kama we nin mwanaume na umeoa na mungu kakujaaalia watoto au hata kama bado basi fahamu kuwa unapoipatia familia yako mahitaji ya muhimu...au chochote unachofanya kwa ajili ya familia yako basi fahamu kuwa kufanya hivo unakuwa unatoa sadaka na tegemea malipo kutoka kwa muumba wako...kwa wale wasiopenda kuihudumia familia mnakosa mengi ......ni hayo tu.

Reply With Quote


Follow Us Here