Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 78 of 78
    1. #1
      Shakir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 259
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      17

      Default Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Wadau,
      Umri wangu ni miaka 31 na sijaoa wala hata kufikiria hiki kitu kwa hata miaka mitano ijayo.

      Tatizo langu kubwa ni kua toka nlivyoachana na Msichana mmoja hivi yapata miaka mitatu iliyopita nimekua ni Mzee wa "Hit (Eat) and Run" toka miaka hiyo mpaka sasa.

      Nimeshakua Na Wasichana zaidi ya watano toka Mwaka 2010 Na wote kwa sababu moja ama ingine tumeachana. Baadhi ya wadau wangu wananiambia kua inawezekana huyo nlieachana nae kabla ya hao naowapitia sasa kaniloga nisipate mwengine ingawa siamini uchawi.

      Nikikaa na Mwanamke akfikisha miezi mitano basi ana Bahati sana, na labda atakua mvumilivu sana. Umri unakwenda na Maisha ndio haya.

      Nishachangia sana harusi za Wenzangu, kiasi kwamba sasa nao wanamazimisha kunichangia sasa kwa mtu ambae hayupo.

      Ndugu na Dada zangu wameshatambulishwa sana mashemeji na mawifi wapya kila kukicha mpaka sasa naona aibu mbele zao.

      "Law of Diminishing Marginal Utility" imenia-affect kiasi cha kwamba kumchoka demu mapema ni jambo dogo tu. Wadada wengi wamebaki na vilio baada ya ndoto zao za kuolewa nami kuishia hewani, naona sana Huruma kwa hili but sijui nifanyaje??

      Nimekwama kwa hili, nahisi maisha yangu hayatakua mazuri huko mbeleni. Ninaweza kua Na physchological problem, but sijui hata nilitibuje hili tatizo.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1356
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      angalia kasi yako, hao wote kama unapiga kavu basi ujue yule ulieachana nae kwanza alikuwa na askari polisi anaitwa James, yeye James alikuwa na mdada mwingine anaitwa Mary, huyu Mary namfahamu alikuwa na Jacob wakati fulani, Jacob ndie Boy friend wake Asha yule uliemwacha miaka minne iliopita, nae alikuwa na John pia, John aliwahi kutembea na yule ulimwacha miaka mitatu iliyopita, nae aliwahi kutembea Hamis, ambae hawakukaa muda mrefu sana, huyu Hamisi alikufa lakini aliacha Girl friend anaitwa Tatu, huyu tatu alikuwa na mahusiano na Ismail ambae aliwahi kutembea na huyo unaesema uliachana nae mwaka jana. na huyo ulienae sasa anatembea na yule Prof JJ anaeishi Makongo Juu ambae anatumika pia na kimada Barmaid pale Kijitonyama na Mwanafunzi wa SAUT ....TULIZANA!!!
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    4. #62
      carmel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 2,804
      Rep Power : 1071
      Likes Received
      202
      Likes Given
      128

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      spirit of lust...thats what you have...na siyo hiyo tu jiangalie hata area zingine za maisha yako..am sure ur not successful...think abt it. you need deliverence
      A gossip betrays a confidence; so avoid a man who talks too much.
      Proverbs 20:19


    5. #63
      Shakir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 259
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Mbwiga88
      jamani wengne hatujui hiyo law ya diminishng margnal utility nijuzen tafadhal
      When utility/satisfication is at maximum,
      Any additional consumption will result into a lower utility than previous!!

      Sasa kwa hapa ni kua Kama Siku zinavyokwenda upendo wangu kwake Na mvuto wake kwangu unazidi kupungua, basi mapenzi yamefikia maximum/mwisho

    6. #64
      SIYUMBA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      29

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      i think ur not over ur ex...unatafuta m2 mwingine kama yeye kwa kuwacompare hao wasichana na huyo ex wako,dats y unawakinai afta kujua zea nt like ha,...mi nachokushauri ni kutoa hicho k2 akilini mwako,ts ova btn u and her (ur ex),move on...co rahc bt try ku tune akili yako ,anza upya zen am sure utapata msichana mwingine beta n different 4rm her.....n 4 da mean tyme ucdate tena 4 a while until uwe ready...

    7. #65
      kalou's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2009
      Location : Mjini Kati
      Posts : 860
      Rep Power : 668
      Likes Received
      197
      Likes Given
      112

      Default

      Quote By SJUMAA26
      Kwahiyo unataka kudanganya watu kuwa kwa tabia kama za huyo mwenzio unaweza kukaa mwaka mmoja bila sex? Au kuwa single maana yake ni nini? Au ni kutokuwa na mwanamke maalum isipokuwa kila siku unachapachapa tu yeyote utakayemkamata?
      tatizo langu ilikuwa kukaa kwenye relationship and not the other way around..kwa hiyo ninaweza kuwa single kwa muda mrefu bila tatizo tena.

    8. Miaka 50

    9. #66
      lila's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th August 2012
      Location : dsm
      Posts : 39
      Rep Power : 349
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By ngoshwe
      angalia kasi yako, hao wote kama unapiga kavu basi ujue yule ulieachana nae kwanza alikuwa na askari polisi anaitwa James, yeye James alikuwa na mdada mwingine anaitwa Mary, huyu Mary namfahamu alikuwa na Jacob wakati fulani, Jacob ndie Boy friend wake Asha yule uliemwacha miaka minne iliopita, nae alikuwa na John pia, John aliwahi kutembea na yule ulimwacha miaka mitatu iliyopita, nae aliwahi kutembea Hamis, ambae hawakukaa muda mrefu sana, huyu Hamisi alikufa lakini aliacha Girl friend anaitwa Tatu, huyu tatu alikuwa na mahusiano na Ismail ambae aliwahi kutembea na huyo unaesema uliachana nae mwaka jana. na huyo ulienae sasa anatembea na yule Prof JJ anaeishi Makongo Juu ambae anatumika pia na kimada Barmaid pale Kijitonyama na Mwanafunzi wa SAUT ....TULIZANA!!!
      chukua hyo braza kaka,,otherwise unahitaj maombi

    10. bdo
      #67
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By BAK
      You need to see experts asap

      Wala hahitaji expert we are experts, ndio maana amekuja hapa jamvini, kwa hali aliyonayo ninamshauri endelea hivyo hivyo hadi atakapokutana tena na kanuni ya "diminishing marginal utility" ila chonde chonde atumie kinga si kwa sababu atapata magonjwa bali asijewapa watu mimba halafu akaanza deal za kuua u kuongezea watoto wa mitaani, thanks...

    11. #68
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,120
      Rep Power : 651
      Likes Received
      593
      Likes Given
      1564

      Default

      Quote By anne maria
      Sikia,, dont rush into dating a woman with expectation ya kuwa labda huyo ndiye utakaye muoa,, utaendelea kuwa disappointed na kumuumiza huyo mdada utakayemdate akijua utamuoa... ni hivi take ur time find urself a friend on platonic basis na ujifunze frm her na kama ukiona hamna so much in common then dont push that relationship forward do that with several girls and i believe eventually u will meet ur match.. And one most important thing Pray about it on daily basis... Good luck
      ..How I wish I could like this piece of advice....too bad am on a mobile.
      Anne Maria likes this.

    12. #69
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,777
      Rep Power : 960
      Likes Received
      880
      Likes Given
      1355

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By Shakir
      Wadau,
      Umri wangu ni miaka 31 na sijaoa wala hata kufikiria hiki kitu kwa hata miaka mitano ijayo.

      Tatizo langu kubwa ni kua toka nlivyoachana na Msichana mmoja hivi yapata miaka mitatu iliyopita nimekua ni Mzee wa "Hit (Eat) and Run" toka miaka hiyo mpaka sasa.

      Nimeshakua Na Wasichana zaidi ya watano toka Mwaka 2010 Na wote kwa sababu moja ama ingine tumeachana. Baadhi ya wadau wangu wananiambia kua inawezekana huyo nlieachana nae kabla ya hao naowapitia sasa kaniloga nisipate mwengine ingawa siamini uchawi.

      Nikikaa na Mwanamke akfikisha miezi mitano basi ana Bahati sana, na labda atakua mvumilivu sana. Umri unakwenda na Maisha ndio haya.

      Nishachangia sana harusi za Wenzangu, kiasi kwamba sasa nao wanamazimisha kunichangia sasa kwa mtu ambae hayupo.

      Ndugu na Dada zangu wameshatambulishwa sana mashemeji na mawifi wapya kila kukicha mpaka sasa naona aibu mbele zao.

      "Law of Diminishing Marginal Utility" imenia-affect kiasi cha kwamba kumchoka demu mapema ni jambo dogo tu. Wadada wengi wamebaki na vilio baada ya ndoto zao za kuolewa nami kuishia hewani, naona sana Huruma kwa hili but sijui nifanyaje??

      Nimekwama kwa hili, nahisi maisha yangu hayatakua mazuri huko mbeleni. Ninaweza kua Na physchological problem, but sijui hata nilitibuje hili tatizo.
      Tatizo lako hupendi ila unatamani, ukishatimiza haja zako za mwili huna haja na huyo mwanamke tena, na wasichana wameshakujua tabia yaako sasa wanakutumia kama ATM nao wakifikiri baadaye utawaoa kabisa kume lol.
      Ukituliza akili utampata wa dhati toka moyoni mpaka utajishangaa.

    13. #70
      aminiusiamini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 453
      Likes Received
      72
      Likes Given
      60

      Default

      Dawa yake. Jipake shahawa zako usoni halafu, ukoge mara mbili.

    14. #71
      Shakir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 259
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      17

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Thanks a lot wadau,
      Seems to me like all women are absolutely the same,
      Now I know what to do, let me concetrate on making money, and 4gt about these chicks.

      If I could utilize my time effectively on other business, I could be far away. One of these ex-chicks went away with Vitz while I paid a house Rent of 2.4mil for another.

      Wacha nibaki mpweke tu,
      Sioi Leo, Sioi kesho, wala mtondogoo

    15. #72
      Anne Maria's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Location : xoxo
      Posts : 349
      Rep Power : 430
      Likes Received
      79
      Likes Given
      257

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By Prisoner 46664
      ..How I wish I could like this piece of advice....too bad am on a mobile.
      prisoner 46664........... thank you
      Prisoner 46664 likes this.

    16. #73
      kibella24's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 346
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Kijana hilo ni pepo la ngono na jini mahaba linakusumbua pia. Tubu uanze upya laasivyo utajikuta umejaa mvi na huna mke. Sala zitakusaidia sana, uache tabia ya kujiona umeshindwa, still u can, hujachelewa, chukua hatua kungali mapema!!

    17. #74
      Kaldinali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 239
      Rep Power : 399
      Likes Received
      98
      Likes Given
      67

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By The Boss
      tatizo lako haluhusiani na hao wadada...

      tatizo lako linahusu wewe mwenyewe na ndoto zako za maisha

      ukifika wakati utajikuta tu comfortable ku settle.....na yeyote available utatulia nae..

      wewe una issues zako binafsi....zinakuhangaisha...

      Genius!
      The Boss likes this.

    18. #75
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,779
      Rep Power : 4579
      Likes Received
      572
      Likes Given
      395

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By Shakir
      Wadau,
      Umri wangu ni miaka 31 na sijaoa wala hata kufikiria hiki kitu kwa hata miaka mitano ijayo.

      Tatizo langu kubwa ni kua toka nlivyoachana na Msichana mmoja hivi yapata miaka mitatu iliyopita nimekua ni Mzee wa "Hit (Eat) and Run" toka miaka hiyo mpaka sasa.

      Nimeshakua Na Wasichana zaidi ya watano toka Mwaka 2010 Na wote kwa sababu moja ama ingine tumeachana. Baadhi ya wadau wangu wananiambia kua inawezekana huyo nlieachana nae kabla ya hao naowapitia sasa kaniloga nisipate mwengine ingawa siamini uchawi.

      Nikikaa na Mwanamke akfikisha miezi mitano basi ana Bahati sana, na labda atakua mvumilivu sana. Umri unakwenda na Maisha ndio haya.

      Nishachangia sana harusi za Wenzangu, kiasi kwamba sasa nao wanamazimisha kunichangia sasa kwa mtu ambae hayupo.

      Ndugu na Dada zangu wameshatambulishwa sana mashemeji na mawifi wapya kila kukicha mpaka sasa naona aibu mbele zao.

      "Law of Diminishing Marginal Utility" imenia-affect kiasi cha kwamba kumchoka demu mapema ni jambo dogo tu. Wadada wengi wamebaki na vilio baada ya ndoto zao za kuolewa nami kuishia hewani, naona sana Huruma kwa hili but sijui nifanyaje??

      Nimekwama kwa hili, nahisi maisha yangu hayatakua mazuri huko mbeleni. Ninaweza kua Na physchological problem, but sijui hata nilitibuje hili tatizo.

      Uamini uchawi, unaishi mbinguni? Rais wako tu anaroga pamoja na wabunge na viongozi wote serikalini, acha kutuzuga hapa. Usiporoga wewe juwa wenzako watakumaliza, shauri lako.

    19. #76
      Shakir's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2012
      Posts : 259
      Rep Power : 394
      Likes Received
      45
      Likes Given
      17

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By Mkereketwa_Huyu
      Uamini uchawi, unaishi mbinguni? Rais wako tu anaroga pamoja na wabunge na viongozi wote serikalini, acha kutuzuga hapa. Usiporoga wewe juwa wenzako watakumaliza, shauri lako.
      Sasa nifanyaje mkuu? nishauri pia, usiishie kunilaumu tu.
      Nimekata shauri niachane nao kwanza ili nishughulikie mambo mengine ya Kimaisha although umri unakwenda but no way.

      After 2-3 years nitaangalia kama huu mpango umelipa!!

    20. #77
      Tetty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,132
      Rep Power : 566
      Likes Received
      315
      Likes Given
      204

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Ningekushauri ufikirie nini unataka kwenye maisha yako.Namara zote usifikirie wanawake tu ndio wanye tatizohata wewe mwenyewe waweza kuwa tatizo.
      Labda ungeeleza kwa nini uliachana na msichana wako wa kwanza jumuia inaweza kukusaidia ,mengineyo funga moyo kaombe radhi umrudie wa zamani.

    21. #78
      Mkereketwa_Huyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Location : London | Dar Es Salaam
      Posts : 1,779
      Rep Power : 4579
      Likes Received
      572
      Likes Given
      395

      Default Re: Miezi mi-3 tu nakukinai, What is the problem??!!!!

      Quote By Shakir
      Sasa nifanyaje mkuu? nishauri pia, usiishie kunilaumu tu.
      Nimekata shauri niachane nao kwanza ili nishughulikie mambo mengine ya Kimaisha although umri unakwenda but no way.

      After 2-3 years nitaangalia kama huu mpango umelipa!!

      Subiri nijipange vizuri ndipo nitarudi kukujibu.
      Reply With Quote

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...