Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kama ningeyajua haya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 72
    1. #1
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Kama ningeyajua haya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      "baada ya kumuhoji midwife wangu maswali nimejifunza kuwa kumbe mamba ya miezi mitatu ni katoto kabisa kenye kenye hisia,kanakosikia maumivu Kama Mimi,kenye kimono na miguu na anaonekana Kama binadamu kabisa.laiti ningeyajua haya nisingeitoa ole mimba ambayo kwa wakati ule nilidhani ninatoa mabonge bonge ya damu tu kumbe niliua katoto kasiko na hatia bila kufeel guilty kwa miaka yote hadi leo nilipojua kumbe sikutoa mabonge bonge ya damu bali nilimuua m
      toto wangu"
      Hayo yalikua ni maneno ya rafiki yangu aliyekua akinielezea huku akilia kwa uchungu kama aliyefiwa.
      Huyu rafiki yangu kwa sasa ni mjamzito lakini sikuwahi kudhani Kama na yeye ni miongoni mwa wauaji wakAtili wa viumbe visivyo na hatia.
      Je unafikiri anastahili jamii tumuelewe kuwa sio muuaji sababu anadai hakujua kuwa miezi mitatu ni mtoto?
      Kama anastahili kueleweka basi mi naona ipo haja ya kupeanA elimu kuwa mtoto tokea siku ya kwanza mimba inapotunga huyo ni binadAmu na kumtoA bila sababu za za lazima za kiafya Hayo ni mauaji.
      Last edited by queenkami; 2nd July 2012 at 07:37.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,620
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      1391
      Likes Given
      1541

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      gaijin mbaya sana
      queenkami likes this.

    4. #42
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2500

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Janjaweed
      gaijin mbaya sana
      Kwanini mkuu.....tiririka

    5. #43
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,964
      Rep Power : 2370
      Likes Received
      961
      Likes Given
      172

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      pole sana
      queenkami likes this.
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    6. #44
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By queenkami
      Mkuu wangu njia za kuzuia ujuzito zipo nyingi na zinajulikan na asilimi kubwa ya wanawake.Mimi njiA niliyochGuA ni kutojihusisha kabisa na masualA ya ngono hadi ndoa.ila hapa suala ni kuwa kutoa mimba ni uuaji hivyo hAta Leo hii nikibakwa nikapata ujauzito ambao kwa kweli utavuruga mipango mingi ya maish yangu sitaweza kuwa mkatili kiasi Cha kukatisha uhai wa huyo mtoto,nitampenda na kuilea hiyo mimba kwa furah
      Kwani mpaka leo watu wanabakana? Nilikuwa nafikiri habari ya kubaka is the thing of the past in the mind of young people,lol! Siku hizi mambo ni papo kwa papo!
      queenkami likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    7. #45
      arabianfalcon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Nipe tena
      Posts : 2,193
      Rep Power : 874
      Likes Received
      494
      Likes Given
      96

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Mwenyezi mungu ndio anaejua zaidi vp atamuhukumu kwa kosa hilo....
      queenkami likes this.
      The hunger for love is much more difficult to remove than the hunger for bread - Mother Teresa

    8. Miaka 50

    9. #46
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Wengi wanaelewa, ni wachache sana (hasa walioko vijijini) hawana uelewa.
      queenkami likes this.

    10. #47
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,225
      Rep Power : 5106
      Likes Received
      2785
      Likes Given
      231

      Default

      Quote By Ndahani
      Uelewa wetu mdogo unatufanya tusione athari ya kufanya baadhi ya mambo ya kikatili kwa wenzetu.majuto mjukuu
      hapo ndio utajua kwanini marie stopes zilianzishwa kwa hiyo hana haja ya kulia RIP kitoto Kijacho..
      queenkami likes this.

    11. #48
      Maty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 2,135
      Rep Power : 886
      Likes Received
      677
      Likes Given
      3686

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By queenkami
      NdahAni piA na roho ya ukatili inachangia,Huyu dada huwa namuangAliA hAta Imani naye sina tenA.
      Quote By queenkami
      Kutukana ni dhambi na kuuA ni dhAmbi na zote ni machukizo mbele za mungu ila Mimi naweza kunywa maji nlopewa na alotukAnA ilA ya muuaji sitaweza kuyanywA nitahisi yanAnuka damu.
      We nawe sasa umezidisha unajifanya mtakatifu sana, na kwanini unamuhukumu binadamu mwenzio?

      Quote By arabianfalcon
      Mwenyezi mungu ndio anaejua zaidi vp atamuhukumu kwa kosa hilo....
      well said
      shopping likes this.
      If you love something, set it free. If it comes back, it was, and always will be yours. If it never returns, it was never yours to begin with

    12. #49
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Gaijin
      Hapo mie nakataa .......
      kwanini unakataa ushauri wa queenkami maana ikitokea mtoto wako amekuja na tatizo utafanyaje maana hata ukimpiga tayari watu wamemchakachua
      queenkami likes this.

    13. #50
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By platozoom
      Nayo hiyo pia ni dhambi kwa siye wapenda lugha yetu adhimu ya Kiswahili
      Kumbe dhambi ni nyingi hata hii ya aliyoandika queenkami
      queenkami likes this.

    14. #51
      Gaijin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2007
      Posts : 11,319
      Rep Power : 12954
      Likes Received
      4591
      Likes Given
      2500

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Jodoki Kalimilo
      kwanini unakataa ushauri wa queenkami maana ikitokea mtoto wako amekuja na tatizo utafanyaje maana hata ukimpiga tayari watu wamemchakachua
      Sijakataa ushauri wa Queen Kami hata chembe. Nakataa tu kuwa mimba ya siku moja tayari ni binaadamu. Ni uhai, lakini si binaadamu

      Maana kama ni hivyo, ua la muembe likituliwa na nyuki na kuwa fertilized tu, basi hapo hapo tuliite embe, tulichume tukafanye achari
      shopping likes this.

    15. #52
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By queenkami
      Thank you
      Pia hili suala la mimba wakati mwingine wanalaumiwa sana kinadada wakati mwingine kinakaka nao ving'ang'anizi kiasi kwamba mrembo wake anaweza kuwa ktk danger lakini anakomaa mpaka basi mwanamke anaangalia kalenda yake anajiona kama bado vile mwisho wa siku kimenasa. Nadhani kuna haja ya hata wakaka wajifunze hivi vitu maana wengine kazi yao ni kushughulika mimba ikipatikana wanajua kukana kama sio kukana wengi wanakupa hope kama wapo na wewe kumbe anakulia timing aweze kukuchomoka taratibu.
      queenkami likes this.

    16. #53
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Gaijin
      Sijakataa ushauri wa Queen Kami hata chembe. Nakataa tu kuwa mimba ya siku moja tayari ni binaadamu. Ni uhai, lakini si binaadamu

      Maana kama ni hivyo, ua la muembe likituliwa na nyuki na kuwa fertilized tu, basi hapo hapo tuliite embe, tulichume tukafanye achari
      Nimekupata mdau
      Gaijin likes this.

    17. #54
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,284
      Rep Power : 894
      Likes Received
      783
      Likes Given
      1484

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Haika
      Karudie tena kusoma hizo theories, zilishagundulika kuwa hazikuwa za kweli siku nyingi.
      Ukiulizwa kwenye mtihani utajibu ili ufaulu lakini ukirudi uraiani huku inabidi tuangalie mahusiano ya kima na mjusi kama babu na bibi, kweli arudi akajipange upya. Maana mwngine atakuja na statement ya all living organisms are originated from water
      queenkami likes this.

    18. #55
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      [QUOTE=Maty;4162385]We nawe sasa umezidisha unajifanya mtakatifu sana, na kwanini unamuhukumu binadamu mwenzio?

      vyovyote utakavyoona huo ndo mtizamo wangu,kwangu mimi kutoa mimba ni uuaji sasa kama wewe unaona najifanya mtakatifu kwa kuita hicho kitendo ni mauaji ya kikatili poa tu.
      Mbona wewe umenihukumu kwa kusema najifanya mtakatifu kisa tu nimesema nikipewa maji na muuaji/mtoa mimba sitakunywa?semeni msemayo watoa mimba ni wauaji........................ ....
      Nyani Ngabu and Ndahani like this.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    19. #56
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,061
      Rep Power : 21908
      Likes Received
      7051
      Likes Given
      7867

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By queenkami
      Nisameheni kwa kuchanganya herufi kubwa na ndogo
      hahaah queenkami mambo? usijali najua li iPhone hujalizoea mwanawane.

      mada nzuri, kutoa mimba kwa makusudi haikubaliki kabisa
      queenkami likes this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    20. #57
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Gaijin
      Sio mijusi na kenge inayoanzia uhai kwenye binaadamu bali uhai wa binaadamu umeanzia kupitia kwao wao

      Kwa ufupi ni kuwa kima na mijusi ni babu na bibi zako
      Quote By Gaijin
      Tukiamua kwenda hivyo tutafika mahali tuseme mijusi, kenge, na kima ni binaadamu
      Quote By Gaijin
      Kwa hiyo kuua mjusi ni sawa na kuua bibi yako [mjusi is more of a babu I suppose].

      Anaemuua mjusi kaua binaadamu
      Quote By ruttashobolwa
      Huyo rafiki yako simzima! Kwa hiyo alikuwa hajuai ana ua!

      Kwa hiyo alikuwa hajui mimba nini?

      Nia yake ilikuwa ni kutaoa mimba wala si mabonge ya damu!

      Wale wale wauaji
      ange kwambia sababu nyingine siyo hiyo!
      au labda alidhani anatoa mjusi au kenge ndo maana hakufeel guilty
      LOL LOL LOL
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    21. #58
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By blaine n kurt
      i dont condone this but how old was she at the time? was she a student or unmarried and which year was it?
      sina uhakika ila nadhani alikua mwanafunzi wakati wa mauaji hayo
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    22. #59
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      Quote By Kaizer
      hahaah queenkami mambo? usijali najua li iPhone hujalizoea mwanawane.

      mada nzuri, kutoa mimba kwa makusudi haikubaliki kabisa
      mambo mazuri bro,nina masikitiko tu juu ya mauaji ya kinyama halafu watu wanajifanya eti walidhani wanatoa mabonge bonge ya damu mara ooh mjusi na kenge.mauaji ni mauaji tu hayana jina la kuyaremba.
      hehehee li gadget kweli linanisumbua si unajua tena lol
      Kaizer likes this.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    23. #60
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9625
      Likes Given
      685

      Default Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne

      As far as I'm concerned, "human" life begins at the moment of conception. Period, end of story.
      Ndahani and queenkami like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...