Kiukwel napenda sana kampan ya wanawake wenye wapenzi. Sipend singles wala wake za watu, bali wenye maboyfriend! Tena napenda zaidi wanawake ambao ni nyumba ndogo za wanaume wengine! I mean nawapenda kufanya mpnz. Hadi najishangaa.
Kiukwel napenda sana kampan ya wanawake wenye wapenzi. Sipend singles wala wake za watu, bali wenye maboyfriend! Tena napenda zaidi wanawake ambao ni nyumba ndogo za wanaume wengine! I mean nawapenda kufanya mpnz. Hadi najishangaa.
Pepo hilo!
Hujiamini, unajaribu kuprove uanamume wako kwa kujiaminisha wanakuprefer wewe kuliko wapenzi wao.
Unahitaji maombi!
Una umri gani?
We must either find a way or make one. - Hannibal
Hiyo ndiyo hali halisi, huwezi kumpata mpenzi asiye na mpenzi mwingine. Labda utafute vitoto darasa la 3.
Wewe unakwepa majukumu. Unataka kuning'inia tu kifuani halafu halafu bili zote ashughulikie mpenzi wake.
dogo una akili sana, mbunye za namna hiyo tamu saaana
KIKUPACHO UTAMU.... NA UCHUNGU KITAKUPA!!
mhhhh........
Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!
Mmmmh kazi ipo angalia iko siku utajuta
WHETHER YOU THINK YOU CAN, OR THINK YOU CANT YOU ARE RIGHT
Kuna ukimwi dnugu yangu ondokana na msururu usioujua.
angalia upo mbioni kuliwa wewe??
Tuko hebu funguka mkuu, why hasa nyumba ndogo? hadi hapa nakuona wa ajabu nashindwa kukuelewa..
"The past and the future are Irrelevant... When the moment is everything"
....nawewe ukipata mkeo atakuja kuliwa kama unavowala wake za wanzio. mtenda nae hutendwa, badilika.
suicide attempts hizo kijana, utakufa siku si zako
Yaani anapenda nyumba ndogo za wengine.......LAKINI nyumba kubwa za wengine anaziogopa
"Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"
Hapana.. ndio mana nimeshindwa kumuelewa. Ukitembea na mke wa mtu hakuna commitment. Mara nyingi nyumba ndogo wana tabia mbaya sana. Hili kundi ni ovyo na ni nadra sana ukakuta kuwa ni mtulivu na akatulia kama vile wife anavotulia.
Anaweza akawa ni nyumba ndogo wa jamaa watatu, wote wanalipa kodi, wote wanamlea na wote wamekuwa wakichangia kufanya jambo. Kama hio nyumba ndogo ina lets say gari, basi tambua hilo gari wanaweza wakawa wamenunua jamaa watatu na kila jamaa akaambiwa nomba niongeze mil 2/3 ninunue gari. kumbe hapo ni mchango unachangishwa...
Ndio mana nimeshindwa kumuelewa WHY nyumba ndogo? vigezo gani katumia? Kwa hio mkuu sema lingine hapa bado sijaelewa...
"The past and the future are Irrelevant... When the moment is everything"
Follow Us Here