Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 93
    1. #1
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,213
      Rep Power : 23384
      Likes Received
      8171
      Likes Given
      5853

      Default mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      helo my dearests...
      basi bwana nilikuwa kwenye kikundi tulikuwa na semina ya kujifunza ujasiriamali maledies mjini hapa...
      si mnajua maisha magumu mishahara yenyewe kidogo wanaume wenyewe wakutuboost hakuna kitu.. zaidi ndo wanatukopa maana shida kwao zimewajaa kama nini ..loh tuyaache..
      basi tukawa tunajifunza kupika vitumbua.nk
      basi ikaja session ya kutoa ushuhuda watu jinsi gani wamestrugle kutoka na ikawa vipi hatima yake..
      loh kuna hawa maledies kama sita hivi..wakaanza kushuhudia jinsi wamepiga ujasiriamali hadi ule wa kipochi manyonya a.k.a kipochi cha utamu ...
      sasa wao wakadai waliinvest kwa wazungu wakitegemea kuwa mamrs whites...
      but hawakuambulia chochote zaidi ya kukopwa na kuachiwa email adress eti ...eheheeee sina mbavu mie
      nimeamini wazungu noma..hata no za simu hawatoi ni email adress tu ..wadada wanalalamika kila siku kwenda internet cafe kuchungulia kama ka ujumbe kametumwa teh hola hola...
      basi tupo nao tunapika vitumbua vipo advanced tunasupply somalia rwanda &burundi...
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      ammah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : Under the MONEY tree...
      Posts : 193
      Rep Power : 476
      Likes Received
      37
      Likes Given
      16

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Smile Tanzania vipi hamuuzi hivyo vitumbua?
      Smile and charminglady like this.

    4. #3
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,213
      Rep Power : 23384
      Likes Received
      8171
      Likes Given
      5853

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By ammah
      Smile Tanzania vipi hamuuzi hivyo vitumbua?
      tunauza my dear kitumbua kina hadi strawbery na vanila ..unataka?
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    5. #4
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Kuwa Mrs white kazi sana hasa kwa hawa wanaokuja hapa TZ labda uende huko huko kwao.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

  • Miaka 50

  • #6
    Dr. Wansegamila's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd February 2012
    Location : Kwetu pazuri
    Posts : 345
    Rep Power : 2081
    Likes Received
    143
    Likes Given
    88

    Default

    Quote By Smile
    helo my dearests...
    basi bwana nilikuwa kwenye kikundi tulikuwa na semina ya kujifunza ujasiriamali maledies mjini hapa...
    si mnajua maisha magumu mishahara yenyewe kidogo wanaume wenyewe wakutuboost hakuna kitu.. zaidi ndo wanatukopa maana shida kwao zimewajaa kama nini ..loh tuyaache..
    basi tukawa tunajifunza kupika vitumbua.nk
    basi ikaja session ya kutoa ushuhuda watu jinsi gani wamestrugle kutoka na ikawa vipi hatima yake..
    loh kuna hawa maledies kama sita hivi..wakaanza kushuhudia jinsi wamepiga ujasiriamali hadi ule wa kipochi manyonya a.k.a kipochi cha utamu ...
    sasa wao wakadai waliinvest kwa wazungu wakitegemea kuwa mamrs whites...
    but hawakuambulia chochote zaidi ya kukopwa na kuachiwa email adress eti ...eheheeee sina mbavu mie
    nimeamini wazungu noma..hata no za simu hawatoi ni email adress tu ..wadada wanalalamika kila siku kwenda internet cafe kuchungulia kama ka ujumbe kametumwa teh hola hola...
    basi tupo nao tunapika vitumbua vipo advanced tunasupply somalia rwanda &burundi...
    za masiku mwenyekiti?? Upo? Umeadimika sana aisee, au ujasiriamali unaku-keep busy sana?

  • #7
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By Kongosho
    Kuwa Mrs white kazi sana hasa kwa hawa wanaokuja hapa TZ labda uende huko huko kwao.
    teh yaani Kongosho dearest eti wameishia tu kuachiwa email adress ..wadada wa watu wadhugu bana...eheheee
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #8
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,979
    Rep Power : 8269
    Likes Received
    2680
    Likes Given
    3661

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Vitumbua gani? hivyo hivi vitamu au vile vya kuliwa?
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #9
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By Black Bat
    si wangechukua ushauri toka kwa Mange?
    teh waliona kichaka basi ??????????
    au walidhani kila mzungu ni padri loh
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #10
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By Dr. Wansegamila
    za masiku mwenyekiti?? Upo? Umeadimika sana aisee, au ujasiriamali unaku-keep busy sana?
    teh nipo dr mgomo vipi? nipo busy nauza vitumbua
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #11
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By platozoom
    Vitumbua gani? hivyo hivi vitamu au vile vya kuliwa?
    ivo vitamu haviliwi?
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #12
    ammah's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 2nd October 2010
    Location : Under the MONEY tree...
    Posts : 193
    Rep Power : 476
    Likes Received
    37
    Likes Given
    16

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Smile mpaka vya strawbery na
    vanila...hivyo bei yake sitaweza!
    Smile likes this.

  • #13
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By ammah
    Smile mpaka vya strawbery na
    vanila...hivyo bei yake sitaweza!
    teh sio ghali very cheap nina tbs...hadi ac ndani
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #14
    Vin Diesel's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 1st March 2011
    Posts : 5,866
    Rep Power : 19947
    Likes Received
    2792
    Likes Given
    1615

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Hey Smile...naomba kujua hivyo vitumbua ni vile vya usiku?
    Smile likes this.

  • #15
    platozoom's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th January 2012
    Posts : 3,979
    Rep Power : 8269
    Likes Received
    2680
    Likes Given
    3661

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By Smile
    ivo vitamu haviliwi?
    Vinamun'gunywa
    "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

  • #16
    ammah's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 2nd October 2010
    Location : Under the MONEY tree...
    Posts : 193
    Rep Power : 476
    Likes Received
    37
    Likes Given
    16

    Default

    Quote By Smile
    teh sio ghali very cheap nina tbs...hadi ac ndani
    kama vina mpaka ac hivyo vitumbua vitakuwa vya baridi sana

  • #17
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Ngojeni tukianza kutajirika na gesi na mafuta watakuwa wao wanatafuta kuoa/kuolewa ili wapate status za kuishi hapa, kama wenzetu (wabeba maboksi) wanaokimbilia kwa wadhungu wanavyofanya.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #18
    Smile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 18th July 2011
    Location : paradise
    Posts : 11,213
    Rep Power : 23384
    Likes Received
    8171
    Likes Given
    5853

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Quote By Vin Diesel
    Hey Smile...naomba kujua hivyo vitumbua ni vile vya usiku?
    umepoteaje mkuu ? upo? hivo ni vitumbua unaweza kula muda wowote
    It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

  • #19
    WALIMWEUSI's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 9th November 2011
    Location : DSM
    Posts : 949
    Rep Power : 570
    Likes Received
    276
    Likes Given
    354

    Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Hao hawakufanikiwa kuwashika vizuri bwana mbona kina koku wanawaweza hao? Basi language ndo ilisababisha waka fail
    The best mind-ultering drug is truth.

  • #20
    Dr. Wansegamila's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd February 2012
    Location : Kwetu pazuri
    Posts : 345
    Rep Power : 2081
    Likes Received
    143
    Likes Given
    88

    Default

    Quote By Smile
    teh nipo dr mgomo vipi? nipo busy nauza vitumbua
    tuheshimiane mwenyekiti......! Thats nt my name, mimi shwari tuu,napambana...... Usiwe unaaadimika hivyo kama jasho la kuku

  • Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...