Re: Hivi ni kweli tunasamehe na kusahau?
Mengi huwa nasamehe na kusahau kabisa ,mengine huwa nasamehe lakini huwa sisahau lakini hata siku moja huwa simkumbushi aliyenitenda na mara chache sana huwa nasamehe nusu na huwa namuambia/namkumbusha aliyenikosea mpaka wakati utakapofika moyo wangu ukubalishe huo msamaha.
tumetofautiana sana moto kuna watu hawajui kusamehe kabisa hata akikuambia tegemea maumivu.
Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
Follow Us Here