Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania
Habari hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili kwamba Peter Nyamanyafu (34) kijana kutoka Buhare Musoma Mjini ameamua kufunga kwa kufuli sehemu zake za siri na funguo kumkabidhi Mchungaji ikiwa njia aliyoona inafaa kumweka mbali na maambukizi ya Ukimwi (VVU).
Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"
Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.
Ukimwi upo na unaua.
"Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"
Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania
By neylu
Hahahaaa...Ndio hiyo hiyo Mkuu... Yaani hakuna access kabisaaa
na mie nna mpango wa kumfunga wife maana simwamini amini naona anazidi kupendeza tu wakati sigharamii isije kuwa wajanja washaanza kusogeza pua zao.......
Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania
By asigwa
na mie nna mpango wa kumfunga wife maana simwamini amini naona anazidi kupendeza tu wakati sigharamii isije kuwa wajanja washaanza kusogeza pua zao.......
Mmh...Usinichekeshe.. Uache kujifunga wewe hiyo mikufuli ukamfunge mwenzio halafu wewe Uendelee kuwabanjua mabinti.. Inaanza na wewe.. Lol
Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania
By Gerrard
Habari hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili kwamba Peter Nyamanyafu (34) kijana kutoka Buhare Musoma Mjini ameamua kufunga kwa kufuli sehemu zake za siri na funguo kumkabidhi Mchungaji ikiwa njia aliyoona inafaa kumweka mbali na maambukizi ya Ukimwi (VVU).
Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"
Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.
Ukimwi upo na unaua.
Wadau, mwandishi wa habari hiyo niko naye hapa SAUT kwa training na amenipa picha ikionyesha uume wa kijana Peter Nyamanyafu ukiwa umefungwa kufuli.Sina hakika kama Mods wanaweza kuniruhusu kuitupia hapa jamvini hiyo picha but kiukweli jamaa kapiga kufuli na funguo kampa mchungaji.....
Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania
By ng'hily
Wadau, mwandishi wa habari hiyo niko naye hapa SAUT kwa training na amenipa picha ikionyesha uume wa kijana Peter Nyamanyafu ukiwa umefungwa kufuli.Sina hakika kama Mods wanaweza kuniruhusu kuitupia hapa jamvini hiyo picha but kiukweli jamaa kapiga kufuli na funguo kampa mchungaji.....
Mheshimiwa "Mbunge" wa Temeke nashukuru kwa ushuhuda wa macho. Labda Mods watakuruhusu uweke kule kwa wakubwa
Follow Us Here