Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 45
    1. #1
      mikela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2010
      Posts : 1,847
      Rep Power : 840
      Likes Received
      328
      Likes Given
      80

      Default Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
      Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
      Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
      Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
      Sizinga likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Glavitational maige's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Napita, jaman

    4. #22
      Humphnicky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2010
      Posts : 847
      Rep Power : 601
      Likes Received
      133
      Likes Given
      25

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Shetani yuko bize, kwa nini na nyie watu wa Mungu hamtaki kuwa bize?
      Nyie ni wavivu kusali tena wavivu kusoma biblia, utamshindaje shetani?
      Last edited by Humphnicky; 26th July 2012 at 09:31.

    5. #23
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,742
      Rep Power : 27104
      Likes Received
      10093
      Likes Given
      14017

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By pono
      hiyo avatar nimeifatlia kweli,nikagundua si picha yako kumbe,dah
      kwahiyo wewe ulikuwa interested na avatar yangu? poor boy
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    6. #24
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Wadonoe tu mkuu, utatubu haina mbaya kamanda

    7. #25
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4303
      Likes Given
      1248

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Shindwa

    8. Miaka 50

    9. #26
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,096
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1247
      Likes Given
      1197

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By mikela
      Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
      Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
      Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
      Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
      khaaaaaaa_ya kweli haya,...!

      By the way_ulokole ni kitu/dhehebu gani?
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    10. #27
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 14,976
      Rep Power : 3704
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      5771

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Hayo ni majaribu unalalamika nini na wewe?
      Kwani hukuona Shetani alikuwa anamjaribu yesu
      Au wokovu wako ni wa mashaka????
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..

    11. #28
      ngokowalwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 141
      Rep Power : 424
      Likes Received
      19
      Likes Given
      185

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By afrodenzi
      hahahahahahahahahahah loohh imenibidi nicheke kwa kweli.. Roulette tatizo la watumishi wengi huwa wanadhani wao hawatendi dhambi "watakatifu"
      na hata wakitenda is "someones else fault" na kumbe sote ni binadamu tu dhambi kitu cha kawaida..
      Hapo kwenye RED nimekupata vizuri afrodenzi

    12. #29
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,342
      Rep Power : 950
      Likes Received
      516
      Likes Given
      333

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By mikela
      Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
      Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
      Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
      Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
      Yale yale ya Adam kudai amekula tunda kwa sababu ya mwanamke (Hawa) wakati naye alilitamani baada ya kuletewa.

    13. #30
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By gfsonwin
      kwahiyo wewe ulikuwa interested na avatar yangu? poor boy
      U sound like rwandese....wanapenda sana kutumia hilo neno
      gfsonwin likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    14. #31
      s.fm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 661
      Rep Power : 635
      Likes Received
      101
      Likes Given
      31

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Samson na Delila...! would u go against nature?

    15. #32
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,742
      Rep Power : 27104
      Likes Received
      10093
      Likes Given
      14017

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By Sizinga
      U sound like rwandese....wanapenda sana kutumia hilo neno
      basi kazi ipo dunian hapa............!
      Sizinga likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    16. #33
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By gfsonwin
      basi kazi ipo dunian hapa............!
      Umeona eeh....kuna mdada mmoko frm rwanda siku iyo hakuwa na hela...basi akanipigia simu akaniambia "babeee today Im poor gel, I dont have even single coin"...nilicheka sana!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    17. #34
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,742
      Rep Power : 27104
      Likes Received
      10093
      Likes Given
      14017

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By Sizinga
      Umeona eeh....kuna mdada mmoko frm rwanda siku iyo hakuwa na hela...basi akanipigia simu akaniambia "babeee today Im poor gel, I dont have even single coin"...nilicheka sana!!
      sasa ulimpa ama?? manake hukawii kuwa uiona anakuchuna manake ndo wanaume wa bongo mlivyo
      Sizinga likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    18. #35
      unknown animal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Location : iringa
      Posts : 317
      Rep Power : 408
      Likes Received
      46
      Likes Given
      137

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      kama usumbufu unazidi liunganishe kwenye mahubiri cku ya j2 na kuwataja majina

    19. #36
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,946
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      1511
      Likes Given
      1619

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By gfsonwin
      sasa ulimpa ama?? manake hukawii kuwa uiona anakuchuna manake ndo wanaume wa bongo mlivyo
      Sikumbuki kama nilimpa...coz alikuwa anataka nauli aje kuniona!! na after few days alikuja!!
      gfsonwin likes this.
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    20. #37
      Avaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 32
      Rep Power : 363
      Likes Received
      3
      Likes Given
      10

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Watumishi kwani hawaruhusiwi kupendwa ili kuepuka hilo waoe

    21. #38
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Roulette
      Kujitongosesha??? Mtumishi wa Mungu akitongoza hawezi kusema katongoza, anasema alitongozeshwa, is it? kama kondoo linajileta kwa mchungaji ni ruhusa tosha kwa mchungaji kuila na baadae kujitetea kwamba kondoo ilimshawishi?
      Wanawake bana,kwanini msizungumzie alichozungumza mtoa mada?Mnaleta excuse!!Kazi sana!
      Reply With Quote

    22. #39
      Nsiande's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2009
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,518
      Rep Power : 807
      Likes Received
      727
      Likes Given
      67

      Default

      Quote By Eiyer
      Wanawake bana,kwanini msizungumzie alichozungumza mtoa mada?Mnaleta excuse!!Kazi sana!
      Samahani naomba muingie katika link hii kisha tuambizane zaidi http://t.co/rl14m8ej

    23. #40
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?

      Quote By mikela
      Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
      Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
      Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
      Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
      Aiseeeee........mimi nina experience tofauti kidogo mikela, kwanza pole na hayo majaribu unayokutana nayo nina imani unaweza kuepukana nayo ukitaka. Ila binafsi kuna tabia inanikera sana kuhusu wachungaji/mitume/manabii kama wanavyojiita. Inasikitisha sana wachungaji kutongoza waumini inasikitisha sanaaaa. Mtu anaenda kwenye maombi halafu mchungaji anakwambia baada ya maombi unione bwana amaenionyesha jambo, unasubiri kusikia hilo jambo anaanza kukupa storiiiii zisio na kichwa wala miguu halafu mwisho anakwambia mpange siku mkapate chai pamoja mara sijui uende nyumbani kwake atatayarisha chakula cha jioni mara sijui kila baada ya maombi watu wakiondoka wewe inabidi ubaki kwa maombi maalumu jamaniiiiiiii tutafika kweli huko mbeleni???!!!!!tabia chafu sanaaaa.

      Wachungaji badilikeni kama mnapitia humu ndani........mjiheshimu na kazi zenu. Waumini wanavyokuja kwenye maombi hawaji kutafuta mapenzi kwa wachungaji.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...