kwa kawaida mapenz kabla ya ndoa yanapaswa yachukue muda gan then muingie ktk ndoa? nina girlfriend wangu kwa miezi miwili sasa lakin anahitaji tuish pamoja ni kwel nampenda lakin cjawa na sababu za kuoa. rafiki niokoe kwa mawazo yako.
kwa kawaida mapenz kabla ya ndoa yanapaswa yachukue muda gan then muingie ktk ndoa? nina girlfriend wangu kwa miezi miwili sasa lakin anahitaji tuish pamoja ni kwel nampenda lakin cjawa na sababu za kuoa. rafiki niokoe kwa mawazo yako.
hicho kimeo....ndoa ndani ya miezi miwili.....? na ni msichana ndio anadai....?....stuka jombaa....hakuna kitu hapo......
Life is too short to waste time hating anyone.........
dada umeoona, limekuwa swala gumu dats y nimeamua kuweka mezani. Preta
Last edited by Fredmaty Zach.; 6th August 2012 at 22:21.
mh mapema sana wangu, mwenyewe unasema hujawa tayar, so huna sabab ya kufanya hvyo.....
haya ndio yale ya miss desperate lol,
ana umri gan my gf wako
Happiness is not a reward it is a consequence
miaka 21 sasa niitavo ya miaka 2 tu bwana kaka, so ilipaswa walau muda gan wa kumsoma
mmmmmhhhhhhhhhhh....be keaffuuuu....
Huyu mdada nae sie kabisa anatafuta hifadhi mjini,yani miezi miwili hajui kama unakojoa kitandani au mwizi..
Jamani dada wa watu labda ameshadanganywa sana huko nyuma kuhusu kuolewa halafu akawa anaishia kutendwa, ndio maana saiv hataki kurudia kosa! Ndugu jiandae kama hamtumii cndm bibie atakuambia ana mimba, mwenyewe utajikuta umeweka kitu ndani bila kupenda..! Usicheze na mwanamke akipania kufanya kitu!!
We must either find a way or make one. - Hannibal
Kama hauko tayari kuoa kwanini unaingia mahusiano na huku unampa hope togeza forever?
Blessed are hearts that bend but shall never broken
mwambie swala la kuoa sio la kuamua kesho naoa,me naamini linatokea tu lenyewe baada ya kusomana kwa muda fulan hiv,hii ilishantokea sana nachowambia ni kwamba tuombe Mungu...
Usipaparikie ndoa ndugu yangu kama haujajipanga, utafanya ndoa iwe ndoana kwako.
Funguka mwesimiwa hapo sio.
Kuna kitu anatafuta huyo hana lolote......Mademu wengi siku hizi wanalilia ndoa balaa sijui shetani gani kawaingia aiseee.
Pretta hun take it easy assume amefanya typing error
Back to mada she's 22 and thinking of marriage??? kaka jiulize mara mbili,, family history ya huyo mdada ipoje?? muweke wazi,,, ndoa sio kitu cha kukurupuka.. nawasilisha
Miezi miwili tu??
Anyway, tunatofautiana.
Kwangu hata ingekua Mwaka, still BADO!!!
shukran sana kwa michango na mawazo yenu ndugu zangu, nimewasoma mpaka nimepitiliza. kiukwel ilinishangaza nikaona niweke kitu mezani. but dada pretta, 4give me take it easy dadangu wa ukweeeli.
shukran sana kwa michango na mawazo yenu ndugu zangu, nimewasoma mpaka nimepitiliza. kiukwel ilinishangaza nikaona niweke kitu mezani. but dada pretta, 4give me take it easy dadangu wa ukweeeli.
Follow Us Here