Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi ananipenda kweli?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      Kessy Hamisi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 353
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Hivi ananipenda kweli?

      Kuna msichana ambaye nilimaliza naye sekondari kidato cha nne mwaka 2009 mpaka sasa tumemaliza kidato cha sita tukisubiri post za chuo.Aliwahi kunitamkia kuwa ananipenda na mimi nikamkumbalia lakini cha kushangaza sana mapenzi yetu yamekuwa ni ya kwenye simu tu kiasi huwa nakosa muda wa kukaa naye ili tuzungumze juu ya mahusiano yetu na pia nimeshakwenda nyumbani kwao mara nyingi lakini nikimuuliza atakuja lini nyumbani apajue ananipiga kalenda na hata mama yangu anajua nipo naye lakini hajawahi kumuona.Je hivi ni kweli ananipenda au ananipotezea muda? msaada wenu wadau

    2. FemaTV & Radio

    3. BAK
      #2
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,575
      Rep Power : 44960
      Likes Received
      8292
      Likes Given
      8292

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Quote By Kessy Hamisi
      Kuna msichana ambaye nilimaliza naye sekondari kidato cha nne mwaka 2009 mpaka sasa tumemaliza kidato cha sita tukisubiri post za chuo.Aliwahi kunitamkia kuwa ananipenda na mimi nikamkumbalia lakini cha kushangaza sana mapenzi yetu yamekuwa ni ya kwenye simu tu kiasi huwa nakosa muda wa kukaa naye ili tuzungumze juu ya mahusiano yetu na pia nimeshakwenda nyumbani kwao mara nyingi lakini nikimuuliza atakuja lini nyumbani apajue ananipiga kalenda na hata mama yangu anajua nipo naye lakini hajawahi kumuona.Je hivi ni kweli ananipenda au ananipotezea muda? msaada wenu wadau
      Maneno hayo kwenye rangi mwambie uso kwa uso...kisha umuulize je unanipenda au unanipotezea tu?
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    4. #3
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,362
      Rep Power : 33547
      Likes Received
      8013
      Likes Given
      7506

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Wanawake wote mama yao mmoja baba yao mmoja,kua uyakute,hilo lako trela tu subiri muvi.
      double R likes this.

    5. #4
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,042
      Rep Power : 31281
      Likes Received
      7453
      Likes Given
      7465

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      kama alikutongoza basi anakupenda...

    6. #5
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : Yutong
      Posts : 2,618
      Rep Power : 11180
      Likes Received
      1630
      Likes Given
      1170

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Quote By Bishanga
      Wanawake wote mama yao mmoja baba yao mmoja,kua uyakute,hilo lako trela tu subiri muvi.
      mmh babu mbona hivyo leo usiku hukutimiziwa mahitaji mpaka unaamka na kashkash hivi.
      Bishanga likes this.
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    7. Miaka 50

    8. #6
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default

      Quote By BAK
      Maneno hayo kwenye rangi mwambie uso kwa uso...kisha umuulize je unanipenda au unanipotezea tu?
      habari yako BAK na mimi nina mpango wa kukutongoza ila mapenzi yetu yatakua ya e-mail tu!
      Kaunga likes this.

    9. #7
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Ongea nae face to face,mueleze how you feel kutokana na the way anavyokupiga kalenda,muulize kama anakupenda kweli au lah! From there utajua pa kuanzia..
      Asprin and Kaunga like this.

    10. #8
      JANA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 352
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Tafuta muda ukae nae kwa muda mrefu ili muongee hayo mambo mkiwa mmetulia bila haraka. Unajua unapokaa na mtu mda mrefu kidogo ndo unaweza kugundu chochote. Ila kwenye simu mtu anaweza kutoa maneno ambayo hayaendani na body movement.
      Asprin likes this.

    11. #9
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Mwanamke suti kujishebedua kidogo.....
      Kwani lazima aje kwenu ndo ujue anakupenda? Si huwa unaenda kwao Na mnaongea? Unataka aje kwenu ukapige mandingo?
      Asprin likes this.

    12. #10
      Tutor B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : Bukoba Municipal
      Posts : 1,948
      Rep Power : 1183
      Likes Received
      592
      Likes Given
      33

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      hakupendi huyo!
      "Ukipendwa - penda, ipo siku utapenda - usipendwe"

    13. #11
      Dreamliner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2010
      Location : Kijijini
      Posts : 1,968
      Rep Power : 868
      Likes Received
      167
      Likes Given
      166

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Anakupenda ila hujajua....
      Asprin likes this.
      T0 test the SWEETNESS of life, you must have the power to forget the past.

    14. #12
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Quote By BAK
      Maneno hayo kwenye rangi mwambie uso kwa uso...kisha umuulize je unanipenda au unanipotezea tu?
      mkuu BAK KUNA MTU ANATAKA KUKUTONGOZA ANAITWA Purple JE MUULIZE NI MWANAMKE AU MWANAUME ?????????????ISIKUTE NI LIDUME HILO
      BAK likes this.

    15. #13
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      nenda chuo na weka elimu mbele ukija kupata kari au ukawa na hela atakuja mwenyewe ,do u remember baby i told u i love u so much that time ,sasa hapo unamwambia unakumbuka zile kalender????????????????

    16. #14
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Quote By Kessy Hamisi
      Kuna msichana ambaye nilimaliza naye sekondari kidato cha nne mwaka 2009 mpaka sasa tumemaliza kidato cha sita tukisubiri post za chuo.Aliwahi kunitamkia kuwa ananipenda na mimi nikamkumbalia lakini cha kushangaza sana mapenzi yetu yamekuwa ni ya kwenye simu tu kiasi huwa nakosa muda wa kukaa naye ili tuzungumze juu ya mahusiano yetu na pia nimeshakwenda nyumbani kwao mara nyingi lakini nikimuuliza atakuja lini nyumbani apajue ananipiga kalenda na hata mama yangu anajua nipo naye lakini hajawahi kumuona.Je hivi ni kweli ananipenda au ananipotezea muda? msaada wenu wadau
      Umemaliza fom foo mwaka 2009, huu ni mwaka 2012. Ntakutia bakora, nenda kasome!!
      Kaunga and gfsonwin like this.
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    17. #15
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,439
      Rep Power : 32075
      Likes Received
      14541
      Likes Given
      22033

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Quote By Purple
      Ongea nae face to face,mueleze how you feel kutokana na the way anavyokupiga kalenda,muulize kama anakupenda kweli au lah! From there utajua pa kuanzia..
      Quote By JANA
      Tafuta muda ukae nae kwa muda mrefu ili muongee hayo mambo mkiwa mmetulia bila haraka. Unajua unapokaa na mtu mda mrefu kidogo ndo unaweza kugundu chochote. Ila kwenye simu mtu anaweza kutoa maneno ambayo hayaendani na body movement.
      Quote By Remmy
      Mwanamke suti kujishebedua kidogo.....
      Kwani lazima aje kwenu ndo ujue anakupenda? Si huwa unaenda kwao Na mnaongea? Unataka aje kwenu ukapige mandingo?
      Quote By Dreamliner
      Anakupenda ila hujajua....
      Nyie watu mbona mnamfundisha huyu mtoto tabia mbaya? Mwambieni akasome. Mnamsoma huyu great thinker mwenzangu hapa chini?

      Quote By nivea
      nenda chuo na weka elimu mbele ukija kupata kari au ukawa na hela atakuja mwenyewe ,do u remember baby i told u i love u so much that time ,sasa hapo unamwambia unakumbuka zile kalender????????????????
      ....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....

    18. #16
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,160
      Rep Power : 46183
      Likes Received
      6473
      Likes Given
      5321

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Nakushhauri kasome kwanz amkuu
      Kama ni mapenzi utayapata tuu
      Afterall anakuona bado dogo unataka kwenda chuo na yeye anaenda huko
      may be utafika chuo umpate wa kukufaa yeye umuone hana maana au vise versa
      Zingatia kwanza upate chuo usome mambo yatajipa tuu kama anakupenda atakuja mwenyewe
      Asprin and KARIA like this.
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    19. #17
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,450
      Rep Power : 19778
      Likes Received
      4289
      Likes Given
      1187

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Atakualibia masomo au utapata ukimwi

    20. #18
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Mapenzi na shule, mlenda na pilau..soma na kuhusu swali lako ni kwamba anakupenda, usifikir ni jambo rahisi kwenda ukweni remember hata kiumr hajakua.

    21. #19
      KARIA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 688
      Rep Power : 3424
      Likes Received
      455
      Likes Given
      1126

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      ELIMU KWANZA! Mapenzi baadae!
      MWENYE MVI NA MWENYE KIPARA NANI MKUBWA?

    22. #20
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Re: Hivi ananipenda kweli?

      Anaogopa akija kwako utambaka.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...