Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 105
    1. #1
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,062
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5013
      Likes Given
      5763

      Default Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Husika na hiyo heading, hilo ni swali kaniuliza rafiki yangu (mdada) nimpe ushauri na mtazamo wangu kuhusu hilo suala....
      Anasema kwua yeye akijisikia kutoka out huwa anawatafuta washkaji zake wanatoka out, wanapiga story, wanakunywa pombe then anarudi zake home kwake..... au kama ni w-end anawatafuta wanakwenda club baadaye wanamrudisha home kwake...

      Sasa kaniuliza mimi kama rafiki yake nina mtazamo gani juu ya hiyo tabia yake? kabla sijamjibu naomba mtazamo / ushauri juu ya hili..........

      Kimahusiano yeye hana mahusiano ya kudumu ana b/f wake ambaye huwa wanatafutana wakiwa na naniliu tu baada ya hapo kila mtu ana hamsini zake, sababu ya yeye kufanya hivo ni kutokana na kutendwa ma aliyekuwa mchumba wake ambaye alimuacha wakati keshamtambulisha na kumpeleka kwao (kwao kijana) sababu sijui hajanambia mpaka leo.
      Boflo likes this.

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”


    2. #21
      Mundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2008
      Posts : 1,689
      Rep Power : 884
      Likes Received
      230
      Likes Given
      23

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By CHUAKACHARA View Post
      Ili tuweze kutoa majibu sahihi, tuwe na base moja ya ku-hinge arguments zetu. Let first define what is uhuni, then from there we will reach a valid conclusion. For example if I ask you: Is a whale a fish? You will first have define what are the characteristics of a fish and a whale -define the two terms!
      Wakati nasoma kichwa cha habari kuhusu hii thread...swali langu la kwanza nililotaka kuuliza ni hilo "uhuni ni kitu gani?"
      Mswahili jambo la kipumbavu likisemwa kizungu, anaona sawasawa kabisa!! J.K.Nyerere

    3. ram is online now
      ram
      #22
      ram's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 2,047
      Rep Power : 1139
      Likes Received
      741
      Likes Given
      410

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Anachart na simu? Kwanini hukumnasa kibao? Ungemnasa kibao angetambua kosa lake na asingerudia tena.

      Tukija kwenye thread, to me kwenda club au bar sio uhuni ni kula gudtime tu

      Quote By King'asti View Post
      Inategemea unaishi kijiji gani! Jumapili kwenye ibada nilikaa na mdada kanisani yuko busy anachat kwenye bbm!

    4. #23
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,064
      Rep Power : 7654
      Likes Received
      998
      Likes Given
      762

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      I'm neither a grammarian nor grammar police but your grammar and syntax suck.
      You guy, nilikwambia jana kuwa I dont need to go into the rules of English before posting anything in this forum. Sina haja ya ku-proof read as long as my message is understood. Typing error and oversights are minor when making a post here. Nimekwambia mimi ni pure scientist hatujifunzi lugha!!! penguin!!!
      mtanzania1989 likes this.

    5. #24
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,062
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5013
      Likes Given
      5763

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By mahmetkid View Post
      tabai ya kwenda club na bar ndiyo iliyosababisha mchumba wake wa awali amuache.
      Tabia ya kwenda bar au club si uhuni, ila jamii inachukulia ni uhuni kwani mwisho wa starehe huko bar au club ni matendo ya kihuni.
      Upande wa pili hii ni tabia tegemezi, ukianzasha tu kwenda club ni vigumu kuacha tabia hii. Hata kama utakosa pesa, utatafuta tu ili weekend uende club.

      hakuwa na tabia hiyo, bali alianza kwenda bar/club baaba ya kuwa ameachwa..........

      “You can get a thousand "no's" from people, and only one "yes" from God.”

    6. #25
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,463
      Rep Power : 24251
      Likes Received
      5099
      Likes Given
      2738

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By charminglady View Post
      asante mkuu, starehe za kihuni ni kama zipi ili katika ushauri wangu nimwambie hivo pia
      Dah labda ni ku PM vinginevyo utasoma ****** tupu hapa

      Zogolo Dangu Dawika Miye!



    7. #26
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By CHUAKACHARA View Post
      Sina haja ya ku-proof read as long as my message is understood.
      What if your message is not understood?

    8. #27
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13812
      Likes Given
      18061

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      kujibu swali la thread
      hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
      uta react vipi?
      fazaa likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    9. #28
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By The Boss View Post
      kujibu swali la thread
      hivi kaka yako akija kukwambia amepata mchumba alipoenda club/bar
      uta react vipi?
      Nitasema 'daaah....kweli'?
      The Boss likes this.

    10. #29
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13812
      Likes Given
      18061

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      Nitasema 'daaah....kweli'?
      umeonaa eeh?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #30
      Leodgard's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Sio uhuni!! Sehemu ya kupotezea stress za juma zima!!

    12. #31
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,463
      Rep Power : 24251
      Likes Received
      5099
      Likes Given
      2738

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      What if your message is not understood?
      Hapo sasa...the case of ERECTION and ELECTION kwa MKURYA!!!

      Zogolo Dangu Dawika Miye!


    13. #32
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,402
      Rep Power : 26661
      Likes Received
      2684
      Likes Given
      1563

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By sweetlady View Post
      Afu wewe......ole wako nikukamate!
      acha kupiga chenga haya leo tunakutana club gani ........
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    14. #33
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,064
      Rep Power : 7654
      Likes Received
      998
      Likes Given
      762

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      What if your message is not understood?
      I am sure my postings are well understood and the concept internalized by those capable of doing so!

    15. #34
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By CHUAKACHARA View Post
      I am sure my postings are well understood and the concept internalized by those capable of doing so!
      What concept are you talking about?

    16. #35
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,402
      Rep Power : 26661
      Likes Received
      2684
      Likes Given
      1563

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Asprin View Post
      Nikuelekeze aliko? Nilipe deni langu kwanza....
      Babu madeni na wajukuu yameanza lini
      Asprin likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    17. #36
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani View Post
      acha kupiga chenga haya leo tunakutana club gani ........
      Umeanza kuzeeka sasa wifi angu hivi leo tunaenda club au baa?.....tukutane pale kwenye ile baa ya siku zote lol....uwahi eeh!
      Life without problems never make a strong and good person!

    18. #37
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 373
      Rep Power : 579
      Likes Received
      141
      Likes Given
      346

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Nyani Ngabu View Post
      I'm neither a grammarian nor grammar police but your grammar and syntax suck.
      I am a grammar police, and I don't care!! liwalo na liwe...

    19. #38
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Blaki Womani View Post
      Babu madeni na wajukuu yameanza lini
      Namshangaaaa! .....au uzee umemzidia nae huyu....ujue aliniomba nimnunulie ugoro sasa mwenzie sijapata mda wa kwenda kununua ndio ishakuwa deni tena!
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #39
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,385
      Rep Power : 12972
      Likes Received
      4633
      Likes Given
      2504

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By ram View Post
      Anachart na simu? Kwanini hukumnasa kibao? Ungemnasa kibao angetambua kosa lake na asingerudia tena.
      Umnase kibao imekuhusu na kitu gani?

      Kosa lake ni lipi hata alitambue akinaswa kibao? Sana sana angetambua kosa lako wewe la kuingilia uhuru wake binafsi

    21. #40
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Hivi kwenda bar au club ni uhuni???

      Quote By Ndukidi View Post
      I am a grammar police, and I don't care!! liwalo na liwe...
      Source : MIZENGO KAYANZA PETER PINDA.......Haki zote zimehifadhiwa!
      Ndukidi likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...