Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. SG8
      #1
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,566
      Rep Power : 4180
      Likes Received
      773
      Likes Given
      730

      Default Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Habari hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili kwamba Peter Nyamanyafu (34) kijana kutoka Buhare Musoma Mjini ameamua kufunga kwa kufuli sehemu zake za siri na funguo kumkabidhi Mchungaji ikiwa njia aliyoona inafaa kumweka mbali na maambukizi ya Ukimwi (VVU).
      Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"

      Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.

      Ukimwi upo na unaua.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    2. Miaka 50

    3. #2
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      duh nlivyoona neno musoma tu nkakubaliana na weye kiroho safi.........
      vipi na wadada nao wafunge??
      SG8 likes this.

    4. #3
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 785
      Rep Power : 576
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Huyo bila shaka anasumbuliwa na mapepo!
      Naitisha mchango apelekwe kwa T.B. Joshwa Nigeria!
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    5. #4
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,495
      Rep Power : 651
      Likes Received
      632
      Likes Given
      617

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By asigwa
      duh nlivyoona neno musoma tu nkakubaliana na weye kiroho safi.........
      vipi na wadada nao wafunge??
      Mie nimeweka gundi kabisaaaaa.. Lol
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    6. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By neylu
      Mie nimeweka gundi kabisaaaaa.. Lol
      gundi gani lile la kugundishia mbao??

      kuna gundi inaitwa partex wanagundishia magodoro ni noma ile kitu...ukiweka yaani "no access"


    7. #6
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,495
      Rep Power : 651
      Likes Received
      632
      Likes Given
      617

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By asigwa
      gundi gani lile la kugundishia mbao??

      kuna gundi inaitwa partex wanagundishia magodoro ni noma ile kitu...ukiweka yaani "no access"
      Hahahaaa...Ndio hiyo hiyo Mkuu... Yaani hakuna access kabisaaa
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    8. #7
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By neylu
      Hahahaaa...Ndio hiyo hiyo Mkuu... Yaani hakuna access kabisaaa
      na mie nna mpango wa kumfunga wife maana simwamini amini naona anazidi kupendeza tu wakati sigharamii isije kuwa wajanja washaanza kusogeza pua zao.......

    9. #8
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,495
      Rep Power : 651
      Likes Received
      632
      Likes Given
      617

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By asigwa
      na mie nna mpango wa kumfunga wife maana simwamini amini naona anazidi kupendeza tu wakati sigharamii isije kuwa wajanja washaanza kusogeza pua zao.......
      Mmh...Usinichekeshe.. Uache kujifunga wewe hiyo mikufuli ukamfunge mwenzio halafu wewe Uendelee kuwabanjua mabinti.. Inaanza na wewe.. Lol
      asigwa likes this.
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    10. #9
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,113
      Rep Power : 570
      Likes Received
      266
      Likes Given
      86

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Hizo bangi sasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    11. #10
      bmosses's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 367
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mjanga
      Huyo bila shaka anasumbuliwa na mapepo!
      Naitisha mchango apelekwe kwa T.B. Joshwa Nigeria!
      hapana mkubwa siyo apelekwe Nigeria bali hiyo ndiyo kinga yaukweli

    12. #11
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,255
      Rep Power : 28917
      Likes Received
      11738
      Likes Given
      4819

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Tatizo hajui njia nyingine zinazoambukiza ukimwi. Mi nikifika nyumbani kwa watu nikaona kiwembe kiko uchi I freak out afu wao wanabaki kunishangaa!

    13. #12
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 801
      Rep Power : 545
      Likes Received
      102
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By neylu
      Mie nimeweka gundi kabisaaaaa.. Lol
      weka supergruw mkuu!unawekagunda ya karatasi!

    14. #13
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,520
      Rep Power : 19793
      Likes Received
      4318
      Likes Given
      1306

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Ana hitaji maombi!

    15. #14
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By neylu
      Mmh...Usinichekeshe.. Uache kujifunga wewe hiyo mikufuli ukamfunge mwenzio halafu wewe Uendelee kuwabanjua mabinti.. Inaanza na wewe.. Lol
      men are polygamy by nature mkuu......

    16. #15
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,495
      Rep Power : 651
      Likes Received
      632
      Likes Given
      617

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By asigwa
      men are polygamy by nature mkuu......
      Hapo umenena Kiongozi...! No comment..
      asigwa likes this.
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    17. #16
      Dickson Ng'hily's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 323
      Rep Power : 500
      Likes Received
      187
      Likes Given
      182

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By Gerrard
      Habari hii ipo kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili kwamba Peter Nyamanyafu (34) kijana kutoka Buhare Musoma Mjini ameamua kufunga kwa kufuli sehemu zake za siri na funguo kumkabidhi Mchungaji ikiwa njia aliyoona inafaa kumweka mbali na maambukizi ya Ukimwi (VVU).
      Akielezea jinsi alivyojitengeneza na kufunga kufuli hilo, Nyamanyafu anasema "nilichemsha mdenge (spoku) ya baiskeli kwenye moto, kisha nikatoboa na kufunga kufuli. Kwa kweli maumivu yalikuwa makali lakin nilivumilia kwa sababu nilikuwa nimedhamiria"

      Haya wana MMU njia ya kujikinga na maambukizi hiyo baada ya ABC kutokuwa effective.

      Ukimwi upo na unaua.
      Wadau, mwandishi wa habari hiyo niko naye hapa SAUT kwa training na amenipa picha ikionyesha uume wa kijana Peter Nyamanyafu ukiwa umefungwa kufuli.Sina hakika kama Mods wanaweza kuniruhusu kuitupia hapa jamvini hiyo picha but kiukweli jamaa kapiga kufuli na funguo kampa mchungaji.....
      SG8 likes this.
      'Ppooooz.......Pawaaaaa
      Hakuna Kulala.......Mpaka Kieleweke'
      0716/0765/0788-030030

    18. SG8
      #17
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,566
      Rep Power : 4180
      Likes Received
      773
      Likes Given
      730

      Default Re: Hofu ya kuambukizwa- Ajifunga kufuli sehemu za siri....Hapa hapa Tanzania

      Quote By ng'hily
      Wadau, mwandishi wa habari hiyo niko naye hapa SAUT kwa training na amenipa picha ikionyesha uume wa kijana Peter Nyamanyafu ukiwa umefungwa kufuli.Sina hakika kama Mods wanaweza kuniruhusu kuitupia hapa jamvini hiyo picha but kiukweli jamaa kapiga kufuli na funguo kampa mchungaji.....
      Mheshimiwa "Mbunge" wa Temeke nashukuru kwa ushuhuda wa macho. Labda Mods watakuruhusu uweke kule kwa wakubwa
      Dickson Ng'hily likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...