Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Exposed

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 53
    1. #1
      Bisek's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 374
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Post Exposed

      Hivi Bisek anafikiriaje kutunga thread kama hizi in just 2 days?

      Thread ya kwanza
      "natafuta mke": Awe muislam kwa sababu mimi nina mke mmoja tu,awe maji ya chungwa mnene kdogo na hips za haja.Awe mwaminifu,dini yoyote ile,umri miaka 17 hadi 35,mcha mungu alietulia.
      Thread ya pili
      "simtamani tena mume wangu": Mwanzoni haikuwa hivi..kadiri siku zinavokwenda nazidi kukosa hamu kabisa ya kushiriki naae tendo la ndoa,inabidi usiku nijifanye naumwa ili asiniguse,wakati mwingine tunalala kama kaka na dada zaidi ya mwezi kitanda kimoja.
      thread ya tatu
      "Baba mwenye nyumba ananitamani"" Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue
      Kama unaleta hoja za rafiki zako pia basi weka wazi ili wanao kushauria wasome context. It is obvious kua wewe huyo huyo huwezi kua mwanaume bachelor unae tafuta mke, pia uwe mwanamke alie mbali na mume wake for 2 years, tena uwe mwanamke anaeshingwa kushiriki tendo la ndoa na mume wake for the past month ingawa wanalala nae kitanda kimoja!
      Last edited by Roulette; 6th July 2012 at 14:09. Reason: merging threads
      Kaunga likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,627
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      1392
      Likes Given
      1544

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      maswali ya kimavi ndio haya

    4. #22
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Quote By Bisek
      Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue
      I'm between the lines, kifupi kauli hiyo ina maana tayari huyo mzee umeshampa consideration kubwa sana. Acha ushamba mtoto wa kike, kaa mbali na huyo baba mwenye nyumba vinginenevyo utajikuta umempa halafu akija mumeo yaanze madharau bure kisha upigwe chini na baba mwenye nyumba ana nyumba yake!!!!


    5. #23
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default re: Exposed

      Quote By Bisek
      Mwanzoni haikuwa hivi..kadiri siku zinavokwenda nazidi kukosa hamu kabisa ya kushiriki naae tendo la ndoa,inabidi usiku nijifanye naumwa ili asiniguse,wakati mwingine tunalala kama kaka na dada zaidi ya mwezi kitanda kimoja.
      Ni yule aliyopo nje qu ni mume yupi????? Wewe demu ni mapepe na naona umeivamia JF vibaya wewe.


    6. #24
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,707
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default

      Quote By Bisek
      Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue

      Kila kimlacho mwenzie hakika kina njaa!
      Kazi kwako!

    7. #25
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default re: Exposed

      Quote By Asprin
      Kwahiyo unataka tukusaidie nini?

      1. Kukushauri ili uwe na hamu naye
      2. Kukushauri namna bora ya kuomba talaka?
      3. Kukutafutia kibuzi kimoja au viwili au ukitaka vingi vya JF viwe vinakulima na kukuranda pale utakapokuwa na hamu
      4. Kukupa mbinu bora ya kumkwepa badala ya hiyo ya "kitoto" ya kujifanya unaumwa.

      Nakushauri, come this way nikufanyie maombi. Una PEPO baya sana la ngono.
      3.
      Ukimuombea tatizo lake ni dogo Njooo ufaniwe maombiiiiiii!!!



    8. #26
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 482
      Likes Received
      151
      Likes Given
      311

      Default re: Exposed

      leo hii,ndani ya saa moja, umeandika mada mbili,moja humtamani mumeo,nyingine baba mwenye nyumba anakutaka,hujui ufanyeje!Limbwata la baba mwenye nyumba limekukolea nini?pole!

    9. #27
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,474
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5029
      Likes Given
      5756

      Default re: Exposed

      HUmtamani ila bado unampenda au na mapenzi yameisha kabisa? Kama humpendi kabisa that will be a little harder to solve (but not impossible). Kama humtamani tu but bado unampenda this is relatively easier...
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    10. #28
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,818
      Rep Power : 1900
      Likes Received
      1162
      Likes Given
      977

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Gamaha and gmosha48 like this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    11. #29
      damper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 141
      Rep Power : 445
      Likes Received
      18
      Likes Given
      33

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Wanandoa wengi siku hizi wanapokuwa mbali mbali hupenda sana kuongea kwenye simu tena mida ya usiku, sasa sijui wewe huna mawasiliano kabisa na huyo mumeo na kama yapo hiyo mida ya usiku mnene akipiga simu unamwambia baba mwenye nyumba yumo humo ndani? Kama unamficha basi Tunda limeisha megwa hilo, unatuzuga humu jamvini.

    12. Kbd
      #30
      Kbd's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2009
      Posts : 942
      Rep Power : 678
      Likes Received
      294
      Likes Given
      135

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Quote By Bisek
      Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue
      Dont be so cheap my dear..........tamaa mbaya ujue.
      Hakika wema na fadhili zitanifuata siku zote za maisha yangu.....Zab 23:6

    13. #31
      Zabibu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 243
      Rep Power : 426
      Likes Received
      49
      Likes Given
      173

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Acha tamaa
      Zabibu haimenywi...

    14. #32
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,707
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default re: Exposed

      Wewe mtoto wa kike una matatizo gani?

      Kwa kweli unahitaji maombi full!

    15. #33
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default re: Exposed

      gari alilokuahidi mwenyenyumba endapo utamkubalia ndo linakuzuzua, pole mamy

    16. #34
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,474
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5029
      Likes Given
      5756

      Default re: Exposed

      Quote By Angel Msoffe
      gari alilokuahidi mwenyenyumba endapo utamkubalia ndo linakuzuzua, pole mamy
      Kumbe ni yeye tena hapa: http://www.jamiiforums.com/mahusiano...anyeje.html??? ??? I'm out!
      Kaunga likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    17. #35
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,707
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default Re: Natafuta mchumba wa kumuoa

      Wewe umekuja hapa jamvini vibaya sana!

      Huku Jf kuna watu na akili zao!

    18. #36
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,594
      Rep Power : 3878
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      651

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      tafuta vyako.na hama nyumba,jee huyo mume wako akijua?

    19. #37
      PetCash's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2012
      Location : searching....
      Posts : 641
      Rep Power : 558
      Likes Received
      351
      Likes Given
      104

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Quote By Bisek
      Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue
      Hivi jamani ladies? Unapokeaje hela, vocha from just anybody? This is gold digging! Yani kama kuna tabia ya wadada inayoniboa ndo hii...Yani utakuta mdada anataka tu kupewapewa vitu halafu akitaka kupewa na vingine ndo anakuja kuomba ushauri au anasema kwa mumewe! Yani unaweza kumpa mtu talaka hata ndoa hajaizoea!
      charminglady likes this.
      You are what you eat

    20. #38
      Fmewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 276
      Rep Power : 539
      Likes Received
      68
      Likes Given
      35

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      ushauri hakuna, utajua mwenyewe jambo la kuafanya................... yaani unatongozwa halafu unataka ushauri wakati wewe ni mke wa mtu ..... na inawezekana umeshamkubalia na tayari mmemalizana shida zenu au inawezekana wewe umeanza kumtamani kwa vile mmeo yupo masomoni.
      Sifikirii kama hili jambo la kuomba ushauri ila fanya lile uonalo vema kulifanya lakini kaa ukijua kuwa ukipanda bangi usitegemee kuvuna mchicha. Namaanisha kua kama wewe ukicheat basi tegemea kupata taarifa ya mumeo kukusaliti tena kwa house girl wako au mdogo wako au rafiki yako wa karibu sana na usije kuomba ushauri hapa MMU.
      Wengine wanamwomba Mungu awape waume wengine wanacheza na ndoa zao........ This world is not fair.
      Nakutakia wikend njema ila nimereply post hii kwa uchungu sana japo sikufahamu na mumeo simfahamu pia.
      Thanks
      Pasipo maono watu huangamia

    21. #39
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,996
      Rep Power : 8273
      Likes Received
      2695
      Likes Given
      3669

      Default re: Exposed

      Quote By Kaunga
      Amesharudi toka masomoni?
      Na vipi baba mwenye nyumba anakuvutia kimapenzi?
      Anafikiri sisi wote wasahaulifu...Cheki na hii alikuwa natafuta mchumba akijidai ni mwanaume http://www.jamiiforums.com/love-conn...wa-kumuoa.html
      Kaunga and Roulette like this.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    22. #40
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Baba mwenye nyumba ananitaka nifanyeje

      Quote By Bisek
      Mume wangu amesafiri yuko uingereza kwa masomo ya miaka 2,tangu aondoke baba mwenye nyumba ameanza kuleta kea nyingi za ajab ajab,mara mboga,mara vocha,mara matunda mara hela,usiku anapenda sana tukae wote until late hours....last month aliniambia kama nataka anaweza hata akaninunulia gari,im between the lines naomba ushauri ndugu zangu,what is the best way to deal with this issue
      Acha tamaa bwana.si umkatalie kama una dhamira hiyo?

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...