Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,379
      Rep Power : 676
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Hivi ni kwa nini siku hizi watu wengi hasa vijana wa kike na kiume wamekuwa na mazoea ya kuishi kama mke na mume ilhali hawajaoana? Mara nyingi kisingizio ni 'mpenzi' wangu. Utasikia kijana anajitapa, huyu ni mpenzi wangu nimezaa naye watoto wawili. Ninachofamu mimi wanaozaa watoto ni wanandoa baada ya kufanya tendo la ndoa. Zamani tendo la ngono lilikuwa linapatikana kwa shida sana baada ya kusaga kiatu sana ndio maana watu walikuwa wanaona ni heri aoe mke lakini siku hizi ni bwerere hata vijana hawaoni haja ya kuoa oh! samahani! siku hizi ni kuoana gender balance.
      Hivi taratibu za kidini hasa taratibu za kilokole zinakubaliana na wapenzi wa namna hii?
      Nawasilisha.
      Last edited by Nzowa Godat; 21st July 2012 at 05:59.
      manshiroo likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      mkuu naomba nijaribu tu kujibu hakun dini yeyote ama mila na desturi za kitamaduni zinazokubali watu kufanya ngono pasi kuwa wameoana. sikuhizi vijana na mambo ya wana saoikolojia ambao wamewalisha imani potofu kwamba mwili unapotikia vichocheo huwez kuudhibiti zaid ya kuufanyisha ngono ndio mana imekua ni kawaida.

      kwa wakatoliki hii huitwa uchumba sugu ingawa sasa uchumba huu sugu uko kama watakuwa ni wazazi na wanaish pamoja. naweza sema pia aina na taratibu za kufunga ndoa kwa hapa kwetu pia zinachangia sana kwenye hili, kiasi kwamba kijana /vijana wanaona tabu kuzifuata taratibu hizi hadi kufikia mwisho wakafunga ndoa.

      pia serikali kwa namna moja ama nyingine imechangia sana ama kwa kujua ama kwa kuto kujua. Anything in excess is harmful. Niko tayari kukosolewa lakin overspeaking of HIV AIDS imechangia sana. look at this yalitolewa majarida ambayo yakikuwa yanalenga kufundisha ila hawakuipa nafasi ya pili implication yake kwa wasomaji matokeo yake ni kuwasha tamaa za ngono wa vijana hasa waliopo mashuleni na vyuoni kiasi kwamba wasiweze kujizuia tena. Ukimwi uliongelewa kwa namna ambayo ili pelekea kila aliyeskia kupenda ama kutaka kujaribu filamu zake ote zilireveal kitu hicho hicho. mnake mwanzoni ilionekamna kama anaye act ana pata raha na vijana wanawehuka inapokuja ukimwi uko mwishoni ndio inakuwa mbaya.

      nihitimishe kwa kusema kwamba jamii kwa ujumla wake tumechangia sana katika hili hasa serikali na wazazi. siku hizi hata kipengele cha wt kuwa mabikra hakiangaliwi tena.

    4. #3
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3775
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      369

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By manshiroo
      mkuu naomba nijaribu tu kujibu hakun dini yeyote ama mila na desturi za kitamaduni zinazokubali watu kufanya ngono pasi kuwa wameoana. sikuhizi vijana na mambo ya wana saoikolojia ambao wamewalisha imani potofu kwamba mwili unapotikia vichocheo huwez kuudhibiti zaid ya kuufanyisha ngono ndio mana imekua ni kawaida.

      kwa wakatoliki hii huitwa uchumba sugu ingawa sasa uchumba huu sugu uko kama watakuwa ni wazazi na wanaish pamoja. naweza sema pia aina na taratibu za kufunga ndoa kwa hapa kwetu pia zinachangia sana kwenye hili, kiasi kwamba kijana /vijana wanaona tabu kuzifuata taratibu hizi hadi kufikia mwisho wakafunga ndoa.


      pia serikali kwa namna moja ama nyingine imechangia sana ama kwa kujua ama kwa kuto kujua. Anything in excess is harmful. Niko tayari kukosolewa lakin overspeaking of HIV AIDS imechangia sana. look at this yalitolewa majarida ambayo yakikuwa yanalenga kufundisha ila hawakuipa nafasi ya pili implication yake kwa wasomaji matokeo yake ni kuwasha tamaa za ngono wa vijana hasa waliopo mashuleni na vyuoni kiasi kwamba wasiweze kujizuia tena. Ukimwi uliongelewa kwa namna ambayo ili pelekea kila aliyeskia kupenda ama kutaka kujaribu filamu zake ote zilireveal kitu hicho hicho. mnake mwanzoni ilionekamna kama anaye act ana pata raha na vijana wanawehuka inapokuja ukimwi uko mwishoni ndio inakuwa mbaya.

      nihitimishe kwa kusema kwamba jamii kwa ujumla wake tumechangia sana katika hili hasa serikali na wazazi. siku hizi hata kipengele cha wt kuwa mabikra hakiangaliwi tena.
      principle yao heri kuanza mdogo mdogo kuliko kujidai mgumu halafu uwe fataki au mpenda wanawake wakati unafamilia. watu wanaamini kuna stage ambazo ukiziruka zitakuja kukuadhiri baadae

      watu hawaamini kuwa watadumu milele na gharana za harusi ni juu

      napinga!! elimu dhidi ya HIV/AIDS ni lazima na ukweli ni kwamba abstinence is not working!! wewe unaweza kubstain kutokana na imani or w/e lakini wengi wetu hawawezi, kutofundisha safe s.e.x kutawaumiza wengi, ideally kila mtu angeabstain na AIDS ingeisha baada ya miezi kadhaa lakini this is not the case in real life.

      jamii ikitaka mabikra iwahamasishe wavulana kujitunza sio kukazania wasichana tuu. kuna stereotype kwamba mwanaume ukitembea na wanawake wengi ndio unaitwa kidume na unapewsa sifa lol. wavulana hatuambiwi kabisa kujitunza na ukifika mf. F6 bila demu wengine wanaanza kukuzushia habari mbofu mbofu. unategemea hao mabikra wapatikane wapi!!
      manshiroo likes this.
      on jf hiatus

    5. #4
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,379
      Rep Power : 676
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Shukrani kwa michango yenu wakuu.

    6. #5
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By blaine n kurt
      principle yao heri kuanza mdogo mdogo kuliko kujidai mgumu halafu uwe fataki au mpenda wanawake wakati unafamilia. watu wanaamini kuna stage ambazo ukiziruka zitakuja kukuadhiri baadae

      watu hawaamini kuwa watadumu milele na gharana za harusi ni juu

      napinga!! elimu dhidi ya HIV/AIDS ni lazima na ukweli ni kwamba abstinence is not working!! wewe unaweza kubstain kutokana na imani or w/e lakini wengi wetu hawawezi, kutofundisha safe s.e.x kutawaumiza wengi, ideally kila mtu angeabstain na AIDS ingeisha baada ya miezi kadhaa lakini this is not the case in real life.

      jamii ikitaka mabikra iwahamasishe wavulana kujitunza sio kukazania wasichana tuu. kuna stereotype kwamba mwanaume ukitembea na wanawake wengi ndio unaitwa kidume na unapewsa sifa lol. wavulana hatuambiwi kabisa kujitunza na ukifika mf. F6 bila demu wengine wanaanza kukuzushia habari mbofu mbofu. unategemea hao mabikra wapatikane wapi!!
      blaine n kurt kwenye black hivi wafikir kwamba mtu ukianza mapema ndio sababisho la kutulia? nafikiri kutuia kuko moyoni mwa mtu binafsi na uaminifu wake juu ya moyo wake.

      kwenye red binafsi sifagilii gharama kubwa za harusi na ukweli ni kwamba ndoa zilzizofungwa kwa sherehe kubwa za kukata na shuka ndizo zinzongoza kwa kuvunjika. to me kila mtu na mpez wanaweza kupanga aina ya ndoa wanayoitaka bila shida yeyote ile tena ika meet costs zao.

      kwenye green sipingi elimu ya ukimwi la hasha ila napinga curriculum liyotumika kufundishia ndio mbaya. manake ilipaswa iangalie outcomes kwanza lakn wao waliangalia inputs tu

    7. Study Abroad

    8. #6
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,435
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14532
      Likes Given
      22033

      Default

      Quote By manshiroo
      blaine n kurt kwenye black hivi wafikir kwamba mtu ukianza mapema ndio sababisho la kutulia? nafikiri kutuia kuko moyoni mwa mtu binafsi na uaminifu wake juu ya moyo wake.

      kwenye red binafsi sifagilii gharama kubwa za harusi na ukweli ni kwamba ndoa zilzizofungwa kwa sherehe kubwa za kukata na shuka ndizo zinzongoza kwa kuvunjika. to me kila mtu na mpez wanaweza kupanga aina ya ndoa wanayoitaka bila shida yeyote ile tena ika meet costs zao.

      kwenye green sipingi elimu ya ukimwi la hasha ila napinga curriculum liyotumika kufundishia ndio mbaya. manake ilipaswa iangalie outcomes kwanza lakn wao waliangalia inputs tu
      manshiroo we ni mwalimu?
      gfsonwin and manshiroo like this.

    9. #7
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13931

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By Asprin
      manshiroo we ni mwalimu?
      naomba nikuulize hivi Asprin wewe ni mwl? mbona umemuuliza mwenzio swali hili ama lilikuwa maalum kwa waalim tu?
      Asprin and manshiroo like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    10. #8
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By Asprin
      manshiroo we ni mwalimu?
      hapana mimi siyo mwalimu, fani yangu ni environment toxicologist nimekosea kujibu?
      Asprin likes this.

    11. #9
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3775
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      369

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By manshiroo
      blaine n kurt kwenye black hivi wafikir kwamba mtu ukianza mapema ndio sababisho la kutulia? nafikiri kutuia kuko moyoni mwa mtu binafsi na uaminifu wake juu ya moyo wake.

      kwenye red binafsi sifagilii gharama kubwa za harusi na ukweli ni kwamba ndoa zilzizofungwa kwa sherehe kubwa za kukata na shuka ndizo zinzongoza kwa kuvunjika. to me kila mtu na mpez wanaweza kupanga aina ya ndoa wanayoitaka bila shida yeyote ile tena ika meet costs zao.

      kwenye green sipingi elimu ya ukimwi la hasha ila napinga curriculum liyotumika kufundishia ndio mbaya. manake ilipaswa iangalie outcomes kwanza lakn wao waliangalia inputs tu
      that is debatable but I won't go into it for now.
      wazazi wangapi watakubali ndoa bila harusi ya kukata kwa shoka, wengi wanataka kuonesha mwanao kaoa/olewa na ndio chanzo cha harusi za fahari.
      outcome ni kupunguza maambukizi na since se.x ndio #1 cause ya maambukizi kufundisha safe se.x ni uamuzi uliosensible. kama unataka curriclum nyingine basi wahakikishie wadau kuwa italeta mafanikio kama au zaidi ya hii iliyopo sasa
      manshiroo likes this.
      on jf hiatus

    12. #10
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6536
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Hata wazee wakitaka harusi ya shoka na wewe hutaki, kutokana na uwezo au sababu nyengine kitu hicho hakiwezekani kufanyika bwana. Hakuna laana inayoshika ikiwa utakataa harusi ya sherehe.

      Maadili ya ndoa yamepotea hasa wanawake wenyewe kujiweka rahisi, wewe unaishi na mtu kwa miaka mnazalishana, sasa akuoe ili iweje maana ndoa haitasababisha kupata zaidi na unachompa sasa. Ndio maana ndoa wanaiona ni burden.

      Nyingine wazee wanachangia pia, eti mtoto kabeba mimba au kabebesha mtoto wa watu mimba mnaona kitu cha kawaida. Mimi ninavyojua kuwa wazee wazamani kitu hiki kikitokea wanasusia mahusiano hayo hakuna mzazi atakayekanyaga nyumba hio maana hawatambui uhalali wa mahusiano yao.
      nyumba kubwa likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    13. #11
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By blaine n kurt
      that is debatable but I won't go into it for now.
      wazazi wangapi watakubali ndoa bila harusi ya kukata kwa shoka, wengi wanataka kuonesha mwanao kaoa/olewa na ndio chanzo cha harusi za fahari.
      outcome ni kupunguza maambukizi na since se.x ndio #1 cause ya maambukizi kufundisha safe se.x ni uamuzi uliosensible. kama unataka curriclum nyingine basi wahakikishie wadau kuwa italeta mafanikio kama au zaidi ya hii iliyopo sasa
      labda nikutajie mapungufu ya existed curriculum.........ilikuwepo ili konyesha kwamba sex ni kitu cha lazima ka kijana jambo ambalo si kweli kabisa. siyo kitu cha lazima manake si chakula wala maji.
      ...........ili kuwepo kuonyesha kwamba mihemko ni irresistable kitu ambacho si kweli
      ...........ili kwuwepo kuchochea mihemko zaid kuliko kupunguza na ndio maana wanafunzi weng sana alikuwa wanapractice sex tena unsafe mfano mzuri ni idadi ya wanafunzi waliokuwa wanapata ujauzito
      .............ili kuwepo ili kuadress causes and effect an solution bila kungalia impact ya solution naa haikuwa na ToR zienye mashiko na ndio maana pia ilifeli hasa maeneo ya iringa huko ilula.
      Asprin likes this.

    14. #12
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2305
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3969

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      MadameX ulichoongea ni point tupu. Yani mimi katika makuzi yangu nilikuwa najua hakuna aibu ambayo itakuwa kubwa kwa familia kama binti kuzaa bila ndoa...siku hizi wazazi hwana muda wa kuwafundisha watoto wao maadili.

      Those days hata mabinti ninaowafahamu waliojikuta wanazaa mtoto wa ujanani cha moto walikuwa wanakiona including hata kutimuliwa na wazazi ili wadogo zake wasione kuwa ni poa tu.

      Anyway lets wait and see..Labda hii fashion ni nzuri zaidi...time will tell

      Quote By MadameX
      Hata wazee wakitaka harusi ya shoka na wewe hutaki, kutokana na uwezo au sababu nyengine kitu hicho hakiwezekani kufanyika bwana. Hakuna laana inayoshika ikiwa utakataa harusi ya sherehe.

      Maadili ya ndoa yamepotea hasa wanawake wenyewe kujiweka rahisi, wewe unaishi na mtu kwa miaka mnazalishana, sasa akuoe ili iweje maana ndoa haitasababisha kupata zaidi na unachompa sasa. Ndio maana ndoa wanaiona ni burden.

      Nyingine wazee wanachangia pia, eti mtoto kabeba mimba au kabebesha mtoto wa watu mimba mnaona kitu cha kawaida. Mimi ninavyojua kuwa wazee wazamani kitu hiki kikitokea wanasusia mahusiano hayo hakuna mzazi atakayekanyaga nyumba hio maana hawatambui uhalali wa mahusiano yao.

    15. #13
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By manshiroo
      mkuu naomba nijaribu tu kujibu hakun dini yeyote ama mila na desturi za kitamaduni zinazokubali watu kufanya ngono pasi kuwa wameoana. sikuhizi vijana na mambo ya wana saoikolojia ambao wamewalisha imani potofu kwamba mwili unapotikia vichocheo huwez kuudhibiti zaid ya kuufanyisha ngono ndio mana imekua ni kawaida.

      kwa wakatoliki hii huitwa uchumba sugu ingawa sasa uchumba huu sugu uko kama watakuwa ni wazazi na wanaish pamoja. naweza sema pia aina na taratibu za kufunga ndoa kwa hapa kwetu pia zinachangia sana kwenye hili, kiasi kwamba kijana /vijana wanaona tabu kuzifuata taratibu hizi hadi kufikia mwisho wakafunga ndoa.

      pia serikali kwa namna moja ama nyingine imechangia sana ama kwa kujua ama kwa kuto kujua. Anything in excess is harmful. Niko tayari kukosolewa lakin overspeaking of HIV AIDS imechangia sana. look at this yalitolewa majarida ambayo yakikuwa yanalenga kufundisha ila hawakuipa nafasi ya pili implication yake kwa wasomaji matokeo yake ni kuwasha tamaa za ngono wa vijana hasa waliopo mashuleni na vyuoni kiasi kwamba wasiweze kujizuia tena. Ukimwi uliongelewa kwa namna ambayo ili pelekea kila aliyeskia kupenda ama kutaka kujaribu filamu zake ote zilireveal kitu hicho hicho. mnake mwanzoni ilionekamna kama anaye act ana pata raha na vijana wanawehuka inapokuja ukimwi uko mwishoni ndio inakuwa mbaya.

      nihitimishe kwa kusema kwamba jamii kwa ujumla wake tumechangia sana katika hili hasa serikali na wazazi. siku hizi hata kipengele cha wt kuwa mabikra hakiangaliwi tena.
      Hayo ni maendeleo mzee mwenzangu. Hivi sasa hizi bidhaa unazosema (mwanamke na mwanamme) zimejaa kiasi ambacho watu hawataki kujitia katika masharti. Vijana sasa ni kujitembeza na kila mmoja anajuwa kuwa bidhaa zipo za kutosha hivyo haihitaji mkataba utakaomfunga asitafute bidhaa nyengine akiona ile imechujuka.
      Wazee nasi soko limetushinda kutokana na kuwa na bidhaa nyingi hivyo aidha tunawaachia vijana wetu watafute wanunuzi na pia hatuko tayari kuwaingilia vijana wetu katika harakati zao.Mwanao akitupa watoto nje ni shauri yake au akileta watoto nyumbani ni shauri yake mradi tu aweze kuwahudumia mwenyewe.
      manshiroo likes this.

    16. #14
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : on hiatus
      Posts : 1,482
      Rep Power : 3775
      Likes Received
      1037
      Likes Given
      369

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By manshiroo
      labda nikutajie mapungufu ya existed curriculum.........ilikuwepo ili konyesha kwamba sex ni kitu cha lazima ka kijana jambo ambalo si kweli kabisa. siyo kitu cha lazima manake si chakula wala maji.
      ...........ili kuwepo kuonyesha kwamba mihemko ni irresistable kitu ambacho si kweli
      ...........ili kwuwepo kuchochea mihemko zaid kuliko kupunguza na ndio maana wanafunzi weng sana alikuwa wanapractice sex tena unsafe mfano mzuri ni idadi ya wanafunzi waliokuwa wanapata ujauzito
      .............ili kuwepo ili kuadress causes and effect an solution bila kungalia impact ya solution naa haikuwa na ToR zienye mashiko na ndio maana pia ilifeli hasa maeneo ya iringa huko ilula.
      watoto wanapobalehe wanapata hisia za ngo.no, hiki huwezi kuzuia. pia baadhi ya wazazi hawapendi kuongea na wanao kuhusu se.x hivyo watoto wanajifunza from peers, serikali imeona hii ndio maana imeleta se'x education.
      sijakupata hapo iringa, kulitokea nini?
      manshiroo likes this.
      on jf hiatus

    17. #15
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By blaine n kurt
      watoto wanapobalehe wanapata hisia za ngo.no, hiki huwezi kuzuia. pia baadhi ya wazazi hawapendi kuongea na wanao kuhusu se.x hivyo watoto wanajifunza from peers, serikali imeona hii ndio maana imeleta se'x education.
      sijakupata hapo iringa, kulitokea nini?
      sasa iko hivi despite elimu yote watu waliyokuwa wanapewa juu ya ngono ama elimu rika bado eneo la ilula iringa lilionoza wa kuwa na maambukizi mapya cha ajabu kabsa hadi gest kuliekwa kanda za kuonyesha madhara ya ngono but watu walizitumia kama mikanda ya sex ya kujifunzia stail za kungonoka so to me elimu hii haikuratibiwa ipasavyo tulikurupuka sana hatukuangalia maendeleo ya nchi yetu kijamii na kifedha na hata kiuchumi na kielimu.

    18. #16
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,435
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14532
      Likes Given
      22033

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      Quote By manshiroo
      labda nikutajie mapungufu ya existed curriculum.........ilikuwepo ili konyesha kwamba sex ni kitu cha lazima ka kijana jambo ambalo si kweli kabisa. siyo kitu cha lazima manake si chakula wala maji.
      ...........ili kuwepo kuonyesha kwamba mihemko ni irresistable kitu ambacho si kweli
      ...........ili kwuwepo kuchochea mihemko zaid kuliko kupunguza na ndio maana wanafunzi weng sana alikuwa wanapractice sex tena unsafe mfano mzuri ni idadi ya wanafunzi waliokuwa wanapata ujauzito
      .............ili kuwepo ili kuadress causes and effect an solution bila kungalia impact ya solution naa haikuwa na ToR zienye mashiko na ndio maana pia ilifeli hasa maeneo ya iringa huko ilula.
      Concluded: manshiroo ni mwalimu.
      manshiroo likes this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    19. #17
      peri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 651
      Likes Received
      372
      Likes Given
      40

      Default Re: Nini tofauti kati ya MPENZI na MKE?

      tatizo UINIFU umezidi sana ck hizi, watu wanahamasishana na kusifiana kumkosea MWENYEZI MUNGU.
      Tunakoelekea kama taifa ni kubaya, maadili yamekwisha.

    20. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...