Wadau tusaidiane
what are the do's and dont's ya mtu alie katika broken heart situation?
Ni dillema kwa kweli!!
But najua jamvi litatoa msaada wa kutosha hapa
Wadau tusaidiane
what are the do's and dont's ya mtu alie katika broken heart situation?
Ni dillema kwa kweli!!
But najua jamvi litatoa msaada wa kutosha hapa
SERIKALI INAPENDA WANANCHI WAKE!!
do's
jichanganye na ndugu, washikaji
kuwa bize
jipe moyo, she is not the only fish in the sea
donts
Usianze uhusiano mpya
usiwatafute wapenzi wa zamani
usijitenge
Do's
-Fikiria mipango yako ya maisha na jinsi gani uko huru sasa.
-It would not work and neither will work in the long run a relationship
-Think of what you an highly achieve without him or her and plan for it
-Set small short achievable plans and then along a long term plan
Don'ts
THINK OF HIM OR HER
“You will not be punished for your anger; you will be punished by your anger.”
Do's
-Fikiria mipango yako ya maisha na jinsi gani uko huru sasa.
-It would not work and neither will work in the long run a relationship
-Think of what you an highly achieve without him or her and plan for it
-Set small short achievable plans and then along a long term plan
Don'ts
THINK OF HIM OR HER
“You will not be punished for your anger; you will be punished by your anger.”
SERIKALI INAPENDA WANANCHI WAKE!!
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
- Usijali sana, hayo ni kama mabasi ya daladala, ukikosa la sasa utapanda linalokuja nyuma;
- Kuwa karibu na familia yako (baba, mama na ndugu zako) kwani hao ndiyo waliwazao kweli;
- Soma novel yako uipendayo sana;
- Fikiria mambo yote mazuri ambayoa yanakufanya unakuwa happy,
- Jaribu kumwaza mtu yeyote ambaye unajua fika kuwa anakupenda na kukujali, yaani rafiki yako, ndugu ambaye allways you are happy to meet/see.
Bottom line "If you are happy, you will remember the person whom you love. If you are sad you will remember the person who loves you" By this principle you will never suffer heart breaks!!!
Je mlishindwa kabisa kupunguza tofauti ya mitazamo yenu?
Kama jibu ni ndio basi huna haja ya kuvunjika moyo, fungua ukurasa mpya na songa mbele na maisha. Huna haja ya kuumiza moyo wako kwa jambo ambalo halina tija maishani mwako.
Jaribu kujumuika na ndg au marafiki. Take care hilo iteitei lya kitee lisije likawa la umbe! Just joking....,teh teh.!
In my country we go to prison first and then become President-Nelson Mandela
...sasa nimekuelewa.
Mitizamo tofauti kimaisha inatokana na sababu mbali mbali ikiwa ni pamoja na;
- Imani ya dini
- malezi na makuzi
- kiwango cha elimu
- Kazi/ajira na nafasi yake
- Uwezo binafsi wa kuchanganua mambo
- Heshima, busara, huruma, utii na unyenyekevu, nk
- kupanga, kujiwekea na kutimiza malengo
Katika yote hayo, kuna viwango mnatofautiana. Maamuzi ya kuachana kama yamekubaliana na moyo wako, hutosumbuka. Iwapo maamuzi yenu yanatokana na akili tu, kila mwenza utayekutana naye utaona ana kasoro hizo hizo.
Madhali unasema mmesha achana, ni vyema ukajipa muda kujipanga upya ili 'mtarajiwa' ajaye ajue vigezo vyako vya maisha. Naye awe mkweli na muwazi kukwambia matakwa na matarajio yake, msije kupotezeana muda kama ilivyotokea kwa huyu.
Pole sana na Kila la heri.
#Dunia ni yako :Chaguo ni lako.
Follow Us Here