Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hivi inawezekana ama ni kwangu tu?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 58
    1. #1
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default hivi inawezekana ama ni kwangu tu?

      Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.

      leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.

      kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea
      Asprin and charminglady like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,151
      Rep Power : 46181
      Likes Received
      6457
      Likes Given
      5321

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Epuka hilo na na usilogwe na tamaa ya fisi ya kufikiria mkono wa binadam utaanguka muda wowote
      Wema wa siku moja kufunguliwa gari au kusalimiwa na kupewa pole zisikufanye uanguke dhambini na uisaliti ndoa yako
      katengeneze kwako na ikiwezekana mkaribishe Mungu katika mahuasiano yako na angalia umeanguka wapi kabla ya kuanza kufikiria kutoka nje ya ndoa
      Heshimu ndoa yako na wala usilaghaiwe kwa wema wa siku moja may be uniambie huyo mzee umemfaham siku nyingi na sio kuwa umekutana nae kwenye gari
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    4. #3
      manshiroo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 368
      Likes Received
      83
      Likes Given
      92

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Quote By Mr Rocky
      Epuka hilo na na usilogwe na tamaa ya fisi ya kufikiria mkono wa binadam utaanguka muda wowote
      Wema wa siku moja kufunguliwa gari au kusalimiwa na kupewa pole zisikufanye uanguke dhambini na uisaliti ndoa yako
      katengeneze kwako na ikiwezekana mkaribishe Mungu katika mahuasiano yako na angalia umeanguka wapi kabla ya kuanza kufikiria kutoka nje ya ndoa
      Heshimu ndoa yako na wala usilaghaiwe kwa wema wa siku moja may be uniambie huyo mzee umemfaham siku nyingi na sio kuwa umekutana nae kwenye gari
      sijawah hata kumuona zaid ya tulivykutana kwenye gari basi. Hapa mimi najiuliza kwanini hali kama hii itokee? mbona mume wangu hanijali jamani ama nilikosea kupenda? nimesali sana kaka na nimelia sana tena mpaka nimesema silii tena lakini mume wangu hanionyeshi hata wema ambao wengine wananionyesha.

      siyo mwanaume wa kwanza kunitaka huyu huwa naruka viunz sana tu lakni kwanini mume wangu hanion kama n wa thamani kam wengne wanavyoniona?

      kaka yangu hebu jiulize wewe kama mkaka hata siku moja mkeo haja kusifia kwa jambo lolote lakin kila siku wanawake unaokutana nao wanakusifu tena kwa vitu ambavyo vipo wazi utajiskiaje?
      Asprin likes this.

    5. #4
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      259

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Uko msibani mwanangu!!. Kumbe "ngoma" nyingine za kujitakia.

      Quote By manshiroo
      Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.

      leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.

      kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea

    6. Edo
      #5
      Edo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 719
      Rep Power : 701
      Likes Received
      71
      Likes Given
      158

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Nabii kwao????? ukikumbuka hili utaepuka, maana japo simjui hata mumeo mwanzoni alikuwa anakujali kama huyu nudgu yetu!

    7. Study Abroad

    8. #6
      Laigwanan76's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 503
      Rep Power : 531
      Likes Received
      98
      Likes Given
      61

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Wanaume dizaini kwa wake zao wa halali ni mabazazi kinoma........

    9. #7
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 6,066
      Rep Power : 6537
      Likes Received
      2621
      Likes Given
      1300

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Duuh mshinde shetani, kila ndoa ina balaa lake. Mwanaume anaweza uza ukoo wako ili amlale mwanamche achilia kumwoa. Kwahiyo huyo baba ni fix tu za wazee wa mjini.
      Roulette likes this.
      Blessed are hearts that bend but shall never broken

    10. #8
      kapistrano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 959
      Rep Power : 6797
      Likes Received
      315
      Likes Given
      462

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      kuna wanaume wanaswaga kiasi kwamba wanatongoza mpaka wanalia sasa huyu jamaa kakupa swaga za kiutu uzima pengine hata kwake ni mkali matata fanya mchezo utie kitumbua chako mchanga mpende mumeo.

    11. #9
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Sijui,ila lazima siku ukila chakula ambacho hujakila au una siku hujakila huwa kizuri sana,ila ukizoea huwa kawaida na pengine cha zamani hukumbukwa!

    12. #10
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,104
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      hivi mie nimezaliwa nawindwa njiwa pori, kweli ntashindwa kujua teknik ndogo ndogo kama hizo???

      Wanamme at 40's bado wana nguvu na wanaexperience na wanawake so wanajua how to treat ladies.

      Yaani wee vimtama hata robo havifiki vinataka kukuangusha zambini? Je akiweka na ka ulimbo si unaachika?
      Roulette likes this.

    13. #11
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 629
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default

      Quote By Eiyer
      Sijui,ila lazima siku ukila chakula ambacho hujakila au una siku hujakila huwa kizuri sana,ila ukizoea huwa kawaida na pengine cha zamani hukumbukwa!
      Ukweli mtupu, wakati niko boarding school nilikua natamani sana kula wali nyama kila siku, sasahivi natamani kupata mihogo, viazi, magimbi na ugali.

      Anabahati kuuliza hapa atajirekebisha, vinginevyo atajuta kumfahamu huyo baba!

    14. BAK
      #12
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,543
      Rep Power : 44953
      Likes Received
      8282
      Likes Given
      8280

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Quote By manshiroo
      Wapenzi wana mmu najitokeza mara ya kwanza hapa jukwaani nikiwa kama memba baada ta kuingia kama mgeni ka siku nyingi sana.

      leo hii kilichonifanya nitamani kuingia humu ni hiki hapa, niko safarini naenda msibani Arusha wifi yangu kafiwa na mumewe. cha ajabu wk nzima iliyopita ndani kwangu hakukaliki, kila saa ugomvi tu amani hakuna wala raha hakuna nimejikuta kama naona ndoa ni chungu. sasa jana wakati niko ndani ya basi la mtei niligbahatika kukaa siti moja na baba mmoja siyo mzee ila siyo kijana ni kama wa miaka 45. Tulipokuwa maeneo ya king'atit basi liliharibika na kwakua huyu baba ni mwenyeji wa arusha akasema usiwe na tabu kwasababu wewe ni mgeni miye nitakusindikiza hadi huko. kweli aliita gari na nikapata lift, kwakweli care za huyu baba, zilinipagawisha sana, nikakuta kule kunifungulia mlango na kufunga, kule kunibebea kipochi changu, kunikaribisha tu kasupu b4 sijafika eneo la tukio kulinifanya nimuone mtu mwema sana nikajikuta naanza kumfananisha na hubby ambaye hivyo hafanyi kabisa.

      kibaya zaid hapa msibani kaja kuniulia hali na kasalimiana na wifi vizuri, na kisha baada ya mazishi nikamsindikiza kwenye gari, jamani amenionyesha upendo ambao sijawah kuupata kwenye ndoa sasa amekwisha ondoka ila najiuliza hali hii imewah kukuta? yaani inafika mahali mtu unasema natamani ningeolewaga na huyu au ni kwangu tu? imagine kaniambia kesho atakuja kunichukua anipeleke stendi jamani nifanyeje mbona kama nataka kuanguka dhambini? Siyo kwamba simpendi mr ila tu maudhi ya ndani ndio yananifanya nianze kumcompea
      Duh! Manshiroo ni aje bana!?

      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    15. #13
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5201
      Likes Received
      352
      Likes Given
      669

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Mmmmmh yaani huyo akishapata anachotaka Anaweza akabadilila hadi ikabaki kinywa wazi.

    16. #14
      lunyonga's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      we mwanamke kuwa mjasiri usimchune mmeo!

    17. #15
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,030
      Rep Power : 606
      Likes Received
      433
      Likes Given
      1321

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Quote By manshiroo
      sijawah hata kumuona zaid ya tulivykutana kwenye gari basi. Hapa mimi najiuliza kwanini hali kama hii itokee? mbona mume wangu hanijali jamani ama nilikosea kupenda? nimesali sana kaka na nimelia sana tena mpaka nimesema silii tena lakini mume wangu hanionyeshi hata wema ambao wengine wananionyesha.

      siyo mwanaume wa kwanza kunitaka huyu huwa naruka viunz sana tu lakni kwanini mume wangu hanion kama n wa thamani kam wengne wanavyoniona?

      kaka yangu hebu jiulize wewe kama mkaka hata siku moja mkeo haja kusifia kwa jambo lolote lakin kila siku wanawake unaokutana nao wanakusifu tena kwa vitu ambavyo vipo wazi utajiskiaje?
      Umenishangaza sana manshiroo (hapo kwa redi), yaani wewe unachopenda ni kusifiwa, kubebewa pochi, kufunguliwa mlango wa gari .... loh! very artificial life!! wengi wenye mtizamo kama wako wameishia kuumizwa! Yaani hata unashindwa kutambua kuwa hizo zote ni gia za kukupata? kalaghabaho!
      Asprin likes this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    18. #16
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      Quote By MadameX
      Duuh mshinde shetani, kila ndoa ina balaa lake. Mwanaume anaweza uza ukoo wako ili amlale mwanamche achilia kumwoa. Kwahiyo huyo baba ni fix tu za wazee wa mjini.
      Dah tutake radhi sisi wanaume wenye heshima zetu!

    19. #17
      Tafakuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 392
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Binti, haya sio mapenz mazuri sana ni vile tu ya kwako hayaja kaa vizuri. Ata yy akikupata anakuacha vile vile, tulia matatizo kwenye ndoa kawaida tu

      Yani wee binti sijui kama kweli unampenda mumeo au ni penda penda. Rekebisha mambo yako mumeo anamengi tu mazuri ambayo uyo babu hana, jitaidi kuudumia ndoa yako
      Roulette and gfsonwin like this.

    20. #18
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      so kesho ndo unaenda kutoa kitumbua kabla ya kurudi ulikotokea?

      dada mpende mumeo usimsaliti, ongea nae mwambie unavyopenda aku-trit

    21. #19
      Tafakuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 392
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Yani wanawake naomba niwaambie. Wanaume ni watu waskivu sana, asilimia kama 90 ya wanaume wanabadilishwa na wanawake wao. Sasa kama kila ataekua anakupa msaada msibani anakulala, atakaekusaidia mwamvuli kwenye mvua anakulala, mangi akikupa discount anakulala kweli tutafika???!!!!!!!!!!!!!! Sio kila anaekupenda umpe mwili wako, fkiria mumeo angekufanyia ivo kama ww unavoshawishika kufanya
      Roulette and gfsonwin like this.

    22. C6
      #20
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,055
      Rep Power : 19355
      Likes Received
      1756
      Likes Given
      1505

      Default Re: hivi inawezekana ama ni kwangu tu???????????

      badili ladha bana... kisha rudi kwa mumeo na sahau yaliyotokea

    23. Miaka 50
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...