Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Leo ndoa ya Dk. Slaa

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 73
    1. #1
      Kageuka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 227
      Rep Power : 326
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Wanabodi, nadhani wengi mtakumbuka kuwa taarifa za vyombo vya habari hasa magazeti zilitueleza kuwa ndoa ya Slaa na mchumba wake (Josephine) imepangwa kufanyika Julai 21, 2012 yaani leo hii Jumamosi huko Karatu. Lakini kulikuwa na uingiliaji wa Mhe. Rose Kamili (mke na mzazi mwenzake Dk. Slaa) ambaye alikwenda mahakamani. Lakini licha ya kwenda mahakamani kulikuwa na maelezo ndoa hiyo ni lazima ifanyike. Mwenye updates plse tuleteeni kuhusu kiongozi huyu ambaye tuliona watoto wake na Mhe. Rose wakitambulishwa bungeni wakati bajeti ya wizara ya kilimo ilipokuwa ikisomwa. Tupeni taarifa kuhusu Slaa.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2878

      Default

      Quote By OSOKONI
      umenena vyema kabisa hadi kifo chako huwezi kujicompare na mimi! you are empty headed, myopic and silly fellow!
      Mi iko penda hii..utaumiza kichwa sana, mimi ni wa sayari nyingine! chezea rejao wewe!
      mkomatembo likes this.

    4. #42
      Rejao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 25651
      Likes Received
      3344
      Likes Given
      2878

      Default

      Quote By Maundumula
      Slaa anaoa? Haya Hongera mzee lakini kuwa mvumilivu maana maisha ya ndoa yana mikiki mingi sana. Ukishindwana na Josephine watasema umezoea una hila. Ndoa ndoana huwezi kuchomoka ukishaingia especially with your reputation na position kwenye society madame anakuwa na nguvu sana hata akifanya nini inabidi uvumilie tu kwa sababu za kisiasa.
      Nasaha nzuri sana hizi. But zimeelekezwa kwa wrong persons. Hawa siyo wanandoa wapya. Kila mtu tayari ana experience ya kutosha kwenye maisha ya ndoa.
      Maundumula likes this.

    5. #43
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1353
      Likes Given
      5709

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Rejao
      Nasaha nzuri sana hizi. But zimeelekezwa kwa wrong persons. Hawa siyo wanandoa wapya. Kila mtu tayari ana experience ya kutosha kwenye maisha ya ndoa.
      Rejao,

      Binadamu ameumbwa na kusahau. Unajua unaweza ukawa unaishi na mwanamke miaka 5 hamjafunga ndoa mkaishi kwa raha sana. Mnakuja kufunga ndoa tu mnakaa mwaka mmoja au miezi 6 tu mnaachana. Pamoja na experience yake lakini Mzee Slaa anatakiwa akumbuke sana swala hili kwamba suddenly mambo yatabadilika ndani ya nyumba. Kama Josephine alikuwa ana supply software kwa Chadema sasa hivi atataka awe anatoa na huduma za catering, magari anunue yeye nk

    6. #44
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,915
      Rep Power : 954
      Likes Received
      569
      Likes Given
      632

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Ndallo
      Aisee wamekuachia lini tena? Kwakua tulisikia na wewe ulitekwa nyara!
      Mkuu jana kulikuwa na uzi unazungumzia matatizo ya posho kwenye kikosi cha propaganda nafikiri ni mmoja wa waathirika!
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    7. #45
      The Eagle2012's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 383
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By OSOKONI
      hakuna mtu anatarajia la maana toka kwako, JF nafikiri wanajuta sana kukupa nafasi hii, you are a disappointment to jamii forums!!


      Mkuu,as a matter of fact he is just not a disappointment to Jf but more so he is a DISGRACE!!
      OSOKONI likes this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Kageuka
      Wanabodi, nadhani wengi mtakumbuka kuwa taarifa za vyombo vya habari hasa magazeti zilitueleza kuwa ndoa ya Slaa na mchumba wake (Josephine) imepangwa kufanyika Julai 21, 2012 yaani leo hii Jumamosi huko Karatu. Lakini kulikuwa na uingiliaji wa Mhe. Rose Kamili (mke na mzazi mwenzake Dk. Slaa) ambaye alikwenda mahakamani. Lakini licha ya kwenda mahakamani kulikuwa na maelezo ndoa hiyo ni lazima ifanyike. Mwenye updates plse tuleteeni kuhusu kiongozi huyu ambaye tuliona watoto wake na Mhe. Rose wakitambulishwa bungeni wakati bajeti ya wizara ya kilimo ilipokuwa ikisomwa. Tupeni taarifa kuhusu Slaa.
      Taarifa ni kwamba nataka kuku oa wewe!

    10. #47
      Hebron Caleb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 171
      Rep Power : 384
      Likes Received
      43
      Likes Given
      3

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Ndoa walishafunga kwani naamini kuwa wanaishi pamoja kwa hiyo kisheria ndoa ipo na hakuna wa kupinga. Kinachofuata au kufanyika leo ni kuibariki ndoa na kuwatangaza mbele za watu, pia leo ndio harusi yaani sherehe au shamrashamra.

    11. #48
      Polisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 1,533
      Rep Power : 737
      Likes Received
      359
      Likes Given
      234

      Default

      Quote By palalisote
      Hiyo siyo ndoa (WEDDING) kama ambavyo wengi wanaita , lugha fasaha ya tukio la leo la Dr. Slaa na Josephine linaitwa kwa lugha ya wenzetu "THE SACRAMENTS OF HOLY MATRIMONY".
      Au kiswahili chepesi tunaita 'kupasha kiporo'
      palalisote likes this.

    12. #49
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5842
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Maundumula
      Rejao,

      Binadamu ameumbwa na kusahau. Unajua unaweza ukawa unaishi na mwanamke miaka 5 hamjafunga ndoa mkaishi kwa raha sana. Mnakuja kufunga ndoa tu mnakaa mwaka mmoja au miezi 6 tu mnaachana. Pamoja na experience yake lakini Mzee Slaa anatakiwa akumbuke sana swala hili kwamba suddenly mambo yatabadilika ndani ya nyumba. Kama Josephine alikuwa ana supply software kwa Chadema sasa hivi atataka awe anatoa na huduma za catering, magari anunue yeye nk
      Mkuu wangu umeongea maneno mazito sana ni ushauri mzuri wa ujenzi ni pigo kwa kambi ya kina TUNTEMEKE kama tunavyojua sterling ni mama mwenyewe kila kitu.

    13. #50
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 493
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      harusi sio siasa, hapa ni jukwaa la siasa tu! huu uzi huufai hapa

    14. #51
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Ritz
      "Sisi binadamu tumepewa vichwa kwa ajili ya kufikiri na sio kufugia nywele" AG Werema.
      Na videvu kwaajili ya kufuga midevu kama beberu au UAMSHO

    15. #52
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Precise pangolin
      Attachment 59407

      Karibu Mkuu kwenye hili pilau lakini zipo soda badala ya juice zenu za miwa
      kumbe hii kitu itakuwepo Ndio maana nimemuona mkomatembo Ritz na Rejao wakiwa wananunua Ndizi kwaajili ya kutafunia

    16. #53
      Collins's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 145
      Rep Power : 374
      Likes Received
      45
      Likes Given
      37

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Maundumula
      Slaa anaoa? Haya Hongera mzee lakini kuwa mvumilivu maana maisha ya ndoa yana mikiki mingi sana. Ukishindwana na Josephine watasema umezoea una hila. Ndoa ndoana huwezi kuchomoka ukishaingia especially with your reputation na position kwenye society madame anakuwa na nguvu sana hata akifanya nini inabidi uvumilie tu kwa sababu za kisiasa.
      stupid advice....akili ya makamasi
      Maundumula likes this.
      I'm sorry for you son!

    17. #54
      YEYE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 439
      Rep Power : 467
      Likes Received
      67
      Likes Given
      12

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Mliokuwepo hk, Junior alikuwepo kwenye arusi ya babu yake?

    18. #55
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,190
      Rep Power : 1954
      Likes Received
      2997
      Likes Given
      13635

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Tume ya Katiba
      wadau nina swali, je inaruhusiwa katika waroma kukaa na mwanamke kama kimada hadi mkazaa kisha kuoana? Je hiyo inaitwa ndoa kisheria?
      mkuu hivi urojo kwa kipindi hichi umefikia bei gani??
      nahitaji urojo sadoloni tatu.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    19. #56
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Rejao
      Siwezi kumkimbia mtu humu ndani, huwa natingwa tu na majukumu
      Bora ya wewe unamajukumu mengine zaidi ya kuipigia debe Mabwepande, mwenzio Ritz hushinda akimwaga utitili humu kutetea sinema ya Kova!

    20. #57
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16492
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Wakuu msitetee na kuingiza mambo ya udini,mnaofanya hivyo mko desperate kulinda maslahi tu,lakini hamtafanikiwa.Kama unaikashifu dini ama imani ya member mwenzako kwa kutumia issue za kuifanya imani yako ndo ionekane bora kuliko za wenzako ndo mwanzo wa kudiscuss issue ambazo hazina msaada kwa taifa.

      Wenye imani moja kuwaita wenzao wazinifu si sahihi kwasababu imani za watu ni tofauti,mtu ni mzinifu kwa kutumia vigezo vya dini yako.Hata hivyo mwingine anaweza kutumia vigezo vya dini yake kukuita na wewe "mzinifu"

      Kwamfano mtu kama haamini uislam,basi anaweza kuchukulia mke zaidi ya mmoja kuwa uzinifu etc.Nashangazwa sana na watu ambao pia wanaingilia imani binafsi za watu na kwajudge against them.Kama tunategemea kupata viongozi wa Tanzania,udini unahusika vipi?ama falsafa ya serikali haina dini ni danganya toto
      Nina imani kabisa kuwa wenye kuingiza dini kwenye mijadala ndo mafisadi,hilo naliamini toka kitambo na imani yangu haitayumba.
      Ringo Edmund likes this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    21. #58
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,237
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      728
      Likes Given
      971

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Rejao
      Fahamu kuwa ndio zimeingia TZ hivyo, na hii ndio tumeanza kuishuhudia. Josephine anajiatach kwa Slaa kutokana na political na economical reasons. Sidhani hapo kama kuna marriage inayotokana love!
      wewe ni mtabiri?
      NO SECOND CHANCE TO MAKE THE FIRST IMPRESSION

    22. #59
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5842
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Gwalihenzi
      Bora ya wewe unamajukumu mengine zaidi ya kuipigia debe Mabwepande, mwenzio Ritz hushinda akimwaga utitili humu kutetea sinema ya Kova!
      Na wewe hushinda JF kumtetea Slaa au Mbowe!

    23. #60
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Leo ndoa ya Dk. Slaa

      Quote By Rejao
      Josephine ni mtoto wa mjini, hashindwi kitu. Kibabu lazima kiingie mkenge!
      Hivi Rejao lile jimama ulilolipata pale Sinza Bar umekwisha funga nalo ndoa?
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...