DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
agree timing without realising who you are dealing with = failure. ungemlia timing rita usingeshindwa kujua rita ni mswahili. ulikurupuka ukaweka mayai kwenye kisalfeti na kubeba kichwa ukipeleka sokoni, lazima uloe gundigundi za majogoo kichwa
uzaifu ni kitu kibaya sana..... unaweka ndoto za mchana kuhusu future na rita wakati hata kumjua humjui vizuri
ushauri tu kwa wanangu: siku hizi wanawake ni wajanja kuliko wanaume, ya rita ni part gazeti tu
agree timing without realising who you are dealing with = failure. ungemlia timing rita usingeshindwa kujua rita ni mswahili. ulikurupuka ukaweka mayai kwenye kisalfeti na kubeba kichwa ukipeleka sokoni, lazima uloe gundigundi za majogoo kichwa
uzaifu ni kitu kibaya sana..... unaweka ndoto za mchana kuhusu future na rita wakati hata kumjua humjui vizuri
ushauri tu kwa wanangu: siku hizi wanawake ni wajanja kuliko wanaume, ya rita ni part gazeti tu
Dah naona ishakuwa mipasho, sasa sitachangia chochote katika hii post. ngoja ninyamaze niwaache wanaojua ukweli.
Last edited by Simba Mkali; 21st July 2012 at 15:26.
Reason: to make sentence clear
Follow Us Here