Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: jamani ushauri wa muhimu!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      victer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default jamani ushauri wa muhimu!

      najitokeza mbele enu wana jf wenzangu!! Nipo kwenye mahusiano na binti mmoja ambae ninatumaini mungu akijali baada ya miaka 3 niwe nae! Nimekua ktk mahusiano kwa miezi 5 kutokana na tabia yake na way anavojiheshimu na anavonipenda ckutaman na wala ctaman kuwa na mu mwingne tofauti na yeye! Lakini kuna kitu kimeanza kujitokeza mbele ya mboni zangu za macho ambacho nahc huenda kikaja kunintenganisha na huyu binti nacho ni utofauti wa dini zetu,yeye ni muislam na mimi ni mkristu! Kitu nacho hc ni kushndwa kwangu kubadil din kumfata uislamun maana alishanambia muda utapofka inbidi nibadili dini ili nifumge nae ndoa ya kiislam! Mi kubadl dn cwez na yeye kubadil din kunifata mimi amesema hawez! Nilijaribu kumwambia kwani ndoa ya kiserikali haiwezekani ili kila mmoja wetu aendelee kuamini ktk dini ake anadai ndoa ya kiserikali haitambuliwi ktk dini ake! Sasa jamani mi nashndwa nifanye nini coz kumwacha ctaman na wala kubadl dini
      haiwezekani...pls jf members help me what to do with tiis?

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,419
      Rep Power : 13319
      Likes Received
      7645
      Likes Given
      6909

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Tafuta uzi wa Mtambuzi unaozungumzia issue kama hiyo yako.
      Mtambuzi likes this.

    4. #3
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2725
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      both of you have to compromise; kama kila mtu aking'ang'ania msimamo wake basi kutakuwa hakuna ndoa pamoja na kuwa mnadai kwamba mnapendana
      Last edited by cartura; 3rd August 2012 at 13:47.

    5. #4
      babue's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 377
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      du pole kama kweli huyo mwanamke anakupenda hawezi kukuambia maneno kam hayo

    6. #5
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,475
      Rep Power : 646
      Likes Received
      621
      Likes Given
      604

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Chagua moja ndugu...Dini au Mke..
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    7. Study Abroad

    8. Kbd
      #6
      Kbd's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2009
      Posts : 942
      Rep Power : 677
      Likes Received
      294
      Likes Given
      135

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Sina takwimu zaku-backup maelezo yangu ni ushauri binafsi tu..........kwa swala linalohusiana na imani...dont compromise....hata kidogo. Unawezakua blinded by love kwa sasa ila huko mbele ya safari na mtakapo pata watoto trust me itakucost sana na unaweza kua na maisha yasiyo na furaha na yaliyojaa majuto.
      Remmy and LD like this.
      Hakika wema na fadhili zitanifuata siku zote za maisha yangu.....Zab 23:6

    9. #7
      KISHOKA_ZUMBU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 124
      Rep Power : 383
      Likes Received
      41
      Likes Given
      14

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Nakushauri uchague moja:-
      -unaweza kupata wa imani yako na ukampenda km ulivyompenda hy.
      -Badiri dini.

      Mapenzi upofu, cku utakayokuja kuona, unaweza kujutia maamuzi yako iwapo utalazimisha ndoa ya serikali.

    10. #8
      Kasimpya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 362
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Tafuta mwanamke wa imani yako ndipo hapo baadaye mtakuwa na maisha ya upendo (angalau kidogo) hata baada ya kuwa pamoja kama mume na mke kwa muda mrefu na kupata watoto. La sivyo penzi lenu na huyo binti ni la muda tu.Usifikirie kuwa mkioana mtapendana kama ilivyo sasa hivi, penzi (upendo) hupungua watu wakiwa mume na mke hasa baada ya kupata watoto.

    11. #9
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Kaka kwani hiyo dini imejitokeza sasa hivi, hukujua kama ni mna tofauti ya kidini. Hapo hakuna cha zaidi chagua mke au dini kama hamuwezi kucompromise, msipotezeane muda.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    12. #10
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 778
      Rep Power : 577
      Likes Received
      248
      Likes Given
      241

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      well said Madamex
      mkuu kuanzia mwanzo ulijua kuwa mna tofauti ya dini, kwa hyo mlitakiwa kukubaliana huko mwanzon kabla hamjaingia kwnye mkataba wenu kuwa uhusiano wenu utachukua mkondo gani
      kama ww na yy wote hakuna mwenye mpango wa kubadili dini, endeleen kupotezeana muda, coz ni waz kuwa hakuna future hapo.....
      Quote By MadameX
      Kaka kwani hiyo dini imejitokeza sasa hivi, hukujua kama ni mna tofauti ya kidini. Hapo hakuna cha zaidi chagua mke au dini kama hamuwezi kucompromise, msipotezeane muda.
      Happiness is not a reward it is a consequence









    13. #11
      Double K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Location : Kinondoni.
      Posts : 256
      Rep Power : 393
      Likes Received
      57
      Likes Given
      51

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Hapo hakuna ndoa, kwasababu kila mtu hataki kufata imani ya mwenzie na hata mkiona labda msizae mkizaa mtagombana wewe utataka watoto wabatizwe na huyu atataka wasilimu, huo upendo na amani unayoiona sasa haitakuwepo na utabaki ukijuta. Achaneni ikiwa bado mapema, range yako ya kuoa ni miaka 3 so utapata.
      What One Man Doesn't Another Man Will.

    14. #12
      s.fm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 660
      Rep Power : 634
      Likes Received
      101
      Likes Given
      31

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      kwa utaratibu huu...ningeweza kukushauri muanze na zile za bomani (serikalini) huku mkiendelea kufikiria na kuangalia mazingira pengine mmoja anaweza kubadili dini hapo baadae. lakini kama huko pia ni issue inaonekana kila mmoja hayuko tayari kwa mwenzie,
      Kama hakuna mapenzi ya kweli its very costful, unaweza badili dini huko mbeleni mkatosana vile vile mzee unabaki mwenyewe hata haueleweki, kurudi mwanzo unaona aibu kuendelea nako ndo ivo tena...! have time for it plz

    15. #13
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24024
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Quote By victer
      najitokeza mbele enu wana jf wenzangu!! Nipo kwenye mahusiano na binti mmoja ambae ninatumaini mungu akijali baada ya miaka 3 niwe nae! Nimekua ktk mahusiano kwa miezi 5 kutokana na tabia yake na way anavojiheshimu na anavonipenda ckutaman na wala ctaman kuwa na mu mwingne tofauti na yeye! Lakini kuna kitu kimeanza kujitokeza mbele ya mboni zangu za macho ambacho nahc huenda kikaja kunintenganisha na huyu binti nacho ni utofauti wa dini zetu,yeye ni muislam na mimi ni mkristu! Kitu nacho hc ni kushndwa kwangu kubadil din kumfata uislamun maana alishanambia muda utapofka inbidi nibadili dini ili nifumge nae ndoa ya kiislam! Mi kubadl dn cwez na yeye kubadil din kunifata mimi amesema hawez! Nilijaribu kumwambia kwani ndoa ya kiserikali haiwezekani ili kila mmoja wetu aendelee kuamini ktk dini ake anadai ndoa ya kiserikali haitambuliwi ktk dini ake! Sasa jamani mi nashndwa nifanye nini coz kumwacha ctaman na wala kubadl dini
      haiwezekani...pls jf members help me what to do with tiis?
      Ukishajifunga hivi inakuwa ngumu kukushauri..
      Unapotafuta ushauri jaribu kuwa flexible..
      Kama alivosema madame Kaunga..tafuta uzi wa Mtambuzi kuhusu hii mada utakusaidia kama kweli uko siriaz!
      Mtambuzi likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    16. #14
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,547
      Rep Power : 5611
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      amua kumfuata mke au Mungu....
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    17. #15
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,107
      Rep Power : 28886
      Likes Received
      11615
      Likes Given
      4783

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      Yaani miezi 5 tu ushaanza ku-doubt kuhusu dini zenu? Na una strategic plan ya 3 years to come?

      Unatumia kinywaji gani?

    18. #16
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default

      Usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke akikuacha badae itakuaje.. Ndoa ya serikali is the only option kama hataki then u need to carefully consider ur position coz itakuletea matatizo baadae... Hata siku moja usijebadilisha dini kwa sababu ya shinikizo la mpenzi wako na hiyo ni on both sides

    19. #17
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,723
      Rep Power : 15100
      Likes Received
      7175
      Likes Given
      6843

      Default Re: jamani ushauri wa muhimu!

      toka nipendane na Prakash....sili chakula bila pilipili....ni mwendo wa kuvaa punjabi na kidoti juu kwenye uso.....ukija kwangu hukosi cheuro.....
      sijui kwa nini vijana wa siku hizi mnacheza na mapenzi....mnajua maana ya kupenda kweli.......?
      fabinyo likes this.

    20. #18
      victer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By King'asti
      Yaani miezi 5 tu ushaanza ku-doubt kuhusu dini zenu? Na una strategic plan ya 3 years to come?

      Unatumia kinywaji gani?
      nilianza kudoubt kuna cku tulikua kwenye mazungumzo ndo nikamuuliza je yuko tayari kubadili dini ili anifate akadai hilo hawez labda mi ndo nimfate,ndo hapo nikaanza kuhc huyu c wangu tena! Coz kwa kawaida najua inapotokea hvo mostly mke ndo humfata mme bt yeye anasema hawez hama uislamun...bt nataka nimweke waz ili tucpotezeane muda nitafute mtu mwngne atakae kuwa wa dini angu! Kuhusu knywaj ctumii kilevi chochote kinywaj changu soda tu!

    21. #19
      victer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By mtotowamjini
      Usibadilishe dini kwa sababu ya mwanamke akikuacha badae itakuaje.. Ndoa ya serikali is the only option kama hataki then u need to carefully consider ur position coz itakuletea matatizo baadae... Hata siku moja usijebadilisha dini kwa sababu ya shinikizo la mpenzi wako na hiyo ni on both sides
      hata mie cwez badil din coz mtaonekana dhaifu sana kwa mwanamke! Na ndugu zangu hawatanielewa kabisa..cwez badili dini ndugu ingawa nilikua nimeridhia kufanya hvo bt kabla nikawa nafikiria ndo nikaamua kuomba ushauri wenu coz najua hamuwezi nitupa!

    22. #20
      victer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By BADILI TABIA
      amua kumfuata mke au Mungu....
      ninachotaka kufanya ni kumweleza ukwel ili tusiendelee kupotezeana muda!!

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...