Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 48 of 48
    1. #1
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 444
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Post Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Simba Mkali
      siyo system, TIMING = failure
      agree timing without realising who you are dealing with = failure. ungemlia timing rita usingeshindwa kujua rita ni mswahili. ulikurupuka ukaweka mayai kwenye kisalfeti na kubeba kichwa ukipeleka sokoni, lazima uloe gundigundi za majogoo kichwa

      uzaifu ni kitu kibaya sana..... unaweka ndoto za mchana kuhusu future na rita wakati hata kumjua humjui vizuri

      ushauri tu kwa wanangu: siku hizi wanawake ni wajanja kuliko wanaume, ya rita ni part gazeti tu
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    4. #42
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 444
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By TIMING
      agree timing without realising who you are dealing with = failure. ungemlia timing rita usingeshindwa kujua rita ni mswahili. ulikurupuka ukaweka mayai kwenye kisalfeti na kubeba kichwa ukipeleka sokoni, lazima uloe gundigundi za majogoo kichwa

      uzaifu ni kitu kibaya sana..... unaweka ndoto za mchana kuhusu future na rita wakati hata kumjua humjui vizuri

      ushauri tu kwa wanangu: siku hizi wanawake ni wajanja kuliko wanaume, ya rita ni part gazeti tu
      Dah naona ishakuwa mipasho, sasa sitachangia chochote katika hii post. ngoja ninyamaze niwaache wanaojua ukweli.
      Last edited by Simba Mkali; 21st July 2012 at 15:26. Reason: to make sentence clear

    5. #43
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Mambo ya kawaida mapenzi yamekuwa gazeti unasoma leo kesho zamu ya mwenzako

    6. #44
      Sikonge City's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 354
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      unafuga kware mjiniunategemea nini? Pua yenye maringo kiboko chake mafua,
      TIMING and Simba Mkali like this.

    7. #45
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 7,258
      Rep Power : 26194
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      3797

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By chilisosi
      Pumba...
      Bora pumba watakula hata kuku...
      Hili ni vumbi kabisa lisilofaa hata kwa nguruwe!
      Money only impress lazy girls.
      When a woman works hard, a man with money is just a bonus.


    8. Miaka 50

    9. #46
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,724
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1456
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Simba Mkali
      Kama siyo Rita ni huyo rafiki ambaye kwanza miye nilimuona ni mshamba kwa kulalamikia demu wakati angetakiwa kuachana naye tu.
      kwani ulidhani Rita ni mwingereza,?

    10. #47
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,083
      Rep Power : 683
      Likes Received
      306
      Likes Given
      12

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Huna mpya? Sioni chaajabu hapo mie....
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    11. #48
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Kipipi
      Bora pumba watakula hata kuku...
      Hili ni vumbi kabisa lisilofaa hata kwa nguruwe!
      hahahahahaaaaaaaaaaaaaa, kipipi ni noma

      mamake walahi
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...