Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 87 of 87
    1. #1
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,098
      Rep Power : 27015
      Likes Received
      8241
      Likes Given
      17377

      Default Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?



      Ingekuwa zamani labda watu humu wangesema hiyo haiwezekani, lakini kukua kwa utandawazi na muingiliano wa tamaduni, siku hizi jambo hili limeonekana kuwepo katika jamii yetu.

      Siku hizi ni jambo la kawaida kukuta mwanamke anaye rafiki wa kiume ambaye si mpenzi wake. Urafiki wenu huo ni wa kupeana ushauri kuhusu maisha au kuhusu mahusiano na mmekuwa mkitembeleana majumbani mwenu na wakati mwingine mmekuwa mkitoka out pamoja. Inaweza ikawa lunch, dinner au hata kwenye klabu.

      Kwa mfano inatokea baada ya kudumu katika urafiki wenu kwa miaka labda tuseme miwili inatokea mwanaume huyu anataka kwenda mbali zaidi, anataka mshiriki tendo, tena anaonesha msisitizo kiasi kwamba anatishia kuvunja urafiki wenu iwapo utakataa. Anaweza kuingia na gia ya kukuoa lakini anataka mshiriki kwanza tendo ili mpate kufahamiana zaidi.

      Ni mtu unayempenda kama rafiki, na hukutarajia kama kuna siku atakueleza kuhusu jambo hilo. Je ungefanyaje kukabiliana na mtego huo.......... Ukizingatia kwamba mmekuwa marafiki kwa muda mrefu na usingependa urafiki wenu uvunjike....................

    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      St. Paka Mweusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Location : Ukune,
      Posts : 5,329
      Rep Power : 1700
      Likes Received
      1586
      Likes Given
      3338

      Default Re: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

      Quote By Preta
      huu unaitwa urafiki wa paka na samaki jamani... Mtambuzi mbona huelewii.....?



      Umesema kweli Preta mimi sijui nina ugonjwa gani yaani nikishaona msichana yuko karibu yangu basi hujikuta tu nimeshamtongoza halafu hata nakuwa sijui nilianzaanzaje,sasa haya ya mtu kuwa na rafiki wa kike eti miaka miwili duh,unasubiri nini kumtongoza yaishe..??
      Mtambuzi, Preta and nyumba kubwa like this.
      UKICHOKA KUFANYA SIRI,FUMANIWA TU YAISHE . By Simon Kitururu.

    4. #82
      jeneneke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 714
      Rep Power : 489
      Likes Received
      297
      Likes Given
      269

      Default Re: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

      sina sababu ya kulala na mwanamme rafiki kwa sababu kwanza mkishalalana hata yale mliyokuwa mnaaambiana na kushauriana hayatakuwepo,rafiki wa kiume unaweza kumueleza lolote ,kama ana busara, hata ya wanaume wanaokutongoza na akakushauri uzur tu i.sa mkishalala?what next

    5. #83
      Nasema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 521
      Rep Power : 539
      Likes Received
      277
      Likes Given
      143

      Default Re: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

      Kinachoharibu hapo ni hizo hadithi za sijui ana uhusiano lakini unayumba sijui, ina maana ana mahusiano mengine. vinginevyo, kama mimi niko free na yeye hana mtu sioni ni kwa nini nimnyime, after all na mimi nitaenjoy pia!
      Mtambuzi and The Boss like this.
      Everyone is gifted - but some people never open their package.

    6. #84
      jupeka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 347
      Likes Received
      1
      Likes Given
      15

      Default Re: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

      Quote By felinda
      kwan urafiki ki2 gan unakufa 2....,kua na urafiki na mimi kisiwe ndo kigezo cha mie kumkubali'.
      Bora uvunje urafiki utunze heshima yako, labda km ulimdondokeeee mwanawanee!

    7. FP
      #85
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,266
      Rep Power : 46353
      Likes Received
      6983
      Likes Given
      6882

      Default

      Quote By MtotoSix
      hakuna urafiki wa mvulana na msichana......never.......
      MtotoSix, wewe ni teenager? Kua uyaone. Asilimia 80 ya rafiki zangu ni wakaka. Tunatoka lunch, diner, disco, bar......
      Ni kweli huwa inatokea sometimes watakuomba, lakini mdada ukiwa strong na kuongea nao kuwakumbusha uhusiano wenu huwa wanaelewa. Ushauri tu kwa wadada, kama tunapenda kudumisha urafiki wa kawaida na rafiki zetu wakaka tunahitaji kujitahidi kutowatega kwa namna yoyote ile, kwani nimegundua hawa wenzetu ni "DHAIFU" kwenye mahusiano, tuwasaidie.


      Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
      Mtambuzi likes this.

    8. Miaka 50

    9. #86
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,098
      Rep Power : 27015
      Likes Received
      8241
      Likes Given
      17377

      Default Re: Mwanamke: utafanyaje utakapokabiliwa na mtego huu.........?

      Quote By Fixed Point
      MtotoSix, wewe ni teenager? Kua uyaone. Asilimia 80 ya rafiki zangu ni wakaka. Tunatoka lunch, diner, disco, bar......
      Ni kweli huwa inatokea sometimes watakuomba, lakini mdada ukiwa strong na kuongea nao kuwakumbusha uhusiano wenu huwa wanaelewa. Ushauri tu kwa wadada, kama tunapenda kudumisha urafiki wa kawaida na rafiki zetu wakaka tunahitaji kujitahidi kutowatega kwa namna yoyote ile, kwani nimegundua hawa wenzetu ni "DHAIFU" kwenye mahusiano, tuwasaidie.


      Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
      Fixed Point hata mimi huwa naombaga lakini kwa matani............LOL

      FP likes this.

    10. FP
      #87
      FP's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 7,266
      Rep Power : 46353
      Likes Received
      6983
      Likes Given
      6882

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Fixed Point hata mimi huwa naombaga lakini kwa matani............LOL

      Ha haaaa, Mtambuzi, huwa mnasemaga hivyo hivyo mnatania lakini mkikutana na mdada DHAIFU akawapa mnapokea. LOL

      Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
      Mtambuzi likes this.

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...