blaine n kurt kwenye black hivi wafikir kwamba mtu ukianza mapema ndio sababisho la kutulia? nafikiri kutuia kuko moyoni mwa mtu binafsi na uaminifu wake juu ya moyo wake.
kwenye red binafsi sifagilii gharama kubwa za harusi na ukweli ni kwamba ndoa zilzizofungwa kwa sherehe kubwa za kukata na shuka ndizo zinzongoza kwa kuvunjika. to me kila mtu na mpez wanaweza kupanga aina ya ndoa wanayoitaka bila shida yeyote ile tena ika meet costs zao.
kwenye green sipingi elimu ya ukimwi la hasha ila napinga curriculum liyotumika kufundishia ndio mbaya. manake ilipaswa iangalie outcomes kwanza lakn wao waliangalia inputs tu
Follow Us Here