Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 84
    1. #1
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Kwenye Biblia,Mw 2:18 imeandikwa;"BWANA Mungu akasema,Si vema huyo mtu awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae".Ndipo akamletea wanyama kibao lakini hakuonekana wa kufanana nae,Mw 2:19-20,ndipo Mungu alipomuumba mwanamke kutoka ubavuni mwa Adam. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Hapa nimegundua kuwa,Mwanaume alianza kuhitaji msaidizi wa kawaida lakini ngono sio sababu ya kuumbwa mwanamke.Pili,mwanaume alihitaji kusaidiwa,hii maana yake ni kwamba,Mwanaume kamwe hawezi kutimiza majukumu yake bila mwanamke.Tatu,mwamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume,lakini mwanaume hakuumbwa kwaajili ya mwanamke.Nne,kazi iliyomleta au kusababisha mwanamke kuumbwa ni kumsaidia mwanaume tu.Tano,malengo ya uumbaji wa Mungu hayakumhusisha mwanamke,yaani mwanamke yupo duniani si kwaajili ya kutimiza malengo ya uumbaji wa Mungu bali kumsaidia mwanaume kuyatimiza malengo ya Mungu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Jamani msinirushie mawe,kama Mungu hakumaanisha hivyo leta tafsiri yako,unless uwe huiamini Biblia.Hebu tujadiliane inawezekana nimepotoka!
      LD and gfsonwin like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Henry Philip's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th July 2008
      Posts : 109
      Rep Power : 573
      Likes Received
      31
      Likes Given
      15

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Quote By mtambuzi
      sisi wapagani tunaamini kwamba mungu wetu aliumba mwanamke na mwanaume ili waijaze dunia kwa kuzaana bila masharti, na ndio maana wazee wetu walioa wanawake wengi bila masharti, lakini hawa wakoloni wametuletea dini ambazo zinatuwekea msharti, mara kuoa mke mmoja, mara kuoa mwisho wanawake wanne..... Na masharti kibao.
      Sisi wapagani hatujui kuoa tunajua kuzaa tu basi, hakuna mahali mungu alisema muoane, bali alisema muende mkazaane muijaze dunia........

      Mnaniudhi nyie na dini zenu hizo..................lol

      hahahaaaa, inabidi nifurahi maana kwa ulivyolalamika inaonekana wazi kuwa wamekubania sana kupiga gemu, wanakuudhi eeh? Pole ndugu. Lakini haujakatazwa, ni wewe mwenyewe tu, jitume.
      Mtambuzi likes this.

    4. #42
      Haven's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 120
      Rep Power : 372
      Likes Received
      59
      Likes Given
      109

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Quote By Eiyer
      Mwanaume hakuumbwa kwaajili ya yoyote!
      Go and re-read your bible...everthing was created for a purpose..

    5. #43
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Mtambuzi
      Mkuu kila dini ina Mungu wao, kwa mfano kule India kuna Miungu zaidi ya 1000, na hata wapagani wana Mungu wao............ Yaani yule wanayeamani kwamba ndio aliyewaumba na kuwaleta hapa duniani.
      Hivi unajua upagani ni nini?Ukishaamini uwepo wa Mungu wewe sio mpagani!

    6. #44
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Mpangamji
      Adam aliona wanyama wengine wanakula bata na wenzi wao, Mungu akaona si vyema aendelee kula chabo nitamfanyizia wa kwake
      Kasome maandiko vizuri kijana!

    7. #45
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Mmmmh sijui mambo haya Bhan kila mtu na FANI yake mie hapa fani yangu inajulikan sana, ni kupiga story na kuuza gahawa, sasa haya mambo mie nimesoma, nimeyaona na nimefurahi ila nina NENO moja tu, kwamba ukiangalia uumbaji wa huyu ASIEONEKANA ni kwamba ulienda hierarchically kwa hio kama ni hivyo MUNGU alianza kuumba dunia, wanyama, kisha akatafuta kitu/mtu wa kuitawala na kuisimamia hio dunia na vilivyomo (yaani mkubwa zaidi) ndipo akaumba KIDUME cha Mbegu lakini akaona hiki kidume nacho sometimes zinafyatuka vile, akaona huyu nae kimeo tu ngoja Nimtafutie mkubwa wake atakayemtawala "KIMTINDO" bila ya yeye kujijua, ndipo MWANANMKE alipokuja sasa,
      Ukiangalia ukweli wa mambo haya upo, cheki story za Delila Vs Samson, Ester Vs Naamani, Mamaake MUSA Vs Mfalme, Angalia pia story ya ABIGAILI vs MUMEWE, Raheli Vs Ufalme wa Herode, na Utume wa Hosea Vs Mwanamke Kahaba na wengine wengi, so huyu MZEE MZIMA SIR GOD anajua anachokifanya.
      LD likes this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      My lovely Wife Kaunga,mi nadhani wakati Adam anaumbwa na Mungu kuna kazi aliyopewa,lakini kuzaliana kwa wanadamu kulikuja baadae.Kazi ambayo Adam alipewa ilionekana inahitaji msaidizi,hapo ndo akapatikana mwanamke,na kuzaana kulipokuja. . . . . . . . . . . . .. . 0 Hivyo basi,mwanaume aliumbwa aifanye kazi ya Mungu,mwanamke hakuwepo kwenye mpango wa uumbaji wa mwanzo,alikuja kuumbwa kwaajili ya mwanaume,amsaidie mwanaume kutimiza kazi aliyopewa huyo mwanaume. . . . . . . . . . . . .. .. Lakini mwanaume hakuumbwa kwaajili ya mwanamke,bali aliumbwa akamilishe kazi iliyosababisha aumbwe. . . . . . . . . . . . . . . . . . Wife halafu leo nataka unipikie mtori na utumbo na chapati za kumimina,nimemisi sana huo msosi!

    10. #47
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By King'asti
      Hivi nilishakuambiaga kuwa nakupendaga sana my lil bro? Kama bado, its official! I love you!
      I knw ma lovely dada,nataka leo uje home,kuna msori wifi yako nimemuambia aandae,plz usiache dada yangu mpenzi!

    11. #48
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      LD,unapoleta tatizo ili kutetea tatizo unakua unaongeza tatizo.Kutokuwepo MWANAUME haiondoi ukweli(kama ni ukweli) kuwa mwanamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume.Tatizo ulilolitaja limezungukwa na matatizo mengine mengi na linahitaji mada nyingine!
      LD likes this.

    12. #49
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Haven
      Go and re-read your bible...everthing was created for a purpose..
      Najua,lakini hebu nikuulize,hivi lengo la mvua kunyesha baharini ni nini?

    13. #50
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,567
      Rep Power : 5616
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      @eiyer,
      ukisoma mwanzo 3:16 imeandikwa:
      "kisha akamwambia mwanamke, nitakuzidishia uchungu wa kuzaa,
      kwa uchungu utazaa watoto;
      utakuwa na hamu na mumeo,
      hata hivyo nae atakutawala."

      kibiblia mwanamke aliumbwa baada ya mwanaume kuwa mpweke duniani, sikubaliani unaposema kuwa lengo ni kumsaidia mwanaume atimize malengo ya Mungu, bali kila nafsi inatimiza malengo ya Mungu na mke anaweza kumuokoa mume asiyeamini na mume anaweza kumuokoa mkewe, ndo maana andiko linasema
      "ndio maana mwanaume humuacha baba yake na mama yake akaambatana na mkewe, nao wawili hao huwa mwili mmoja"
      maana kama lengo ni kumsaidia mwanaume atimize majukumu yake kwa mungu, kwa nini mwanamke aliadhibiwa walipokula tunda? kwa nini asipewe mwanaume peke yake adhabu?





      Quote By Eiyer
      Kwenye Biblia,Mw 2:18 imeandikwa;"BWANA Mungu akasema,Si vema huyo mtu awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana nae".Ndipo akamletea wanyama kibao lakini hakuonekana wa kufanana nae,Mw 2:19-20,ndipo Mungu alipomuumba mwanamke kutoka ubavuni mwa Adam. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Hapa nimegundua kuwa,Mwanaume alianza kuhitaji msaidizi wa kawaida lakini ngono sio sababu ya kuumbwa mwanamke.Pili,mwanaume alihitaji kusaidiwa,hii maana yake ni kwamba,Mwanaume kamwe hawezi kutimiza majukumu yake bila mwanamke.Tatu,mwamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume,lakini mwanaume hakuumbwa kwaajili ya mwanamke.Nne,kazi iliyomleta au kusababisha mwanamke kuumbwa ni kumsaidia mwanaume tu.Tano,malengo ya uumbaji wa Mungu hayakumhusisha mwanamke,yaani mwanamke yupo duniani si kwaajili ya kutimiza malengo ya uumbaji wa Mungu bali kumsaidia mwanaume kuyatimiza malengo ya Mungu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Jamani msinirushie mawe,kama Mungu hakumaanisha hivyo leta tafsiri yako,unless uwe huiamini Biblia.Hebu tujadiliane inawezekana nimepotoka!
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    14. #51
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      BADILI TABIA,hayo mambo ya kuzaa kwa uchungu yamekuja baadae,mimi nazungumzia kabla bana.Hivi mwanaume asingehitaji msaidizi kungekua na mwanamke leo?

    15. #52
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,477
      Rep Power : 19784
      Likes Received
      4299
      Likes Given
      1239

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Hapo chacha

    16. #53
      Haven's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 120
      Rep Power : 372
      Likes Received
      59
      Likes Given
      109

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Quote By Eiyer
      Najua,lakini hebu nikuulize,hivi lengo la mvua kunyesha baharini ni nini?
      Yamkini mimi au wewe tusifahamu lengo...lakini haimaanishi kuwa hakuna lengo, The creator knows well

    17. #54
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,387
      Rep Power : 33552
      Likes Received
      8033
      Likes Given
      7565

      Default

      Quote By Eiyer
      Nilikua napitia tu maandiko haya yakanivutia!
      I wonder........-

    18. #55
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,464
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      457
      Likes Given
      938

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      haya wanaojua injili tatueni kitendawili hiki

    19. #56
      babalao 2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 975
      Rep Power : 554
      Likes Received
      290
      Likes Given
      51

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      mawazo ya Mungu hayalinganishwi na malaika, mwanadamu wala shetan yako mbali sana na mtawaza sana.

    20. #57
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,189
      Rep Power : 28902
      Likes Received
      11672
      Likes Given
      4819

      Default

      Ila Mungu nae kisirani chake! Nilitaka kuuliza adamu na hawa walijuana tu kupata watoto. Hii mambo ya sijui viuno na shanga ndo imeanza kuleta balaa! Kumbe hamu ni sehemu ya adhabu! Ngoja nikatafute ukombozi kwa damu ya Yesu! Kha!
      Quote By BADILI TABIA
      @eiyer,
      ukisoma mwanzo 3:16 imeandikwa:
      "
      utakuwa na hamu na mumeo,
      hata hivyo nae atakutawala."


    21. #58
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Mwanaweja
      haya wanaojua injili tatueni kitendawili hiki
      Wewe hujui kusoma????

    22. #59
      Emma.'s Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 0
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi haya maandiko yana maanisha hivi?

      Madaa nzuri mm napita

    23. #60
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Haven
      Yamkini mimi au wewe tusifahamu lengo...lakini haimaanishi kuwa hakuna lengo, The creator knows well
      Kwa hiyo wewe kama wewe hujui?

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...