Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.
Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.
Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
Overanalysis pekee hapa ni kutaka kumfuatilia mtu ambaye kaamua kuishi maisha yake tofauti nanyi na kutoa conclusions ambazo hamna hata uhakika nazo, kwa ushahidi wa post za internet.
hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.
By Kiranga
Kwamba GLT wengi ni atheists siwezi kukujibu kwa sababu silijui hilo na wala sijui source yako na wala sijui kama ni la ukweli.
hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...
By Kiranga
Ninachojua ni ma anti-gay crusaders wengi ni gay.
Kama huyu Senator Larry Craig aliyekuwa anawapiga mawe gays kumbe na yeye anatafuta mtu kwenye public toilets tena.
not entirely true. most religions condemn GLT which makes it hard for them to join, similarly homophobes use religion to justify ill treatment to open GLT members. churches which accept gays are few and far apart and mosques are even rarer
hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.
hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...
I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.
Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!
Huna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.
Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.
Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!
Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.
Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.
I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.
xaxa kiranga mentioned above m2 hayupo,xaxa cbora apige mzhgoo 2 ajue 1,geniuz siyo hadi kupga mzigo hayupo teh teh labda lkn ni mazngira m2 aliyokulia ndo problem
asilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
Akiwa impotent au gay itakusaidia nini? Au na wewe ni gay unatafuta ma gay wenzako mkutane? Kwangu mimi that's the only justification, unatafuta ma gays kwa sababu na wewe gay unataka ku fraternize nao. Kama mtu mume huna interests na gays kwa nini utake kuwafuatilia kwa sana?
Yaani uanvyosema "people should be suspicious" utafikiri mtu kaiba kitu au anatuhumiwa utapeli.Kumbe mtu hajaonekana na mwanamke. Akikwambia yeye "Usalama wa Taifa" na ana siri anazochelea kuzitoa kama akiwa na mke au GF? Utamwambiaje?
Naona umedandia gari kwa mbele braza..
Haya majibu ungempa mleta thread..mimi na wewe hatumjui huyu mtu..
Nilichofanya ni ku'connect dots from what would be their worry about their brother..
Lakini hata kama ndio msimamo wako..lol! kweli maendeleo ni mzigo..better to remain poor with our tradition!
Kumbuka ndugu zake hawamuulizi maswali kwa nini huoi?..na huenda wakimuuliza atawajibu kama ulivoshauri hapa..
Ni strategy nzuri pia kwamba they should start ask him questions kwa nini huoi?
vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
kwani kuoa ni amri?,acheni kuwa wavivu kufikiri..kwani ngono chakula? Watu wameacha kuoa saa hz michosho tu.bora kuwa single
Hakuna anaemlazimisha kuoa bwana, lakini ukiwa kama mzazi au kutokana na mamake hiyo kitu kuwa mtoto wake hajulikani anahisia gani za kiume ndio pasua kichwa maana ni mtu mzima sasa
Blessed are hearts that bend but shall never broken
ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
kuanzisha kanisa/dini sio rahisi kama udhaniavyo and its not the point. most gays were raised religiously b4 coming out, they just want to be acknowledged as members. Nobody wants separate churches/mosques for gays and straights.
You want a gay man to become a bishop!! umesahau mtafaruku uliotokea 2003 kwenye anglican church..
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?
how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?
Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.
Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.
Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
Blessed are hearts that bend but shall never broken
Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.
Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.
Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
Mpaka jibu lipo wazi
ana tatizo la 'uhanithi'
na uhanithi na mtu kuwa gay ni vitu viwili tofauti..
gay anaweza ku sex na both wanawake na wanaume..
h.a.n.i.t.h.i.anaweza kuwa anapenda wanawake lakini ni mlemavu kwenye viungo
due to pschology au physical injury au kazaliwa hivyo..
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Follow Us Here