Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo mpo mikoa tofauti. na je wavulana (wanaume) mnapenda mtokewe na mwanamke kwa jinsi gani?
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Kwa kujipitisha pitisha ili akuone kila inapowezekana kufanya hivyo na kuwa na uchangamfu wa hali ya juu na tabasamu za kufa mtu mpaka somo lieleweke.
By mymy
Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo mpo mikoa tofauti. na je wavulana (wanaume) mnapenda mtokewe na mwanamke kwa jinsi gani?
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo mpo mikoa tofauti. na je wavulana (wanaume) mnapenda mtokewe na mwanamke kwa jinsi gani?
kama ungekuwa unaishi nae mtaani
ungepika chapati na kumpelekea
mara mbili tatu angepata message lol
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
inategemea kama mko level gani ya kujuana, kama tayari anakufahamu unaweza kumtumia zawadi yoyote ile na ka ujumbe kadogo ka kawaida tu. Kwa mwanaume barubaru {kama yours truly, of coz} atajua tu kuwa kuna 'interest' imekuwa declared hapo.
Da utafikri uko moyoni mwangu.da i love the guy and i do rarely fall.Only that the family are very close and best fiend of my brother,he likes to call me like her sister but hapendi nikimpigia.a ngoja nisubiri miracle
inategemea kama mko level gani ya kujuana, kama tayari anakufahamu unaweza kumtumia zawadi yoyote ile na ka ujumbe kadogo ka kawaida tu. Kwa mwanaume barubaru {kama yours truly, of coz} atajua tu kuwa kuna 'interest' imekuwa declared hapo.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Mi nitakutimua kama ubwa koko,nikikuhurumia sana nitakuambia nimewowa na nina mtoto so siwez mcheat my wife.kamwe cwez ruhusu mwanamke antongoze apo c ataniwowa
Mi nitakutimua kama ubwa koko,nikikuhurumia sana nitakuambia nimewowa na nina mtoto so siwez mcheat my wife.kamwe cwez ruhusu mwanamke antongoze apo c ataniwowa
Kutongoza ni kushawishi wacha hasira wewe kula majan,chora chini wakati huyo anakupa vocal
mi nitakutimua kama ubwa koko,nikikuhurumia sana nitakuambia nimewowa na nina mtoto so siwez mcheat my wife.kamwe cwez ruhusu mwanamke antongoze apo c ataniwowa
Follow Us Here