Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 93
    1. #1
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      helo my dearests...
      basi bwana nilikuwa kwenye kikundi tulikuwa na semina ya kujifunza ujasiriamali maledies mjini hapa...
      si mnajua maisha magumu mishahara yenyewe kidogo wanaume wenyewe wakutuboost hakuna kitu.. zaidi ndo wanatukopa maana shida kwao zimewajaa kama nini ..loh tuyaache..
      basi tukawa tunajifunza kupika vitumbua.nk
      basi ikaja session ya kutoa ushuhuda watu jinsi gani wamestrugle kutoka na ikawa vipi hatima yake..
      loh kuna hawa maledies kama sita hivi..wakaanza kushuhudia jinsi wamepiga ujasiriamali hadi ule wa kipochi manyonya a.k.a kipochi cha utamu ...
      sasa wao wakadai waliinvest kwa wazungu wakitegemea kuwa mamrs whites...
      but hawakuambulia chochote zaidi ya kukopwa na kuachiwa email adress eti ...eheheeee sina mbavu mie
      nimeamini wazungu noma..hata no za simu hawatoi ni email adress tu ..wadada wanalalamika kila siku kwenda internet cafe kuchungulia kama ka ujumbe kametumwa teh hola hola...
      basi tupo nao tunapika vitumbua vipo advanced tunasupply somalia rwanda &burundi...
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 899
      Rep Power : 529
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Kuna mtindo wazungu wazee ndo wanachukua watoto wa DSM, unakuta binti anazini na kibabu chake. Maisha bana....

    4. #22
      Renegade's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2009
      Posts : 1,103
      Rep Power : 738
      Likes Received
      172
      Likes Given
      757

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Labda wazungu wa Zamani, Hawa wa kisasa si ndio wale wanaotuibia vipesa vyetu kwenye ATMs?
      Usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change.

    5. #23
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,475
      Rep Power : 646
      Likes Received
      621
      Likes Given
      604

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Hiyo ya kuambulia kuachiwa e-mail address nimeipenda sana.. Hahahaaa...Heri yangu mie nisiye patana na hiyo ngozi ya kizungu kabisaaa..
      Smile and charminglady like this.
      We must either find a way or make one. - Hannibal

    6. #24
      NDAMANDOO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Location : Pemba
      Posts : 119
      Rep Power : 377
      Likes Received
      20
      Likes Given
      27

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By ammah
      kama vina mpaka ac hivyo vitumbua vitakuwa vya baridi sana
      hapo kwenye red, AC unaweza kuset temperature unayotaka inaweza kuwa Baridi, moderate au joto! usikariri.
      "ACHA KAZI UONE ILIVYO KAZI KUPATA KAZI"
      " MTAANI"

    7. #25
      Lucas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2011
      Location : Ng'whani
      Posts : 2,136
      Rep Power : 14968
      Likes Received
      931
      Likes Given
      481

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Smile, naomba kuonja pia hivyo vitumbua... nitavipataje?
      Smile likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 816
      Rep Power : 560
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Smile kipochi utamu ndo nini tena au ni sambusa
      Smile likes this.

    10. #27
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19946
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By Smile
      umepoteaje mkuu ? upo? hivo ni vitumbua unaweza kula muda wowote
      Nipo boss...hicho kitumbua bei gani?

    11. #28
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By neylu
      Hiyo ya kuambulia kuachiwa e-mail address nimeipenda sana.. Hahahaaa...Heri yangu mie nisiye patana na hiyo ngozi ya kizungu kabisaaa..
      yaani ungesikia wanavojishebedua na izo email utacheka ufe mkuu....
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    12. #29
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 575
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Mabinti wa DSM wanaliwa uroda na vibabu vya kizungu ambavyo hata ulaya vinakataliwa kwa kunuka shombo. Noti kitu kingine kabisa, vijana wa kiume masela nao wanajivinjari na vibibi vya kizungu.
      Mange wa U-turn website ndo anafanya kazi wa ku-promote udumavu wa akili kwa wanawake wawindaji wa vibabu vya kizungu. Perception mbaya sana kwa baadhi ya wadada wa kitanzania kuamini ya kuwa hakuna mafanikio bila kuzini na ngozi nyeupe za ulaya. Wanaishia kufanyiwa michezo michafu ambayo ni kinyume kabisa na maadili ya kitanzania.
      Smile likes this.

    13. #30
      zimwimtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 374
      Rep Power : 437
      Likes Received
      91
      Likes Given
      123

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By Smile
      tunauza my dear kitumbua kina hadi strawbery na vanila ..unataka?
      mie nataka sambusa aisee, mnapika nazo?
      Smile likes this.

    14. #31
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By by default
      Smile kipochi utamu ndo nini tena au ni sambusa
      ni nanihiiii ile pale downwards
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    15. #32
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By Rich Dad
      Mabinti wa DSM wanaliwa uroda na vibabu vya kizungu ambavyo hata ulaya vinakataliwa kwa kunuka shombo. Noti kitu kingine kabisa, vijana wa kiume masela nao wanajivinjari na vibibi vya kizungu.
      Mange wa U-turn website ndo anafanya kazi wa ku-promote udumavu wa akili kwa wanawake wawindaji wa vibabu vya kizungu. Perception mbaya sana kwa baadhi ya wadada wa kitanzania kuamini ya kuwa hakuna mafanikio bila kuzini na ngozi nyeupe za ulaya. Wanaishia kufanyiwa michezo michafu ambayo ni kinyume kabisa na maadili ya kitanzania.
      ovyooooooooooooo sana
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    16. #33
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By zimwimtu
      mie nataka sambusa aisee, mnapika nazo?
      zipo njoo ule
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    17. #34
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4997

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      mmmmhhhh! Smile mambo zako?
      Smile likes this.
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    18. #35
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      ma dearest Smile you are very right miye nimewah kumshuhudia mdada mmoja wa kibongo pale swiss airline luther house akiwa na mzungu wanakata tiket ili waondke wote, nilikerekwa na yule mdada manake hata hati yake ya kusafiria alitaka iekwe kwamba sijui akatafute uraia wa huko. jamani niligadhabika alimanusurani kumtia vibao. nikamuuliza wewe ulisha wah kwenda huko ulaya akasema hapana, ilibidi yule mmama mkata tiketi ampesomokuwa asifanye hivyo ili ama atateseka aweze kurudi tz.

      sasa hawa ndo kaa wale wengine waashobkea wanabaki kuliwa uroda na mbwa na paka wa kizungu
      mito likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    19. #36
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By cacico
      mmmmhhhh! Smile mambo zako?
      safi shost hujaachiwa email adress na mzungu wewe
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    20. #37
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,070
      Rep Power : 23355
      Likes Received
      8098
      Likes Given
      5852

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By gfsonwin
      ma dearest Smile you are very right miye nimewah kumshuhudia mdada mmoja wa kibongo pale swiss airline luther house akiwa na mzungu wanakata tiket ili waondke wote, nilikerekwa na yule mdada manake hata hati yake ya kusafiria alitaka iekwe kwamba sijui akatafute uraia wa huko. jamani niligadhabika alimanusurani kumtia vibao. nikamuuliza wewe ulisha wah kwenda huko ulaya akasema hapana, ilibidi yule mmama mkata tiketi ampesomokuwa asifanye hivyo ili ama atateseka aweze kurudi tz.

      sasa hawa ndo kaa wale wengine waashobkea wanabaki kuliwa uroda na mbwa na paka wa kizungu
      teh yaani ni balaa dada sikujua kama wazungu wa bulgaria nao wana soko hvi huku tz
      gfsonwin likes this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    21. #38
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By Smile
      teh yaani ni balaa dada sikujua kama wazungu wa bulgaria nao wana soko hvi huku tz
      Smile ndio walivyo hao
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    22. #39
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Asante Smile nimeondoka na msamiati mmoja..kipochi utamu

    23. #40
      Babuu blessed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Location : machame
      Posts : 1,129
      Rep Power : 739
      Likes Received
      265
      Likes Given
      54

      Default Re: mapenzi ya wazungu ....mjini dsm

      Quote By Smile
      wanaume wenyewe wakutuboost hakuna kitu.. zaidi ndo wanatukopa maana shida kwao zimewajaa kama nini ..loh tuyaache..
      Smile bhana mbona unatusakama watoto wa mwanamke mwenzako....tofauti wewe unachuchumaa sisi tuna jojoa tukiwa kumesimama...........
      People that tell you for no reason "don't forget where you came from" are mad because they're still there.

    24. Study Abroad
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...