugu zako) kwani hao ndiyo waliwazao kweli;

      - Soma novel yako uipendayo sana;

      - Fikiria mambo yote mazuri ambayoa yanakufanya unakuwa happy,

      - Jaribu kumwaza mtu yeyote ambaye unajua fika kuwa anakupenda na kukujali, yaani rafiki yako, ndugu ambaye allways you are happy to meet/see.

      Bottom line "If you are happy, you will remember the person whom you love. If you are sad you will remember the person who loves you" By this principle you will never suffer heart breaks!!!


    11. #9
      Himawari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Somewhere in this world
      Posts : 669
      Rep Power : 681
      Likes Received
      75
      Likes Given
      56

      Default Re: Broken heart

      Quote By Iteitei Lya Kitee
      Ni kuachana kwa kushindwa kuelewana tu mkuu,
      Mie mitizamo yangu ni tofauti na yake ni tofauti kimaisha.
      Yaani tumegungua kua hatutofika kule tuendako hivyo tumeona tutengane tu.
      Ni uamuzi mzito ambao una umiza roho hasa ukizingatia mtu mmeanza nae mbali.
      Je mlishindwa kabisa kupunguza tofauti ya mitazamo yenu?
      Kama jibu ni ndio basi huna haja ya kuvunjika moyo, fungua ukurasa mpya na songa mbele na maisha. Huna haja ya kuumiza moyo wako kwa jambo ambalo halina tija maishani mwako.

      Jaribu kujumuika na ndg au marafiki. Take care hilo iteitei lya kitee lisije likawa la umbe! Just joking....,teh teh.!
      In my country we go to prison first and then become President-Nelson Mandela

    12. Mbu
      #10
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Broken heart

      Quote By Iteitei Lya Kitee
      Ni kuachana kwa kushindwa kuelewana tu mkuu,
      Mie mitizamo yangu ni tofauti na yake ni tofauti kimaisha.
      Yaani tumegungua kua hatutofika kule tuendako hivyo tumeona tutengane tu.
      Ni uamuzi mzito ambao una umiza roho hasa ukizingatia mtu mmeanza nae mbali.
      ...sasa nimekuelewa.

      Mitizamo tofauti kimaisha inatokana na sababu mbali mbali ikiwa ni pamoja na;
      • Imani ya dini
      • malezi na makuzi
      • kiwango cha elimu
      • Kazi/ajira na nafasi yake
      • Uwezo binafsi wa kuchanganua mambo
      • Heshima, busara, huruma, utii na unyenyekevu, nk
      • kupanga, kujiwekea na kutimiza malengo

      Katika yote hayo, kuna viwango mnatofautiana. Maamuzi ya kuachana kama yamekubaliana na moyo wako, hutosumbuka. Iwapo maamuzi yenu yanatokana na akili tu, kila mwenza utayekutana naye utaona ana kasoro hizo hizo.

      Madhali unasema mmesha achana, ni vyema ukajipa muda kujipanga upya ili 'mtarajiwa' ajaye ajue vigezo vyako vya maisha. Naye awe mkweli na muwazi kukwambia matakwa na matarajio yake, msije kupotezeana muda kama ilivyotokea kwa huyu.

      Pole sana na Kila la heri.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    Similar Topics

    1. Broken heart
      By Salma osman in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 19
      Last Post: 1st October 2011, 14:42
    2. Heart broken again
      By Masaki in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 99
      Last Post: 26th June 2011, 11:34
    3. Broken heart
      By B H in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 134
      Last Post: 5th April 2011, 01:37
    4. Broken Heart
      By B H in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 30
      Last Post: 1st April 2011, 12:08

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...