Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: My Confesion: Nilitoa Mimba

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      mkonowapaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Posts : 777
      Rep Power : 629
      Likes Received
      315
      Likes Given
      225

      Default My Confesion: Nilitoa Mimba

      ilikua saa sita na nusu mchana siku ya Ijumaa......nipo nyumbani baada y akutoka kufundisha Tuisheni mbali kidogo na nyumbani........unaikumbuka likizo ya Mkapa enzizile ukimaliza form 6 unakaa zaidi ya mwaka nyumbani..ndoiyo!!

      sasa basi akaja binti na uniform zake..katoroka school,namwangalia kama kanenepa ivi kidogo,ni binti mzuri kwa kweli...
      nampokea kwa kumbatio heavy as i used to love that first Girlfriend of Mine,hapo binti yupo Form Four..mwezi wa Sita ivi..
      Binti akanipa live anahisi kuwa ana ujauzito..tukapime.NI mtoto wa mchungaji na kwao ni sheria kali..ukizingatia ni first born..

      kufika mjini tukapima mtoto kweli ni mjamzito..miezi miwili.Daktar kuona ile Uniform akajua ni wakusoma..akaadvise tutoe,garama ni 15,000...nikajadiliana na binti akapropose tutoe pia..sikupenda..nilitamani nitoroke..niljua ni dhambi kubwa...nilizidiwa nguvu..ikabidi nikubali kuitoa.....akatoa ile mimba......bahati ilitoka bil amatatizo....tukarudi nyumbani..nikamsindikiza hadi kwao...after a week akarudi shuleni.......ingawa baada ya mimi kwenda chuo uhusiano wetu haukuendelea..ila hadi leo bado tunapendana (kaka na dada ..kaolewa na ana mtoto mmoja sasa...

      huwa naikumbuka sana iyo situation n akuniumiza sana moyo wangu........natamani isingewezekana kuw ahivyo..ila haiwezekani.......

      haya wale woote hapa mliowahi/mnaotarajia kutoa au kushawishi kutoa ujauzito...kiri na utubu kwenye thread hii...
      mimi nilishakiri na kumuomba Mungu anisamehe...but is not bad to share it with you


    2. #2
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,321
      Rep Power : 3309
      Likes Received
      1336
      Likes Given
      1241

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      its your confession so to speak................Mungu akusamehe
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    3. #3
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,681
      Rep Power : 2819
      Likes Received
      1184
      Likes Given
      959

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Wewe ndo ulitoa au yeye? jinsia yako ni ipi?!
      Na ulitoa au ilitolewa?
      ,,,,,,,,Jisachi

    4. #4
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,339
      Rep Power : 6595
      Likes Received
      2775
      Likes Given
      1324

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Sijatoa wala kutolewa mimba, bali nakumbuka jirani yetu kipenzi alipoteza maisha yake kwa upotofu wa wanaume kama nyinyi alikuwa form 3.

      RIP M
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    5. #5
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 788
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      hizo ni issue za kawaida kuna jamaa yangu yeye ametoa tano mpaka
      sasahivi kwa hiyo si dhani kama ni isue control birth rate


    6. #6
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,836
      Rep Power : 5674
      Likes Received
      6322
      Likes Given
      2418

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    7. #7
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      hivi..kwa nini watu wasitumie njia za uzazi wa mpango??sex is a great responsibility..hayo mambo ya kutoa mimba na kutubu kila kikicha..na kurudia makosa yale yale tena ni dhaifu!!!

    8. #8
      KIKUNGU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 615
      Rep Power : 1990
      Likes Received
      392
      Likes Given
      522

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Duh hizi issue mbili za kutoa mimba na kutumia condom zinachanganya hata dini zetu.Je watu wafe kwa ukimwi kwa kutokutumia condom au watu wazae wangali shule kwa kutokutumia condom au kutokutoa mimba?.

      To me it is a bit complicated lakini hebu wengine tuchangie kuhusu haya mambo mawili naona kama yanaenda pamoja wakati tunatoa confessions zetu kwani naamini majority yetu humu tumeshatenda hii dhambi(nikiwa mmoja wapo)

    9. #9
      KIKUNGU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 615
      Rep Power : 1990
      Likes Received
      392
      Likes Given
      522

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By phina View Post
      hivi..kwa nini watu wasitumie njia za uzazi wa mpango??sex is a great responsibility..hayo mambo ya kutoa mimba na kutubu kila kikicha..na kurudia makosa yale yale tena ni dhaifu!!!
      Phina,it is a bit complicated my dear,hata uzazi wa mpango ni kinyume na mahubiri ya dini zetu,hebu imagine hata kutumia condom pia ni dhambi,kwamba bora u-abstain au uwe na mpenzi mmoja ulieoa kwa ndoa,je haya tunayaweza kwa udhaifu wetu wa kibinadamu?Just thinking loud

    10. #10
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By KIKUNGU View Post
      Phina,it is a bit complicated my dear,hata uzazi wa mpango ni kinyume na mahubiri ya dini zetu,hebu imagine hata kutumia condom pia ni dhambi,kwamba bora u-abstain au uwe na mpenzi mmoja ulieoa kwa ndoa,je haya tunayaweza kwa udhaifu wetu wa kibinadamu?Just thinking loud
      najua wanasema hamna dhambi kubwa kiliko nyingine..lakini abortion ni uuaji.and everytime you do that you are not the same!a part of you dies with your unborn child..walah!waulize watu..ukipata mtu mkweli atakuambia!
      halafu watu hawatumii kinga-mfano condoms sio kwa sababu ya kuogopa dhambi.,wana yao!!

    11. #11
      issabela's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 380
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      its true pia nataka kuuliza in a family ambayo wanashka sana maadili imetokea one of the parents kaathirika by other means kama ajali hv watafanyje na bado wana tamaniana? na using condm is nt allowed

    12. #12
      KIKUNGU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Posts : 615
      Rep Power : 1990
      Likes Received
      392
      Likes Given
      522

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By phina View Post
      najua wanasema hamna dhambi kubwa kiliko nyingine..lakini abortion ni uuaji.and everytime you do that you are not the same!a part of you dies with your unborn child..walah!waulize watu..ukipata mtu mkweli atakuambia!
      halafu watu hawatumii kinga-mfano condoms sio kwa sababu ya kuogopa dhambi.,wana yao!!

      Phina ndio maana nimesema hizi issues mbili ya kutokutumia condoms and abortions ni very complicated.Nilishawahi kuwa na "maongezi" na rafiki yangu padre kuhusu haya mambo mawili,he never satisfied me with his religious based opinion.

    13. #13
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By KIKUNGU View Post
      Phina ndio maana nimesema hizi issues mbili ya kutokutumia condoms and abortions ni very complicated.Nilishawahi kuwa na "maongezi" na rafiki yangu padre kuhusu haya mambo mawili,he never satisfied me with his religious based opinion.
      kikungu-umenena vyema.siku zote kazi ya padre ni kuilinda imani..so far-I THINK birth control as discussed in religion is based on a cultural point of view eg in christianity from the jews and it was in the old testament that a man was cursed for withdrawal (i hope i am correct with the part cursed) lakini tumepewa maarifa na uwezo wa ya kuchagua..it is much wiser not to conceive-by whatever means, than ending ones life before it has started!

    14. #14
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,318
      Rep Power : 618
      Likes Received
      345
      Likes Given
      59

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      ukiwa na ufahamu wa family planning....swala la abbotion alikupi shida.....cjawahi toa but alinisumbui kulisikia

    15. #15
      Blaine's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Location : beacon hills
      Posts : 1,572
      Rep Power : 3798
      Likes Received
      1107
      Likes Given
      413

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      thanks for sharing your experience and may God give you peace.
      the worst is yet to come

    16. #16
      GodfreyTajiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 564
      Rep Power : 555
      Likes Received
      80
      Likes Given
      63

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By phina View Post
      kikungu-umenena vyema.siku zote kazi ya padre ni kuilinda imani..so far-I THINK birth control as discussed in religion is based on a cultural point of view eg in christianity from the jews and it was in the old testament that a man was cursed for withdrawal (i hope i am correct with the part cursed) lakini tumepewa maarifa na uwezo wa ya kuchagua..it is much wiser not to conceive-by whatever means, than ending ones life before it has started!
      mbona hata kondom zinazuia kuanza kwa maisha? kwa sababu kitendo cha kuzuia mbegu zisifuate mkondo wake wa "asili"
      ni kitendo cha "uuaji" pia. au vipi?
      Kimox Kimokole likes this.
      “Unless power is legitimate there can be no social order“
      P. F. Drucker

    17. #17
      phina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : the gate of no gate
      Posts : 399
      Rep Power : 480
      Likes Received
      117
      Likes Given
      8

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Quote By GodfreyTajiri View Post
      mbona hata kondom zinazuia kuanza kwa maisha? kwa sababu kitendo cha kuzuia mbegu zisifuate mkondo wake wa "asili"
      ni kitendo cha "uuaji" pia. au vipi?
      godfrey tajiri.,my argument is based on the fact that the sperm has the ability to fertilize an egg..but until fertilization has occured, one cannot say pro-creation (per se) has occurred. u cannot end something that has not started yet..so until fertilization has occured things are still left to chance..and nothing is definite yet.
      Kimox Kimokole likes this.

    18. ram is offline
      ram
      #18
      ram's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 2,051
      Rep Power : 1140
      Likes Received
      744
      Likes Given
      413

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Unachotakiwa ni kutubu, na toba iwe ya kweli na uamini Mungu amekusamehe then usahau na usonge mbele na maisha. Mungu wetu anasamehe na huwa hakumbuki dhambi ya mtu

    19. #19
      stroke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,585
      Rep Power : 687
      Likes Received
      176
      Likes Given
      5

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      Aisee..nakiri kutoa moja with my ex..na kumsaidia kutoa nyingine...kwahiyo jumla ni mbili...Mungu uwarehemu hao na utusamehe makosa yetu wakosaji..

    20. #20
      Nambe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Location : Kwa Bi Nyau
      Posts : 835
      Rep Power : 594
      Likes Received
      264
      Likes Given
      260

      Default Re: My Confesion: Nilitoa Mimba

      mh, tunakwenda wapi?????
      Quote By harakat View Post
      hizo ni issue za kawaida kuna jamaa yangu yeye ametoa tano mpaka
      sasahivi kwa hiyo si dhani kama ni isue control birth rate
      Happiness is not a reward it is a consequence









    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...