Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Post Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?


    2. #21
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,679
      Rep Power : 2180
      Likes Received
      1927
      Likes Given
      748

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Simba Mkali View Post
      Ukiona inauma ujue ujumbe umefika.
      ****!!!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    3. #22
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,568
      Rep Power : 5178
      Likes Received
      2873
      Likes Given
      237

      Default

      Quote By Simba Mkali View Post
      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
      ............................., ,,,,,,,,,.................siju i nikwambieje maana sijaelewa kitu hapo...

    4. #23
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,679
      Rep Power : 2180
      Likes Received
      1927
      Likes Given
      748

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By ndetichia View Post
      ............................., ,,,,,,,,,.................siju i nikwambieje maana sijaelewa kitu hapo...
      Hapo JF ndiyo inapopoteza maana,mtu anakurupuka anaandika chochote anachotaka,mkuu hapa hata ukikesha uwezi kuelewa kitu!!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    5. #24
      DR. RICHARD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 127
      Rep Power : 377
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      kama ni wewe si useme tu upatiwe ushauri!

    6. #25
      Risa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 403
      Likes Received
      28
      Likes Given
      92

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Simba Mkali View Post
      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
      Sasa nyie wakaka si mnasema eti msipowadanganya wadada kuwa mnakula tu na kuondoka hawakubali mle tundi? na wadada ndo wameshawajulia hivyo hakuna kukwambia kwamba wewe unaonja tu wenye hatimiliki yupo, mpaka wapate kile kitu wanakuwa wanahitaji kwenu. Na kikishapatikana wanasepa au wewe unasemaje? Pole lakini hilo ni fundisho next time utakuwa makini zaidi.


    7. #26
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,156
      Rep Power : 25447
      Likes Received
      14873
      Likes Given
      15811

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Heh, unashangaa nini?
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    8. #27
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,808
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      498

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Pumba...
      Kipipi likes this.

    9. #28
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,203
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6062
      Likes Given
      6927

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Simba Mkali View Post
      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
      simba mkali = system failure
      ....Time is the wisest counselor !!!

    10. #29
      Roxea's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 376
      Likes Received
      16
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Simba Mkali View Post
      DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.

      Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
      And thats da gold digger thing,she gains at your loss. Am afraid if you were da victim

    11. #30
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,132
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Muwe mnaulizaga kwanza, sio mnaingia kichwa kichwa tu. Siyo kila kizuri ni lulu

    12. #31
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,823
      Rep Power : 19139
      Likes Received
      1536
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By Simba Mkali View Post
      Ukiona inauma ujue ujumbe umefika.
      kwani yeye ni RITA

    13. #32
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Hapo JF ndiyo inapopoteza maana,mtu anakurupuka anaandika chochote anachotaka,mkuu hapa hata ukikesha uwezi kuelewa kitu!!
      #*****!

    14. #33
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By The secretary View Post
      kwani yeye ni RITA
      Kama siyo Rita ni huyo rafiki ambaye kwanza miye nilimuona ni mshamba kwa kulalamikia demu wakati angetakiwa kuachana naye tu.

    15. #34
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By chilisosi View Post
      Pumba...
      Mchele

    16. #35
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By TIMING View Post
      simba mkali = system failure
      siyo system, TIMING = failure
      TIMING likes this.

    17. #36
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      [QUOTE=Roxea;4281962]And thats da gold digger thing,she gains at your loss. Am afraid if you were da victim[/QUOTE Sikia mkuu kama miye kwanini nisiseme, nimeandika mangapi ya wazi ambayo mengine yananihusu humu JF kwanza nisingelalamika, nimeshapigwa kibuti mara ngapi, nijifiche JF ananijua nani?

    18. #37
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By DR. RICHARD View Post
      kama ni wewe si useme tu upatiwe ushauri!
      siogopi ushauri mkuu

    19. #38
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,679
      Rep Power : 2180
      Likes Received
      1927
      Likes Given
      748

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By Simba Mkali View Post
      #*****!
      Moderator unaninyima haki yangu ya msingi ya kuona andishi la tusi nililotukanwa na watu waliovamia JF kwa nia ya kuvunja heshima kubwa JF iliyojijengea kwa muda mrefu!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    20. #39
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Moderator unaninyima haki yangu ya msingi ya kuona andishi la tusi nililotukanwa na watu waliovamia JF kwa nia ya kuvunja heshima kubwa JF iliyojijengea kwa muda mrefu!
      Kwa nini unapenda kuhukumu watu, nani kakutukana? nani mvamizi?

    21. #40
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 448
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Re: Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Shame upon you!JF siyo jukwakaa la majungu!
      Hapo kwenye nyekundu

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...