Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Hi!
      Kuna thread moja inahusu michango ya harusi imenikumbusha mbali. Hivi
      jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali
      ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo
      haya:

      1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo
      mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama mfano mkeo anatokea Mwanza, na mnaishi
      Dar, andaa nauli ya watu wawili, malazi kwa siku mbili, na utagharamia
      shuhuli hiyo ya utambulisho. We tenga 500,000. Hapo tuna assume mkeo
      atajitegemea. Otherwise 800,000 itakutoka.
      2. Kumtambulisha mkeo kwenu. Kama nyie nyumbani ni Arusha, utatakiwa
      umpeleke huko Ngarenanyuki. Sio umlete hapo Tabata mlipopanga. Hapo sio
      kwenu! Andaa nauli yako na atakaekusindikiza, nauli ya binti na mwenzie, na
      gharama za vinywaji na chakula siku hiyo. Utahitaji kama 700,000
      3. Kifuatacho ITV ni kuwaalika wakwe zako nyumbani. Uwatoe watu kama nane
      Mwanza, uwalete Arusha. Wale, walale, wajisaidie, kwa gharama zako. We acha
      ubishi, tenga 800,000 tu.
      4. Kwani we wazazi wako wanajua unakooa? Sasa je? Wasafirishe kwenda
      Mwanza! Watu watano. Utahitaji kuwa na 500,000. Beba pia ATM card yako, kuna
      imejensi.
      5. MAHARI ndio topic inayofuata sasa. Ukiwa mjanja, unganishia kwenye
      hiyo safari hapo juu uue ndege wawili. Pamoja na hayo, itabidi ubebe
      2,000,000.
      6. Sasa kijana unaweza kumvisha mchumba wako pete. Nunua ya kawaida
      kabisa ya dhahabu. 350,000. Tukio lenyewe la kumvisha pete unaweza ita
      marafiki wawili watatu ukatumia 200,000. Au fanya sherehe kabisa. Mi simo
      7. Oke, sasa unaweza kuitisha vikao vya harusi. Tengeneza kadi za mwaliko
      wa kamati kwa 200,000, kikao cha kwanza gharama zote ni juu yako. Andaa
      500,000. Swali la kwanza kwenye kikao: "We una shing ngapi?" Sema 1,000,000.
      8. Utahitaji 100,000 ya sms na simu kukumbushia michango. (Shukuru Mungu
      kuna cheka time)
      9. Wakati vikao vinaendelea, utatuma 200,000 kwa m-pesa ili mambo ya
      kimila yaendelee kule nyumbani. We unaelewa
      10. "Darling, sasa mi kwenye kitchen party ntavaa nini?" 300,000!
      11. "Darling, kuna mahali nimeona gauni zuri la send." 400,000!
      12
      . "Baby, rafiki yangu alinunua gauni la harusi China yani lilimpende..."
      700,000!
      13. Wakati huo wewe mwenyewe hujajua utavaa nini, hujanunua pete za
      harusi, hujamvalisha best man na mkewe. Tuseme unahitaji kama 1,500,000
      maana utalia lia sana. Kumbuka, gharama hizi huchangiwi na kamati. Wala
      hutarudishiwa.
      14. Siku ya send off lazma uende Mwanza. Utaenda mwenyewe? Ndugu wawili
      watatu na mshenga 600,000. Kwenye send off utatakiwa kutoa sijui blanketi la
      bibi, vitenge vya mashangazi, na vikorokoro kibao. Nunua hivyo vitu 300,000
      uende navyo ili kupunguza gharama. Beba 200,000 za wale mashangazi
      watakaoibuka ghafla!
      15. Mshonee baba mkwe suti 100,000 mama mkwe yeye atavaa gauni la 50,000.
      16. Fotokopi hiyo hapo juu (namba 15) kwa wazazi wako. 150,000
      17. Watu watakaopenda kuvaa sare wajitegemee! Mimi sina hela! Ila
      utavishonea nguo vile vitoto kwa 80,000.
      18. Siku mbili kabla ya harusi, utaanza kupokea wageni. Unatakiwa
      uwatafutie malazi na chakula. Kwa ujumla utahitaji kama 500,000
      19. Jioni watoe auti mashemeji zako ambao hawajawahi kufika Dar
      ukawanunulie bia ili wakuone wa maana. 200,000
      20. Siku ya harusi bibi harusi na mwenzie na watoto na ma maids watatakiwa
      wakapambwe saluni. 200,000
      21. We na mwenzio mtaenda kunyoa hapo kwa nanii. Ndevu na nywele na black
      kibishi 40,000
      22. Siku ya harusi beba sadaka 10,000. Wakati huo umeshamtuma kijana
      akakulipie hoteli mtakayofikia baada ya harusi. Kamati haitoi hela hiyo, so
      utalipa malazi ya siku mbili 200,000
      23. Kama mtaenda honeymoon sehemu yoyote nzuri nzuri nje ya mji, si chini
      ya 800,000 kwa angalau siku 5.
      24. Wakati uko huko honeymoon, huna hata kumi, mwanakamati mmoja ambae
      hakuchanga anakupigia simu " Sasa tunavunja lini kamati?" Pesa yote
      iliyochangwa ilitumika kwenye harusi, sasa gharama za kuvunja kamati ni za
      nani?? 500,000!
      25. SASA MNAANZA MAISHA YA UNYUMBA. 14,180,000 poorer

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      WALIMWEUSI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : DSM
      Posts : 947
      Rep Power : 569
      Likes Received
      276
      Likes Given
      354

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Hili nalo neno!
      kula kwa tindo likes this.
      The best mind-ultering drug is truth.

    4. #3
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By WALIMWEUSI
      Hili nalo neno!
      Umeona Mkuu eeeeeh?!!!! Kwa hali hii ya uchumi,ma Single tutakua wengi....

    5. #4
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,063
      Rep Power : 6535
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Trilion times same thing over and over again
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    6. #5
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,836
      Rep Power : 6963
      Likes Received
      1989
      Likes Given
      1535

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Haha, hujaongelea habari ya michango ya harusi kutokutosha, na unatakiwa u top up
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,384
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      595

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By MadameX
      Trilion times same thing over and over again

      You are becoming too expensive madam.....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    9. #7
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,063
      Rep Power : 6535
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By Mkirua

      You are becoming too expensive madam.....
      Mimi, I just thought its boring now duuh
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    10. #8
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5852

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Kwani sherehe lazima?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    11. #9
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,384
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      595

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By Smile
      Kwani sherehe lazima?
      Si lazima but ni muhimu...after all kabla hata ya iyo sherehe makoro koro kiiibao....ah..we are not purchasing you bana!
      Smile likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    12. #10
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,274
      Rep Power : 604
      Likes Received
      329
      Likes Given
      58

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      piga mimba,weka ndani....huo ni mtaji mkubwa sana wa biashara...
      mkonowapaka likes this.

    13. #11
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      yote ya nini hayo wakati mnaweza kuchukuana na kuanza maisha bila gharama yoyote,sana sana ni kulipia pick up ikachukue vyombo vyake na kuhamishia kwako,thats all
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    14. #12
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5852

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By Mkirua
      Si lazima but ni muhimu...after all kabla hata ya iyo sherehe makoro koro kiiibao....ah..we are not purchasing you bana!
      umuhimu wake nini sifa tu za kijinga...kama huna uwezo si utulie?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    15. #13
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Jamani hii thread inarudiwa kila mwezi?muwe mnajaribu kuiedit basi ili iwe mpya khaa!

    16. #14
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By MadameX
      Trilion times same thing over and over again
      Kama kana ukweli.. but its so far....

    17. #15
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 783
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      kazi ipo hapo kaka na hii thread imenitisha

    18. #16
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Sana mzee.. Kama KALE Mkuu....
      Quote By episodes
      yote ya nini hayo wakati mnaweza kuchukuana na kuanza maisha bila gharama yoyote,sana sana ni kulipia pick up ikachukue vyombo vyake na kuhamishia kwako,thats all

    19. #17
      kula kwa tindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 416
      Rep Power : 462
      Likes Received
      70
      Likes Given
      40

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Mkuu Umeua.. duh
      Quote By Scofied
      piga mimba,weka ndani....huo ni mtaji mkubwa sana wa biashara...

    20. #18
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,172
      Rep Power : 638
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By Smile
      Kwani sherehe lazima?
      90% ya girls bila sherehe utakua unatafuta ugomvi
      Smile likes this.
      Life is like video footage Hard to edit directors,that never understood it

    21. #19
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,058
      Rep Power : 23352
      Likes Received
      8093
      Likes Given
      5852

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      Quote By Ipycalypse
      90% ya girls bila sherehe utakua unatafuta ugomvi
      nyie si ndo huwa mnashoboka kutangaza harusi huwa mnaombwa?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    22. #20
      mjombo's's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Location : D'SALAAM
      Posts : 423
      Rep Power : 467
      Likes Received
      65
      Likes Given
      47

      Default Re: Sababu za Wanaume wengi kuwa WAPO WAPO KWANZA...

      so expensive mbaya zaidi unaoa uchagani ndio utakoma

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...