Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      CANCER's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      7

      Default Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Hali niliyokuwa naitegemea kuwa mtu akisoma huwa anaongeza maadili na maarifa lakini nilipofika chuo sio vile katika suala la mahusiano, ni kawaida kwa wanachuo kila mmoja anapofika chuoni kuanzia uhusiano mpya , wakati alikotoka aliacha mtu wake . wengine wanaenda mbali zaidi na kuwa makahaba kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha . HIVI wasomi hatuwezi tukawa mfano bora kwa jamii katika suala la mapenzi . hivi sasa sehemu zinazozunguka vyuo wazazi wanalalamika watoto wao kuharibiwa maadili na wanachuo . mavazi hapo usiguse wanawake wanatamani kuingia lecture na chupi , if possible tupunguze tuheshimu wachumba tunaowaacha nyumbani.
      xander4x, kapistrano and bin abeid like this.


    2. #2
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,704
      Rep Power : 940
      Likes Received
      601
      Likes Given
      155

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      hawa viumbe ukiwashauri ndo wanaharibu zaidi. Ni mama zetu,dada zetu, wake zetu lakini nahisi kuna kitu Mungu aliwapunguzia. Huoni hata waliopo mjengoni wamegeuka ngoma za wakubwa! Nyie ndugu zetu mi nawashauri mkate rufaa ili mrudishiwe hicho kifaa.
      CANCER likes this.

    3. #3
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      861
      Likes Given
      382

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By Nyalotsi View Post
      hawa viumbe ukiwashauri ndo wanaharibu zaidi. Ni mama zetu,dada zetu, wake zetu lakini nahisi kuna kitu Mungu aliwapunguzia. Huoni hata waliopo mjengoni wamegeuka ngoma za wakubwa! Nyie ndugu zetu mi nawashauri mkate rufaa ili mrudishiwe hicho kifaa.
      mmmmmm hajazungumzia wanawake pekee...

    4. #4
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,468
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      1512
      Likes Given
      269

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      wewe siku hizi hamana relationships kuna locationships....unakamatia kimada pale ulipokuwepo kaka
      The Infamous likes this.
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising

    5. #5
      Tram Almasi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : Marsabit
      Posts : 753
      Rep Power : 675
      Likes Received
      217
      Likes Given
      93

      Default

      Quote By CANCER View Post
      Hali niliyokuwa naitegemea kuwa mtu akisoma huwa anaongeza maadili na maarifa lakini nilipofika chuo sio vile katika suala la mahusiano, ni kawaida kwa wanachuo kila mmoja anapofika chuoni kuanzia uhusiano mpya , wakati alikotoka aliacha mtu wake . wengine wanaenda mbali zaidi na kuwa makahaba kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha . HIVI wasomi hatuwezi tukawa mfano bora kwa jamii katika suala la mapenzi . hivi sasa sehemu zinazozunguka vyuo wazazi wanalalamika watoto wao kuharibiwa maadili na wanachuo . mavazi hapo usiguse wanawake wanatamani kuingia lecture na chupi , if possible tupunguze tuheshimu wachumba tunaowaacha nyumbani.
      Justification ya ''fimbo ya mbali haiui nyoka' Mkuu'. On a serious note, hali ni mbaya kwa sababu nimeshuhudia hayo unayoongea. Hata wenye ndoa zao wameishia kutembea na vserengeti boys na wengine wamefumaniwa na kuharibu ndoa zao.


    6. #6
      Blood Hurricane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 250
      Rep Power : 402
      Likes Received
      80
      Likes Given
      2

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Kwani vyuoni kuna wanawake au makapi a.k.a Manungayembe..??

    7. #7
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,795
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4411
      Likes Given
      1742

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Weka semina hapo chuoni kwako!
      Swts likes this.

    8. #8
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,554
      Rep Power : 1065
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      621

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By Neema View Post
      mmmmmm hajazungumzia wanawake pekee...
      Was waiting for this....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    9. #9
      Mahmetkid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : Kagera-Bukoba
      Posts : 414
      Rep Power : 443
      Likes Received
      104
      Likes Given
      8

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By CANCER View Post
      Hali niliyokuwa naitegemea kuwa mtu akisoma huwa anaongeza maadili na maarifa lakini nilipofika chuo sio vile katika suala la mahusiano, ni kawaida kwa wanachuo kila mmoja anapofika chuoni kuanzia uhusiano mpya , wakati alikotoka aliacha mtu wake . wengine wanaenda mbali zaidi na kuwa makahaba kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha . HIVI wasomi hatuwezi tukawa mfano bora kwa jamii katika suala la mapenzi . hivi sasa sehemu zinazozunguka vyuo wazazi wanalalamika watoto wao kuharibiwa maadili na wanachuo . mavazi hapo usiguse wanawake wanatamani kuingia lecture na chupi , if possible tupunguze tuheshimu wachumba tunaowaacha nyumbani.
      Hili kaka halina mjadala, wanapoingia chuoni mahitaji uongezeka ili kuongeza vyanzo vya mapato lazima atakuwa na mahusiano mengi tuu.

    10. #10
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,924
      Rep Power : 7252
      Likes Received
      1306
      Likes Given
      109

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By CANCER View Post
      Hali niliyokuwa naitegemea kuwa mtu akisoma huwa anaongeza maadili na maarifa lakini nilipofika chuo sio vile katika suala la mahusiano, ni kawaida kwa wanachuo kila mmoja anapofika chuoni kuanzia uhusiano mpya , wakati alikotoka aliacha mtu wake . wengine wanaenda mbali zaidi na kuwa makahaba kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha . HIVI wasomi hatuwezi tukawa mfano bora kwa jamii katika suala la mapenzi . hivi sasa sehemu zinazozunguka vyuo wazazi wanalalamika watoto wao kuharibiwa maadili na wanachuo . mavazi hapo usiguse wanawake wanatamani kuingia lecture na chupi , if possible tupunguze tuheshimu wachumba tunaowaacha nyumbani.
      Wamekwenda kujifunza kungonoka maana kwa umri wao damu ndo inatokota haswa akiguswa tu tayariii....
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    11. #11
      Kimbweka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2009
      Posts : 7,924
      Rep Power : 7252
      Likes Received
      1306
      Likes Given
      109

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By mzabzab View Post
      wewe siku hizi hamana relationships kuna locationships....unakamatia kimada pale ulipokuwepo kaka
      Kweli tutakwisha na ngoma tusipotulizana................ ...
      "Life comes once only: No retake/replay/rewind/once-more. One should enjoy it, be happy & keep happy others too."

    12. #12
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : beacon hills
      Posts : 1,572
      Rep Power : 3797
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      413

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      its part of our freedom, deal with it. however if u have a gf/bf from b4 wengi huwa faithful, but if u're single then anything goes (as long as u're safe). society shouldn't expect us to be role models in love affairs that is not realistic
      the worst is yet to come

    13. #13
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      hii kitu sio bongo tu hata ulaya na sehemu zingine..unaambiwa student life is one of the best times in your life maana ni pamoja na kusoma tu ni kula starehe kama kawa...mtu yuko mbali na mwenzi wake kwa miaka 3 we unafikiri atakaaje mwenyewe
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    14. #14
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,886
      Rep Power : 2171
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      560

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      aisee nnaye shemeji yangu yupo likizo, ana simu tatu, na laptot. Walipofunga alikuja na rafiki yake anatembea na babu yake, yaani mme wa bibi yake mkubwa, sijajua km ana wanaume wengine wangapi. Huyu sasa shemeji yangu ana mchumba wake yuko mkoani huko, bd huko chuoni ana vi serengeti kibao, barabarani akikutana na wanaume akihisi kuna pesa hakatai, toka amekuja hapendi kulala home, kila siku ruhusa sijui kuna birthday tabata, mara leo send off mbezi beach, ni full kulala nje, hizo simu zikianza kuita ni full kelele. Kwenye facebook nako ni hatari tupu. Mimi nawaonea huruma sana wenye wachumba vyuoni, kwa taarifa zenu hawa wachumba wenu wanasafiri sana mikoani na watu mbalimbali wakiwa vimada wao kwenye ma semina huko arusha, mwanza, morogoro, tanga, zanzibar. Mbeya nk. Ukiwa na mchumba wa chuo andika umeumia

    15. #15
      CANCER's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      7

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      kwa hali hii ya wanachuo kuwa na wapenzi wengi tutegemee ukimwi kuongezeka na kupoteza wataalamu . Fikiriamtu amesoma miaka mitatu, minne au mitano harafu baada ya kugraduate anakuwa ana HIV stage 2 then two or four year later anakuwa stage 3. inatishe .pili kwa akina dada wengi wanaosoma vyuo umri wao unakuwa kati ya miaka 23 mpaka 30. ukiendekeza umalaya kama ambavyo wanachuo tunafanya siku hizi plus abortion au contraceptive use na mikorogo ya kwenye nyele , dawa za mchina , magonjwa ya zinaa inasababisha either kutopata mtoto,kupata mtoto mwenye matatizo(congenital abnormalities) . kutoka kwa mimba (miscarriage) . kwanini wasomi tunataka kuzidiwa na watu ambao hawajasoma kwenye suala la mahusiano ili hali tuna elimu ya kutosha .inashangaza mtu anayetegemea kuwa afisa baada ya miaka mitatu,miwili au mmoja anakuwa kahaba. if possible let change,

    16. #16
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 406
      Likes Received
      56
      Likes Given
      45

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Asilimia kubwa ya wanachuo wanakotoka walikua wanabanwa sana so wakifika chuo ful kujiachia, so lazima wapenzi wa zaman wapingwe chini...alafu vi2 vingine ni ulimbukeni 2 unawasumbua...,

    17. #17
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,958
      Rep Power : 1158
      Likes Received
      495
      Likes Given
      340

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Binafsi nilikataa kabsa kuwa na mpnz kabla sijamaliza masomo yangu..I hate mapenzi aise..

    18. #18
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 418
      Rep Power : 447
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Wacha vijana wajimwage kwa raha zao kama ishu ni vazi shauri dress code

    19. #19
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,666
      Rep Power : 1492
      Likes Received
      435
      Likes Given
      209

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      Quote By CANCER View Post
      Hali niliyokuwa naitegemea kuwa mtu akisoma huwa anaongeza maadili na maarifa lakini nilipofika chuo sio vile katika suala la mahusiano, ni kawaida kwa wanachuo kila mmoja anapofika chuoni kuanzia uhusiano mpya , wakati alikotoka aliacha mtu wake . wengine wanaenda mbali zaidi na kuwa makahaba kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha . HIVI wasomi hatuwezi tukawa mfano bora kwa jamii katika suala la mapenzi . hivi sasa sehemu zinazozunguka vyuo wazazi wanalalamika watoto wao kuharibiwa maadili na wanachuo . mavazi hapo usiguse wanawake wanatamani kuingia lecture na chupi , if possible tupunguze tuheshimu wachumba tunaowaacha nyumbani.

      Fimbo ya mbali haiuwi nyoka!
      Hamadi kibindoni silaha mkononi!

    20. #20
      Estyzo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th July 2011
      Posts : 63
      Rep Power : 412
      Likes Received
      4
      Likes Given
      15

      Default Re: Wanachuo wengi wanawapenzi chuoni na sehemu wanazotoka

      1. nilipokuwa o-level nafurahi ngono kwa wanachuo nikiamini kuwa wengi wakipata ukimwi ajira zitakuwa simple kwa sababu afya ndio kila kitu na wenye afya nzuri watakuwa wachache na ndio tutakao ajiriwa nilijipigia hesabu namimi...it was past.
      2. kwa sasa hali inaweza kuwa mbaya zaidi maanake bodi wamezingua mikopo kuna college ndani ya udom inaitwa social science pale kozi kalibia zote hazina mikopo kwa sasa na kinachukua karibia wanafunzi elfu 3 na watoto wakike wanavyopenda maisha simple watapakuliwa mpaka basi...........siombei iwe hivyo.
      3. kama vijana na wasomi tunapaswa kujicontrol na kujiheshimu taifa linategeme vijana kma nguvu kazi na kijana mwenye afya ndiye anayehitajika kama utashindwa kujiheshimu na kuishi maisha ya kihuni utapata magonjwa mengi na utapotea bure au kuwa mzigo kwa familia/jamii hata taifa. (ushauri nilipewa last year na umenijenga sana japo nimeandika kwa kifupi)

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...