Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bora nimeoa sasa!

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 48 of 48
    1. #1
      Kana-Ka-Nsungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : 10 Dawning Street
      Posts : 2,224
      Rep Power : 1046
      Likes Received
      175
      Likes Given
      105

      Default Bora nimeoa sasa!

      Jana nilipata flashback ya enzi zangu wakati nilipokuwa single nikagundua kuwa nilikuwa nahangaika tu, najitesa. Kila demu nilikua namuona mzuri na nataka kumvua nguo tu, naweza piga tungi afu usiku wa manane naanza kupiga masimu kwa vicheche wote kwenye phonebook yangu,naishia kuchoma kiwese kwenda mbaaaali kufuata demu tu, nilikua nikiwa kwenye mawindo sioni uvivu kutumia, nasahau kabisa jinsi nilivyozisotea hela zangu kwenye boksi, hela ilikuwa haikai- ilikuwa ni misosi, mitungi, mikasi na pamba tu! Nikitoka job napitia mahali kula then naendeleza tungi,kujirusha na kuwinda- by then nilikua naona poa tu, I was enjoying life lakini looking back now- I think it was sad, really sad.
      Je umeoa/olewa? Unaona mbaliko gani sasa compared to your days of being single? Hujaoana/olewa na umri umesonga? Kwanini?
      If someone knocks you down- its their faulty, but if you stay down its your faulty.


    2. #41
      KIFARU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : anywhere
      Posts : 170
      Rep Power : 554
      Likes Received
      3
      Likes Given
      4

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Pretty
      Maisha ya ndoa jamani yana raha, japo bado sipo huko.Cha muhimu ni kupata yule ambaye Mungu amekuandalia. Utafurahia ndoa yako kama paradiso/mbingu.
      Pretty Bravo, Mume/Mke bora utoka kwa Mungu, huku nawe mhusika ukifanya jitihadi kidogo,ni vigumu kumpata mke aliye tulia wakati mwenyewe ujatulia,haiwezekani ukawa mtu wa madisko kisha ukaoa mtu mwenye kushika dini,mimi mwenyewe sijaowa ila maisha ya bila kuoa ni mazuri kwa sababu ndo muda mzuri wa kufahamu tabia za wanawake tofauti,ebu angalia mwendesha baiskeli anayeendesha kupitia njia moja tu kila siku akienda kazini na umfananishe na yule mwenye kubadilisha njia kila aendapo,hakika yule abadilishie njia ndo atakua mtaalam na baiskeli kuliko mwingine,mimi mke nayemtaka kwa sasa najua sitampata kwa sababu vigezo anavyotumia huyo mhusika sinavyo, hivyo sasa hivi wacha nile kwanza lecture ya wanawake na maisha,na kingine muda huu ambao tujaoa tunao si siri ukitaka kupanga mambo yako yanaenda kama unavyotaka labda Mwenyezi Mungu aamue yasitimie,unaweza panga leo najibana nitumie kiasi kidogo cha pesa kinachobaki nitafanyia masuala ya maendeleo, lakini kwenye ndoa kuna majukumu ya lazima huwezi sema ubane pesa wakati kuna tatizo limemtokea mwenzio, nahitimisha kwa kusema single life ni nzuri lakini kuishi na mwanamke kinyumba ni kinyume na maagizo ya Mungu
      "MONEY, POWER & RESPECT"

    3. Mbu
      #42
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,833
      Rep Power : 9995
      Likes Received
      4713
      Likes Given
      6220

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Shingo
      Ingawa napenda committed relationships na nina ndoa for more than 10 years, nadhani ndoa is too much a burden. I love my kids and my wife and my family as whole.

      Lakini looking back and given choice today, I will choose to be single ... yes single. Unfortunately nimeshaoa na nina watoto. Nalazimika kumridhisha mke wangu na ..... may be I'm a negotiator ... pleaser and I feel I'm giving to much for too little!

      Perfection katika relation ni aim, but it is elusive.
      ...enhee!

      bora umesema wewe shingo! ...mfano; inafikia wakati hata 'machungu' yangu yaweke pembeni kwanza, ili kumliwaza 'madeko' yake,...huh...!

      maisha ndani ya "spin- dryer!"
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    4. #43
      Kana-Ka-Nsungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : 10 Dawning Street
      Posts : 2,224
      Rep Power : 1046
      Likes Received
      175
      Likes Given
      105

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Shingo
      Ingawa napenda committed relationships na nina ndoa for more than 10 years, nadhani ndoa is too much a burden. I love my kids and my wife and my family as whole.
      Shingo kaka, mimi naamini kila ndoa ina life span, wenzetu wa ngozi nyeupe wakifika kwenye 'expiry date' yao wanaambizana na kila mtu anaangalia utaratibu mwingine, sisi wabantu tukifikia 'best before dates' zetu tunaendelea kuishi tu hivyo hivyo kwa kuwa ni taboo kuachana kwa sababu tu ya penzi kuchuja , na eti watoto watateseka! lakini wote tunajua hiki kitu kipo, hatutaki tu kukubali. Matokeo yake ni kuanza kucheat, kulala kwenye mabaa na visa visivyoisha.
      If someone knocks you down- its their faulty, but if you stay down its your faulty.

    5. #44
      Icadon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2007
      Location : I'm Everywhere you are never there.
      Posts : 4,123
      Rep Power : 1860
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Baada ya kusoma posts zote bado sijashawishika kwa nini nioe, alafu kwa mlioko kwenye ndoa kuna walioingia na mentality ya kuwa kuna "expiry date"? na by the way wengi wenu mmefunga ndoa mkiwa na umri gani?
      Hating gets you no where, have a safe trip!

    6. #45
      Kana-Ka-Nsungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : 10 Dawning Street
      Posts : 2,224
      Rep Power : 1046
      Likes Received
      175
      Likes Given
      105

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Icadon
      Baada ya kusoma posts zote bado sijashawishika kwa nini nioe, alafu kwa mlioko kwenye ndoa kuna walioingia na mentality ya kuwa kuna "expiry date"? na by the way wengi wenu mmefunga ndoa mkiwa na umri gani?
      Icadon, 'expiry date ya ndoa' inatengenezwa na wanandoa wenyewe, kama ukiingia mkenge ukajitusu sehemu ambayo degree ya incopartibility ni kubwa mno basi ujue life span ya ndoa yako itakuwa fupi. All in all nafikiri ni muhimu kula maisha kwanza kabla hujaoa, usipofanya mambo flani kabla ya ndoa unaweza jikuta unayafanya ukiwa ndani ya ndoa.
      If someone knocks you down- its their faulty, but if you stay down its your faulty.


    7. #46
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,750
      Rep Power : 1164
      Likes Received
      70
      Likes Given
      32

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Kana-Ka-Nsungu
      Icadon, 'expiry date ya ndoa' inatengenezwa na wanandoa wenyewe, kama ukiingia mkenge ukajitusu sehemu ambayo degree ya incopartibility ni kubwa mno basi ujue life span ya ndoa yako itakuwa fupi. All in all nafikiri ni muhimu kula maisha kwanza kabla hujaoa, usipofanya mambo flani kabla ya ndoa unaweza jikuta unayafanya ukiwa ndani ya ndoa.
      Sasa Kana Na Nsungu.. wewe umeanzisha mada nzuri kabisa ya kuongoa vijana waache kupiga mikasi na kupoteza pesa zao kama wewe ulivo fanya, sasa mbona unaharibu tena kuwaambia watafune kwanza maisha kabla ya kuoa? unataka wafanye kama ulivyo fanya na ukaja jutia baada ya kuoa?

    8. #47
      Kana-Ka-Nsungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : 10 Dawning Street
      Posts : 2,224
      Rep Power : 1046
      Likes Received
      175
      Likes Given
      105

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      Quote By Rwabugiri
      Sasa Kana Na Nsungu.. wewe umeanzisha mada nzuri kabisa ya kuongoa vijana waache kupiga mikasi na kupoteza pesa zao kama wewe ulivo fanya, sasa mbona unaharibu tena kuwaambia watafune kwanza maisha kabla ya kuoa? unataka wafanye kama ulivyo fanya na ukaja jutia baada ya kuoa?
      Sidhani kama kila mtu anajutia hiyo stage kama mimi coz I think I went a bit over the top, simshauri yeyote ajirushe kwa kiwango changu! Ninachosema in short hapa ni kwamba- ni muhimu not to rush into marriage na ni muhimu pia ku experiment things, kuna mambo flani mkulu mwenzangu ukiyajulia ukubwani inakuwa tabu tupu, tena ukiwa ndoani ndo balaa kabisa!
      If someone knocks you down- its their faulty, but if you stay down its your faulty.

    9. #48
      vassil's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2008
      Posts : 121
      Rep Power : 595
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default Re: Bora nimeoa sasa!

      I am a little bit concerned na vijana wenzangu walioa miaka ya karibuni,wengi wao naona wanapata shida sana kusettle, wengi naona bado wanatamani maisha ya kuwa single,wanacheat bila aibu, baadhi ya watu wameacha kutoa michango ya harusi kwani ndoa nyingi zinaonekana haziendi popote,personally naamini marriage is not about winning but a way to cut your losses, I lowered my expectations ,fiercely defended my freedoms and it is working for me

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    Similar Topics

    1. Elimu ya sasa ya sekondari na ya enzi za mwalimu,ipi bora
      By BUMIJA in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 20th October 2011, 20:05
    2. Nimesahau kama nimeoa!!!!!!
      By Kifulambute in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 25
      Last Post: 13th May 2011, 17:53
    3. Hua naota nimemega hadi........ ila sijawah kuota nimeoa
      By Tasia I in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 26
      Last Post: 15th March 2011, 20:51
    4. ndio..nimeoa na nampenda mbayaaa mke wangu
      By Who Cares? in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 69
      Last Post: 27th July 2010, 14:33
    5. Huyu Mzee ni bora astaafu tu, maana sasa anachemsha
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 12th October 2007, 16:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...