Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 31 of 31
    1. #1
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Kwanza napenda kuwapongeza na kisha niwape moyo, Kuoa ndio ishara ya dhati ya uanaume na pili ndio sifa halisi ya mwanamme mpiganaji, kuoa kuna kwenda na responsibilities nyingi sana, tena nyingi huwa hazionekani kabla ya kuoa, moja wapo ni kuwa the bread winner of the family, umlishe,umvishe, mkeo na watoto, ndugu na jamaa zake sio kazi ya mchezo ni moja ya responsibility kubwa sana za kiuchumi kwa wanaume.

      Bila kuwachosha, iweje uhofie mke wako kwenda nje ya ndoa, nini kina kupa hofu, tafadhali bwana, kitu cha msingi cha kukumbuka ni kwamba mkeo hakufata kwako chakula,nguo,gari,nyumba wala nini, kaja apo kuchapwa nao, tuacheni uzembe, tupige kazi za uhakika nyumbani hautasikia ujinga ujinga wa mafala kumsumbua mkeo. Ni hilo tu, naomba kila aliyeoa leo apige bao japo tatu.

      Nawatakia maisha mema katika ndoa zenu.

    2. Study Abroad

    3. #21
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By King'asti
      Sasa kumpenda na kumthamini huku unamcheat, unamdanganya, unampiga, humshirikishi mambo yanayowahusu (anatoka kuoga anakuta mamako kaingia na sandarusi kuwatembelea!) And all that? Emotional connection ni muhimu, unaweza kudhani unamfurahisha kumbe unamkirihisha baba, am just saying!
      I see you and I are in different worlds.na sitegemei kuna mtu ana access ya internet full time anaweza kuwa na mama anayesafiri kwa sandurusi unless kama unataka kuchafua hali ya hewa hapa. in fact ukisoma post yangu vizuri utagundua am not speaking to men of the character you have put here. naongea na rafiki ambao wanawapenda sana wake zao,wanapenda ile sanaaaaaaaa lakini tatizo wanaamini kwamba wanawake zao wanatakiwa kuridhika kwa sababu wanawapatia all materials on offer in this world kama ishara ya kipimo cha mapenzi yao kwao. Hawa ndio nawakumbusha kupiga kazi ya kiutu uzima nyumbani, wife akishindwa kuamka next day hiyo ni issue ingine, lakini nauhakika ikifika mchana atamtumia jamaa sms "Darling, Jana umeniweza unajua ndo naamka saa hizi, wahi basi kurudi nyumbani leo mpenzi wangu naenda sokoni muda si mrefu, ntakuandalia chakula kitamuuuuu" na sms isipojibiwa in two minutes unapigiwa simu sasa

    4. #22
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      457
      Likes Given
      923

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      kupenda sio kubaya wala sikuzuri maana unaweza ukawa mwehu tuajaribu kufikiria kwa ndani zaidi wala si ngono

    5. #23
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Sangarara
      Kwanza napenda kuwapongeza na kisha niwape moyo, Kuoa ndio ishara ya dhati ya uanaume na pili ndio sifa halisi ya mwanamme mpiganaji, kuoa kuna kwenda na responsibilities nyingi sana, tena nyingi huwa hazionekani kabla ya kuoa, moja wapo ni kuwa the bread winner of the family, umlishe,umvishe, mkeo na watoto, ndugu na jamaa zake sio kazi ya mchezo ni moja ya responsibility kubwa sana za kiuchumi kwa wanaume.

      Bila kuwachosha, iweje uhofie mke wako kwenda nje ya ndoa, nini kina kupa hofu, tafadhali bwana, kitu cha msingi cha kukumbuka ni kwamba mkeo hakufata kwako chakula,nguo,gari,nyumba wala nini, kaja apo kuchapwa nao, tuacheni uzembe, tupige kazi za uhakika nyumbani hautasikia ujinga ujinga wa mafala kumsumbua mkeo. Ni hilo tu, naomba kila aliyeoa leo apige bao japo tatu.

      Nawatakia maisha mema katika ndoa zenu.
      Ukiwa na maana kuwa niache mambo yote ili niwe juu tu? Naogopa kuitwa mtowa maji! Halafu nikishapata watoto si nitafute dada powa ninapojisikia kuchapa? Nahisi kama msingi wa ndowa ni michapano tu basi kwanini nisiwe huru wa kwenda kuchagua aina hii leo, kesho nyeupe, keshokutwa ya ku... .?

    6. #24
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,107
      Rep Power : 28886
      Likes Received
      11615
      Likes Given
      4783

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Sangarara
      I see you and I are in different worlds.na sitegemei kuna mtu ana access ya internet full time anaweza kuwa na mama anayesafiri kwa sandurusi unless kama unataka kuchafua hali ya hewa hapa. in fact ukisoma post yangu vizuri utagundua am not speaking to men of the character you have put here. naongea na rafiki ambao wanawapenda sana wake zao,wanapenda ile sanaaaaaaaa lakini tatizo wanaamini kwamba wanawake zao wanatakiwa kuridhika kwa sababu wanawapatia all materials on offer in this world kama ishara ya kipimo cha mapenzi yao kwao. Hawa ndio nawakumbusha kupiga kazi ya kiutu uzima nyumbani, wife akishindwa kuamka next day hiyo ni issue ingine, lakini nauhakika ikifika mchana atamtumia jamaa sms "Darling, Jana umeniweza unajua ndo naamka saa hizi, wahi basi kurudi nyumbani leo mpenzi wangu naenda sokoni muda si mrefu, ntakuandalia chakula kitamuuuuu" na sms isipojibiwa in two minutes unapigiwa simu sasa
      I'm itching kuuliza umri wako, but I won't
      Huamini mjini watu wanaweka heshima bar na kwenye vikao vya harusi huku wazazi wao wanalala kwenye nyumbani ya Tope na ukiwa ndani unachungulia nje? Worse enough wengine hawalipi hata Ada za watoto wao na huku wan a-claim kuwapenda watoto wao Kama lulu? Hii hata wanaume wenzio watashuhudia.

      Kuna mianaume sarawili, anaingia na kutoka, anakula na kulala Kama keshalipiwa guest. Hajui Kodi ya nyumbani AMA nyumbani yenyewe kajenga nani, wanae wanasomaje, mke anaishije, na wanakula chakula kutoka wapi. Hujawahi kusimuliwa manake rafiki zako hawawezi kukusimulia. Sasa mwanaume wa hivyo hata kumpa kimoko ni kero, unawaza Dili zako hadi amalize kukukirihisha
      I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it-Maya Angelou


    7. #25
      Risa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 398
      Likes Received
      27
      Likes Given
      92

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Bosco massawe
      Jamani wanaume mjitahidi muwe mnawafikisha kileleni wake zenu hata kama ni kimoja atarizika tu
      Kabisa. Hujakosea Bosco, maana unaweza piga hivyo vitatu lakini visiwe na tija, kimoja tu hata mie ukinifikisha mwisho wa mlima basaaaaaaaaaaaasi.
      Sangarara likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By King'asti
      I'm itching kuuliza umri wako, but I won't
      Huamini mjini watu wanaweka heshima bar na kwenye vikao vya harusi huku wazazi wao wanalala kwenye nyumbani ya Tope na ukiwa ndani unachungulia nje? Worse enough wengine hawalipi hata Ada za watoto wao na huku wan a-claim kuwapenda watoto wao Kama lulu? Hii hata wanaume wenzio watashuhudia.

      Kuna mianaume sarawili, anaingia na kutoka, anakula na kulala Kama keshalipiwa guest. Hajui Kodi ya nyumbani AMA nyumbani yenyewe kajenga nani, wanae wanasomaje, mke anaishije, na wanakula chakula kutoka wapi. Hujawahi kusimuliwa manake rafiki zako hawawezi kukusimulia. Sasa mwanaume wa hivyo hata kumpa kimoko ni kero, unawaza Dili zako hadi amalize kukukirihisha
      Unazungumzia Ma maliyoo nini?

    10. #27
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Ngekewa
      Ukiwa na maana kuwa niache mambo yote ili niwe juu tu? Naogopa kuitwa mtowa maji! Halafu nikishapata watoto si nitafute dada powa ninapojisikia kuchapa? Nahisi kama msingi wa ndowa ni michapano tu basi kwanini nisiwe huru wa kwenda kuchagua aina hii leo, kesho nyeupe, keshokutwa ya ku... .?
      Najua ndo inahusisha mambo mengi sana, naomba ukumbuke kwamba ngono ndio kitu pekee ambacho mtu aliyendani ya ndoa hatakiwi kushiriki na mtu mwingine, hainiingii akili kuona watu wanajaribu kuunderestimate value ya ngono kwenye ndoa!! au kwa sababu tumekua tunaambiwa ni dhambi?

      Ukweli ni kwamba NDOA NI NGONO. NGONO NJE YA NDOA NI DHAMBI, NA DHAMBI NDIO KIINI CHA MAUTI, NGONO WAS MEANT FOR MARRIAGE JAMANI, HAKUNA NGONO HAKUNA NDOA. Ndio maana hata Mwenyezi Mungu aliwaambia ADAMU NA HAWA (Alituambia sisi) tukaongezeke na kuijaza duni, kuzaa na ngono na chanda na Pete. wanandoa wote naomba tufanye ngono na wake zetu kwa raha na furaha.

    11. #28
      Nakshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : any where in this world i am in available
      Posts : 220
      Rep Power : 391
      Likes Received
      92
      Likes Given
      82

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      sangarara ameongea la maaana sana ngono kwenye ndoa ndio shina mengine matawi tu na wototo ni matunda tunayoyapata toka kwenye hiyo ngono hivi jamani wazazi wangu wamenilea wamenipa kila kitu kuanzia elimu, chakula, malazi yote natoka kwetu naolewa naenda kuishi kwa mume nafuata nini kule kwa mume? Chakula? Nafuta mshedede ambao wazazi wangu hawawezi kunipa

    12. #29
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Sangarara
      Najua ndo inahusisha mambo mengi sana, naomba ukumbuke kwamba ngono ndio kitu pekee ambacho mtu aliyendani ya ndoa hatakiwi kushiriki na mtu mwingine, hainiingii akili kuona watu wanajaribu kuunderestimate value ya ngono kwenye ndoa!! au kwa sababu tumekua tunaambiwa ni dhambi?

      Ukweli ni kwamba NDOA NI NGONO. NGONO NJE YA NDOA NI DHAMBI, NA DHAMBI NDIO KIINI CHA MAUTI, NGONO WAS MEANT FOR MARRIAGE JAMANI, HAKUNA NGONO HAKUNA NDOA. Ndio maana hata Mwenyezi Mungu aliwaambia ADAMU NA HAWA (Alituambia sisi) tukaongezeke na kuijaza duni, kuzaa na ngono na chanda na Pete. wanandoa wote naomba tufanye ngono na wake zetu kwa raha na furaha.
      Kabla ya kuendelea mbele kwanza nikusahihishe hili neno ngono. Ngono ni negative side ya tendo la ndowa. Ngono ni tendo la ndowa lililofanywa nje ya ndowa na ndio maana tunapata neno ugoni na mgoni (kukamatwa ugoni na kumuona mgoni wake yaani aliemchukulia mtu wake wa ndowa.
      Tukija kwenye hoja tendo la ndowa ni moja kati ya mambo yanayohusu kufanyiana ndani ya ndowa. Hiki kitendo cha kuingiliana kimeitwa tendo la ndowa kwa sababu ya mila zetu kuficha mambo ya matusi. Hiki kitendo huwezi kusema kuwa ndio kitu pekee ndani ya ndowa kwani hata ufanye hilo tendo la ndowa kuna mambo mengi ikiwamo mahusiano na mapenzi ndani yenu vitu vitakavyopelekea pande zote kuridhika navyo. Na hata hivyo bado watu hubaki na ndowa zao iwapo kuna kasoro ya kutoweza kufanyika hilo tendo la ndowa.

    13. #30
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Ngekewa
      Kabla ya kuendelea mbele kwanza nikusahihishe hili neno ngono. Ngono ni negative side ya tendo la ndowa. Ngono ni tendo la ndowa lililofanywa nje ya ndowa na ndio maana tunapata neno ugoni na mgoni (kukamatwa ugoni na kumuona mgoni wake yaani aliemchukulia mtu wake wa ndowa.
      Tukija kwenye hoja tendo la ndowa ni moja kati ya mambo yanayohusu kufanyiana ndani ya ndowa. Hiki kitendo cha kuingiliana kimeitwa tendo la ndowa kwa sababu ya mila zetu kuficha mambo ya matusi. Hiki kitendo huwezi kusema kuwa ndio kitu pekee ndani ya ndowa kwani hata ufanye hilo tendo la ndowa kuna mambo mengi ikiwamo mahusiano na mapenzi ndani yenu vitu vitakavyopelekea pande zote kuridhika navyo. Na hata hivyo bado watu hubaki na ndowa zao iwapo kuna kasoro ya kutoweza kufanyika hilo tendo la ndowa.
      Asante kwa masahihisho mkuu.
      Lakini naona na wewe umeingia kwenye mkumbo wa kuunderestimate umuhimu wa sex katika ndoa. Niseme kwa kifupi tu, hayo mambo mengine yooooote yahusianayo na Familia hayawezi kustawi kama sexing inamiss. Sitegemei mtu akabadili ufahamu huu nilionao.

      Moja ya experience yangu katika ndoa kwa mfano, inapotokea wife amekuwa na matumizi makubwa ya pesa kiasi cha kushindwa kuelezea exactly ametumia kwenye nini na kutusababishia kuingia kwenye mtafaruku, na vijimambo vingine inaweza kusababisha mawasiliano baina yetu yakaharabika kabisa kabisa hata kwa wiki nzima lakini ikitokea tuka DO. Huo ujinga wote unakwisha immedietly. usipime bwana.

    14. #31
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,482
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      179

      Default Re: Ushauri wa msingi kwa waliooa tu

      Quote By Sangarara
      Asante kwa masahihisho mkuu.
      Lakini naona na wewe umeingia kwenye mkumbo wa kuunderestimate umuhimu wa sex katika ndoa. Niseme kwa kifupi tu, hayo mambo mengine yooooote yahusianayo na Familia hayawezi kustawi kama sexing inamiss. Sitegemei mtu akabadili ufahamu huu nilionao.

      Moja ya experience yangu katika ndoa kwa mfano, inapotokea wife amekuwa na matumizi makubwa ya pesa kiasi cha kushindwa kuelezea exactly ametumia kwenye nini na kutusababishia kuingia kwenye mtafaruku, na vijimambo vingine inaweza kusababisha mawasiliano baina yetu yakaharabika kabisa kabisa hata kwa wiki nzima lakini ikitokea tuka DO. Huo ujinga wote unakwisha immedietly. usipime bwana.
      Naam hilo tendo la ndowa umeshakubali kuwa linanoga pale panapo mawasiliano mazuri, hivyo huoni kuwa uhusiano mzuri ndani ya ndowa una umuhimu zaidi kuliko huko kudo? Uhusiano mwema ndani ya ndowa inabidi uwepo kila siku lakini tendo la ndowa ni kitu cha muafaka yaani mpaka hali iruhusu ndipo lifanyike.
      Bado kuna ndowa nyingi ambazo kwa sababu moja au nyengine tendo la ndowa linakuwa na vikwazo lakini wawili wanapoelewana ndowa zinadumu tu.

    15. Miaka 50
    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...