Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Kwa Watanzania wengi wanaijua hii show ya Bongo sstar search na nyingine zinazofanana na hiyo ila ni watu wachache wanaoweza kujifunza kitu kwa kulinganisha maisha yao na show hiii. ukweli ni kuwa maisha meengi tunayoishi kuna vitu viingi mno vya kujifunza ambavyo ukitazama utaona ukweli na unaweza kukusaidia....

      Kila mwaka hii show inaanza kwa kutafuta washiriki wanaanza watu maelfu na wanapunguzwa hadi anabaki mmoja ambae anatangazwa mshindi ukweli ni kuwa washiriki woote ni karibu sawa na mshindi haswa wa show hii ni 'muandaaji wa show' na sio washiriki. Washiriki hupewa tu title za kuwadanganya, mfano 'top ten' au 'top three' na kadhalika na wale wanaokosa kuingia hizi top ten au top three au wale ambao wako mikoani na walishindwa kuingia hatua ya pili ya kuja DSM 'hujiona wameshindwa kitu kikuubwa saana' na wanaofanikiwa 'hujiona wamepiga hatua kuubwa sana' kumbe mara nyingi ni 'uzushi mtupu'

      sasa ukija kwenye maisha ni hivyo hivyo unakumbuka shule ilivyokuwa? unakumbuka kila mtihani ilionekana kama ni 'make or break' ya future yako? unakumbuka 'ulivyofaulu darasa la saba'? au 'ulivyofeli darasa la saba'?????? ulipoajiriwa je? wangapi hujutia kazi zao baadae? au waliofukuzwa kazi na 'wakaona ni kama mwisho wao umewadia' baada ya miaka michache walilitazama vipi?

      'ulipompata the love of ur life'? miaka michache baadae mara ngapi ulijiuliza' if you made the right decision'? kila hatua tunayopitia in life huwa inatufanya tuone 'tukifanikiwa' dah.... na 'tukishindwa' duh......kumbe in few years 'kushindwa na kufanikiwa' hakutakuwa na tofauti kuubwa saana. Wangapi walifeli darasa la saba wakaja kupata div one form four? au waliofaul form six wakafeli chuo?
      au walimaliza chuo na kushindwa maisha kwa ujumla?

      ukweli ni kwamba maisha yetu yamejaaa 'show za aina ya BSS' kila hatua na ni watu wachache wanaojua hilo weengi 'tunaamini tunayoaambiwa na waandaji wa show hizi' kusoma kuna tests mitihani na kadhalika ajira zina interview na ukishapata kazi kuna 'probation time'

      kuna barua za onyo ukikosea, na ukifanya kama muajiri anavyotaka'promotion na tuzo za kiofisi' ili mradi hakuna tofauti na 'kuingia top ten' au kuondolewa kwenye BSS... but 'anaefaidika zaidi' sio wewe wewe unatumika tu na ukishindwa kutumika vizuri wanaku dump asap lol

      mitaani ni hivyo hivyo....watu wanatumika kununua bidhaa fulani fulani wakiamini wanafaidika tazama 'promotion za makampuni ya simu mfano' na makampuni mengineyo unaweza leo kuona umeshindwa saana au umefanikiwa saaana lakini kumbe uko kwenye
      'show ya mtu au watu fulani hivi' mfano wa BSS

      ukiweza kutumika 'wanaku promoti' ukishindwa wanaku timua na wanatafuta washiriki wapya...

      thats life these days.....
      Ndahani, Bishanga, Gamaha and 12 others like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      vanilla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 193
      Rep Power : 395
      Likes Received
      67
      Likes Given
      37

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Duh! Kwa style hii ya BSS mie ndio kwanza niko kwenye auditions!!

    4. #3
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By vanilla
      Duh! Kwa style hii ya BSS mie ndio kwanza niko kwenye auditions!!
      sio lazima kushiriki
      unaweza tu kuamua utashiriki kwenye 'show zako tu in life'
      muaandaaji ukiwa wewe mwenyewe
      Ndahani and sakapal like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    5. #4
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35628
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Very insightful Boss. I think the only way to sail through is to remain constant and to focus on the greater goal. If you have a short sight of your possibilites, of your aspirations and of your life in general, you are likely to invest a lot of efforts into something that is not so useful, and is not helping you advance toward your ultimate goals.

      Mafano umetoa hapo:Suppose you are a father and you consider your family to be the most important achievement of your life, and their hapiness to be the ultimate goal to reach: ikiwa utakomaa sana kazini, na ku-sacrifice zaidi kwenye kuhakikisha unamfurahisha mwajiri wako, bila kujali familia inakuaje, lazima baadae, ukija kupoteza/kuhama hiyo kazi utaona kama ulipoteza muda. Ila kama toka mwanzo ulielewa kua familia yako ni muhimu sana na kazi yako is only a mean to provide you with the necessary financial and self esteem comfort to deal intelligently with your family, then utachukulia challenges zingine simple tu, na unaposhindwa/faulu huwekei msisitizo sana. you put it in the broader context and realise it is only a tiny dot...
      Ndahani, Kaizer, The Boss and 4 others like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    6. #5
      Lilian Masilago's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 391
      Likes Received
      105
      Likes Given
      102

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Hata wale waliowahi kushinda kwenye hii BSS sijawasikia tena....
      Mhubiri 10:2....Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Lilian Masilago's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 391
      Likes Received
      105
      Likes Given
      102

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By The Boss
      sio lazima kushiriki
      unaweza tu kuamua utashiriki kwenye 'show zako tu in life'
      muaandaaji ukiwa wewe mwenyewe
      Hapa ndio penye tatizo.We are not creative na tunaogopa sana(we cant take risks)
      The Boss and super thinker like this.
      Mhubiri 10:2....Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

    9. #7
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Roulette
      Very insightful Boss. I think the only way to sail through is to remain constant and to focus on the greater goal. If you have a short sight of your possibilites, of your aspirations and of your life in general, you are likely to invest a lot of efforts into something that is not so useful, and is not helping you advance toward your ultimate goals.

      Mafano umetoa hapo:Suppose you are a father and you consider your family to be the most important achievement of your life, and their hapiness to be the ultimate goal to reach: ikiwa utakomaa sana kazini, na ku-sacrifice zaidi kwenye kuhakikisha unamfurahisha mwajiri wako, bila kujali familia inakuaje, lazima baadae, ukija kupoteza/kuhama hiyo kazi utaona kama ulipoteza muda. Ila kama toka mwanzo ulielewa kua familia yako ni muhimu sana na kazi yako is only a mean to provide you with the necessary financial and self esteem comfort to deal intelligently with your family, then utachukulia challenges zingine simple tu, na unaposhindwa/faulu huwekei msisitizo sana. you put it in the broader context and realise it is only a tiny dot...
      Thanks a lot kwa mchango wako
      umeelewa my point
      sasa weengi ninaokutana nao wanaaamini mno
      'miongozo ya waandaaji wa shows'
      ndo unakuta mtu awards za office au kuzungumza na bosi wake ni muhimu mno kwake
      kuliko hata kuzungumza na watoto wake mfano
      halafu akistaafu na kuanza tabu ya kufuatilia mafao ndo anagundua the mistake when its too late
      sakapal likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    10. #8
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Lilian Masilago
      Hapa ndio penye tatizo.We are not creative na tunaogopa sana(we cant take risks)
      taratiibu tu
      just try...
      Lilian Masilago likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    11. #9
      Lilian Masilago's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 391
      Likes Received
      105
      Likes Given
      102

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By The Boss
      taratiibu tu
      just try...
      Endelea ktupa madarasa na tuisheni..pengine tutaelewa somo..maana...ni kazi kwa kweli
      The Boss likes this.
      Mhubiri 10:2....Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

    12. #10
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,173
      Rep Power : 31375
      Likes Received
      9581
      Likes Given
      683

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Mimi nilifeli darasa la saba nikapelekwa kusoma shule ya private sekondari. Huko nako form four nikafeli (nilipata divisheni 4).

      Baada ya hapo nikatimua zangu majuu kwenda kutafuta maisha. Well, kama wasemavyo...the rest is history.

      Sasa hivi watu wenye mastaz zao nawakimbiza. Wale waliokuwaga wanakuwa wa kwanza darasani wengi wao ni choka mbaya tu. Nikikutana nao wananipiga mizinga.

      Mashoree wengi waliokuwaga wakali enzi hizo sasa hivi wengi wao wameshazalishwa na kuachwa na wamekuwa vibibi tu. Usicheze na vumbi bana.

      Haya maisha hayana kanuni na wala hayatabiriki.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    13. #11
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35628
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By The Boss
      Thanks a lot kwa mchango wako
      umeelewa my point
      sasa weengi ninaokutana nao wanaaamini mno
      'miongozo ya waandaaji wa shows'
      ndo unakuta mtu awards za office au kuzungumza na bosi wake ni muhimu mno kwake
      kuliko hata kuzungumza na watoto wake mfano
      halafu akistaafu na kuanza tabu ya kufuatilia mafao ndo anagundua the mistake when its too late
      the problem gets worse when a person who is not focused in life and lives for day to day moments of fame and glory, ignoring the big picture, meets a manipulative person who can take advantage of his short-sight and promote his own long term vision:

      The perfect illustration is the tax payer who is milked by the tax authority, his money is used to finance a political party which appoints a candidate and provides him with substantial amount for his campaign. the candidate uses the money to buy t-shitrs and pay "transport" for his partisans in order to buy votes. The poor tax payer, for the pleasure of wearing a branded t-shirt with Mhe X picture, decides to vote for the same candidate and get milked again for another 5 years.

      Because he is blinded by the t-shirt (wearing a t-shirt na kuonekana mjanja mtaani is the show here) he loses sight of the past 5 years, the future 5 years, and his contribution to the perpetuation of this vicious cycle.
      The Boss and super thinker like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    14. #12
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Nyani Ngabu
      Mimi nilifeli darasa la saba nikapelekwa kusoma shule ya private sekondari. Huko nako form four nikafeli (nilipata divisheni 4).

      Baada ya hapo nikatimua zangu majuu kwenda kutafuta maisha. Well, kama wasemavyo...the rest is history.

      Sasa hivi watu wenye mastaz zao nawakimbiza. Wale waliokuwaga wanakuwa wa kwanza darasani wengi wao ni choka mbaya tu. Nikikutana nao wananipiga mizinga.

      Mashoree wengi waliokuwaga wakali enzi hizo sasa hivi wengi wao wameshazalishwa na kuachwa na wamekuwa vibibi tu. Usicheze na vumbi bana.

      Haya maisha hayana kanuni na wala hayatabiriki.
      wewe uliamua hutashiriki 'other people's show'
      ulishiriki your own show
      na sasa huna regrets
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    15. #13
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Roulette
      the problem gets worse when a person who is not focused in life and lives for day to day moments of fame and glory, ignoring the big picture, meets a manipulative person who can take advantage of his short-sight and promote his own long term vision:

      The perfect illustration is the tax payer who is milked by the tax authority, his money is used to finance a political party which appoints a candidate and provides him with substantial amount for his campaign. the candidate uses the money to buy t-shitrs and pay "transport" for his partisans in order to buy votes. The poor tax payer, for the pleasure of wearing a branded t-shirt with Mhe X picture, decides to vote for the same candidate and get milked again for another 5 years.

      Because he is blinded by the t-shirt he loses sight of the past 5 years, the future 5 years, and his contribution to the perpetuation of this vicious cycle.

      hizi cycle hizi
      afadhali huyo utasema hana 'education'
      mimi huwa najiuliza unakuta mdada ana degree mbili au phd
      anapewa ubunge au kupandishwa cheo kwa sharti la
      'kutoa mwili wake mfano'
      sasa faida ya kuumiza kichwa shuleni ilikuwa ya nini???????/

      kama 'shule haikuti kwenye utumwa wa kutumika'?
      Roulette and sakapal like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    16. #14
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Kwanza nimeipenda sana hii inakufanya uache kufikiri kimazoea.Nadhani swali la msingi ni kuwa,kufanikiwa kimaisha hasa ni nini?Kupata pesa?Au ni kusoma mpaka unazeeka?Kuoa?Kusomesha watoto?Je ni nini?
      The Boss and super thinker like this.

    17. #15
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,030
      Rep Power : 606
      Likes Received
      433
      Likes Given
      1326

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Nimependa ulivyoweza kulinganisha tv show, shule, ajira, love na maisha yetu ya kila siku. Ni maneno matamu kusoma, shida inabidi kutumia nguvu sana kuelewa ..... ngoja nisubiri kuona mifano nadhani nitaelewa zaidi
      The Boss and sakapal like this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    18. #16
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24024
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      I got ur point buddy!
      Ni kweli maisha ni kama 'vicious circle' fulani hivi!..Na kama ulivyosema kuna 'wakati' katika maisha unakuwa unaona unapatia..lakini ndani ya muda mchache unajiona ulikosea!..Na kadiri unavyoona umejirekebisha..then, unajikuta uko mbali na ile furaha uliyoitegemea...Wakati mwingine inabidi kuivunja hiyo 'vicious circle' and let life go the way you think it makes you happy!!

      Mfano..huwa nashindwa kuelewa pale ambapo mtu hajiamni katika maisha yake mwenyewe..Unakuta anahangaika na kutumia nguvu kubwa kufkiria maisha ni kesho na sio leo!!..Kimsingi inabidi ifike hatua ukubali kuwa haya ndio maisha yangu na chochote kitakachokuja mbele kianzie hapa..lakini habari ya kudhani kukosa kile ama hiki ni 'big deal' mara nyingi inatufanya tuwe watumwa wa 'maisha yetu wenyewe' na mara tunapokuja kushtuka 'gharama' tuliyotumia kuyatafuta 'maisha' na 'kile tulicho nacho' inabaki huzuni tu..na ukifikiria sana unakuta muda umekwenda..na uliyemfaidisha ni mtu mwingine baki!

      Kila 'step' katika maisha yako ina 'count'..furahia kuanzia hapo!!!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    19. #17
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13478
      Likes Given
      17780

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By mito
      Nimependa ulivyoweza kulinganisha tv show, shule, ajira, love na maisha yetu ya kila siku. Ni maneno matamu kusoma, shida inabidi kutumia nguvu sana kuelewa ..... ngoja nisubiri kuona mifano nadhani nitaelewa zaidi
      shule- mara ngapi uliambiwa usipofaulu huna future?
      halafu ukafaulu na bado waliofeli walikuzidi kwa vitu viingi?

      ajira- mara ngapi uliona ukipoteza ajira umekwisha na wapo walipoteza ajira
      wakaenda kujiari wenyewe na kuishi better?

      love- umeona watu wanavyofurahi siku ya harusi?
      halafu few years latter unasikia wameachana kwa vipigo na matusi?
      je mmoja angejiua labda kwa kukosa penzi la mwingine hapo kabla?

      Bss- umewahi kuona watu wakiambia wamekuwa disqualified wanavyoona kama 'mwisho wa dunia'?
      but walioshinda unawakumbuka woote?
      super thinker, sakapal and mito like this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    20. #18
      Lilian Masilago's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 391
      Likes Received
      105
      Likes Given
      102

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Eiyer
      Kwanza nimeipenda sana hii inakufanya uache kufikiri kimazoea.Nadhani swali la msingi ni kuwa,kufanikiwa kimaisha hasa ni nini?Kupata pesa?Au ni kusoma mpaka unazeeka?Kuoa?Kusomesha watoto?Je ni nini?
      Nadhani kila mtu ana upeo wake wa maendeleo.Pale unapoweza fika mahali umetimiza ndoto zako kwa 100% hapo unaweza sema umeendelea(hii ni katika individual level)
      The Boss and sweetlady like this.
      Mhubiri 10:2....Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

    21. #19
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By Lilian Masilago
      Hata wale waliowahi kushinda kwenye hii BSS sijawasikia tena....
      Kwani wanaoshinda wako wapi? Namsikia Diamond, Ally Kiba na jamaa wengine ambao hawakutia mguu BSS.
      The Boss likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    22. #20
      Lilian Masilago's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 228
      Rep Power : 391
      Likes Received
      105
      Likes Given
      102

      Default Re: Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

      Quote By The Boss
      shule- mara ngapi uliambiwa usipofaulu huna future?
      halafu ukafaulu na bado waliofeli walikuzidi kwa vitu viingi?


      ajira- mara ngapi uliona ukipoteza ajira umekwisha na wapo walipoteza ajira
      wakaenda kujiari wenyewe na kuishi better?

      love- umeona watu wanavyofurahi siku ya harusi?
      halafu few years latter unasikia wameachana kwa vipigo na matusi?
      je mmoja angejiua labda kwa kukosa penzi la mwingine hapo kabla?

      Bss- umewahi kuona watu wakiambia wamekuwa disqualified wanavyoona kama 'mwisho wa dunia'?
      but walioshinda unawakumbuka woote?
      Vitisho kama hivi tulishaanza kuambiwa toka tupo tumboni..tunaenda shule bado tunaambiwa,tunaajiriwa bado tunaambiwa.Hadi kwenye familia story ni hizo hizo...Ndio maana inakuwa ngumu KUAMINI TOFAUTI(eg YES I CAN)
      The Boss likes this.
      Mhubiri 10:2....Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume;Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...