Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 484
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
      Ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi yenu,lakini kulingana na mazingira ya kazi nimekuwa nikiishi mbali na mke wangu na tunakutana mara moja moja kama wanafunzi na shemeji/wifi yenu.Hii yeto inatokana na ukiritimba pamoja na urasimu ninaofanyiwa na boss huyu, ambaye ni Afisa Elimu katika Wilaya ya Bahi.Angekuwa mwanaume ningesema anamtaka mke wangu,bahati nzuri ni mwanamke.

      Hata hivyo nashindwa kuelewa mama huyu ana mpango gani na maisha ya ndoa yangu,eti anadai hawezi kumpa uhamisha hadi wilaya yake itakapo kuwa na walimu wa kutosha! kwa hakika bado wapo viongozi wasio tambua wala kuamini kuwa Dunia huzunguka Jua

      Naomba ushauri na muongozo wa kisheria kwenu kuhusu vigezo vya mtumishi kuhama kumfuata mwenza wake.
      charminglady likes this.
      MTENDEE MWENZAKO KAMA AMBAVYO UNGEPENDA WEWE AKUTENDEE

    2. Miaka 50

    3. #21
      Kindimbajuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 685
      Rep Power : 1045
      Likes Received
      207
      Likes Given
      168

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By hengo
      Jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
      Ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi yenu,lakini kulingana na mazingira ya kazi nimekuwa nikiishi mbali na mke wangu na tunakutana mara moja moja kama wanafunzi na shemeji/wifi yenu.Hii yeto inatokana na ukiritimba pamoja na urasimu ninaofanyiwa na boss huyu, ambaye ni Afisa Elimu katika Wilaya ya Bahi.Angekuwa mwanaume ningesema anamtaka mke wangu,bahati nzuri ni mwanamke.

      Hata hivyo nashindwa kuelewa mama huyu ana mpango gani na maisha ya ndoa yangu,eti anadai hawezi kumpa uhamisha hadi wilaya yake itakapo kuwa na walimu wa kutosha! kwa hakika bado wapo viongozi wasio tambua wala kuamini kuwa Dunia huzunguka Jua

      Naomba ushauri na muongozo wa kisheria kwenu kuhusu vigezo vya mtumishi kuhama kumfuata mwenza wake.

      kuna vitu viwili mbele ya shemeji yetu, naomba umfikishie maswali haya ninayokuuliza. jibu atakalokupa ndio litakalokufanya uamue ndoa ivunjike au la.
      1. kati ya kazi na ndoa kwake muhimu nini?- hapa jibu kama ni kazi basi mwulize swali hili la pili. lakini kama jibu lake kuwa ndoa ni muhimu basi aandike barua ya kuacha kazi
      2. yupo tayari kuacha kazi ili aje atafute kazi ya ualimu hapo ulipo wewe?

    4. #22
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 629
      Rep Power : 0
      Likes Received
      183
      Likes Given
      1

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Hamia wewe bahi

    5. #23
      Shagiguku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 339
      Rep Power : 543
      Likes Received
      64
      Likes Given
      13

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By hengo
      jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
      ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi yenu,lakini kulingana na mazingira ya kazi nimekuwa nikiishi mbali na mke wangu na tunakutana mara moja moja kama wanafunzi na shemeji/wifi yenu.hii yeto inatokana na ukiritimba pamoja na urasimu ninaofanyiwa na boss huyu, ambaye ni afisa elimu katika wilaya ya bahi.angekuwa mwanaume ningesema anamtaka mke wangu,bahati nzuri ni mwanamke.

      Hata hivyo nashindwa kuelewa mama huyu ana mpango gani na maisha ya ndoa yangu,eti anadai hawezi kumpa uhamisha hadi wilaya yake itakapo kuwa na walimu wa kutosha! Kwa hakika bado wapo viongozi wasio tambua wala kuamini kuwa dunia huzunguka jua

      naomba ushauri na muongozo wa kisheria kwenu kuhusu vigezo vya mtumishi kuhama kumfuata mwenza wake.
      mwambie hiviiii...! Kama anategemea na anasubiria eti kuna siku walimu watatosha katika wilaya yake basi atakuwa ni mvivu wa kufikiri, maana hata ulaya na marekani bado wanalia na upungufu wa walimu sembuse wilaya ya bahi...!

      Hakuna siku walimu watatosha hapo bahi, singida wala tanzania hii, aache urasimu na ukiritimba wa kizamani huyo, aache uvivu wa kufikiri....!

    6. #24
      JANA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 353
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo bali nikuongeza tatizo. Kuoa mke mwingine sio kumaliza tatizo waweza kuongeza tatizo
      hengo and SnowBall like this.

    7. #25
      Nyakwec's Bro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 541
      Rep Power : 464
      Likes Received
      90
      Likes Given
      198

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Mwambie mkeo aandike barua kwa katibu mkuu wizara ya elimu aambatanishe na barua ambazo aliwahi kuandika huyo afisa elimu akabana kisha ahoji afisa elimu anampango gn na ndoa yake hasa kipindi hichi cha majanga kama ukimwi,yaani kwa issue km hiyo hakuna majadiliano ni kupewa tu uamisho sema maafisa elimu na wakuu wa shule huwa wananyanyasa walimu wasiyojua,yeye mwambie ampandie wizarani.
      hengo likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,039
      Rep Power : 608
      Likes Received
      436
      Likes Given
      1336

      Default Reply With Quote


    10. JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 745
      Rep Power : 551
      Likes Received
      76
      Likes Given
      216

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Mbona kama tayari unachakufanya...KUOA MKE MWINGINE! Hahahaaa umenichekesha. Ni kama unakijisababu cha kuamua kuoa. Cha mno jitahidi upate mwalimu wa kubadilishana naye. Hapo mzizi wa fitna utaisha. Huwa wanaweka hadi matangazo kwenye mbao za matangazo ili hilo lifanyike. Hope you'll succeed!
      SnowBall likes this.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    11. #28
      devotha kato's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 347
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Pole ndugu yangu

    12. #29
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 484
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Nina ndoa halali mkuu.nashukuru kwa taarifa
      MTENDEE MWENZAKO KAMA AMBAVYO UNGEPENDA WEWE AKUTENDEE

    13. #30
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 484
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      naskuru kwa ushauri na kunifumbua macho
      MTENDEE MWENZAKO KAMA AMBAVYO UNGEPENDA WEWE AKUTENDEE

    14. #31
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 484
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Mkuu umenipandisha mzuka,sasa nitamfuata gia mpya.asante sana
      MTENDEE MWENZAKO KAMA AMBAVYO UNGEPENDA WEWE AKUTENDEE

    15. SG8
      #32
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Mwaka uliopita miezi kama hii niliomba ushauri kaama huu hapa jukwaani.Michango na ushauri wa watu ulifanya by Novemba ya mwaka huohuo nipate uhamisho wa kuwa jirani na familia yangu...... Mnaomshauri aende Wizara ya elimu mnampotosha siku hizi Walimu wote wa Msingi na Sekondari mambo yao yanashughulikwa na TAMISEMI, Vyuo vya Ualimu na Ukaguzi ndio wanashughulikiwa na MOEVT. Mkuu hengo achana na DEO (Afisa Elimu) tafuta kwanza nafasi unakotaka ahamie ukipata mshauri aandike barua kwa Katibu Mkuu TAMISEMI akiambatanisha na barua ya nafasi aliyopata halafu aende kwa Mkurugenzi wa Bahi amweleze uhalisia na viambatanisho muhimu ni vyeti vya ndoa, kitambulisho cha kazi (chako kama ushahidi wa eneo unalofanyia kazi) na barua yako ya ajira. Uhamisho wa Walimu hufanyika mara mbili kwa mwaka (June na Desemba) na bila shaka atapata tu. Ukiwa na swali zaidi ni PM nikuongezee maarifa zaidi
      hengo and SnowBall like this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    16. #33
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,488
      Rep Power : 1452
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By hengo
      Jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
      Ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi yenu,lakini kulingana na mazingira ya kazi nimekuwa nikiishi mbali na mke wangu na tunakutana mara moja moja kama wanafunzi na shemeji/wifi yenu.Hii yeto inatokana na ukiritimba pamoja na urasimu ninaofanyiwa na boss huyu, ambaye ni Afisa Elimu katika Wilaya ya Bahi.Angekuwa mwanaume ningesema anamtaka mke wangu,bahati nzuri ni mwanamke.

      Hata hivyo nashindwa kuelewa mama huyu ana mpango gani na maisha ya ndoa yangu,eti anadai hawezi kumpa uhamisha hadi wilaya yake itakapo kuwa na walimu wa kutosha! kwa hakika bado wapo viongozi wasio tambua wala kuamini kuwa Dunia huzunguka Jua

      Naomba ushauri na muongozo wa kisheria kwenu kuhusu vigezo vya mtumishi kuhama kumfuata mwenza wake.
      NI wakati wa haki sawa sasa! Hivyo mwanamke hawezi kumtaka mkeo?

    17. #34
      Helios's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 134
      Rep Power : 385
      Likes Received
      20
      Likes Given
      47

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      pole sana kaka,
      ila kwa utaratibu wa sasa, ndoa sio kigezo cha kuhamishwa. hamna sheria utakayoegamia. kama wadau walivyoshauri; uombe huo uhamisho kwa hekima maana ni favour, wewe uhame umfuate au mmoja wenu aache kazi kumfuata mwenzie.au atafute mtu wa kubadilishana nae
      SnowBall likes this.

    18. #35
      Emma.'s Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 0
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Wasiliana na sekta husika but vp huyo mwanamke mnavyokutana ..mnaelewa kama mwanzo au amebadilika usije ukamhukumu bila kosa baadaye ukaja kujuta chunguza kwanza ujue kweli kabla ya kufanya maamuzi hayo.

    19. #36
      hengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Location : BONGO
      Posts : 405
      Rep Power : 484
      Likes Received
      47
      Likes Given
      32

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By Gerrard
      Mwaka uliopita miezi kama hii niliomba ushauri kaama huu hapa jukwaani.Michango na ushauri wa watu ulifanya by Novemba ya mwaka huohuo nipate uhamisho wa kuwa jirani na familia yangu...... Mnaomshauri aende Wizara ya elimu mnampotosha siku hizi Walimu wote wa Msingi na Sekondari mambo yao yanashughulikwa na TAMISEMI, Vyuo vya Ualimu na Ukaguzi ndio wanashughulikiwa na MOEVT. Mkuu
      hengo achana na DEO (Afisa Elimu) tafuta kwanza nafasi unakotaka ahamie ukipata mshauri aandike barua kwa Katibu Mkuu TAMISEMI akiambatanisha na barua ya nafasi aliyopata halafu aende kwa Mkurugenzi wa Bahi amweleze uhalisia na viambatanisho muhimu ni vyeti vya ndoa, kitambulisho cha kazi (chako kama ushahidi wa eneo unalofanyia kazi) na barua yako ya ajira. Uhamisho wa Walimu hufanyika mara mbili kwa mwaka (June na Desemba) na bila shaka atapata tu. Ukiwa na swali zaidi ni PM nikuongezee maarifa zaidi
      Mkuu ushauri wako unaendele kuzaa matunda Gerrad ushauri wa ko unaendele kuzaa matunda, niko kwenye hatua za mwisho kisha nisubiri Desemba - Januari kwa utekelezaji.Napenda kukushukuru sana kwa mara nyingine kwa ushauri na kunitia moyo.Naomba tuendelee kuhabarishana.Ni kweli information is power
      SG8 and SnowBall like this.
      MTENDEE MWENZAKO KAMA AMBAVYO UNGEPENDA WEWE AKUTENDEE

    20. #37
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,660
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      544
      Likes Given
      416

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By hengo
      Jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
      Ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi yenu,lakini kulingana na mazingira ya kazi nimekuwa nikiishi mbali na mke wangu na tunakutana mara moja moja kama wanafunzi na shemeji/wifi yenu.Hii yeto inatokana na ukiritimba pamoja na urasimu ninaofanyiwa na boss huyu, ambaye ni Afisa Elimu katika Wilaya ya Bahi.Angekuwa mwanaume ningesema anamtaka mke wangu,bahati nzuri ni mwanamke.

      Hata hivyo nashindwa kuelewa mama huyu ana mpango gani na maisha ya ndoa yangu,eti anadai hawezi kumpa uhamisha hadi wilaya yake itakapo kuwa na walimu wa kutosha! kwa hakika bado wapo viongozi wasio tambua wala kuamini kuwa Dunia huzunguka Jua

      Naomba ushauri na muongozo wa kisheria kwenu kuhusu vigezo vya mtumishi kuhama kumfuata mwenza wake.
      hengo tatizo lako litaisha pale utakapotambua kuwa serikali siyo mwajiri pekee kwa sasa. Shule za binafsi ziko nyingi, mishahara sehemu nyingine inazidi hiyo ya serikalini kama mkeo anathamini ndoa yake si aomba kazi shule za binafsi. Huenda mkeo alihitaji tuu cheti kwamba ameolewa lakini moyoni mwake haumo na maisha yanaendelea bila uwepo wako karibu naye
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    21. #38
      Tamatheo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,205
      Rep Power : 593
      Likes Received
      449
      Likes Given
      1409

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Napata wasiwasi kujua au kuamini kama kweli unampenda mkeo, maneno yako kama yanaashiria tayari una kimada au anasubiria jibu...Kiushauri sio rahisi sana hao watu kukubali kutoa uhamisho kwani wilaya kama Bahi wengi wanapangiwa wanaingia mitini ndio maana aliajiriwa analindwa na mabosi wake....Cha kufanya jaribu kufanya UTANZANIA uongee vizuri na huyo mama kwani wengi wamefanikiwa kwa kudumisha huo Utanzania, ila ukiendelea kulalamika hope miaka michache ijayo utarudi jamvini kuomba ushauri na namna ya kuachana na vimada ili urudiane ma mkeo kama kweli unampenda.....All the best

    22. SG8
      #39
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By hengo
      Mkuu ushauri wako unaendele kuzaa matunda Gerrad ushauri wa ko unaendele kuzaa matunda, niko kwenye hatua za mwisho kisha nisubiri Desemba - Januari kwa utekelezaji.Napenda kukushukuru sana kwa mara nyingine kwa ushauri na kunitia moyo.Naomba tuendelee kuhabarishana.Ni kweli information is power
      Nimefurahi sana kusikia habari hizi. Napokea shukrani zako lakini nakupongeza pia kwa kutokata tamaa na kufuata ushauri. Sisi ni binadamu hapa duniani tunapita tu. Hakuna gharama yoyote kumshauri binadamu mwenzio na akafanikiwa badala yake unabarikiwa zaidi na zaidi. Nakuombea sana Mkuu ili shetani asiingilie kwenye hatua hizi za mwisho na wale jamaa wa TAMISEMI amini usiamini hawana tatizo kama umeweka attachments zote na umepata nafasi. Kila la heri Mkuu hengo
      hengo and SnowBall like this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    23. SG8
      #40
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Boss anataka kunitenganisha na mke wangu

      Quote By Ndachuwa
      hengo tatizo lako litaisha pale utakapotambua kuwa serikali siyo mwajiri pekee kwa sasa. Shule za binafsi ziko nyingi, mishahara sehemu nyingine inazidi hiyo ya serikalini kama mkeo anathamini ndoa yake si aomba kazi shule za binafsi. Huenda mkeo alihitaji tuu cheti kwamba ameolewa lakini moyoni mwake haumo na maisha yanaendelea bila uwepo wako karibu naye
      Kama Mkewe ni Mwalimu wa Msingi, ziko shule ngapi za Private za msingi hapa Tanzania? Kwa Mwanamke ni vyema apiganie abaki serikalini ili apate pia muda wa kulea watoto, huko private awaachie wanaume
      hengo likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...