Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 105
    1. #1
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,832
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.
      Boflo likes this.

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 574
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu
      Kufanya kitu illegal ni uhuni?
      Sio uhuni ni usela.

    4. #42
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,021
      Rep Power : 7642
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu
      What concept are you talking about?
      Define the term "concept" first, then go into my postings you will know the concepts I am trying to drive home

    5. #43
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,363
      Rep Power : 26649
      Likes Received
      2657
      Likes Given
      1562

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By sweetlady
      Umeanza kuzeeka sasa wifi angu hivi leo tunaenda club au baa?.....tukutane pale kwenye ile baa ya siku zote lol....uwahi eeh!
      wifi uzee sifa........nitakupeleka kijiwe kipya tukutane kona ya kwanza utafurahia supu ya ulimi...... wifi nakuaminia kwa kuwahi eneo husika
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    6. #44
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7469
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani
      wifi uzee sifa........nitakupeleka kijiwe kipya tukutane kona ya kwanza utafurahia supu ya ulimi...... wifi nakuaminia kwa kuwahi eneo husika
      Yaani hapa nishaanza safari ujue lol!.......sasa kwa hasira utanikuta kona ya pili!
      Life without problems never make a strong and good person!

    7. #45
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 574
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      kwenda bar ni uhuni na sio uhuni na inategemea unaenda kufanya nini kama unaenda kunywa tuu na kukutana na marafiki na kupiga stori huu sio uhuni kama unaenda bar kulewa na kutafuta malaya na kufanya vitu ambavyo havina maadili huu sasa ni uhuni

    8. Miaka 50

    9. #46
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 781
      Rep Power : 578
      Likes Received
      248
      Likes Given
      241

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      kuliko kujifungia ndani na kulia, kuleta msongo wa mawazo mwishoe mi pressure humo humo ni bora kujichanganya na friends na kwenda club kama anvyofanya but awe tu makini asije akaingia kwenye balaa jingine huko club, hata hvyo kuna njia nyingi nyingine za kupotezea hzo stress ambazo ni nzur zaid mfano anaweza akaenda gym, kama anapenda kuandika, kufanya mazoez hata ya kutembea tu kwa umbali fulan, kuimba kama anapenda,,,,,. zaid pole yake kwa yaliyomkuta.
      Happiness is not a reward it is a consequence









    10. #47
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Hivu uhuni ni nini? maana kuna mambo mengine yanasemwa jumla jumla tu bila kuelewa hata maana ya maneno tunayoyatumia
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    11. #48
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,194
      Rep Power : 31379
      Likes Received
      9590
      Likes Given
      683

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By CHUAKACHARA
      Define the term "concept" first, then go into my postings you will know the concepts I am trying to drive home
      You want me to define it as a noun or an adjective?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    12. #49
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      mambo ya kihuni yote yako bar na club..so wahuni pia hujumuika huko..

    13. #50
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,363
      Rep Power : 26649
      Likes Received
      2657
      Likes Given
      1562

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By sweetlady
      Namshangaaaa! .....au uzee umemzidia nae huyu....ujue aliniomba nimnunulie ugoro sasa mwenzie sijapata mda wa kwenda kununua ndio ishakuwa deni tena!
      vibabu vingine havichelewe kuacha laana mpatie mwenye zamu ya kukaguliwa leo ampeleke usije chelewa kijiweni
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    14. #51
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7469
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani
      vibabu vingine havichelewe kuacha laana mpatie mwenye zamu ya kukaguliwa leo ampeleke usije chelewa kijiweni
      Yuko wapi Preta nimpeleke kuepuka hii laana?
      Preta likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    15. #52
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,954
      Rep Power : 2367
      Likes Received
      953
      Likes Given
      172

      Default

      Yeh ni uhuni

    16. #53
      Catherine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Dar
      Posts : 1,241
      Rep Power : 595
      Likes Received
      739
      Likes Given
      208

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Mi nafikiri sio uhuni ila kama kuna machafu utakayoyafanya huko ndio uhuni.

    17. #54
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1522

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Ukianza kujiuliza kila kitu huto toka hata ndani ya chumba chako mwambie afurahie maisha kwa wakati wake.
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    18. #55
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,842
      Rep Power : 3151
      Likes Received
      806
      Likes Given
      652

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By charminglady
      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.
      charminglady, habari yako kwanza!

      Katika maisha kuna vitu vingi vya kuangalia kabla hujafanya kitu unachofikiria kukifanya, hii inahusisha pia ni namna gani jamii ya maeneo hayo inatreat jambo unalotaka kulifanya. Kwa mfano wazungu wanavaa vikaptula na malapa na wanatembea mjini and nobody cares lakini akivaa mswahili hivyo kila mtu atashangaa kwanini kavaa hivyo. Sasa tunarudi kwenye jambo lako hili,

      Kwa mila za kiafrika imezoeleka kwamba kuna maeneo ambayo mwanamke kwenda bila uangalizi wa mwanaume ni kitendo kisichoeleweka sana kwa jamii. Moja ya maeneo hayo Club au katika maeneo ya unywaji pombe. Sasa kwanini labda ilipelekea hili? Kawaida wanaume huangalia wanawake kwa mtazamo wa matamanio na kitu pekee kinachowafanya wapishane na kusalimiana na kuongea bila kitu chochote kutokea ni pale mwanamke anapokuwa kwenye clear state of mind ambayo hupotea kwa kiasi kikubwa anapokuwa kwenye influence ya kilevi na ndio maana role ya mwanaume huonekana hapa kwani ndio huchukua nafasi ya kumprotect mwanamke huyo against any unusually incidences so pale anapoonekana mwanamke yuko peke yake kwa mtazamo wa harakaharaka huonekana hajatulia sana.

      Pili ni tabia zinazoendelea ndani ya club ambazo huchangia sana kwa wanaume kutotaka kuwaruhusu wanawake zao kwenda club peke yao. Binadamu ameumbwa na ubinafsi kwahiyo kwa vile amezoea kuona kutoka ndani ya club kuna vitendo vinavyofanyika vinavyoweza kufanya ule ubinafsi wake kwa mpenzi wake kupungua ndio maana wanaume wengi hawapendi kuwaruhusu wapenzi wao kutoka bila wao.

      Cha tatu ni influence waliyonayo wanawake kwa wanawake wakiwa peke yao, ni rahisi sana kama wametoka wanawake wawili na mmoja akawa na mpenzi wake mwingine akawa peke yake kushawishiwa kujiingiza kwenye mahusiano na mtu mwingine (mara nyingi kama kuna mtu ameambatana na huyo mpenzi wake) so wanaume wengi huwa wanalijua hili na kujitahidi kuliepuka.

      Kiufupi mtazamo wa watu juu ya kitendo hicho una cons nyingi kuliko pros........lakini mwisho wa siku kama anaamua kuziba masikio na kuendelea na maisha yake kama kawa huku akikubali kuwa judged vile vile
      charminglady likes this.
      A hen is only an egg's way of making another egg

    19. #56
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,832
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By The Boss
      kujibu swali la thread
      hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
      uta react vipi?
      The Boss kwa mimi bianfsi cwezi kureact kwani nina mfano hai 1 kuna mkaka alioa baamedi na sasa ni wanandoa wazuri tu lakini leo hii ukimwambia mtu kuwa unaoa baamed atakujia juu kama moto wa kifuu.... kinachoamata ni tabia ya mtu binafsi na sio mahali mlipokutania...... mnaweza kukutana kanisani lakini akawa na tabia mbaya kuliko hata machangudoa!

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    20. #57
      fazaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2009
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1106
      Likes Received
      971
      Likes Given
      770

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By The Boss
      kujibu swali la thread
      hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
      uta react vipi?
      Hapo hata mwalimu angemfukuza mwanafunzi asisome tena, angemwambie kisha maliza university kabla hajafika, good point.

    21. #58
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,483
      Rep Power : 1450
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By charminglady
      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.

      Iwapo unaenda shambani na ukifika huko unakamata jembe au panga na kushiriki yale matendo ya kondeni basi unabaki kuwa mkulima, ingawa daraja lako la kuitwa mkulima isiwe sawa na yule mwenye kumiliki shamba kubwa anaetumia trekta na mashine nyengine.
      charminglady likes this.

    22. #59
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,832
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By M'Jr
      charminglady, habari yako kwanza!

      Katika maisha kuna vitu vingi vya kuangalia kabla hujafanya kitu unachofikiria kukifanya, hii inahusisha pia ni namna gani jamii ya maeneo hayo inatreat jambo unalotaka kulifanya. Kwa mfano wazungu wanavaa vikaptula na malapa na wanatembea mjini and nobody cares lakini akivaa mswahili hivyo kila mtu atashangaa kwanini kavaa hivyo. Sasa tunarudi kwenye jambo lako hili,

      Kwa mila za kiafrika imezoeleka kwamba kuna maeneo ambayo mwanamke kwenda bila uangalizi wa mwanaume ni kitendo kisichoeleweka sana kwa jamii. Moja ya maeneo hayo Club au katika maeneo ya unywaji pombe. Sasa kwanini labda ilipelekea hili? Kawaida wanaume huangalia wanawake kwa mtazamo wa matamanio na kitu pekee kinachowafanya wapishane na kusalimiana na kuongea bila kitu chochote kutokea ni pale mwanamke anapokuwa kwenye clear state of mind ambayo hupotea kwa kiasi kikubwa anapokuwa kwenye influence ya kilevi na ndio maana role ya mwanaume huonekana hapa kwani ndio huchukua nafasi ya kumprotect mwanamke huyo against any unusually incidences so pale anapoonekana mwanamke yuko peke yake kwa mtazamo wa harakaharaka huonekana hajatulia sana.

      Pili ni tabia zinazoendelea ndani ya club ambazo huchangia sana kwa wanaume kutotaka kuwaruhusu wanawake zao kwenda club peke yao. Binadamu ameumbwa na ubinafsi kwahiyo kwa vile amezoea kuona kutoka ndani ya club kuna vitendo vinavyofanyika vinavyoweza kufanya ule ubinafsi wake kwa mpenzi wake kupungua ndio maana wanaume wengi hawapendi kuwaruhusu wapenzi wao kutoka bila wao.

      Cha tatu ni influence waliyonayo wanawake kwa wanawake wakiwa peke yao, ni rahisi sana kama wametoka wanawake wawili na mmoja akawa na mpenzi wake mwingine akawa peke yake kushawishiwa kujiingiza kwenye mahusiano na mtu mwingine (mara nyingi kama kuna mtu ameambatana na huyo mpenzi wake) so wanaume wengi huwa wanalijua hili na kujitahidi kuliepuka.

      Kiufupi mtazamo wa watu juu ya kitendo hicho una cons nyingi kuliko pros........lakini mwisho wa siku kama anaamua kuziba masikio na kuendelea na maisha yake kama kawa huku akikubali kuwa judged vile vile
      Asante kwa ushauri, ila ukisoma katika thread yangu utaona kuwa huwa anatoka na marafiki, schoolmates, workmates na co pekeyake. na hao marafiki zake humtreat kwa jinsi alivyo... co kimapenzi!

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    23. #60
      marrykate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 434
      Likes Received
      112
      Likes Given
      190

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      sio uhuni, ila jamii inayotuzunguka inachuluklia hiyo tabia kama uhuni, hata hapa Jf kuna siku tulidiscuss mke mlevi na mpenda starehe, comment nyingi zilionesha kwamba sio tabia nzuri kupenda mambo hayo

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...