Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By mikela
Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
khaaaaaaa_ya kweli haya,...!
By the way_ulokole ni kitu/dhehebu gani?
"We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By afrodenzi
hahahahahahahahahahah loohh imenibidi nicheke kwa kweli.. Roulette tatizo la watumishi wengi huwa wanadhani wao hawatendi dhambi "watakatifu"
na hata wakitenda is "someones else fault" na kumbe sote ni binadamu tu dhambi kitu cha kawaida..
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By mikela
Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
Yale yale ya Adam kudai amekula tunda kwa sababu ya mwanamke (Hawa) wakati naye alilitamani baada ya kuletewa.
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By gfsonwin
basi kazi ipo dunian hapa............!
Umeona eeh....kuna mdada mmoko frm rwanda siku iyo hakuwa na hela...basi akanipigia simu akaniambia "babeee today Im poor gel, I dont have even single coin"...nilicheka sana!!
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By Sizinga
Umeona eeh....kuna mdada mmoko frm rwanda siku iyo hakuwa na hela...basi akanipigia simu akaniambia "babeee today Im poor gel, I dont have even single coin"...nilicheka sana!!
sasa ulimpa ama?? manake hukawii kuwa uiona anakuchuna manake ndo wanaume wa bongo mlivyo
Kujitongosesha??? Mtumishi wa Mungu akitongoza hawezi kusema katongoza, anasema alitongozeshwa, is it? kama kondoo linajileta kwa mchungaji ni ruhusa tosha kwa mchungaji kuila na baadae kujitetea kwamba kondoo ilimshawishi?
Re: Hivi kwa nini wanawake wanajitongozesha kwa Watumishi wa Mungu?
By mikela
Utakuta mtu anafahamu fika kuwa wewe umeokoka, tena ni kiongozi wa kanisa, lakini cha ajabu wanawake haohao wanaokujua vyema, na ambao ni walokole wenzako ndio wanakuwa vimbelembele wa kutaka ufanye nao ngono, na ukiwakemea wanakuambia baada ya dhambi hiyo mtatubu.
Wengine wanaenda mbali zaidi, ukiwakataa wanaanza kukusingizia maneno ya uwongo kuwa unawataka.
Ndugu zanguni, kazi ya Mungu ni ngumu sana na shetani anajiinua sana.
Tuwaombee sana watumishi wa Mungu, wanapita mapito magumu sana kiimani
Aiseeeee........mimi nina experience tofauti kidogo mikela, kwanza pole na hayo majaribu unayokutana nayo nina imani unaweza kuepukana nayo ukitaka. Ila binafsi kuna tabia inanikera sana kuhusu wachungaji/mitume/manabii kama wanavyojiita. Inasikitisha sana wachungaji kutongoza waumini inasikitisha sanaaaa. Mtu anaenda kwenye maombi halafu mchungaji anakwambia baada ya maombi unione bwana amaenionyesha jambo, unasubiri kusikia hilo jambo anaanza kukupa storiiiii zisio na kichwa wala miguu halafu mwisho anakwambia mpange siku mkapate chai pamoja mara sijui uende nyumbani kwake atatayarisha chakula cha jioni mara sijui kila baada ya maombi watu wakiondoka wewe inabidi ubaki kwa maombi maalumu jamaniiiiiiii tutafika kweli huko mbeleni???!!!!!tabia chafu sanaaaa.
Wachungaji badilikeni kama mnapitia humu ndani........mjiheshimu na kazi zenu. Waumini wanavyokuja kwenye maombi hawaji kutafuta mapenzi kwa wachungaji.
God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.
Follow Us Here