WanaJF naomba kujulishwa gharama za kukodisha gari kwa ajili ya maharusi kwa siku moja ni shilingi ngapi kwa Dar? Aina ya gari Mercedes benz E Class, kwa wenye ufahamu juu ya hili naomba nifahamishwe bei zinaendaje, Asante.
WanaJF naomba kujulishwa gharama za kukodisha gari kwa ajili ya maharusi kwa siku moja ni shilingi ngapi kwa Dar? Aina ya gari Mercedes benz E Class, kwa wenye ufahamu juu ya hili naomba nifahamishwe bei zinaendaje, Asante.
Last edited by TajiriMutoto; 15th July 2012 at 07:59.
Liwalo na liwe
Upo mji gani?Sasa unazungumza bila kutaja location utasaidiwaje?
"One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato
Gari zinakodishwa maalumu kwa sherehe za harusi, kitchen party, send off au hata mtoko wowote ule wasiliana na Prisca kwa namba zifuatazo.....
022 -2293256 au 0655 550005.Toa taarifa wiki moja kabla ya siku unayohitaji gari.
Source: TUNAKODISHA MAGARI KWA SHUGHULI MBALIMBALI... | Majoy Blog
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
wataka kuoa au kusindikiza maharusi?
John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"
John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
Ukiwapata uje utupe gharama zao,aina za magari na ubora wake...asante
Mcheck Dotnata pia huwa yupo safi na ilikua ukiweka order ya msosi kwake then mkoko unapata Free!!! Yupo pale Riverside kama unatokea ubungo unaingia kushoto. Ana bei maridhawa... Nilimtumia 2009 so kwa sasa sijui kama bado ipo hivyo au kaboresha au keshaharibu. +255715888859
Get Rich or Die Tryn......
Unge post kwenye forum ya matangazo, trust me hili dili watu wangekuchangamkia, infact ungepata hata pachage nzima yaani hata magari ya flower girls, matarumbeta, chakula, nguo, coaster la wavamizi.... You mention it!! Kwa hapa Dar, niliona magari ya kukodi baada ya kituo cha mafuta cha Oilcom maeneo ya Victoria.
All the best kwa rafiki muoaji......nafikiri umeshasaidika hapo juu!
Life without problems never make a strong and good person!
Dah!Ngoja nifunge bakuli langu!
Follow Us Here