Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: The Power of Letting Go....

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 114
    1. #1
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default The Power of Letting Go....

      Wapendwa,

      Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

      Weekend hii nimekuwa nikitathmini mahusiano yetu kwa ujumla. Nikajikuta nagongana na hii ya power of letting go!! Ni mara nyingi tumekuwa/au kushuhudia wenzetu wakifika mwisho wa mahusiano au mahali ambapo inawabidi kuachana na wenzi wao wengine ilhali bado wanawapenda lakini tu inabidi.

      Katika kuwaza na kuperuzi nikakutana na hii ilim isemayo; Ili kuelewa power of letting go, kwanza hatuna budi kuyaelewa mahusiano yetu ambayo ni mitihani kamili ya kutufunulia undani wa nafsi zetu.... They are the true test of who we are because it is the ultimate test of our self-respect!! mh!!.....................

      NDIYO nimeguna kwa sababu hapo ndipo kwenye shina lenyewe ambalo bahati mbaya wengi wetu hujikuta (pengine sababu ya shock - hatukutegemea kuwa iko siku tutafikia ukingoni; au ukingoni kumekuja ghafla kuliko tulivyotegemea) wengi wetu tumejikuta tukijishusha na kubembeleza tusiachwe pamoja na kuwa kuna kila dalili kuwa mapenzi yamefikia tamati. Wengi wetu tumejikuta tukijidhalilisha/dhalilishwa kwa sababu tu ya kumng'ang'ania mpenzi aendeleee kukupenda wakati twajua kuwa hata akikubali basi it wont be OUT of LOVE bali OUT of PITY!

      Tunasahau kuwa kwenye mahusiano yoyote kuwa wakweli (honesty) and being true kwa nafsi zetu ni MUHIMU ZAIDI ya survival ya mahusiano hayo ambayo unajitahidi kuya-boost. Sisemikuwa wote tunashindwa; wapo wengi tu wanaoweza-handle this situation na wengine wenye mbinu za kulet it go without having anger and resentlments! Kulet-go bila kuwa na hasira na kinyongo.

      Please can we share? How to let it GO bila hacra wala kinyongo and to be appreciative for having that person in your life coz s/he must have brought some shades of happiness sometimes when you were together.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,362
      Rep Power : 33547
      Likes Received
      8019
      Likes Given
      7506

      Default

      [QUOTE=gfsonwin;4158217]
      Quote By Bishanga
      The power of positive thinking sio?
      Lakini na nyie kinadada tukiwapenda pendekeni basi sio muanze minyodo na kutupasua vichwa,mwisho tutawapiga chini tu,halafu siku hizi kinamama kwenye mahusiano uaminifu umekuwa zero,mnakeraaaaaaaaaaaaaaa[/QUOTE]
      Bishanga hapo kwenye red ni kina mama tu? kwani siye huwa tunatoka na nani zaid?
      gfsonwin acha falsafa,you know what i mean.
      gfsonwin likes this.

    4. #62
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,362
      Rep Power : 33547
      Likes Received
      8019
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By Kongosho
      hebu usiniletee uchuro, nikupeleke wapi na sura kama panga la shaba??

      Ushajizeekea hata kwa P.O.P husimami lol
      Unanzarau? We subiri tu........--

    5. #63
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,150
      Rep Power : 13063
      Likes Received
      14091
      Likes Given
      14909

      Default

      Wanchekesha- tomato sosi FF

      Quote By Bishanga
      Unanzarau? We subiri tu........--
      Bishanga likes this.

    6. #64
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Kwa kweli nimeondoka na somo la King'asti lol kuachwa ni baraka hahah we mdada nakufananisha na dadangu flani aisee.

      Namwona Soulmate Mbu hapo kaja kamwaga maziwa saksafuni kisha kayafuta ila kaacha michirizi . mh hata sijui ni dongo gani nlikuwa nimetupiwa yarabi mie.

      We Soulmate hebu bwana rudi hapa unifunze mie nielewe akha!
      Bishanga likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    7. Mbu
      #65
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By MwanajamiiOne
      Kwa kweli nimeondoka na somo la King'asti lol kuachwa ni baraka hahah we mdada nakufananisha na dadangu flani aisee.

      Namwona Soulmate Mbu hapo kaja kamwaga maziwa saksafuni kisha kayafuta ila kaacha michirizi . mh hata sijui ni dongo gani nlikuwa nimetupiwa yarabi mie.

      We Soulmate hebu bwana rudi hapa unifunze mie nielewe akha!
      ... ;)

      Soulmate, Sina la kukufunda upya mpendwa, ur good friend ametoa funzo zuri tu. Dawa chungu ndio inayoponya.
      MwanajamiiOne likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. Mbu
      #66
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By vanilla
      Its very hard but its the wisest thing to do when some thngz dnt work out. Huwa inapunguza maumivu kiasi if both of you understand that even though mnapendana lakini mnalazimika kuachana.kila mmoja akiwa na busara na kuyatafakari mambo kwa kutumia akili na sio moyo,then u will let go without any hatred, anger or any sort of enemity.mtakuwa marafiki wazuri tu bt thats only possible through understanding.
      ....ubarikiwe sana.

    10. Mbu
      #67
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9991
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default

      Quote By kisukari
      mimi nilishaweza kuachia sehemu ambayo ilikuwa ngumu mno{ndoa}na kukubalika kijamii ilikuwa ni ngumu sana tena sana,nililia weee mpaka mwisho nikasema hapana be strong,you can do it.ila kiukweli,i did the right thing.maana miaka ingeenda tu,na ndani kulikuwa hakuna mapenzi tena.na leo huyo huyo mtu,ni rafiki yangu na tunaelewana kwenye shida na raha.ila siombei yamkute mwenzangu yoyote yule
      ....kuna jambo wengi wetu hatupendi kukubaliana nalo, kwamba ndoa ni muungano mtakatifu. Nguvu ya sala, maombi na dua mbali mbali kama ni kweli unataka jibu Mw'mungu anakupa jibu mapeema sana.

      Tunasali na kuomba mwongozo wa mw'mungu, akitupa ishara (huyo sio!,) ...tunamhoji tena YEYE mjuzi wa yote kwanini isiwe kama tunavyotaka. Mbaya kuliko yote, tunajiambia "potelea mbali" tutaoana hivyo hivyo,

      Sali, Omba na Mw'mungu siku zote anakujibu ndani ya siku tatu mpaka ishirini na moja (hata kama hutataka kuamini jibu)
      MwanajamiiOne likes this.

    11. #68
      marrykate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 350
      Rep Power : 434
      Likes Received
      112
      Likes Given
      190

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      hiyo inawezekana kama unadate mtu unaejua kabisa haitawezekana nyie wawili kuwa pamoja kwa mda mrefu, like dating a married man/woman

      ni rahisi kuachana bila hasira wala kinyongo

    12. #69
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,160
      Rep Power : 28897
      Likes Received
      11639
      Likes Given
      4805

      Default

      Na hapa ndo tatizo langu na wewe (huyo dadako kama ni Nyamayao anapaswa awe anakuchapa!). Unabakia kuwaza michirizi ya maziwa, nje anapita muuza maziwa hata kengele ya baiskeli huisikii! Unawaza maziwa sijui yaliyofutwa yalikuwa ya pink (kama ya hippopotumus) ama ya mgando. Hebu acha past iende zake, u are crowding your future and your present as well! Bible inasema 'acha wafu wazike wafu wao'.

      Hivi leo si ni jumapili?
      Quote By MwanajamiiOne

      Namwona Soulmate Mbu hapo kaja kamwaga maziwa saksafuni kisha kayafuta ila kaacha michirizi . mh hata sijui ni dongo gani nlikuwa nimetupiwa yarabi mie.

    13. #70
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,676
      Rep Power : 21310
      Likes Received
      10048
      Likes Given
      13940

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      [QUOTE=Bishanga;4160028]
      Quote By gfsonwin
      gfsonwin acha falsafa,you know what i mean.
      Bishanga it is the matter of telling the reality and not philosophizing. You know always women are the victims of cheating and the breaking relationships. we are always prone to whatever is seen as immoral according to our culture but also we do love men in true and with all our hearts but its you men who bait us in these bad behaviors.
      Bishanga likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    14. #71
      super thinker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 489
      Likes Received
      77
      Likes Given
      650

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      [QUOTE=MwanajamiiOne;4157196]Wapendwa,

      Ni matumaini yangu kuwa mu wazima na mnaelea kwa raha kwenye bustani zenu za mapenzi. Napenda kuwapongeza sana wanaowapenda (Wapenzi wenu) na ninyi mnaopendwa kwani kwa pamoja mna-make the world a better and colouful place to live! Bravo.

      Kwa asilimia kubwa, kilicho nyuma ya "kushindwa kulet go" inatokana na kujihisi usiyefaa tena kwa anayekuacha, nafsi inahisi kudharauliwa, kuchokwa na anayekuacha.. Kumbukumbu ya the "love moments you had together" comes next. Na ndo maana kunakuwa na kachuki kwa anayekuwa na "X" wako!!

      Ways to Let it go ni kudiscover your pottentials in all aspects, Socially and Economically na kumake use of them in taking your life on. Hii inasaidia kutambua kwamba wewe(uliyeachwa) una qualities zako za kufaa kuishi vyema na kwa furaha. Ofcourse it may still happen ukakumbuka the past lakini kwa njia hii utasahau mapema zaidi. Pia itasaidia kufurahia fully your next love life. All the best.

      It may not be immediate but believe me, it is efficient and effective.
      uso wako usipoenda nasi,usituchukue kutoka hapa.........kut 33:15

    15. #72
      issabela's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By mito
      Hivi ni kweli kwamba aliyeachwa ndo ataumia, mi nilidhani kwamba wote wawili mtakuwa na maumivu isipokuwa tu yanatofautiana extent
      yap u ar rite wote wawili mnakua na maumivo na inategemea na sababu iliyowafanya mwachane
      mito likes this.

    16. #73
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,160
      Rep Power : 28897
      Likes Received
      11639
      Likes Given
      4805

      Default

      Gfsonwin, I beg to differ ur honor!
      Men get cheated too, they also get abused, Bishanga for one has been there. Why do we, women, have to make such a big out of it? Becoz we have been taught and groomed to behave like victims! Act like a lady but think like a man! What's the big deal? Mie nawaheshimu sana wanawake na wanaume walioweza kujikwamua from useless relationships! Sasa ushinde kombe, afu ulie for most of ur remaining life? Oteeeee![QUOTE=gfsonwin;4161491]
      Quote By Bishanga
      Bishanga it is the matter of telling the reality and not philosophizing. You know always women are the victims of cheating and the breaking relationships. we are always prone to whatever is seen as immoral according to our culture but also we do love men in true and with all our hearts but its you men who bait us in these bad behaviors.
      Bishanga and gfsonwin like this.

    17. #74
      mamee's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      someni act like a lady n think like Man .
      gfsonwin likes this.

    18. #75
      issabela's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 375
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By Bishanga
      The power of positive thinking sio?
      Lakini na nyie kinadada tukiwapenda pendekeni basi sio muanze minyodo na kutupasua vichwa,mwisho tutawapiga chini tu,halafu siku hizi kinamama kwenye mahusiano uaminifu umekuwa zero,mnakeraaaaaaaaaaaaaaa
      bt hat nyie wanaume muwe na choice moja sio kua na options

    19. #76
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,676
      Rep Power : 21310
      Likes Received
      10048
      Likes Given
      13940

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By King'asti
      Gfsonwin, I beg to differ ur honor!
      Men get cheated too, they also get abused, Bishanga for one has been there. Why do we, women, have to make such a big out of it? Becoz we have been taught and groomed to behave like victims! Act like a lady but think like a man! What's the big deal? Mie nawaheshimu sana wanawake na wanaume walioweza kujikwamua from useless relationships! Sasa ushinde kombe, afu ulie for most of ur remaining life? Oteeeee!

      King'asti you said it right, but umesahau kwamba what makes the difference is the extent ambayo men get abused or cheated ukikompea na women, pia tumesahau kabisa the society at large do govern our responsibilities in a community, i real hate this manake imekuwa ni sababisho kubwa la kumvictmize mwanamke but pia ni ngumu sana kuiondoa.

      Narudia tena msemo wangu ambao mara kwa mara huwa nasema kuwa when needs arises kaa pembeni kuepusha msongamano. you know we may be saying a lot of things out of man and a woman relationship ila most of them zikawa na thories tu ambazo in real sense hazina application.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    20. #77
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By Mbu
      ... ;)

      Soulmate, Sina la kukufunda upya mpendwa, ur good friend ametoa funzo zuri tu. Dawa chungu ndio inayoponya.
      Hahah Soulmate hilo hilo la dawa chungu ndiyo iponyayo mbona funzp pia? Aksante na nlijua tu kuwa unalo la luchangia hapa si ndo nkashangaa umeingia na kutoka huku nyuma ukiacha .......This post has been deleted by Mbu........ ndo majicho yakantoka ati.

      Huyu King'asti huyu hatar!
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    21. #78
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By Mbu
      ....kuna jambo wengi wetu hatupendi kukubaliana nalo, kwamba ndoa ni muungano mtakatifu. Nguvu ya sala, maombi na dua mbali mbali kama ni kweli unataka jibu Mw'mungu anakupa jibu mapeema sana.

      Tunasali na kuomba mwongozo wa mw'mungu, akitupa ishara (huyo sio!,) ...tunamhoji tena YEYE mjuzi wa yote kwanini isiwe kama tunavyotaka. Mbaya kuliko yote, tunajiambia "potelea mbali" tutaoana hivyo hivyo,

      Sali, Omba na Mw'mungu siku zote anakujibu ndani ya siku tatu mpaka ishirini na moja (hata kama hutataka kuamini jibu)
      Aksante Soulmate nadhani majibu ya maswali yetu mengi kama binadamu yamelala hapa. Ubarikiwe sana.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    22. #79
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By King'asti
      Na hapa ndo tatizo langu na wewe (huyo dadako kama ni Nyamayao anapaswa awe anakuchapa!). Unabakia kuwaza michirizi ya maziwa, nje anapita muuza maziwa hata kengele ya baiskeli huisikii! Unawaza maziwa sijui yaliyofutwa yalikuwa ya pink (kama ya hippopotumus) ama ya mgando. Hebu acha past iende zake, u are crowding your future and your present as well! Bible inasema 'acha wafu wazike wafu wao'.

      Hivi leo si ni jumapili?
      Hahahah King'asti nadhani hujanielewa, maziwa nizungumziayo hapa ni ile post aloituma Soulmate kisha akaidelete kabla sijaisoma nikaambulia mchirizi tu kuwa this post has been deleted by Mbu akha1! Ulivyokuwa mkali naona Da nyamayao kakukabidhi kijiti hahah jamani nishakua mbona?
      Bishanga likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    23. #80
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 607
      Likes Received
      434
      Likes Given
      1328

      Default Re: The Power of Letting Go...............

      Quote By King'asti
      Kwenye miti hakunaga wajenzi dearest. So mie najipimia baraka zangu, hata kuachwa ni baraka. Sasa mbona mie ndo napeenda tena kwa uaminifu ila ndo natendwa! Nna mpango wa kustaafu uaminifu recently, u can be my guinea pig!

      Ila mie naona the worst thing ni kufiwa na mpenzi, kama ananiacha tu it is his loss aisee! I believe I'm a good woman and a good lover too. I can brag about that, hehehe!
      Aahaa, hapo kwa red King'sti umefanya nimkumbuke dada yangu gfsonwin naye aliwahi kusema something like that, it's good though to be confident with yourself!
      MwanajamiiOne likes this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...