Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huyu kaka ana jinsia gani?

    Report Post
    Page 5 of 12 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 226
    1. #1
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,106
      Rep Power : 6545
      Likes Received
      2662
      Likes Given
      1302

      Default Huyu kaka ana jinsia gani?

      Habari zenu wakuu, nina mtu wangu wa karibu hali yake inanipa utata. Yeye yuko late 30's amelelewa kilokole na pia hivyo nyumbani kulikuwa na maadili mazuri yaani it was very strict family, mambo ya ujana kwao yalikuwa hayana sehemu, kwahiyo mambo ya watoto wa mjini kwake yalikuwa hakuna.


      Sasa yeye ni mtu mzima, mamake na nduguze wamepiga dau la kuoa wamechoka maana kihali na mali inamruhusu (anaishi peke yake). Kitu cha kushangaza huyu mtu hajawahi kuwa wala kuonekana na GF kama kawaida ya wanaume. Hana hata mtoto wa kusingiziwa, yaani urafiki na wanawake hana hata ule wa platonic hakuna zaidi ya sisi jamaa zake. Nimejaribu kumconnect na sister fulani hivi poa, kwa kuhisi labda atakuwa domo zege nalo halikufaa maana ni muda wako pamoja lakini mazungumzo hayaendi next level.

      Kuwa ni mlokole si mlokole...jamani kuna jinsia gani zaidi kwa mwanaume kama mtu si gay or straight kuna 3rd option?
      Ndahani and kapistrano like this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kiranga
      Overanalysis pekee hapa ni kutaka kumfuatilia mtu ambaye kaamua kuishi maisha yake tofauti nanyi na kutoa conclusions ambazo hamna hata uhakika nazo, kwa ushahidi wa post za internet.
      hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.
      Quote By Kiranga
      Kwamba GLT wengi ni atheists siwezi kukujibu kwa sababu silijui hilo na wala sijui source yako na wala sijui kama ni la ukweli.
      hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...

      Quote By Kiranga

      Ninachojua ni ma anti-gay crusaders wengi ni gay.

      Kama huyu Senator Larry Craig aliyekuwa anawapiga mawe gays kumbe na yeye anatafuta mtu kwenye public toilets tena.

      Larry Craig scandal - Wikipedia, the free encyclopedia
      I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.
      Janjaweed likes this.
      Moola's the motive

    4. #82
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Blaine
      not entirely true. most religions condemn GLT which makes it hard for them to join, similarly homophobes use religion to justify ill treatment to open GLT members. churches which accept gays are few and far apart and mosques are even rarer

      EDIT:
      Attachment 60773 Australian Statistics 2012

      source: Gay Christians in Australia
      asilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
      Moola's the motive

    5. #83
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,145
      Rep Power : 41574
      Likes Received
      6044
      Likes Given
      1056

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Abdulhalim
      hiv naezaje kumfatilia mtu nisiyemjua ?? sifahamiani hata mtu mmoja jf...sasa sijui ninawezaje it is beyond my hetero-quasi-sapio-sexual senses. labda upande wa pili wanaweza hilo.

      hiyo ni homework yako niliokupa, sio lazima uifanye leo...



      I aint anti-gay nor crusader by any imaginable stretch..kwa hiyo hili ni lako, hivo unapaswa kulitolea maelezo maana waonekana walijua viema.
      Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!

      Huna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.

      Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    6. #84
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,653
      Rep Power : 927
      Likes Received
      587
      Likes Given
      83

      Default

      Quote By Kunta Kinte
      Hiyo ni akili tu imejengeka kuona tendo hilo au kuwa na wanawke ni kosa, njia rahisi ya kuondoa hilo ni awe na watu ambao watakuwa wako wazi kwenye kuzungumzia hilo jambo, nashauri mtafutie mwanamke chakaramu ambaye kila neno linalomtoka mdomoni ni tusi atazoea tu, mwanamke aliye decent kwa jamaa yako huyo atamuaribu zaidi!!
      we ni kiboko.

    7. #85
      Slaker's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 374
      Likes Received
      7
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Kiranga
      Jamii maskini zimejikita katika kufuatilia mambo yasiyo muhimu kama haya, nani khanithi nani rijali. Nani ana mke mmoja nani ana wake wanne na upuuzi mwingine kama huo.

      Wakati wenzetu wanatafuta dawa za UKIMWI na kansa, wanapeleka vyombo Mars, wanasolve Poincare's conjecture.

      I bet Grigori Perelman angekuwa Mtanzania watu wangemsema khanithi.
      xaxa kiranga mentioned above m2 hayupo,xaxa cbora apige mzhgoo 2 ajue 1,geniuz siyo hadi kupga mzigo hayupo teh teh labda lkn ni mazngira m2 aliyokulia ndo problem

    8. Miaka 50

    9. bdo
      #86
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Mushauri yule sister uliyemconect na ndg yako amshawishi wakutane bafuni-hapo lazima kitaeleweka hapo ndio atajua ipo active au chini kwa chini

    10. #87
      aspen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 472
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Hii ni hali ya kawaida tu kwenye maisha

    11. #88
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Abdulhalim
      asilimia 48 ya samesex couples wamejinasibu kutokua na dini..kukataliwa kwene dini na kufuata dini ni vitu viwili tafauti.
      vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini

    12. #89
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kiranga
      Akiwa impotent au gay itakusaidia nini? Au na wewe ni gay unatafuta ma gay wenzako mkutane? Kwangu mimi that's the only justification, unatafuta ma gays kwa sababu na wewe gay unataka ku fraternize nao. Kama mtu mume huna interests na gays kwa nini utake kuwafuatilia kwa sana?
      Yaani uanvyosema "people should be suspicious" utafikiri mtu kaiba kitu au anatuhumiwa utapeli.Kumbe mtu hajaonekana na mwanamke. Akikwambia yeye "Usalama wa Taifa" na ana siri anazochelea kuzitoa kama akiwa na mke au GF? Utamwambiaje?
      Naona umedandia gari kwa mbele braza..
      Haya majibu ungempa mleta thread..mimi na wewe hatumjui huyu mtu..
      Nilichofanya ni ku'connect dots from what would be their worry about their brother..
      Lakini hata kama ndio msimamo wako..lol! kweli maendeleo ni mzigo..better to remain poor with our tradition!
      Kumbuka ndugu zake hawamuulizi maswali kwa nini huoi?..na huenda wakimuuliza atawajibu kama ulivoshauri hapa..
      Ni strategy nzuri pia kwamba they should start ask him questions kwa nini huoi?
      Abdulhalim likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    13. #90
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Kiranga
      Kuhusu kumfuatilia mtu usiyemjua si ndo hapo unaponichosha!
      Kauli yako haina mantiki yoyote, nadhani umejiona kua unachemka..
      Quote By Kiranga
      Huna ujiko wa kunipa homework mie, especially kwa kitu ambacho huja ki prove kuwa kipo hata katika mishale ya kuaminika.
      Of coz nyoka haezi kung'ata mkia wake mwenyewe..nilitegemea jibu kama hili
      Quote By Kiranga
      Kwa kurukia kumlundika mtu ambaye hapendi kujichanganya kama gay unaonyesha your true colors.
      my true colors ni kuita spade a spade, hamna haja ya kupindishapindisha wala kukwepeshakwepesha wakati tunajua majibu.
      SnowBall likes this.
      Moola's the motive

    14. #91
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Blaine
      vigumu kufuata dini inayowalaani na kuwaambia they are worthless/going to hell. ungesoma link ungeona 40% ni wakristo wanaotafuta acceptance. pia experience tofauti za maisha zinachangia, gays waliokuwa accepted na familia wanakuwa more religious compared na waliotimuliwa walipojitangaza na kudharauliwa in the name of dini
      ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
      mjasiria likes this.
      Moola's the motive

    15. #92
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,106
      Rep Power : 6545
      Likes Received
      2662
      Likes Given
      1302

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Prince Hope
      Mwache afanye maamuzi mwenyewe! Ebo, eti unam connectia! Bado umri unaruhusu.
      My worries is about his sexuality...sio kuoa
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    16. #93
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,106
      Rep Power : 6545
      Likes Received
      2662
      Likes Given
      1302

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By themagainst
      kwani kuoa ni amri?,acheni kuwa wavivu kufikiri..kwani ngono chakula? Watu wameacha kuoa saa hz michosho tu.bora kuwa single
      Hakuna anaemlazimisha kuoa bwana, lakini ukiwa kama mzazi au kutokana na mamake hiyo kitu kuwa mtoto wake hajulikani anahisia gani za kiume ndio pasua kichwa maana ni mtu mzima sasa
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    17. #94
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Abdulhalim
      ktk dunia ya leo ambapo almost everyone is mchungaji/mtume/nabii na kusema ana wahyi mpya na kuanzisha kanisa/dini mpya, it hardly makes sense mtu kusema anakataliwa kufuata dini wakati wana uhuru wa kuanzisha 'dini' zao zitakazowafariji perhaps. it doesn't make sense traditonal religions zikubaliane na GLT kwa sababu tu wanataka iwe hivyo wakati wao tayari wana misingi yao...hamna atakayekubali hiyo pollution.
      kuanzisha kanisa/dini sio rahisi kama udhaniavyo and its not the point. most gays were raised religiously b4 coming out, they just want to be acknowledged as members. Nobody wants separate churches/mosques for gays and straights.

      You want a gay man to become a bishop!! umesahau mtafaruku uliotokea 2003 kwenye anglican church..

    18. #95
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3776
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      369

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      My worries is about his sexuality...sio kuoa
      how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?

    19. #96
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,613
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      1389
      Likes Given
      1536

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      hii sredi inareveal MAPUNGA LIVE AISEE
      MadameX likes this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    20. #97
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,106
      Rep Power : 6545
      Likes Received
      2662
      Likes Given
      1302

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Blaine
      how close are you two?? ukiongea naye bila judgement anaweza kukwambia kwa nini haoi. i dont know about his sexuality, jaribu kumuuliza pia. how does he react akiwepo dada/kaka mwenye mvuto karibu, unaona tofauti yoyote kwenye body language yake?
      Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.

      Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.

      Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    21. #98
      Fabolous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Posts : 448
      Rep Power : 528
      Likes Received
      65
      Likes Given
      15

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Dah i wish ningekua kama yeye! Ningekua nimejenga gorofa ninge sevu hela nyingi sana.!
      MadameX likes this.

    22. #99
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,164
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13492
      Likes Given
      17791

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By MadameX
      Wazee walimuingilia na bango la kuoa, yalikuwa maswali lini itafika siku yako, jibu ni kuwa bado, sasa wazee nao wamechoka wamejiachia. Ikabidi sisi madada tumuulize wifi lini utatuonesha jibu ni vile vile nasi tukajiachia kuuliza direct question. Lakini sasa utata ni kuwa hana histori ya kuwa na mwanamke au hata being accompanied a woman except those close to him.

      Yeye hata akiona dada mzuri au wa aina yeyote ni nutral, hakuna reaction, tukasema labda ni gay hata hao wa design hizo hatumwoni nao. Kuwa ni mlokole si wa hivyo kama ni mtu wa kila saa na neno la mungu, nikajaribu kumintroduce kwa huyo dada japokuwa mawasiliano yanaendelea lakini nothing more nothing less mazungumzo ni ya kawaida ya hali ya hewa, chadema na sensa no flirting au yale ya kiujanja janja wa kiume.

      Nimekuja kuona aibu mimi mwenyewe kwa huyu mdada maana mpaka sasa yule kaka hailekei, Ok hana ulazima na huyu mtu wangu lakini atleast tujue yuko category gani maana hizi mbili za kuwa straight or gay hayuko, nikafikiri kuwa kutakuwa na namna ya tatu ambayo siifahamu.
      Mpaka jibu lipo wazi
      ana tatizo la 'uhanithi'
      na uhanithi na mtu kuwa gay ni vitu viwili tofauti..

      gay anaweza ku sex na both wanawake na wanaume..

      h.a.n.i.t.h.i.anaweza kuwa anapenda wanawake lakini ni mlemavu kwenye viungo
      due to pschology au physical injury au kazaliwa hivyo..

      ha.n.i.t.h.i sio gay
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    23. #100
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,106
      Rep Power : 6545
      Likes Received
      2662
      Likes Given
      1302

      Default Re: Huyu kaka anajinsia gani?

      Quote By Fabolous
      Dah i wish ningekua kama yeye! Ningekua nimejenga gorofa ninge sevu hela nyingi sana.!
      Ungekuwa tajiri lakini pia ni hiyo mihela na magorofa yana raha gani kama huna mtu wa kukupima joto. Halafu kwenye master bedroom inaiangalia tu!
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    Page 5 of 12 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...