Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: ....Kuthubutu!

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 91
    1. Mbu
      #1
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default ....Kuthubutu!





      ...ni wakati gani? katika mapenzi ulipo thubutu na kujiaminisha 99.9% 'nanihii...' wako... er..I mean - (incl. ex-wife/husband, current spouse, widow, etc) alistahiki "HASWA" kuoana na wewe!

      Angalizo;...nalenga mdahalo huu kwenye "matakwa na uchaguzi wako" uliyojitoshelezea wapi mpaka ukaona; -'huyu ndiye kabisa, hakuna kuliko kama yeye aisee!'-
      Ndahani, Teamo, LD and 6 others like this.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Hahgah Eti you don't have to love me because the love I have for you will be enough for both of us! Kha!
      Mbu, Zanta and marrykate like this.

    4. #42
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By MwanajamiiOne
      Ahaa swali hili limenifanya nifikirie kwa kina maana ya zile 'engagement rings' zinazotolewaga kama surprise! hivi mdada si anaruhusiwa kuikataa na kuomba muda wa kufikiria kwanza au ?? Lol saa ingine zile nazo zinaactigi kama viwamba sauti ati mtu mwingine anaona kabisa huyu bwana huyu hata, but akisapraiziwa anaishia kusahau mapungufu hah

      Mi staki
      jamani sitaki kuamini kama watu watatania hata katika hili eti Mwanajamii one.Hivi kweli ndoa inasuprise? eti unafanyiwa engagement kwa suprise? huu ni uongo kabisa na wala kweli haimo mioyoni mwa watu hawa wawili. ndio maana yanawatokeaga puan unaveshwa hata mara sita.

      jamani kweli mabinti sikilizen ushauri hapa jamvini, bf asikwambie kuwa anakusuprise kwa engagement jamani hebu tathmini kwanza are you real serious? je uko devoted kwake? je mapungufu yake ni changamoto kwako ama ni kiroba cha lawama na manyanyaso umejibebea? au je wewe wavaa hiyo ring kama alivyo sema Chauro wataka kuonekana kidole kinang'aa?

      my dearest lito sisters ndoa hainaga kujaribu kuwen siriaz na kuweni na misimamo hakunaga suprise ndoani lol............nashukuru sana Mungu kipindi wengine tunaolewa hiyo pete ya uchumba unaveshwa siku barua ya posa ikisomwa tena unaitwa na kuualizwa kweli hii barua aliyeiandika unamjua? unakubali je uko tayari akupose ukawe mkewe unakubali basi wazazi wanamwamabia ache alama kwamba amekuposa ndipo anakuvesha pete ya uchumba na ikishafikia hapo mnaish just some few months ndoa inapita. sasa haya ya siku hizi yamekaa kiface book zaid.

      dada mkubwa mj1 usisahngae pengine wengine wanaveshewa hata mitandaoni tu.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    5. #43
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Hahaa Mbu umesahau msemo wa kuolewa ni bahati!................ukiwa na uthubutu wewe ni mwema ukipitiliza umri utatafutiwa mabaya kwanini hupati soulmate ukiwa na uthubutu wa kwenda jamii nayo haikuachi kwa maneno yote yasiyostahiki!!

      Ngoja kwanza nikanywe Rubisi Mbu kanipatia jambo lakutafakari leo.

      Quote By Mbu
      ......hahahaha.....mwanajamiiO ne na chauro mmeniacha hoi....ati? Akiwa surprised na engagement ring anasahau viwango na vigezo vyote! ....na vidole juu!? hahaha....

      Nakuja kuendeleza mdahalo, nimebanwa huku leo,.....madagaa ya kigoma yamechelewa....BTW, mmekisikia kibao cha KIGOMA ALL STARS? ....acha tu....
      Mbu and MwanajamiiOne like this.
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    6. #44
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By gfsonwin
      jamani sitaki kuamini kama watu watatania hata katika hili eti Mwanajamii one.Hivi kweli ndoa inasuprise? eti unafanyiwa engagement kwa suprise? huu ni uongo kabisa na wala kweli haimo mioyoni mwa watu hawa wawili. ndio maana yanawatokeaga puan unaveshwa hata mara sita.

      jamani kweli mabinti sikilizen ushauri hapa jamvini, bf asikwambie kuwa anakusuprise kwa engagement jamani hebu tathmini kwanza are you real serious? je uko devoted kwake? je mapungufu yake ni changamoto kwako ama ni kiroba cha lawama na manyanyaso umejibebea? au je wewe wavaa hiyo ring kama alivyo sema Chauro wataka kuonekana kidole kinang'aa?

      my dearest lito sisters ndoa hainaga kujaribu kuwen siriaz na kuweni na misimamo hakunaga suprise ndoani lol............nashukuru sana Mungu kipindi wengine tunaolewa hiyo pete ya uchumba unaveshwa siku barua ya posa ikisomwa tena unaitwa na kuualizwa kweli hii barua aliyeiandika unamjua? unakubali je uko tayari akupose ukawe mkewe unakubali basi wazazi wanamwamabia ache alama kwamba amekuposa ndipo anakuvesha pete ya uchumba na ikishafikia hapo mnaish just some few months ndoa inapita. sasa haya ya siku hizi yamekaa kiface book zaid.

      dada mkubwa mj1 usisahngae pengine wengine wanaveshewa hata mitandaoni tu.
      Da Mkubw anakwambia natamani watarajiwa hawa wadogo zetu waje wausome ushauri wako. KWeli kabisa sie tunawaangalia tu aisee, mwingine akiona mwenzie ana 'engagement ring' kidoleni naye anaangalia nani yupo nae anakimbilia kuanza ....Babi si unanipenda, lini utanivalisha pete? Mawazo yake yote yako kwa Fulani atankoma , na mie nimevalishwa ....haangalii maana halisi. Na ndio maana tunawaona watu kibao wanavalishwa na waume za watu kisha anajipa moyo....mie damu changa ntampagawisha hadi akiache kile kizee chake.

      Duniani kuna mambo!
      Mbu, Chauro and gfsonwin like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    7. #45
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By Mbu
      ......hahahaha.....mwanajamiiO ne na chauro mmeniacha hoi....ati? Akiwa surprised na engagement ring anasahau viwango na vigezo vyote! ....na vidole juu!? hahaha....

      Nakuja kuendeleza mdahalo, nimebanwa huku leo,.....madagaa ya kigoma yamechelewa....BTW, mmekisikia kibao cha KIGOMA ALL STARS? ....acha tu....
      Mbu we acha tu, sie tuliozeeka tunajionea mengi aisee. Ile ring ni magic kwa wengi aisee. Tena basi kuna mwingine haveshwi engagement but akitamkiwa tu kuwa nataka kukuoa.................anaanza kuota gauni la harusi.

      Kuna rafiki yangu mmoja ye alitongozwa, akaengagiwa na kuanza vikao vya arusi na mtu ambaye by that time alikuwa ulaya but walikuwa wanafahamiana kabla ya hapo kama marafiki. Bimt akakubali ndoa, baada ya miezi sita akamwambia mwenzie nipe talaka mimi na wewe hatuendani!!

      Laiti mngemuona alivyokuwa anaweweseka na gauni la harusi!
      Mbu and gfsonwin like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    8. Study Abroad

    9. #46
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13469
      Likes Given
      17780

      Default Re: ....Kuthubutu!

      sometimes kujiaminisha kuna kuja after years ya kuishi pamoja
      siku ya harusi huwa ni 50/50....
      ka doubt kanakuwepo
      Mbu, MwanajamiiOne, Chauro and 2 others like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    10. #47
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By The Boss
      sometimes kujiaminisha kuna kuja after years ya kuishi pamoja
      siku ya harusi huwa ni 50/50....
      ka doubt kanakuwepo
      hivi boss wafikiri ni kwanini hiyo doubt inakuwepo? jamani hapa tusimsingizie shetani kabisa tatizo ni letu wenyewe wanandoa.

      hivi kama ulitamani hiyo ndoa ili na wewe uvae pete za dhahabu kidoleni na ndoa ipite baharini wafikir hutokuwa na wsiwasi?hivi kama ulipenda niolewee mfano na boss ili niingie kwenye jumba kubwa la kifahari, nendeshe toyota progress wafikir ntaacha kuwa na wasiwasi? hvi kama nilitaka niolewe kwasababu shost wangu cacico kaolewa na ndoa yake ikafana sana so nataka nijibu mapigo nitaaacha kuwa na wasiwasi? hivi kama naolewa kisa ndugu zangu, marafiki,majirani wamezidi kunisema na umri umekwenda ntaacha kuwa na hofu? hivi kama naolewa kisa mama ni mchangaji mzuri wa kwenye harusi za wengine na mimi nimekuwa mtu maarufu kwa kwenda kwenye minuso ya watu so leo nataka na mimi niwaite waje kwangu nitaacha kuwa na hofu? hivi kama naolewa sina malengo yeyote ya ndoa wala upendo, uvuumilivu, uwajibikaji, nia njema na wito wa kindoa sina nitaacha kuwa na wasiwasi?

      yani asikufiche mtu kaka mkubwa ishu ni unaolewa kwasababu gani ndicho kinachomata, ndoa mbona hata jogoo anazo nyingi tu au fahali anazo nyingi sana?

      yawapasa mabinti kukaa chini na kuplan kwa kumaanisha na kufikiri kwa umakini ausifumbie macho makosa ya mwenzi wako yapime kabla ya kuingia angalia kama waweza kuyavumilia na kama hutamchukia bali utayachukulia kama changamoto kwako. mbona maisha ya ndoa ni mazuri sana jamani kama tu utu wa ndani utaiona ndoa kama ibada kwako?
      Mbu, Gwamahala and The Boss like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    11. #48
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By The Boss
      sometimes kujiaminisha kuna kuja after years ya kuishi pamoja
      siku ya harusi huwa ni 50/50....
      ka doubt kanakuwepo
      Lol kuna dada yangu alinisimulia kuwa ile siku ya arusi, pale kanisani alipoulizwa kama anakubali kuolewa na Mr yule, alipatwa na kigugumizi kiasi cha kujikuta anamforce Padri kuuliza zaidi ya mara moja. Akanambia si kwamba alifanya kusudi amrushe roho mumewela bali alikuwa anajiuliza kama anafanya uamuzi sahihi au la! Na akakiri kuwa lilimjia wazo la kujiangusha ili ajizimishishe kwani alijua anafanya makosa................ ingawa bado wako wote lakini cha moto anakiona!
      Mbu and The Boss like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    12. #49
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3139
      Likes Given
      4053

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By by default
      Swali gumu kwakel kuna dada nilimpropose kama miezi 5 imepita mwanzon alileta kausumbufu kakike nataka sitaki nikawa nishachoka bembeleza mwanaume ghafla nilijiuliza huyu msichana anastahili kuwa my wife 1day nikapata jibu hapana kutoka moyoni.nilianza kupunguza kumtafuta matokeo yake yeye ndo ananitafuta nimempa ukwel kwa alivyonisumbua ilifika wakat nikawa nishapoteza kujiamin kumpenda.mtoto wawatu ananiita muhuni nacheza na hisia za wanawake ila ndo ivyo siwez tena kumpa moyo.wakati namtokea aliweka radhau,jeuri na ufahari wa kabila lake mbele na kuhuliza maswal ya kipumbav utazan anataka kuniajir UN. Mimefikiria umuhim wake kwangu nimeona hakuna
      MCHAGA HUYO ,UNAKABATI YA PICHA ,UNA NG'OMBE WA MAZIWA ,UNAKABATI LA BARIDI UNA CRDB MASTE KADI by default ukala kona
      Mbu likes this.

    13. #50
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 899
      Rep Power : 529
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Disc corrupted! Please wait the system is updating the current status.........
      Chauro likes this.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    14. #51
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3139
      Likes Given
      4053

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Ninaamini huyu niliyenaye ni mungu amenip na nilimuomba yeye na hawezi nipa mbaya na hili limejidhihirisha katika miaka tuliyoishi naye ,na hata moyo wangu uko tayari popote na huyukwenye shida na raha kabisaaa lolote linalotokea huwa sijiulizi kwanini,hali yamaisha imebadilika tunakabili bila kulaumiana ni macache ila moyo nishuhuda pekee wa mapenzi ya dhati na mtu huyu ni sahihi kwako,usikilize moyo wako,hasa wakati wa shida utajua tuuu.
      Mbu and MwanajamiiOne like this.

    15. #52
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By nivea
      Ninaamini huyu niliyenaye ni mungu amenip na nilimuomba yeye na hawezi nipa mbaya na hili limejidhihirisha katika miaka tuliyoishi naye ,na hata moyo wangu uko tayari popote na huyukwenye shida na raha kabisaaa lolote linalotokea huwa sijiulizi kwanini,hali yamaisha imebadilika tunakabili bila kulaumiana ni macache ila moyo nishuhuda pekee wa mapenzi ya dhati na mtu huyu ni sahihi kwako,usikilize moyo wako,hasa wakati wa shida utajua tuuu.
      Ubarikiwe sana . Ila ni lini hasa uliamua kuomba MUNGU akuonyeshe kama yeye ndiye yeye na ni ishara gani alikupatia?
      Mbu likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    16. #53
      king kan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 486
      Likes Received
      105
      Likes Given
      1

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Bado niponipo kwanza
      There are those who believe that a new modernity demands a new morality. What you fail to consider is the harsh reality that there is no such a thing as a new morality. All else is immorality.

    17. #54
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3139
      Likes Given
      4053

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By mwanajamiione
      ubarikiwe sana . Ila ni lini hasa uliamua kuomba mungu akuonyeshe kama yeye ndiye yeye na ni ishara gani alikupatia?
      siwezi kuongea hapa kwenye publik nikijaliwa nitakueleza
      MwanajamiiOne likes this.

    18. #55
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,294
      Rep Power : 745
      Likes Received
      430
      Likes Given
      362

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By MwanajamiiOne
      Hahgah Eti you don't have to love me because the love I have for you will be enough for both of us! Kha!
      Nimeipenda hii khaa
      MwanajamiiOne likes this.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    19. #56
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By Zanta
      Nimeipenda hii khaa
      Zanta huo ni sumu alokuwa anaimwaga mkaka kwa mdada ambaye ameshamwambia mie bwana sikupendi hahah yaani ingekuwa ni mie ndo ananijibu hivyo mbona ningejikuta nacheka tu kwa hacra!!
      Zanta likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    20. #57
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,294
      Rep Power : 745
      Likes Received
      430
      Likes Given
      362

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By MwanajamiiOne
      Zanta huo ni sumu alokuwa anaimwaga mkaka kwa mdada ambaye ameshamwambia mie bwana sikupendi hahah yaani ingekuwa ni mie ndo ananijibu hivyo mbona ningejikuta nacheka tu kwa hacra!!
      khe khe khe sasa huoni kama atakua amekusaidia yaani we huna haja ya kupenda lol.. kuna watu wana maneno khaa
      MwanajamiiOne likes this.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    21. #58
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 884
      Rep Power : 572
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By Bajabiri
      Walo kwenye mahusiano watakujibu,,,,,me nipo upande wa akina b kiro-boto hatuna wenza
      Bi kiroboto anaye mwenza mi namjua kwa macho yangu.

    22. #59
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Quote By Zanta
      khe khe khe sasa huoni kama atakua amekusaidia yaani we huna haja ya kupenda lol.. kuna watu wana maneno khaa
      Hahahah Zanta huoni hapo ndipo utajikuta unaenda kinyume na anachokiulizia Mbu hapa? Maamuzi yako yatakuwa kwa kuwa yeye anakupenda na anajua humfeel kiviiiile unaamua tu muwe pamoja?? Uthubutu
      Mbu likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    23. #60
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,419
      Rep Power : 32071
      Likes Received
      14527
      Likes Given
      22033

      Default Re: ....Kuthubutu!

      Alikuwa anamendewa sana na limjamaa lenye fedha zake. Alivolipiga chini mbele yangu na kunitambulisha kwake kuwa mi ni fiancee wake (japo haikuwa kweli) nilipata mhemko. Haikupita muda sana nikapropose marriage unajua nlijibiwaje?
      Mbu likes this.

    24. Miaka 50
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...