Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hapa kuna future kweli?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Hapa kuna future kweli?

      Habari zenu wana MMU?
      Mimi ni dada ambaye nimepata mpenzi kama miezi mitatu hivi imepita. Kitu kinachonifanya niombe ushauri wenu ni kwamba, huyu kaka kwanza mawasiliano yake sio mazuri ni mpaka nimuanze na hata nikimtext anachukua kama masaa mawili ndio anajibu meseji.. Anajitetea kwamba yuko bize sana. Anapafahamu ninapoishi na huwa anakuja kunitembelea lakini ninapomwambia anipeleke kwake anasema atanipeleka kwa sasa ni mapema mno kufanya hivyo.

      Kitu kingine nilipomueleza kwamba mimi niko serious na huu uhusiano, akaniambia kwa nini tusichukulie kama tuu tunastareheshana isitoshe tuna muda mfupi tangu tumeanza hivyo tusiji commit mapema! Na akanieleza nisipende sana mambo ya kuolewa kama vipi tuzae tu.

      Napata wasiwasi na huyu kaka kama kweli ana mpango na mimi. Naombeni ushauri wenu maana nimeshaanza kukata tamaa..

    2. Study Abroad

    3. #21
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By salito
      dada yangu kwan kwake anaishi na wazazi wake kiasi akikupeleka atakuwa amekupeleka kwa wazazi?kama ndio hata akuonyeshe basi kwa mbali upaone angalau..mhh huyu ameshakwambia uchukulie km mnastareheshana sasa unasubiri nini kwake km unataka ndoa??kuwa serious na maisha yako..mtafute mtu sahihi kwa mtazamo wangu huyu hakuna kitu...
      Haishi na wazazi wake. Amenielekeza tuu kwamba ukitaka kufika kwangu unashukia kituo flani ukiuliza tu madreva taxi au boda boda watakufikisha. Ila mi naona si ustaarabu kum surprise mtu napenda anipeleke yeye akiwa willing sitaki kumlazimisha.

    4. #22
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13475
      Likes Given
      17780

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By amazon
      Haishi na wazazi wake. Amenielekeza tuu kwamba ukitaka kufika kwangu unashukia kituo flani ukiuliza tu madreva taxi au boda boda watakufikisha. Ila mi naona si ustaarabu kum surprise mtu napenda anipeleke yeye akiwa willing sitaki kumlazimisha.
      nenda tena usiku
      jifanye una dharura
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    5. #23
      Nehondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Location : dar slam
      Posts : 308
      Rep Power : 454
      Likes Received
      76
      Likes Given
      28

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Just enjoy while it last

    6. #24
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By Preta
      na pia hujaelewa jibu....suluhisho hapa sio mimi kutoa au kutokutoa uroda.....ni hivi.... amazon dia....kuna wanaume wanyenyekevu sana kabla hajakumega.....hiyo kupima sio ishu.....shida yake akishakupata ndo ntolee......stuka....
      Nimestuka my dear. ndio maana nikaona niombe ushauri kwa ninyi rafiki zangu wa JF. Nashukuru sana kwa somo

    7. #25
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      nenda tena usiku
      jifanye una dharura
      Naogopa nisije nikakuta bibie katinga akanipa kichapo bure akaniharibu Reception.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13475
      Likes Given
      17780

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By amazon
      Naogopa nisije nikakuta bibie katinga akanipa kichapo bure akaniharibu Reception.
      ukweli unaona kumbe?
      unaogopa kuu face sio?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    10. #27
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      ukweli unaona kumbe?
      unaogopa kuu face sio?
      Kutokana na ushauri nilioupata humu nimeanza kufunguka hivyo nahisi inawezekana akawa na mwanamke labda anaishi nae ingawa yeye anakataa na anasisitiza niwe na subra atanipeleka tuu kwake muda si mrefu from now.
      The Boss likes this.

    11. #28
      nduu/mamaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Location : AROUND THE WORLD
      Posts : 2,223
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      546
      Likes Given
      174

      Default

      Quote By The Boss
      BUT still miezi mitatu ni mapema mno kumlazimisha mtu alete posa au a behave like husband to be..
      mwache akusome kwanza
      au tafuta mwenye 'deperation ya ndoa' kama wewe

      mpe mtihani mmoja tu
      no sex untill ujue anaishi wapi
      hapo utapata jibu
      yaani hapo ahakikishe no sex no romance..
      amazon likes this.

    12. #29
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      kwani kinahusika na commitment?
      we wote ukliowahi kuwagaia illikuwa ni commitment?
      hujawahi kugawa for pleasure?
      Hakika you made my day The Boss
      The Boss likes this.

    13. #30
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By amazon
      Habari zenu wana MMU?
      Mimi ni dada ambaye nimepata mpenzi kama miezi mitatu hivi imepita. Kitu kinachonifanya niombe ushauri wenu ni kwamba, huyu kaka kwanza mawasiliano yake sio mazuri ni mpaka nimuanze na hata nikimtext anachukua kama masaa mawili ndio anajibu meseji.. Anajitetea kwamba yuko bize sana. Anapafahamu ninapoishi na huwa anakuja kunitembelea lakini ninapomwambia anipeleke kwake anasema atanipeleka kwa sasa ni mapema mno kufanya hivyo.

      Kitu kingine nilipomueleza kwamba mimi niko serious na huu uhusiano, akaniambia kwa nini tusichukulie kama tuu tunastareheshana isitoshe tuna muda mfupi tangu tumeanza hivyo tusiji commit mapema! Na akanieleza nisipende sana mambo ya kuolewa kama vipi tuzae tu.

      Napata wasiwasi na huyu kaka kama kweli ana mpango na mimi. Naombeni ushauri wenu maana nimeshaanza kukata tamaa..
      Miezi mitatu ni michache mno! Kwani unakimbilia wapi?
      Sangarara and amazon like this.

    14. #31
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,479
      Rep Power : 646
      Likes Received
      624
      Likes Given
      605

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Dada acha kujipa presha na kufanya conclusion amabazo hazina tija. Huyo kaka inawezekana kweli akawa anakupenda sema ndio vile hajazoea mambo ya msg za kila dakika na isitoshe hujui ni yepi yaliyomkuta huko nyuma. Inawezekana kweli anakusoma ili aone kama kweli unamfaa. Tatizo la sisi wadada ukishapelekwa kwa mwanaume utataka uhamie huko kabla ya ndoa. Unaanza kuhamisha mara khanga, mara gagulo, mara ...! Mpe muda kama miezi miwili zaidi halafu urudi hapa hapa utupe majibu. I hope mambo yatakuwa poa. Mapenzi ni uvumilivu dada.
      amazon likes this.
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    15. #32
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 563
      Rep Power : 599
      Likes Received
      137
      Likes Given
      120

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      nina wasiwasi kama kweli ana mapenzi ya dhati kwako kwasababu kila siku wewe ndo unaanzisha mawasiliano!
      pengine ni kweli amewahi kutendwa ndo maana mwanzoni anakuwa mwangalifu lakini pia siamini kama ni sababu hii hasa.
      amazon likes this.

    16. #33
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By webondo
      Miezi mitatu ni michache mno! Kwani unakimbilia wapi?
      Nimepitia mengi hivyo naogopa isije kuwa napoteza muda wangu maana naona kama hasomeki vizuri. Sasa miezi mingapi ndio inafaa kwa yeye kunipeleka kwake? Nahitaji assurance mapema.

    17. #34
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 953
      Rep Power : 889
      Likes Received
      339
      Likes Given
      324

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      aisee kumbe kupima afya siku hizi dili sana?
      nitaanza na mimi hii style lol
      teh teh teh teh!!!! kamwambie wifi mkapime aongeze upendo!!
      The Boss likes this.

    18. #35
      princess enny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 953
      Rep Power : 889
      Likes Received
      339
      Likes Given
      324

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      jamani amazon nshakuona umepoteza imani juu ya hubby wako! ucfanye hvyo kheri uwe half half ili upate muda wa kumchunguza vizuri coz naamini unampenda sana!! kwel kwa mtazamo wa juujuu anaonekana hafai hata robo but on other side kila mtu ana hulka yake!! vitu ambavyo wewe unaviona ni vkubwa sembuse kwake yeye anaviona vdogo kama nukta!! cha muhim mwambie malego yako yote pia mwambie yapi anayoyafanya we huyapendi tuone atajibuje! pia usimuoneshe kama umekufa umeoza juu yake!! ana majibu machafu mbele ya mtu anaemuheshm na kumpenda kwa dhat! cjui kwa nini anajiamini hvyoo! anapoteza uaminifu kwa kwel na kwa sababu hyo usikubali auchezee mwili wako!! kama alivyoona ni mapema kukupeleka kwake bas mjulishe kwamba nimapema sana kufanya anayoyataka!!
      Neema and amazon like this.

    19. #36
      amazon's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 362
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By princess enny
      jamani amazon nshakuona umepoteza imani juu ya hubby wako! ucfanye hvyo kheri uwe half half ili upate muda wa kumchunguza vizuri coz naamini unampenda sana!! kwel kwa mtazamo wa juujuu anaonekana hafai hata robo but on other side kila mtu ana hulka yake!! vitu ambavyo wewe unaviona ni vkubwa sembuse kwake yeye anaviona vdogo kama nukta!! cha muhim mwambie malego yako yote pia mwambie yapi anayoyafanya we huyapendi tuone atajibuje! pia usimuoneshe kama umekufa umeoza juu yake!! ana majibu machafu mbele ya mtu anaemuheshm na kumpenda kwa dhat! cjui kwa nini anajiamini hvyoo! anapoteza uaminifu kwa kwel na kwa sababu hyo usikubali auchezee mwili wako!! kama alivyoona ni mapema kukupeleka kwake bas mjulishe kwamba nimapema sana kufanya anayoyataka!!
      Asante mpendwa kwa ushauri wako..
      princess enny likes this.

    20. #37
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By amazon
      Nimepitia mengi hivyo naogopa isije kuwa napoteza muda wangu maana naona kama hasomeki vizuri. Sasa miezi mingapi ndio inafaa kwa yeye kunipeleka kwake? Nahitaji assurance mapema.
      Kupitia kwako mengi... then you should not push harder, hakuna time limit ya mahusiano kutaka kuingia ktk ndoa. Watu wanaweza kukutana within a week na kukubaliana kuingia katika ndoa kwa muda huo wa wiki, ninachosema isionekane wewe ndiye unatoa msukumo kutaka kuingia katika ndoa, kuoana it's between you two, sio nguvu za upande mmoja. Kama umepitia mengi hayo yalikuwa mambo yako...
      amazon likes this.

    21. #38
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      kwani kinahusika na commitment?
      we wote ukliowahi kuwagaia illikuwa ni commitment?
      hujawahi kugawa for pleasure?
      hivi kumbe kipapa kigawiwa pasi focus siku hii eeh!
      to me nirahs kumjua kama man is with you or not manake ukimpa akakuanzia pozi waweza kugundua kuwa hakupata alichotarajia kutoka kwako.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    22. #39
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13475
      Likes Given
      17780

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By gfsonwin
      hivi kumbe kipapa kigawiwa pasi focus siku hii eeh!
      to me nirahs kumjua kama man is with you or not manake ukimpa akakuanzia pozi waweza kugundua kuwa hakupata alichotarajia kutoka kwako.
      wewe hujawahi kugawa huku ukijua
      hakuna future?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    23. #40
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,672
      Rep Power : 21309
      Likes Received
      10028
      Likes Given
      13931

      Default Re: Hapa kuna future kweli?

      Quote By The Boss
      wewe hujawahi kugawa huku ukijua
      hakuna future?
      boss kweli wewe kiboko. haya maswali yako ya leo siyaelewi kabisa ila ushauri wangu kwako ulikolala jana ukaamkia leo usilale tena.
      The Boss likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    24. Miaka 50
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...