Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    Report Post
    Page 2 of 37 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 734
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,422
      Rep Power : 10874
      Likes Received
      3801
      Likes Given
      426

      Default Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Katika kile kinachoonekana kupunguza kasi ya CDM na kiongozi wake machachari Dr Wilbroad Slaa Mbunge wa viti Maalum wa chama hicho Rose Kamili amekwenda mahakamani kumshtaki Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa kwa kile anachopinga uhusiano wa Dr Slaa na mke wake mtarajiwa Josephine Mushumbusi.

      Katika hati ya mashtaka aliyo nayo Rose analalamikia kutelekezwa yeye na watoto wake wawili baada ya Josephine kuingilia ndoa yao.Anaiomba mahakama itamke uhusiano wa Dr Slaa na Josephine ni batili.

      Kuna tetesi zimezagaa Rose Kamili amenunuliwa ili kuvuruga mijakati ya CDM kuiandama serikali ya CCM

      Source:Tanzania Daima

      Updates from Mwananchi...Majibu ya Dr Slaa
      Dk Slaa: Nimeyazoea
      Alipotakiwa kuzungumzia kesi hiyo nje ya Mahakama, Dk Slaa alisema: “Hayo mambo nimeyazoea na kimsingi hayanipi shida yoyote.”
      Alipoulizwa endapo anajipanga vipi kulipa fidia hiyo alijibu: “Kesi ni kesi hivyo siyo kila kinachoombwa kwenye kesi lazima kilipwe.”
      Hata hivyo, Dk Slaa alisema asingependa kuzungumzia suala hilo kwa undani kwa kuwa liko kwa mawakili wake lakini akasema amebaini kuwa hizo ni hila na michezo michafu ya kisiasa.
      “Kwanza siyo pingamizi moja tu, kuna pingamizi mbili mahakamani lakini kwa ufupi ifahamike kuwa hizo ni hila.”
      Last edited by Molemo; 12th July 2012 at 08:10.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,422
      Rep Power : 10874
      Likes Received
      3801
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Gaijin
      Hawakuwahi kuishi pamoja lakini walizaa watoto (3?)....you are joking, right?!
      Walizaa watoto 2.

    4. #22
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,948
      Rep Power : 1659
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      191

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By King'asti
      Wait a minute! Hao Emiliana na Linus wamezaliwa 1987? Yaani anataka matunzo ya a 25 yrs old man and a woman (manake sio girl tena)? Ama anadai arrears? Mmh, fishy!
      Nakubaliana na wewe kama walizaliwa 1987, hakuna child support kwa sababu ni watu wazima sasa.
      sulphadoxine and Unstoppable like this.
      Keeping quiet is a war crime.

    5. #23
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2499

      Default

      Quote By King'asti
      Kwani wanaozaa na waume wa watu wanazaaje? Its a 5 minutes process to make a baby mwalimu!
      And I thought watoto ni wawili?
      Sishangai na hiyo process inachukua muda gani, nashangaa na maadili ya Dk.Slaa linapokuja suala la ngono, tena ngono zembe at that.

      Kisha nashangaa alivyomwepesi wa kusema uongo.....juzi mbele ya waandishi wa habari alitutangazia zaidi ya Mara moja kuwa Josephine ni mkewe wakati kumbe kisheria Josephine ni mke wa mtu mwengine
      Maty, Michelle, Kobello and 1 others like this.

    6. #24
      mayenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2009
      Posts : 1,567
      Rep Power : 807
      Likes Received
      308
      Likes Given
      438

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Kama hawajafunga ndoa,those children out of wedlock stand illegitimate and support of the children remains with concubine mother.That's all.

    7. #25
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      everyone has a price, the problem is know what it is.
      arinaswi likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,948
      Rep Power : 1659
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      191

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By mayenga
      Kama hawajafunga ndoa,those children out of wedlock stand illegitimate and support of the children remains with concubine mother.That's all.
      Thats stupid.
      Keeping quiet is a war crime.

    10. #27
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,239
      Rep Power : 31388
      Likes Received
      9613
      Likes Given
      683

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      What the freak!!?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    11. #28
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,948
      Rep Power : 1659
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      191

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Gaijin Josephine si mke wa Slaa, hapo ameudanganya umma. Nakubali kuna kutokuheshimu sacrament ya ndoa au family as an institution kwa upande wa Slaa, na hii sio character nzuri ya kiongozi yeyote, especially wa umma.
      Keeping quiet is a war crime.

    12. #29
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,033
      Rep Power : 1722
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Gaijin Dr Slaa sio mkurupukaji.
      Nakushauri nenda kazisome Sheria za ndoa.
      Unajivua nguo
      Bigirita likes this.

    13. #30
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Ni Rose huyu huyu aliyemvua joho Dr. Slaa. Rose leo ukimwuliza Padre Hayuma ni nani, Padre Corneli ni nani wote anawajua mpaka ndani. Kisa cha kuachana kilikuwa wazi mbona?

    14. #31
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,948
      Rep Power : 1659
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      191

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By Mungi
      Kabla hajajiunga na chadema niliwahi kusema humu kuwa Rose ana pepo la ngono, na pepo lake lilikuwa linamtuma kuzini na mapadre tu. Ni Rose huyu huyu aliyemvua joho Dr. Slaa. Rose leo ukimwuliza Padre Hayuma ni nani, Padre Corneli ni nani wote anawajua mpaka ndani. Kisa cha kuachana kilikuwa wazi mbona?
      Kuachana tena? Kwani walikuwa kwenye ndoa?
      Keeping quiet is a war crime.

    15. #32
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default

      Quote By Kobello
      Kuachana tena? Kwani walikuwa kwenye ndoa?
      Ni kweli hawakufunga ndoa, lakini wameishi unyumba miaka mingi mkuu
      NasDaz likes this.

    16. #33
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,052
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Quote By Mpungati
      Hivi penzi huwa linalazimishwa jamani?!
      Hapana ila Rose Anataka matunzo ya watoto na mali zile walizochuma wote wagawane pasu pasu.

    17. #34
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,033
      Rep Power : 1722
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Kobello Hii ishu ya ndoa ukikurupuka kama mwendawazimu hutoweza kuelewa.
      Hii ishu kuna kipindi ilishajadiliwa sana mpaka tukapata kuelewa kuwa kisheria mtu ukikaa na mpenzi within a 6 mnth basi huyo atahesabika kuwa mke wako kihalali na hata siku mkitengana basi utalazimika kugawana nae mali mlizochuma.

      So kwa hilo hapo juu nililokudokeza linaweka wazi kuwa swala la Ndoa iwe Kanisani au Msikitini si kitu cha lazima ktk sheria za nchi hii...
      Kwa sababu mnaweza kukaa bila ndoa lakini baada ya miezi hiyo kupita basi Sheria za kiserikali zinawahalalisha.

      Pia unapoanza kuzungumzia maswala ya Sacrament ukae ukijuwa sio woote ni wa imani unayoifuata wewe, au hao wenzio ambao dini zenu zililetwa na Meli za wakoloni...fahamu kuwa kuna watu mpaka leo wako na Imani za asili na wanafuata ndoa za kimila.

      Je unajuwa ndoa za kimila zinasemaje ktk ishu hii?
      Kyaiyembe likes this.

    18. #35
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default re: Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

      Huyu mama Rose ndio wale wale
      akina she-buda kwani yeye
      hadi leo hajapata tu mzazi mwingine wa.......hadi amn'gang'anie Dr.Slaa?

    19. #36
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,033
      Rep Power : 1722
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kobello
      Kuachana tena? Kwani walikuwa kwenye ndoa?
      NOTE:
      kuachana si lazima muwe kwenye ndoa.
      Mnaweza kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ya kawaida ambayo hamkufikia kipengele cha viapo mbele za mashahidi then mkapishana na kisha kila mmoja wenu akaamua kuchukua hamsa zake na kusepa...so hapo mnakuwa mmeachana.

    20. #37
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default

      Quote By georgeallen
      Hapana ila Rose Anataka matunzo ya watoto na mali zile walizochuma wote wagawane pasu pasu.
      Rose anaelewa hakuna mali walizochuma pamoja na Dr. Slaa

    21. #38
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default

      Quote By Mandingo
      Huyu mama Rose ndio wale wale
      akina she-buda kwani yeye
      hadi leo hajapata tu mzazi mwingine wa.......hadi amn'gang'anie Dr.Slaa?
      Hajafanikiwa kumvua joho padre mwingine
      NasDaz and mariavictima like this.

    22. #39
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1176
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By King'asti
      Tusiwe biased bwana, kama mwanasiasa ambae ni kioo cha jamii lazima social responsibilities zitimizwe! Josephine (first lady wangu binafsi) hajapata hati ya talaka kwa mumewe na ndo iko mahakamani. Kama Rose Kamili nae hajatalikiwa na mumewe, ana haki ya kumshika ugoni na kudai matunzo ya watoto. Hili sio suala la chadema, ni suala lao binafsi.
      Maridadi sana, umenena vyema. Aisee ushabiki huu sasa utakuwa uchizi. Hata mtu akidai haki yake katumwa? Kuna mamia ya kesi za aina hiyo nchini.

    23. #40
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mungi
      Kabla hajajiunga na chadema niliwahi kusema humu kuwa Rose ana pepo la ngono, na pepo lake lilikuwa linamtuma kuzini na mapadre tu. Ni Rose huyu huyu aliyemvua joho Dr. Slaa. Rose leo ukimwuliza Padre Hayuma ni nani, Padre Corneli ni nani wote anawajua mpaka ndani. Kisa cha kuachana kilikuwa wazi mbona?
      inaelekea badala ya kuungama kwa padri yeye alikua anashusha mistari na kurembua rembua

    Page 2 of 37 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...