Kama ningeyajua haya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
"baada ya kumuhoji midwife wangu maswali nimejifunza kuwa kumbe mamba ya miezi mitatu ni katoto kabisa kenye kenye hisia,kanakosikia maumivu Kama Mimi,kenye kimono na miguu na anaonekana Kama binadamu kabisa.laiti ningeyajua haya nisingeitoa ole mimba ambayo kwa wakati ule nilidhani ninatoa mabonge bonge ya damu tu kumbe niliua katoto kasiko na hatia bila kufeel guilty kwa miaka yote hadi leo nilipojua kumbe sikutoa mabonge bonge ya damu bali nilimuua m
toto wangu"
Hayo yalikua ni maneno ya rafiki yangu aliyekua akinielezea huku akilia kwa uchungu kama aliyefiwa.
Huyu rafiki yangu kwa sasa ni mjamzito lakini sikuwahi kudhani Kama na yeye ni miongoni mwa wauaji wakAtili wa viumbe visivyo na hatia.
Je unafikiri anastahili jamii tumuelewe kuwa sio muuaji sababu anadai hakujua kuwa miezi mitatu ni mtoto?
Kama anastahili kueleweka basi mi naona ipo haja ya kupeanA elimu kuwa mtoto tokea siku ya kwanza mimba inapotunga huyo ni binadAmu na kumtoA bila sababu za za lazima za kiafya Hayo ni mauaji.
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26) My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
By queenkami
Mkuu wangu njia za kuzuia ujuzito zipo nyingi na zinajulikan na asilimi kubwa ya wanawake.Mimi njiA niliyochGuA ni kutojihusisha kabisa na masualA ya ngono hadi ndoa.ila hapa suala ni kuwa kutoa mimba ni uuaji hivyo hAta Leo hii nikibakwa nikapata ujauzito ambao kwa kweli utavuruga mipango mingi ya maish yangu sitaweza kuwa mkatili kiasi Cha kukatisha uhai wa huyo mtoto,nitampenda na kuilea hiyo mimba kwa furah
Kwani mpaka leo watu wanabakana? Nilikuwa nafikiri habari ya kubaka is the thing of the past in the mind of young people,lol! Siku hizi mambo ni papo kwa papo!
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities. Ralph Waldo Emerson
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
By queenkami
NdahAni piA na roho ya ukatili inachangia,Huyu dada huwa namuangAliA hAta Imani naye sina tenA.
By queenkami
Kutukana ni dhambi na kuuA ni dhAmbi na zote ni machukizo mbele za mungu ila Mimi naweza kunywa maji nlopewa na alotukAnA ilA ya muuaji sitaweza kuyanywA nitahisi yanAnuka damu.
We nawe sasa umezidisha unajifanya mtakatifu sana, na kwanini unamuhukumu binadamu mwenzio?
By arabianfalcon
Mwenyezi mungu ndio anaejua zaidi vp atamuhukumu kwa kosa hilo....
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
By queenkami
Thank you
Pia hili suala la mimba wakati mwingine wanalaumiwa sana kinadada wakati mwingine kinakaka nao ving'ang'anizi kiasi kwamba mrembo wake anaweza kuwa ktk danger lakini anakomaa mpaka basi mwanamke anaangalia kalenda yake anajiona kama bado vile mwisho wa siku kimenasa. Nadhani kuna haja ya hata wakaka wajifunze hivi vitu maana wengine kazi yao ni kushughulika mimba ikipatikana wanajua kukana kama sio kukana wengi wanakupa hope kama wapo na wewe kumbe anakulia timing aweze kukuchomoka taratibu.
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
By Haika
Karudie tena kusoma hizo theories, zilishagundulika kuwa hazikuwa za kweli siku nyingi.
Ukiulizwa kwenye mtihani utajibu ili ufaulu lakini ukirudi uraiani huku inabidi tuangalie mahusiano ya kima na mjusi kama babu na bibi, kweli arudi akajipange upya. Maana mwngine atakuja na statement ya all living organisms are originated from water
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
[QUOTE=Maty;4162385]We nawe sasa umezidisha unajifanya mtakatifu sana, na kwanini unamuhukumu binadamu mwenzio?
vyovyote utakavyoona huo ndo mtizamo wangu,kwangu mimi kutoa mimba ni uuaji sasa kama wewe unaona najifanya mtakatifu kwa kuita hicho kitendo ni mauaji ya kikatili poa tu.
Mbona wewe umenihukumu kwa kusema najifanya mtakatifu kisa tu nimesema nikipewa maji na muuaji/mtoa mimba sitakunywa?semeni msemayo watoa mimba ni wauaji........................ ....
Re: Kama ningeyajua Whaya nisingeitoa mimba yangu ya karibu miezi minne
By Kaizer
hahaah queenkami mambo? usijali najua li iPhone hujalizoea mwanawane.
mada nzuri, kutoa mimba kwa makusudi haikubaliki kabisa
mambo mazuri bro,nina masikitiko tu juu ya mauaji ya kinyama halafu watu wanajifanya eti walidhani wanatoa mabonge bonge ya damu mara ooh mjusi na kenge.mauaji ni mauaji tu hayana jina la kuyaremba.
hehehee li gadget kweli linanisumbua si unajua tena lol
Follow Us Here