Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Matiti ni Mali ya nani?

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 90
    1. #1
      Felixonfellix's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 1,673
      Rep Power : 809
      Likes Received
      165
      Likes Given
      95

      Default Matiti ni Mali ya nani?

      Matiti ni chakula cha mtoto!Linapokuja suala la matiti wanaume wengi (si wote) hunyang'anyana hati miliki ya matiti na watoto wanaonyonya hata hivyo wanawake nao kila mmoja ana mtazamo wake tofauti, hebu angalia maoni ya wanawake hawa wa Nigeria wanavyojibu swali la nani ni mmiliki halali wa matiti ya mwanamke.

      Mrs. Arogundade: Mume wangu ndiye anamiliki matiti yangu kwa sababu mume alikuja kabla ya mtoto. Baada ya mtoto kunyonya kwa muda inakuwa zamu ya mume wangu kwani tunalala kitanda kimoja. Mtoto wangu ana access ya matiti yangu kwa muda tu wakati mume wangu ni mali yake maisha yetu yote.Matiti yangu ni kitu ambacho mume wangu huchezea na pia ni mto wake wa kulalia. Ukweli ni kwamba mume wangu hujisikia wivu kama mtoto wangu ataendelea kunyonya zaid ya muda aliopewa.Linapokuja suala la matiti yangu mume wangu huwa anachanganyikiwa, hawezi kufanya ile kitu (sex) bila matiti yangu.

      Mrs. Omisade: Mume wangu ni mmiliki ya matiti yangu.Mume wangu akiyakamata tu matiti yangu basi huwa tunakuwa na mahaba ya nguvu katika uso wa duniaMume wangu hawezi kuanza chochote bila kugusa matiti na pia hunisisimua sana kwa ajili ya kufanya mapenzi pia mume wangu hunambia huwa anamuazima mtoto wetu matiti na akimaliza anatakiwa kurudishiwa mali zake kutoka kwa mtoto.

      Mrs. Alhaja Sadiku: Kitu kimoja ninachopenda kuhusu mume wangu ni pale anapochezea matiti yangu kama vile machungwa, pia huwa namruhusu mtoto wangu kuchezea matiti kwa kadri anavyoweza.Najua mume wangu alilipa mahari kitu inachompa access ya mwili wangu wote.Matiti ni kwa ajili ya chakula cha mtoto wangu.

      Mrs. Olagbaju: Ukweli mume wangu ndiye anamiliki matiti yangu.Ila lazima akubaliane nami kwamba wakati tunayonyesha mtoto lazima aache kwa ajili ya mtoto wetu.Wakati ninaponyonyesha naweza kumruhusu mume wangu kuyachezea kwa mikono na si kunyonya.Mume wangu anamiliki matiti yangu permanently na pia anamiliki kila kitu nilichonacho pamoja na matiti.

      Mrs. Agunbiade: Mtoto wangu ndiye anamiliki matiti yangu.Mume wangu ana mtazamo tofauti kwani huwa hapendi kabisa kuyanyonya, wakati nanyonyesha hapende kabisa hata kula chakula changu yeye hapendi kabisa harufu ya maziwa kutoka kwenye matiti yangu.

      Mrs. Amadi: Mume wangu hawezi kufanya bila matiti, kabla kitu chochote kutokea yaani kufanya mapenzi lazima achezee matiti yangu na bila matiti siwezi kusisimka.Mume wangu husahau huzuni zote akianza kunyonya matit yangu.

      Mrs. Ganiu: Mume wangu ndiye anayemiliki matiti yangu, mtoto wangu hunyonya kwa muda tu, then automatically matiti hurudi kwa mume wangu.

      Mrs. Daniel: Mume wangu anamiliki matiti yangu kwa sababu alinioa kihalali.Tunapotaka kuwa kwenye huduma ya pamoja ya usiku kila mara ni utukufu, huanza kwa mume wangu kunichezea matiti yangu na kuyakandakanda halafu tendo huanza.

      Mrs. Omole: Mume wangu aliniambia kwamba nilipokutana naye kwa mara ya kwanza matiti ndiyo kitu kilimvutia sana yeye, hivyo ni mali yake, najua matiti yangu ni sehemu ambayo mume wangu ni dhaifu, siwezi kumnyima mali zake, hata kama mtoto wangu anayanyonya, mume wangu bado huyanyonya na kuyachezea.

      Mrs. Ojo: Kabla ya mtoto kuzaliwa matiti yangu yalikuwa ni toy la mume wangu kuchezea.Baada ya mtoto matiti ni kwa ajili ya mtoto, mume wangu anaishia kuchezea tu si kuyanyonya.

      Mrs. Alao: Mume wangu anamiliki matiti yangu kwa sababu tulikuwa pamoja kabla ya mtoto kuzaliwa.Moto anaweza kuazima matiti kwa muda tu, mume wangu anamiliki matiti yangu permanently na mtoto huwa yake kwa muda.

      Mrs Salome: Mume wangu ni owner wa matiti yangu.Hawezi kufanya mapenzi bila matiti yangu.Mume wangu huniambia matiti yangu ni chakaazi (succulent ).Matiti yangu humpeleka mbali sana mume wangu na husisimka hadi kufika juu sana hata kabla hatujaanza kitu chenyewe.Mtoto wangu ipo siku atayacha na kwenda kuanza nyumba yake hivyo lazima nimridhishe mume wangu kwa matiti yangu.Mungu alinipa matiti ili kumridhisha mume wangu katia suala la tendo la ndoa.Siwezi kunyonyesha mtoto miezi 7 bila kuyarudisha kwa mmiliki wake ambaye ni mume wangu mpenzi.

      Je, wewe kama ni mwanamke matiti yako ni mali ya nani? Mtoto au mume wako?Source: Modupe Okanlawon & Omowunmi OwoyomiDaily Sun News, Sunday, June 8 , 2008
      Last edited by Felixonfellix; 14th July 2012 at 18:57.
      Tushirikiane Tutafika Tuendako


    2. #41
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By Pombekali View Post
      Matiti ni mali ya mtendaji wa kijiji,juzi kati alibambwa ananyonya ya mke wa fundi cherehani!
      hahahahaaaaaa
      Pombekali likes this.

    3. #42
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By blaine n kurt View Post
      nimepita tena kwenye hii thread, post ya BADILI TABIA mhh!! naomba ubadili tabia kama ID yako inavyosema
      loh....
      Sirudii tena....
      Nabadili tabia moja kwa moja.......

    4. #43
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By nivea View Post
      Matiti ndio nibni?@????
      manyonyo.....

    5. #44
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6321
      Likes Given
      2418

      Default

      Quote By Bajabiri View Post
      utamu ukikukolea,,,,,utayaachia mwenyewe
      hahahahahaaaa kweli kabisaaaaa

    6. #45
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      861
      Likes Given
      382

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By M-bongotz View Post
      Unadhani hizo choice zilizopo zinalingana na maziwa ya mama?
      ]

      watu wamekuwa na hayo hayo maziwa,wewe kama utanyonyesha ni wewe,mie sinyonyeshi na hamna mtu wa kuniconvice tofauti


    7. #46
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : beacon hills
      Posts : 1,572
      Rep Power : 3798
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      413

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By BADILI TABIA View Post
      loh....
      Sirudii tena....
      Nabadili tabia moja kwa moja.......
      asante ^_^ ^_^
      the worst is yet to come

    8. #47
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 451
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      mwenye nayo ni yake

    9. #48
      Mati's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 355
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Misijui????ila huwa ananiambiaga Baba Yu,mbakishie mtoto chakula chake

    10. #49
      BelindaJacob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Location : Санкт-Петербург
      Posts : 5,261
      Rep Power : 4152
      Likes Received
      1831
      Likes Given
      1291

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By Bajabiri View Post
      je hayanyonywiiiiii???na kutomaswa tomaswa????na kuminywaminywaaaaaaa.......
      Kwani kufanywa hivyo ndiyo kunahalalisha ni mali ya mwingine? kwahiyo na K ni mali ya mwanaume?? na kina dickson ni mali yetu wanawake? come on mkuu!

      Kila kiungo kilicho kwenye mwili wangu ni mali yangu..
      Bésame Mucho...!!!

    11. #50
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,450
      Rep Power : 932
      Likes Received
      846
      Likes Given
      1603

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By Neema View Post
      si mpaka akuruhusu????????????
      Kuna stage Neema ikifika huwa mambo mengine huwa yanatokea automatic bila mwenye maziwa kujishitukia maana jamaa linaanza kupapasa sehemu zingine za mwile linakuja kunyonya shingo unashitukia limehamia kwenye matiti na likitaka kutoka unashangaa unalishika kumrudisha aendelee

    12. #51
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Neema View Post
      nilinyonya wakati ule,ambao choice zilikuwa chache...[color=blue]siku hizi maziwa na vyakula vya watoto vimejaa kila kona,kunyonyesha ni choice yako mwenyewe sio must.[ /color]
      hoteli ya mtoto ni MAZIWA YA MAMA,kunyonyesha ni Must

    13. #52
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      861
      Likes Given
      382

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By Bajabiri View Post
      hoteli ya mtoto ni MAZIWA YA MAMA,kunyonyesha ni Must
      kwako ni must,kwangu sio...

    14. #53
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jodoki Kalimilo View Post
      Kuna stage Neema ikifika huwa mambo mengine huwa yanatokea automatic bila mwenye maziwa kujishitukia maana jamaa linaanza kupapasa sehemu zingine za mwile linakuja kunyonya shingo unashitukia limehamia kwenye matiti na likitaka kutoka unashangaa unalishika kumrudisha aendelee
      mwambie huyo,,,,utam ukikolea????hapa anajibu hivo kozi ana akili zake ambazo amechanganya na za mbayuwayu,,,,sasa akibakia na zake.........

    15. #54
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Doreen22 View Post
      Mi pale kwenye sita kwa sita, wake pia nautumia, but si mali yangu ya kutaka nimfanye hata aubadili ninavyotaka Mimi, it's not good, kuna mtu anamlazimisha mwenzake hata atumie vitu kuongeza saizi ya part za mwili wake eg. Uume, wakati anajua mwenzie anaweza akapata matatizo kwa kufanya hivyo
      huyo ni mwehu na hafai kabisaaaa,,,,anapaswa kukimbiwa

    16. #55
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By BelindaJacob View Post
      Kwani kufanywa hivyo ndiyo kunahalalisha ni mali ya mwingine? kwahiyo na K ni mali ya mwanaume?? na kina dickson ni mali yetu wanawake? come on mkuu!

      Kila kiungo kilicho kwenye mwili wangu ni mali yangu..
      maandiko yanasema mkioana mnakua mwili MMOJA

    17. #56
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,450
      Rep Power : 932
      Likes Received
      846
      Likes Given
      1603

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By Bajabiri View Post
      mwambie huyo,,,,utam ukikolea????hapa anajibu hivo kozi ana akili zake ambazo amechanganya na za mbayuwayu,,,,sasa akibakia na zake.........
      Bajabiri kuna kipindi mtu anavutwa na kung'ang'aniwa sasa sijui muda wa kuomba ruhusa sijui unapatikana saa ngapi

    18. #57
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      861
      Likes Given
      382

      Default Re: Matiti ni Mali ya nani?

      Quote By Bajabiri View Post
      mwambie huyo,,,,utam ukikolea????hapa anajibu hivo kozi ana akili zake ambazo amechanganya na za mbayuwayu,,,,sasa akibakia na zake.........

      mnh

    19. #58
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By M-bongotz View Post
      Unadhani hizo choice zilizopo zinalingana na maziwa ya mama?
      afadhali utusaidie bhana,,,,mwanamke mwenye akili timamu lazima anyonyeshe,haijalishi ana elimu gani

    20. #59
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By nivea View Post
      Matiti ndio nibni?@????
      mdau,matiti ni yale matufe mawili yaliyosimama kifuani kwa mwanamke,

    21. #60
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Neema View Post
      mnh
      jitahidi kunyonyesha dadangu,,,,kama ya kulala yatala tu,,,maziwa ya mama yana faida sana,,,,,kama ulinyonyeshwa nawe nyonyesha

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...