Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 105
    1. #1
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.
      Boflo likes this.

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By charminglady
      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.
      Ili tuweze kutoa majibu sahihi, tuwe na base moja ya ku-hinge arguments zetu. Let first define what is uhuni, then from there we will reach a valid conclusion. For example if I ask you: Is a whale a fish? You will first have define what are the characteristics of a fish and a whale -define the two terms!
      Mundu likes this.

    4. #3
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,359
      Rep Power : 26647
      Likes Received
      2655
      Likes Given
      1560

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      wala sio uhuni ni kujifurahisha unafanya kitu roho inapenda. kuna wengine hawaendi bar wala club lakini mambo yao balaa tupu.....kama nia yake ya kwenda bar na club ni kujifurahisha aendelee bila wasi
      Ndahani, Boflo, IGWE and 1 others like this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    5. #4
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,171
      Rep Power : 31374
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By CHUAKACHARA
      Ili tuweze kutoa majibu sahihi, tuwe na base moja ya ku-hinge arguments zetu. Let first define what is uhuni, then from there we will reach a valid conclusion. For example if I ask you: Is a whale a fish? You will first have define what are the characteristics of a fish and a whale -define the two terms!
      I'm neither a grammarian nor grammar police but your grammar and syntax suck.
      Lonestriker and KOKUTONA like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    6. #5
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,115
      Rep Power : 28888
      Likes Received
      11619
      Likes Given
      4783

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Inategemea unaishi kijiji gani! Jumapili kwenye ibada nilikaa na mdada kanisani yuko busy anachat kwenye bbm!
      mtu chake, Dotworld and tara like this.

    7. Study Abroad

    8. #6
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Ni starehe.....starehe sio uhuni ingawa kuna starehe za kihuni

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    9. #7
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 475
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      inategemea anaenda kufanya nini huko club au bar..wengine wanaenda kuwinda wanawake au wanaume na wengine kukutana na rafiki zao, wengine kupoteza mawazo...na kuendelea!yeye anaenda kufanya nini??
      Boflo and charminglady like this.

    10. #8
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 475
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu
      I'm neither a grammarian nor grammar police but your grammar and syntax suck.
      jamani Nyani Ngabu..easy on the fella!

    11. #9
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,384
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      595

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Sio uhuni.....
      charminglady likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    12. #10
      Mahmetkid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : Kagera-Bukoba
      Posts : 414
      Rep Power : 439
      Likes Received
      104
      Likes Given
      8

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo
      Tabai ya kwenda Club na bar ndiyo iliyosababisha mchumba wake wa awali amuache.
      Tabia ya kwenda bar au club si uhuni, ila jamii inachukulia ni uhuni kwani mwisho wa starehe huko bar au club ni matendo ya kihuni.
      Upande wa pili hii ni tabia tegemezi, ukianzasha tu kwenda club ni vigumu kuacha tabia hii. Hata kama utakosa pesa, utatafuta tu ili weekend uende club.
      Boflo, Lonestriker and mito like this.

    13. #11
      Mwanawalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 323
      Rep Power : 415
      Likes Received
      87
      Likes Given
      53

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      kwenda club au bar si uhuni provided you aren't doing anything illegal

    14. #12
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,171
      Rep Power : 31374
      Likes Received
      9577
      Likes Given
      683

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Mwanawalwa
      kwenda club au bar si uhuni provided you aren't doing anything illegal
      Kufanya kitu illegal ni uhuni?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    15. #13
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By King'asti
      Inategemea unaishi kijiji gani! Jumapili kwenye ibada nilikaa na mdada kanisani yuko busy anachat kwenye bbm!
      Khaaaa!.....lol.....huyo kweli kiboko daaah!
      Life without problems never make a strong and good person!

    16. #14
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani
      wala sio uhuni ni kujifurahisha unafanya kitu roho inapenda. kuna wengine hawaendi bar wala club lakini mambo yao balaa tupu.....kama nia yake ya kwenda bar na club ni kujifurahisha aendelee bila wasi

      Afu wewe......ole wako nikukamate!
      Life without problems never make a strong and good person!

    17. #15
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani
      wala sio uhuni ni kujifurahisha unafanya kitu roho inapenda. kuna wengine hawaendi bar wala club lakini mambo yao balaa tupu.....kama nia yake ya kwenda bar na club ni kujifurahisha aendelee bila wasi
      asante kwa ushaurim ujumbe utafika. nia yake ya kwenda bar / club ni kwaajili tu ya kujifurahisha na kukutana na rafiki zake na sio vinginevyo!

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    18. #16
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,436
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14534
      Likes Given
      22033

      Default

      Quote By sweetlady
      Afu wewe......ole wako nikukamate!
      Nikuelekeze aliko? Nilipe deni langu kwanza....

    19. #17
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Asprin
      Nikuelekeze aliko? Nilipe deni langu kwanza....

      Nielekeze.......naenda kuchukua hilo deni afu nakuja kukulipa!
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #18
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By King'asti
      Inategemea unaishi kijiji gani! Jumapili kwenye ibada nilikaa na mdada kanisani yuko busy anachat kwenye bbm!
      c ndo hapo, mimi ushauri wangu niliotaka kumshauri ni huu... huko anakokwenda club au bar a-behave co kwenda kavaa ki-uchi uchi avae mivao yenye staha hata kama ni mivao ya usiku na co kama ya wale wanaokwenda kwa minajili ya kutafuta biashara huenda hata mtu akashindwa kumtofautisha na hao wanaojiuza.... pia aangalie asiwe analewa kupita kiac mpk hata rafiki zake wakakereka.... je hapo nitakuwa nimekosea make ni mtu wa kununa nuna sana na sitaki kumkwaza!

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    21. #19
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Safari_ni_Safari
      Ni starehe.....starehe sio uhuni ingawa kuna starehe za kihuni
      asante mkuu, starehe za kihuni ni kama zipi ili katika ushauri wangu nimwambie hivo pia

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    22. #20
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By phina
      inategemea anaenda kufanya nini huko club au bar..wengine wanaenda kuwinda wanawake au wanaume na wengine kukutana na rafiki zao, wengine kupoteza mawazo...na kuendelea!yeye anaenda kufanya nini??
      yeye huenda bar/club kupoteza mawazo, kujifurahisha na co kwenda kutafuta wanaume kwani ana marafiki wa kiume anaotoka nao ila hakuna aliye mpenzi wake kati ya hao just kampani tu........ na wengine ni officemate na schoolmate

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    23. Miaka 50
    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...