Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.
leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.
kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea
Epuka hilo na na usilogwe na tamaa ya fisi ya kufikiria mkono wa binadam utaanguka muda wowote
Wema wa siku moja kufunguliwa gari au kusalimiwa na kupewa pole zisikufanye uanguke dhambini na uisaliti ndoa yako
katengeneze kwako na ikiwezekana mkaribishe Mungu katika mahuasiano yako na angalia umeanguka wapi kabla ya kuanza kufikiria kutoka nje ya ndoa
Heshimu ndoa yako na wala usilaghaiwe kwa wema wa siku moja may be uniambie huyo mzee umemfaham siku nyingi na sio kuwa umekutana nae kwenye gari
Epuka hilo na na usilogwe na tamaa ya fisi ya kufikiria mkono wa binadam utaanguka muda wowote
Wema wa siku moja kufunguliwa gari au kusalimiwa na kupewa pole zisikufanye uanguke dhambini na uisaliti ndoa yako
katengeneze kwako na ikiwezekana mkaribishe Mungu katika mahuasiano yako na angalia umeanguka wapi kabla ya kuanza kufikiria kutoka nje ya ndoa
Heshimu ndoa yako na wala usilaghaiwe kwa wema wa siku moja may be uniambie huyo mzee umemfaham siku nyingi na sio kuwa umekutana nae kwenye gari
sijawah hata kumuona zaid ya tulivykutana kwenye gari basi. Hapa mimi najiuliza kwanini hali kama hii itokee? mbona mume wangu hanijali jamani ama nilikosea kupenda? nimesali sana kaka na nimelia sana tena mpaka nimesema silii tena lakini mume wangu hanionyeshi hata wema ambao wengine wananionyesha.
siyo mwanaume wa kwanza kunitaka huyu huwa naruka viunz sana tu lakni kwanini mume wangu hanion kama n wa thamani kam wengne wanavyoniona?
kaka yangu hebu jiulize wewe kama mkaka hata siku moja mkeo haja kusifia kwa jambo lolote lakin kila siku wanawake unaokutana nao wanakusifu tena kwa vitu ambavyo vipo wazi utajiskiaje?
Uko msibani mwanangu!!. Kumbe "ngoma" nyingine za kujitakia.
By manshiroo
Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.
leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.
kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea
Duuh mshinde shetani, kila ndoa ina balaa lake. Mwanaume anaweza uza ukoo wako ili amlale mwanamche achilia kumwoa. Kwahiyo huyo baba ni fix tu za wazee wa mjini.
kuna wanaume wanaswaga kiasi kwamba wanatongoza mpaka wanalia sasa huyu jamaa kakupa swaga za kiutu uzima pengine hata kwake ni mkali matata fanya mchezo utie kitumbua chako mchanga mpende mumeo.
Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.
leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.
kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea
Duh! Manshiroo ni aje bana!?
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
sijawah hata kumuona zaid ya tulivykutana kwenye gari basi. Hapa mimi najiuliza kwanini hali kama hii itokee? mbona mume wangu hanijali jamani ama nilikosea kupenda? nimesali sana kaka na nimelia sana tena mpaka nimesema silii tena lakini mume wangu hanionyeshi hata wema ambao wengine wananionyesha.
siyo mwanaume wa kwanza kunitaka huyu huwa naruka viunz sana tu lakni kwanini mume wangu hanion kama n wa thamani kam wengne wanavyoniona?
kaka yangu hebu jiulize wewe kama mkaka hata siku moja mkeo haja kusifia kwa jambo lolote lakin kila siku wanawake unaokutana nao wanakusifu tena kwa vitu ambavyo vipo wazi utajiskiaje?
Umenishangaza sana manshiroo (hapo kwa redi), yaani wewe unachopenda ni kusifiwa, kubebewa pochi, kufunguliwa mlango wa gari .... loh! very artificial life!! wengi wenye mtizamo kama wako wameishia kuumizwa! Yaani hata unashindwa kutambua kuwa hizo zote ni gia za kukupata? kalaghabaho!
Duuh mshinde shetani, kila ndoa ina balaa lake. Mwanaume anaweza uza ukoo wako ili amlale mwanamche achilia kumwoa. Kwahiyo huyo baba ni fix tu za wazee wa mjini.
Binti, haya sio mapenz mazuri sana ni vile tu ya kwako hayaja kaa vizuri. Ata yy akikupata anakuacha vile vile, tulia matatizo kwenye ndoa kawaida tu
Yani wee binti sijui kama kweli unampenda mumeo au ni penda penda. Rekebisha mambo yako mumeo anamengi tu mazuri ambayo uyo babu hana, jitaidi kuudumia ndoa yako
Yani wanawake naomba niwaambie. Wanaume ni watu waskivu sana, asilimia kama 90 ya wanaume wanabadilishwa na wanawake wao. Sasa kama kila ataekua anakupa msaada msibani anakulala, atakaekusaidia mwamvuli kwenye mvua anakulala, mangi akikupa discount anakulala kweli tutafika???!!!!!!!!!!!!!! Sio kila anaekupenda umpe mwili wako, fkiria mumeo angekufanyia ivo kama ww unavoshawishika kufanya
Follow Us Here