maana mwana mke akiwa na umbo namba nane watu husifu sana. pia kilichonisukuma zaidi niiulize jamiiforums nilipanga tarehe 16 mwezi 8 nimvishe pete mchuba marafiki zangu wakasema sio siku nzuri na badala yake wakapendekeza iwe 18-8 na wakadai ni siku yenye bahati jamani nikweli hiiii?????????

Reply With Quote

A successful man is one who makes more money than his wife can spend.


Follow Us Here