Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huyu kaka ana jinsia gani?

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 226
    1. #1
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6550
      Likes Received
      2672
      Likes Given
      1303

      Default Huyu kaka ana jinsia gani?

      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      Ndahani and kapistrano like this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      kapistrano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 962
      Rep Power : 6799
      Likes Received
      315
      Likes Given
      463

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Hakunaga Third option ila kila binadamu ana tabia zake kuna watu wengine huwa kusoma hawajui na hata ukimwonyesha picha ndio unamchanganya kabisa hivyo basi kama ni mtu wako wa karibu zungumza naye very friend in order kujua tatizo lake ni nini then utajua ni wapi unaweza kumsaidia kama usipofanya hivyo hata umlete wadada 20 is equal to zero.

    4. Obe
      #3
      Obe's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st December 2007
      Posts : 1,421
      Rep Power : 916
      Likes Received
      328
      Likes Given
      185

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Huyo uliyemuunganisha naye, fanya wakutane usiku, wengine wana aibu zao bhana

    5. #4
      Double K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Location : Kinondoni.
      Posts : 256
      Rep Power : 394
      Likes Received
      57
      Likes Given
      52

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Wazazi wameonge wameshindwa, basi mtafutieni mtu ajifanye housegirl na mumpe somo kuwa kazi yake ni kumtega mpaka kieleweke, atumie every woman power she has kuhakikisha anampata au anajua tatizo ni nini, labda haifanyi kazi na mnazidi kumpa stress na kusema hawezi.
      What One Man Doesn't Another Man Will.

    6. #5
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,843
      Rep Power : 3151
      Likes Received
      807
      Likes Given
      653

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      Dah hii kesi ngumu kweli MadameX, lakini nitajitahidi kudig in kidogo kadri nitakavyoweza

      Kiafrika mahusiano huanzishwa na mwanaume so yeye ndio huwa anatakiwa ainitiate hayo mahusiano kwa msichana. Sasa tabu inakuja pale kwenye kuanzisha mahusiano, kunahitaji mambo mengi sana lakini kikubwa kabisa ni confidence kwamba yes i can get this person to talk to me and accept what i am gonna tell her. Sasa hali hii hujengwa tangu ukiwa mtoto na inajengwa na mazingira hasa unayokulia. Ntakupa mfano, wakati mi nikiwa mdogo ulikuwa ukiniweka na msichana pamoja ni kama roho ilikuwa inataka kunitoka kwa uwoga (hasa kama huyo msichana mwenyewe nilikuwa na hisia zozote kwake)

      Kuwa karibu na wasichana na kuwazoea kukanifanya nikaondoa ule uwoga niliokuwa nao enzi hizo. Sasa kwa kesi ya ndugu yako ni kwamba malezi aliyolelewa yamemfanya awe na hali kama niliyokuwa nayo mimi nilivyokuwa mtoto, kutokuwajiamini na kuwa na woga. Na believe me if this is the case hata ukimwekea mwanamke ndani akiwa mtupu he will never do anything maana uwezo wa kufanya tendo hilo kwa mwanaume unahusisha kwa kiasi kikubwa sana akili yake ambayo kama hajiamini then hawezi kufanya kitu.

      Kwahiyo cha kufanya, ni lazima aanze kuwa karibu na wanawake as friends ili awazoee, believe me kuna wakati itamlazimu kwenda beyond ulokole wake ili kujenga hiyo confidence inayohitajika ili kuondoa maswali mengi yanayomsumbua kama, Can i?, Will she?, How do i? na kadhalika....

      Hebu ngoja niendelee kufikiria mengine then ntarudi
      A hen is only an egg's way of making another egg

    7. Miaka 50

    8. #6
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      huyo dada uliyemuunganisha naye ndiye anaweza kusaidia kutoa 'clue' ya status ya jamaa kimahusiano... e.g huwa wanaongea nini wakiwa pamoja: vitambulisho vya taifa, sensa, kutekwa kwa dr ulimboka au mambo ya mahusiano and probably how the guy feels towards her....
      NYAMALAWA likes this.

    9. #7
      Gwamahala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 501
      Rep Power : 600
      Likes Received
      102
      Likes Given
      124

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      MadameX,
      Kuna watu wapo hivyo,mimi nina kaka yangu wa kuzaliwa na sasa ana 50yrs (kazaliwa 1962)...ana kazi nzuri and everything in life ila hana GF wala hajawahi kuwa naye. Wala usiendelee kumlengesha kwa wanawake sanasana atakuchukia tu na uhusiano wenu utaharibika kabisa....coz anaonekana HAPENDI mahusiano na wanawake.
      Izoeeni tu hiyo hali yake kama sisi tulivyoizoea hali ya ndugu yetu na maisha yanasonga.
      MadameX likes this.

    10. #8
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,325
      Rep Power : 1699
      Likes Received
      1584
      Likes Given
      3332

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Huyo hana tatizo lolote kwa jinsi ulivyoeleza ni mazingira ya ukuaji wake yaliyosababisha hali hiyo ambapo inapaswa kuwasifu wazazi wake.Lakini naona wazi kuna kosa linalofanyika hapa nalo ni kumpa pressure ya kuoa na hiyo ni hatari sana kwani inaweza kusababisha kijana wa watu akafungulia kuonyesha urijali wake na kuishia kwenye magonjwa.Ni vyema kwenda naye taratibu kwa kumkutanisha na wasichana tofauti mpaka atakapokutana na chaguo lake na kila kitu kitakuwa sawa.Kuna mtu alikuwa kama huyo na alishafikia mpaka kukutanishwana wasichana chumbani na nguo wakamvulia lakini wala hakushtuka lakini leo ameoa na anaishi kwa amani na mkewe hivyo huyo naye ni kumpa muda zaidi kwani kwa mwanaume miaka 30 ndio kwanza kunakucha....
      MadameX likes this.
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    11. #9
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,573
      Rep Power : 2536
      Likes Received
      606
      Likes Given
      762

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!
      MadameX likes this.
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    12. #10
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,169
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      Kwani mwanamme hawezi kujiamulia kukaa peke yake bila mwanamke?

      Kama mtu mwanamme hana interest na wanawake, kashaangalia kaona magonjwa na michosho mingine tu, anataka kufanya mambo yake bila usumbufu wa familia na watoto, atakuwa si mwanamme?

      Haya matatizo ya kufuatilia watu walioamua kuishi maisha yao tofauti na tunavyojua kawaida yapo nchi zisizoendelea ambapo watu wanachofikiria kinazunguka mule mule tu, kuzaliwa, kuoa,kuzaa,kufa.

      Unajuaje kama mtu anatafuta dawa ya kansa huko (au anataka kufanya kingine chochote ambacho ni muhimu kwake) anaona GF au mke na watoto watamzingua tu.

      Atakuwa na makosa gani?
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    13. #11
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,169
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kunta Kinte
      Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!
      Kwa nini unafikiri hilo linahitaji kuondolewa kama mtu kaamua mwenyewe maisha yake kuishi hivyo?
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    14. #12
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      hata wanawake wa Tanga wameshindwa kumtega!!

    15. FP
      #13
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,266
      Rep Power : 46353
      Likes Received
      6980
      Likes Given
      6881

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By kapistrano
      Hakunaga Third option ila kila binadamu ana tabia zake kuna watu wengine huwa kusoma hawajui na hata ukimwonyesha picha ndio unamchanganya kabisa hivyo basi kama ni mtu wako wa karibu zungumza naye very friend in order kujua tatizo lake ni nini then utajua ni wapi unaweza kumsaidia kama usipofanya hivyo hata umlete wadada 20 is equal to zero.
      kuna rafiki yake husband pia yupo hivyo, yaani siyo gay wala straight, na kuna kipindi tulimlengeshea mdada ikashindikana, then husband akaamua kumwendea na kuzungumza naye kama kamati, jamaa akajidai hawezi kuwatokea wadada. sasa akamwambia poa, mimi nitaongea na mdada na nitamalizana naye kabisaaaaaaaaaaaaaa, nikimleta kwako ujue ashakubali kila kitu uendelee tu.
      tukaongea na rafiki yangu, tukamwambia kila kitu na kwa vile yeye ni mjanja akakubali, tulipompeleka mbona tulipata aibu...... aliongea naye usiku kucha mpaka dada wa watu akasinzia na yeye akalala, asubuhi kaamka mapema. tumeamua kumwacha
      MadameX likes this.
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    16. #14
      zaratustra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 633
      Rep Power : 629
      Likes Received
      85
      Likes Given
      116

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Hivi makaka ​huwa wana jinsia gani?

    17. #15
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 817
      Rep Power : 561
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      jaribu kupretend umechanganyikiwa ukalale kwake siku moja then utarudi na jibu la hapo kwenye red
      we turn to God when we are out of options, it is unfair for him to accept us but he does.

    18. #16
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,619
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1540

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      umeshasema kaka halafu unaulizia jinsia....
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    19. #17
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,619
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1540

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kiranga
      Kwani mwanamme hawezi kujiamulia kukaa peke yake bila mwanamke?

      Kama mtu mwanamme hana interest na wanawake, kashaangalia kaona magonjwa na michosho mingine tu, anataka kufanya mambo yake bila usumbufu wa familia na watoto, atakuwa si mwanamme?

      Haya matatizo ya kufuatilia watu walioamua kuishi maisha yao tofauti na tunavyojua kawaida yapo nchi zisizoendelea ambapo watu wanachofikiria kinazunguka mule mule tu, kuzaliwa, kuoa,kuzaa,kufa.

      Unajuaje kama mtu anatafuta dawa ya kansa huko (au anataka kufanya kingine chochote ambacho ni muhimu kwake) anaona GF au mke na watoto watamzingua tu.

      Atakuwa na makosa gani?
      kweli aisee.... hasa kama ni khanithi
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    20. #18
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,169
      Rep Power : 41579
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1058

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Janjaweed
      kweli aisee.... hasa kama ni khanithi
      Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.

      Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.

      I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    21. #19
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,211
      Rep Power : 28908
      Likes Received
      11688
      Likes Given
      4819

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Kwani mnaishi kijiji gani? Miaka 30 kwa kijana wa kiume sio mingi. Kuna watu wako reserved na mambo yao tu, ila ni ma-heartbreaker wazoefu! Nani alitoa uzi wa maswali ya kukera ya 'unaoa ama unaolewa lini?'
      Janjaweed likes this.

    22. #20
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,619
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1540

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kiranga
      Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.

      Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.

      I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.
      kweli aisee, tunapenda kufuatilia watu... hasa makhanisi
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...