Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    Report Post
    Page 1 of 37 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 734
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,412
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      426

      Default Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Katika kile kinachoonekana kupunguza kasi ya CDM na kiongozi wake machachari Dr Wilbroad Slaa Mbunge wa viti Maalum wa chama hicho Rose Kamili amekwenda mahakamani kumshtaki Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa kwa kile anachopinga uhusiano wa Dr Slaa na mke wake mtarajiwa Josephine Mushumbusi.

      Katika hati ya mashtaka aliyo nayo Rose analalamikia kutelekezwa yeye na watoto wake wawili baada ya Josephine kuingilia ndoa yao.Anaiomba mahakama itamke uhusiano wa Dr Slaa na Josephine ni batili.

      Kuna tetesi zimezagaa Rose Kamili amenunuliwa ili kuvuruga mijakati ya CDM kuiandama serikali ya CCM

      Source:Tanzania Daima

      Updates from Mwananchi...Majibu ya Dr Slaa
      Dk Slaa: Nimeyazoea
      Alipotakiwa kuzungumzia kesi hiyo nje ya Mahakama, Dk Slaa alisema: “Hayo mambo nimeyazoea na kimsingi hayanipi shida yoyote.”
      Alipoulizwa endapo anajipanga vipi kulipa fidia hiyo alijibu: “Kesi ni kesi hivyo siyo kila kinachoombwa kwenye kesi lazima kilipwe.”
      Hata hivyo, Dk Slaa alisema asingependa kuzungumzia suala hilo kwa undani kwa kuwa liko kwa mawakili wake lakini akasema amebaini kuwa hizo ni hila na michezo michafu ya kisiasa.
      “Kwanza siyo pingamizi moja tu, kuna pingamizi mbili mahakamani lakini kwa ufupi ifahamike kuwa hizo ni hila.”
      Last edited by Molemo; 12th July 2012 at 08:10.

    2. Miaka 50

    3. Nzi
      #2
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,313
      Rep Power : 21622
      Likes Received
      924
      Likes Given
      822

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Duh! Ebwana eh!

    4. #3
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 452
      Likes Received
      177
      Likes Given
      527

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Mmmh!

      Hii inakuja siku mbili baada ya kuipa ukweli serikali!

      Inawezekana ni kweli.

      Lakini sijawahi sikia mtu akishitakiwa na X wake kisa mchumba mpya!
      Mafie PM and saddam like this.

    5. BAK
      #4
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,575
      Rep Power : 44960
      Likes Received
      8321
      Likes Given
      8292

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By fmpiganaji
      Katika kile kinachoonekana kupunguza kasi ya CDM na kiongozi wake machachari Dr Wilbroad Slaa Mbunge wa viti Maalum wa chama hicho Rose Kamili amekwenda mahakamani kumshtaki Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa kwa kile anachopinga uhusiano wa Dr Slaa na mke wake mtarajiwa Josephine Mushumbusi.Katika hati ya mashtaka aliyo nayo Rose analalamikia kutelekezwa yeye na watoto wake wawili baada ya Josephine kuingilia ndoa yao.Anaiomba mahakama itamke uhusiano wa Dr Slaa na Josephine ni batili.
      Kuna tetesi zimezagaa Rose Kamili amenunuliwa ili kuvuruga mijakati ya CDM kuiandama serikali ya CCM

      Source:Tanzania Daima
      Alikuwa kimya kipindi kirefu sana...aliibuka miezi miwili au mitatu kabla ya uchaguzi wa 2010 baada ya magamba kumpa bulungutu la nguvu na kisha akapotea kabisa, sasa inaelekea kishachukua bulungutu jingine la magamba ili amchafue tena Dr Slaa.
      NATA, mizambwa, Maty and 2 others like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    6. #5
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 452
      Likes Received
      177
      Likes Given
      527

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Kumradhi, mimi bado ni Mugya (mgeni) hapa JF.

      Hivi Rose Kamili bado ni mke halali wa Dr Slaa?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Wivu tu unamsumbua huyo . Ritz, Zomba

    9. #7
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Hivi penzi huwa linalazimishwa jamani?!

    10. #8
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,153
      Rep Power : 28895
      Likes Received
      11637
      Likes Given
      4799

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Tusiwe biased bwana, kama mwanasiasa ambae ni kioo cha jamii lazima social responsibilities zitimizwe! Josephine (first lady wangu binafsi) hajapata hati ya talaka kwa mumewe na ndo iko mahakamani. Kama Rose Kamili nae hajatalikiwa na mumewe, ana haki ya kumshika ugoni na kudai matunzo ya watoto. Hili sio suala la chadema, ni suala lao binafsi.
      Brutus, Ngekewa, Rayase and 8 others like this.

    11. #9
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default

      Quote By BAK
      Alikuwa kimya kipindi kirefu sana...aliibuka miezi miwili au mitatu kabla ya uchaguzi wa 2010 baada ya magamba kumpa bulungutu la nguvu na kisha akapotea kabisa, sasa inaelekea kishachukua bulungutu jingine la magamba ili amchafue tena Dr Slaa.
      Mkuu, huyu Bibie ni mbunge wa viti maalum wa CHADEMA, unataka kusema Chadema hawakujua kuwa analipwa na CCM?

      Kuna waliosema alipewa ubunge na Chadema ili kuzibwa mdomo kuzungumzia suala la "ndoa" yake na Dr.Slaa......posho haijatosha?
      BAK, Brutus, Ngongo and 2 others like this.

    12. #10
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,412
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By King'asti
      Tusiwe biased bwana, kama mwanasiasa ambae ni kioo cha jamii lazima social responsibilities zitimizwe! Josephine (first lady wangu binafsi) hajapata hati ya talaka kwa mumewe na ndo iko mahakamani. Kama Rose Kamili nae hajatalikiwa na mumewe, ana haki ya kumshika ugoni na kudai matunzo ya watoto. Hili sio suala la chadema, ni suala lao binafsi.
      Rose hajawahi funga ndoa na Dr Slaa bali alizaa naye watoto.
      Nikupateje and Ame like this.

    13. #11
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3271
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      916

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Nimresoma stori hiyo muda mfupi Tanzania daima:


      Ndoa ya Dk. Slaa yapingwa

      na Happiness Katabazi

      ALIYEKUWA mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rose Kamili Slaa nee Sukum, amefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, akiiomba izuie Dk. Willibrod Slaa, asifunge ndoa na mchumba wake, Josephine Mushumbusi.

      Kwa mujibu wa hati ya madai ya kesi hiyo ya masuala ya ndoa iliyopewa na Na. 4/2012 ambayo gazeti hili inayo nakala yake, ambayo tayari imepangwa kusikilizwa na Jaji Laurence Kaduri, ilifunguliwa mahakamani hapo hivi karibuni na wakali wa mlalamikaji Joseph Thadayo.

      Washitakiwa katika kesi hiyo ni Dk. Slaa na mchumba wake, Josephine, ambapo mlalamikaji anaiomba mahakama isikubali shauri hilo lipelekwe kwenye Bodi ya Maridhiano ya Masuala ya Ndoa kwa ajili ya kupatanishwa.

      Katika dai la pili, Rose anaiomba Mahakama itangaze kuwa yeye na Dk. Slaa bado ni wanandoa na dai la tatu anaiomba itamke kuwa ndoa baina yake na Dk. Slaa bado ni halali kisheria na kwamba ndoa nyingine itakayofungwa kinyume cha sasa itakuwa ni batili.

      Katika dai lake la nne, mlalamikaji ambaye sasa ni Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA), anadai kuwa Josephine, alimshawishi mumewe (Dk. Slaa) kuivuruga ndoa yao.

      “Pia nia ya wadaiwa hao wawili ya kutaka kufunga ndoa Julai 21 mwaka huu, katika eneo lolote lile, ndoa hiyo ihesabike kuwa ni batili.

      “Pia naiomba mahakama iwaamuru wadaiwa wanilipe fidia ya sh milioni 50 kama gharama za matunzo ya watoto wawili, Emiliana na Linus aliyezaliwa mwaka 1987,” alisema.

      Rose anadai kuwa walianza kuishi pamoja na Dk. Slaa kama mume na mke, na amekuwa akiwahudumia watoto hao peke yake tangu mwaka 2009 baada ya Dk. Slaa kumkimbia.

      Pia anaiomba mahakama imwamuru Josephine naye amlipe fidia ya sh milioni 500 kwa sababu alimsababishia usumbufu mkubwa na kumharibia ndoa yake.


      Ninaona kuwa inabidi Dr. Slaa atatue matatizo yake ya kifamilia kikamilifu kabla hajaendelea mbele zaidi na harakati za kisiasa kwani hayo ndiyo yatakayomwangusha hasa kwa vile aliingia maisha ya familia baada ya muda mrefu wa celibacy.

      Unfortunately mambo kama haya ndiyo yanayoweza kutumika kuvuruga chama chao. huyu mama huenda keshapatiwa burungutu kubwa sana na CCM kusudi amvuruge Slaa na CHADEMA yote, sidhani kama yeye ni mbunge wa CHADEMA kwa dhati na huenda alipewa kiti hicho kinyemela kwa njia ya kumnyamazisha lakini hataki kunyamaza kwa vile upande wa pili una donge nono zaidi ya analopata kwenye ubunge huo.
      Kibunango, alles and mmbangifingi like this.

    14. BAK
      #12
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,575
      Rep Power : 44960
      Likes Received
      8321
      Likes Given
      8292

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By Gaijin
      Mkuu, huyu Bibie ni mbunge wa viti maalum wa CHADEMA, unataka kusema Chadema hawakujua kuwa analipwa na CCM?

      Kuna waliosema alipewa ubunge na Chadema ili kuzibwa mdomo kuzungumzia suala hilo......posho haijatosha?
      G hata Shibuda ni mbunge wa CHADEMA, si unaona vituko vyake dhidi ya CHADEMA na kuifagilia magamba kwa sana? Wengine huweza kununuliwa kirahisi sana ili kuchafua hali ya hewa chamani.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    15. #13
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Rose hajawahi funga ndoa na Dr Slaa bali alizaa naye watoto.
      Unazungumziaje kanuni inayowahesabu wawili wanaoishi kinyumba kwa zaidi ya miaka miwili kuwa ni sawa na wanandoa?

    16. #14
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,153
      Rep Power : 28895
      Likes Received
      11637
      Likes Given
      4799

      Default

      Well, if that is the case, then ana haki ya kudai matunzo ya watoto. Mahakama itaamua kama ni kwa kiasi gani.
      Quote By fmpiganaji
      Rose hajawahi funga ndoa na Dr Slaa bali alizaa naye watoto.
      Unstoppable likes this.

    17. #15
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,412
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3791
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Gaijin
      Unazungumziaje kanuni inayowahesabu wawili wanaoishi kinyumba kwa zaidi ya miaka miwili kuwa ni sawa na wanandoa?
      Hawakuwahi kuishi pamoja ila walizaa pamoja

    18. #16
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default

      Quote By BAK
      G hata Shibuda ni mbunge wa CHADEMA, si unaona vituko vyake dhidi ya CHADEMA na kuifagilia magamba kwa sana? Wengine huweza kununuliwa kirahisi sana ili kuchafua hali ya hewa chamani.
      Kuna mambo mwengine nadhani tunaingiza siasa hata katika mambo yasiyohusu.

      Kama Rose Kamil hapati haki zake za msingi kwa baby daddy wake asichukue hatua kwa sababu za siasa?

      Slaa angeondoa hizo loop holes wala asingeshtakiwa pahali
      Ngongo and Ngoromiko like this.

    19. #17
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Hawakuwahi kuishi pamoja ila walizaa pamoja
      Hawakuwahi kuishi pamoja lakini walizaa watoto (3?)....you are joking, right?!

    20. #18
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,153
      Rep Power : 28895
      Likes Received
      11637
      Likes Given
      4799

      Default

      Kwani wanaozaa na waume wa watu wanazaaje? Its a 5 minutes process to make a baby mwalimu!
      And I thought watoto ni wawili?
      Quote By Gaijin
      Hawakuwahi kuishi pamoja lakini walizaa watoto (3?)....you are joking, right?!

    21. #19
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,153
      Rep Power : 28895
      Likes Received
      11637
      Likes Given
      4799

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Wait a minute! Hao Emiliana na Linus wamezaliwa 1987? Yaani anataka matunzo ya a 25 yrs old man and a woman (manake sio girl tena)? Ama anadai arrears? Mmh, fishy!
      Bigirita, Maty, Kobello and 2 others like this.

    22. #20
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Huyu Rose inabidi achukuliwe hatua za kinidhamu ikibidi afukuzwe
      kula kwa tindo likes this.

    Page 1 of 37 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...