Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 80
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Yupo huyu mdada kweli anapendeza sanaaaaaa
      Yupo huyu kijana kweli anampenda huyu mdada lol..
      Penzi lao laelekea kuwaka na halina kizima moto lakini,
      Upo mushkeli katika dimbwi la mahaba yao tarajiwa..
      Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Sijui ana deko lipi huyu mdada badala ya kicheko
      Kila amwonapo njemba wake huanza kukuda ndita!
      Jambo aulizwapo huanza kujibu mazogo bila lengo
      Kijana ameghafilika hajui anapendwa au anavumiliwa tu
      Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Swahiba wa mdada wadai naye kashikwa pabaya
      Ila hizo ni hadaa zake aonekane kama hajapenda sana
      Khofu yake akionekana kafa pengine asije kufa kikwelikweli
      Hana imani na kijana kama naye anampenda kiuthabiti
      Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Njemba sasa imetosheka na udhia sasa yawasha mataa
      Mdada kaghafirika hajui la kufanya kwani ndita siyo utu
      Kibuti chanukia nami kuwasuluhisha nimeghairi kabisa
      Waswahili husema wagombanapo ndugu chukua kapu ukavune
      Mdada anapokunjia ndita ampendaye atarajie nini?
      BAK, Steve Dii, Sikonge and 24 others like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,682
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6338
      Likes Given
      2831

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Hapo ujue huko nje kuna anaechekewa na kutabasamiwa hadi jino la 36!
      Wewe ushachokwa au kozoewa, na umekuwa kama mdogo wake wa kiume!...huh!
      Iza, Remmy, WiseLady and 4 others like this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    4. #3
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,247
      Rep Power : 2728
      Likes Received
      1069
      Likes Given
      935

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mwanamke mjinga atavunja ndoa kwa mikono yke yeye mwenyewe.
      ,,,,,,,,Jisachi

    5. #4
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mkimbize kama hasomeki ,badala ya kuonyesha furaha anaweka ndita ili iweje ?

    6. #5
      Freema Agyeman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 1,705
      Rep Power : 4178
      Likes Received
      1074
      Likes Given
      892

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      atarajie kubembeleza/zwa
      "The louder the protester, the more there is in their closet"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2025
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Quote By KakaJambazi
      Mwanamke mjinga atavunja ndoa kwa mikono yke yeye mwenyewe.

      na mwanaume mpumbavu uvunja ndoa yake kwa miguu yake mwenyewe
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    9. #7
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,247
      Rep Power : 2728
      Likes Received
      1069
      Likes Given
      935

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Quote By Rose1980
      na mwanaume mpumbavu uvunja ndoa yake kwa miguu yake mwenyewe
      Baibo haisemi ivo.
      Henge and Lukansola like this.
      ,,,,,,,,Jisachi

    10. #8
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mwanamke mjinga atavunja ndoa kwa mikono yke yeye mwenyewe.
      KakaJambazi huyu ni mjinga au mpumbavu?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    11. #9
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mkimbize kama hasomeki ,badala ya kuonyesha furaha anaweka ndita ili iweje ?
      Mnama ukimkimbiza utakimbiza wangapi? Anachohitaji ni kusomeshwa somo likamwingia barabara kichwani ya kuwa ndita hazina tija
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #10
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mkuu huyu mdada ana kisebusebu na .............!.
      Na bila kujua alishaoza ndiyo maana kaghafirika hajui la kufanya.

      Rutashubanyuma likes this.

    13. #11
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      inamaana haja penda wala hana busara.
      Purple likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    14. #12
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Sasa huyo mdada anakunja ndita wakati gani? na hiyo tabia hiyo huwa anamfanyia mpenzi wake tu? na ameanza lini hiyo tabia au ni kawaida yake?
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    15. #13
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Huyo kalazimishwa tu.

    16. #14
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Quote By PakaJimmy
      Hapo ujue huko nje kuna anaechekewa na kutabasamiwa hadi jino la 36!
      Wewe ushachokwa au kozoewa, na umekuwa kama mdogo wake wa kiume!...huh!
      mambo! Njema huko!
      PakaJimmy likes this.

    17. #15
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Quote By Rutashubanyuma
      Mnama ukimkimbiza utakimbiza wangapi? Anachohitaji ni kusomeshwa somo likamwingia barabara kichwani ya kuwa ndita hazina tija
      Ha haaa mpaka apatikane the right one, we hujajua tu kinachoendelea hapo anamtisha mtu mzima ili awe mdogo kama piriton,sasa mtu mzima ukiona haiwezekani ya nini kubaki.

    18. #16
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,946
      Rep Power : 3697
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      5738

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Lazima kuna sababu tusiangalie upande mmoja
      Huwezi kumkunjia Ndita umpendae..
      Rutashubanyuma and Purple like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    19. #17
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,151
      Rep Power : 46181
      Likes Received
      6457
      Likes Given
      5321

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Rutashubanyuma may be kuna sababu
      hawezi tuu kuanza from nowhere anaanza kukunja ndita bila sababu
      Kuna jambo limemtokea ndo maana usimlaumu tuu
      Rutashubanyuma and Purple like this.
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    20. #18
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3140
      Likes Given
      4053

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Rutashubanyuma umepotea wewe hata salamu hamna?
      bwana wewe mimi haijawahi nitokea nikakunja ndita mini nikimuona wa moypo wangu popote huwa nakufa kicheko na kutabasamu yeye anacheka sana wala sijui kwa nini mfano labda ananisubiri sehemu nikitoa sura tu huwa anacheka mimi pia hoi,saa nyingine huwa anauliza haya leo umefanya nini mbona unacheka ila huwa nafurahi sana mpaka najikuta napitiliza nacheka wee.mimi nimejifunza Mtambuzi kasema kutabasamu ndio uzuri wa mwanamke nimefundwa mie na Mtambuzi hata nikiwa sina raha hujitahidi kutabasamu mie ili nipendeze pole yako wewe unayekunjiwa ndita Rutashubanyuma
      Mtambuzi, Mamndenyi and mdida like this.

    21. #19
      Davie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Posts : 82
      Rep Power : 537
      Likes Received
      16
      Likes Given
      208

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      hafurahii matendo yako..inaonekana nje anafurahishwa sana...
      hivo akija kwako anaona kero tu..
      whatchout..

    22. #20
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,104
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: Mdada anapomkunjia ndita ampendaye atarajie nini?

      Mapenzi kizungumkuti
      Ila kuna aina ya kukunjia ndita, wengine hata huwezi wakunjia aisee
      Mamndenyi likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    23. Study Abroad
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...