Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      Prince Nadheem's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 421
      Likes Received
      66
      Likes Given
      37

      Default Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Habari za jumapili tulivu na nzuri kama hii wanajamii? natumai wote mko safi na mnaendelea vizuri na mapumziko yenu ya leo.
      leo mi nimekuja na jambo naomba kupata experience na maoni yenu juu ya hili naloenda kuliwasilisha jamvini.

      Tangu nimesnza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake hadi nafikia maamuzi ya kufunga ndoa kuna tabia moja nimekuwa nikikutana nayo constantly kwa wanawake takribani watatu ambao nimekuwa nao katika mahusiano ya serious. Naomba msininukuu vibaya jamani mimi ni miongoni mwa wale watu ambao napenda mahusiano ya kudumu na naheshimu sana hisia za watu hasa katika mahusiano ya kimapenzi.ngoja nitoe angalau profile fupi kwa kila mmoja ili twende pamoja.

      msichana wa kwanza kuanza nae uhusiano ilikuwa ni form 5 nikiwa Mbeya,huyu alikuwa ni binti wa kichaga,alikuwa hapendi kabisa hata nikae discussion na wasichana wengine pale shuleni na ilikuwa hata akiona nimesimama tu na binti mwingine huo moto utakaowashwa bwenini huo usiku bweni zima watajua na muda mwingi alikuwa bize kupopularize uhusiano kiasi kwamba shule nzima kuanzia walinzi hadi headmaster walikuwa wanajua kuwa we are lovers.kutokana na sababu fulani mwaka wa kwanza chuo kikuu tuliachana.

      Msichana wa pili ilikuwa ni wa mwaka wa kwanza pale chuoni yeye alikuwa mngoni na ilikuwa mwaka wa kwanza second semista ambae nilidumu nae hadi mwaka wa tatu na miezi tano tangu kuhitimu masomo nae vile vile tuliachana kwa sababu fulani.tukirudi katika tabia naen alikuwa hapendi kabisa mimi kuwa karibu na wasichana napia alikuwa anapenda muda wangu mwingi niwe natumia na yeye tu kiasi kwamba nilikuwa nakosa hata muda wa kuwa na jamaa zangu wa karibu na hata nikwa bize na computer kwa kazi za chuo au binfasi malalamiko yalikuwa hayaishi kuwa simjali,niktoka kwenda club na jamaa zangu ndio kabisaa kesi nzito yaani full malalamiko.

      huyu wa sasa mnyamwezi nae hana tofauti na hao wa juu na ni mwaka wa tatu tangu niingie nae kwa uhusiano na sasa tangu nijiunge na JF akiwepo tu uhuru wote wa kuingia JF unapotea maana malalamiko hayaishi,nikienda kwa jamaa zangu hataki maana nae kamaliza chuo kikuu wiki 2 zilizopita na sasa naishi nae,nikitaka hata kwenda kwa jamaa zangu somewhere around here Ukonga anaanza kulalamika,wakija wafanyakazi wenzangu hapa home nikiwasindikiza tu kwa umbali fulani ni tatizo.

      samahani kwa uzi mrefu ila ni katika kuwa muwazi zaidi juu ya hili,so mwisho kabisa nabaki na swali kuwa kwa nini wanawake wengi wako so much possessive?au na wanaume wengine wako hivyo?kama wako hivyo mi kuna kitu nakosea kupenda uhuru namna hiyo? wanawake kwanini baadhi yao hawajiamni?nifanyeje ili kuendana na hali? natanguliza shukurani kwa michango yenu

    2. Miaka 50

    3. #2
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      259

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Sidhani kama tatizo ni wanawake kutojiamini, bali ni kila abiria anachunga mzigo wake. Vijana wenyewe wa siku hizi mmekuwa vicheche kupita kiasi, hamuaminiki kabisaaa.
      WALIMWEUSI and mtemvu like this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    4. #3
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,939
      Rep Power : 1432
      Likes Received
      1509
      Likes Given
      1619

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      hongera bro,madem wengi siku hizi ni ving'ang'anizi. Nothing else.

    5. #4
      Candy kisses's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 412
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Mayb una elements flani flani zinazofanya wadada wawe possesive,mayb una mazoea na wanawake au sio muwazi etc.kama ni hvyo mtoe out evn if ukiwa na ur frnz,af muweke wazi hata kwa v2 vdogo vdogo atazoea tu
      Jestina likes this.

    6. #5
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,301
      Rep Power : 1315
      Likes Received
      1429
      Likes Given
      222

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      duh! mwana wanawake watatu wote design hiyo hiyo....hapana hapa hamna coincidence labda kuna kitu abt u that keeps attracting such kind of women. alafu wewe nawe bana yaani umekaa nae miaka mitatu eti sasa ndio waja kuona ni kero. usually mara nyingi wanawake wanakuwa possessive becoz either wewe nae ni mcharuko or it myt be that u too gud a man to let go bana hahaha
      Tausi Mzalendo likes this.
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,583
      Rep Power : 3875
      Likes Received
      1385
      Likes Given
      647

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      kufanya hivyo,ni kutojiamini.na ukiwa unamchelewesha,mara atajibebesha mimba.sielewi kwa nini lakini maisha ya kukaa pamoja kabla hamjaoana naona kama mtachokana,kabla ya ndoa yenyewe,utajiuliza sijamuoa,vurugu ndani.jee tukiwa katika ndoa itakuwaje?na ndoa ni looooong commitment

    9. #7
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,265
      Rep Power : 666
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      ndo kupendwa huko jamani upendwe vipi. mwenzio wanatamani hayo. ila kiukweli si kuwa wasichana ndo wanatabia iyo ila hiyo hali ipo kwa wasichana hdi wavualana inategemea na tabia ya mtu na kipimo cha wivu wake.
      "Ni UPENDO tu"

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Ni jambo la kawaida kwa wanawake walio wengi.

    11. #9
      DERICK2000's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th April 2012
      Posts : 204
      Rep Power : 399
      Likes Received
      34
      Likes Given
      15

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      You mit have some behavior that makes them to see u in a bad way,thats why,they want to possess..jichunguze.

    12. #10
      Mrembo by Nature's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Location : Ullentoppen
      Posts : 2,401
      Rep Power : 8910
      Likes Received
      1248
      Likes Given
      1413

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      kwa ufupi nilichogundua since niingie JF (kulingana na mawazo ya wanaume walio wengi )ni wanaume wengi kutopenda mwanamke anayewa-possess too much. wengi utasikia hawapendi kuulizwa ulizwa uko wapi, unafanya nini, uko na nani, simu za kila dakika, na kero zingine za kuchungwa chungwa na kuonewa wivu. sijajua sababu ya wao kutopenda kuwa possessed ni coz wana ugube gube au nini ila hyo ndo observation yangu.

      kwa mantiki hii mimi ninazo hizo tabia zote za kuwa too possessive. nikitaka nimpate wa kumatch nae ni lazima niwe kama kondoo yani mengine nijifanye tu mjinga na kufoji kuwa na vitu ambavyo kiukweli sina

    13. #11
      Talklicious's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 50
      Rep Power : 370
      Likes Received
      6
      Likes Given
      12

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Mie siamini kuwa tatizo ni la hao wanawake ILA ni lako. Mana tangu umeanza kudate serious inaelekea unaangukia kwa hao hao. Swala ni kwamba hiyo ni type ya wanawake ambao moyo wako umewaridhia. Inawezekana ukiwa na peer na sababu ya kusakamwa na wenzio inakuwia vigumu kuwa na kauhuru ambao una wish. Lakini all in all hizo drama ndio zinakukeep la sivyo kuwa na wanawake wenye tabia nyingine utaboreka ndio mana labda wamekuwa casual girlfriends na hawa wa wivu kupindukia wamekuwa real girlfriends. My take, your love instinct is what draws you to such kind of women.

    14. #12
      felinda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Location : mwanza
      Posts : 272
      Rep Power : 402
      Likes Received
      55
      Likes Given
      45

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      anayemuonea wivu mpenzi wake ndo mwenye mapenz ya dhati.,asiye na wivu hana mapenzi ya kwl!!

    15. #13
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      wanawake wenye wivu wapo na unaweza ukute hata hakupendi kihivo
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    16. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,189
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default

      kuna ka ukweli hapa.

      Quote By felinda
      anayemuonea wivu mpenzi wake ndo mwenye mapenz ya dhati.,asiye na wivu hana mapenzi ya kwl!!
      felinda likes this.

    17. #15
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      482
      Likes Given
      334

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Quote By felinda
      anayemuonea wivu mpenzi wake ndo mwenye mapenz ya dhati.,asiye na wivu hana mapenzi ya kwl!!

      mmh ya kweli haya?
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    18. #16
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,189
      Rep Power : 28902
      Likes Received
      11675
      Likes Given
      4819

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Ngoja siku ukutane na ambae hayuko possessive, utajuuta! Sasa asipokupossess wewe akampossess babake ama?
      The Boss likes this.

    19. #17
      WALIMWEUSI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : DSM
      Posts : 949
      Rep Power : 570
      Likes Received
      276
      Likes Given
      354

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Quote By Mrembo by Nature
      kwa ufupi nilichogundua since niingie JF (kulingana na mawazo ya wanaume walio wengi )ni wanaume wengi kutopenda mwanamke anayewa-possess too much. wengi utasikia hawapendi kuulizwa ulizwa uko wapi, unafanya nini, uko na nani, simu za kila dakika, na kero zingine za kuchungwa chungwa na kuonewa wivu. sijajua sababu ya wao kutopenda kuwa possessed ni coz wana ugube gube au nini ila hyo ndo observation yangu.

      kwa mantiki hii mimi ninazo hizo tabia zote za kuwa too possessive. nikitaka nimpate wa kumatch nae ni lazima niwe kama kondoo yani mengine nijifanye tu mjinga na kufoji kuwa na vitu ambavyo kiukweli sina
      Well said mydia, ukiona mwanaume hataki kuwa possesed ujue huyo ni GUBE GUBE!
      CAY likes this.
      The best mind-ultering drug is truth.

    20. #18
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 574
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      Ni kawaida sana hyo katika mahusiano kwani hata wewe ukiona anaongea na mwanaume mwingine huingiwi na ka wivu?

    21. #19
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,189
      Rep Power : 28902
      Likes Received
      11675
      Likes Given
      4819

      Default

      Hutaki? Sasa mie mfano ntakuonea wivu wewe wa nini, na ili iweje?
      Quote By Rogi
      mmh ya kweli haya?

    22. #20
      mtemvu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 367
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: Hivi wanawake wote wako namna hii au?

      binafsi napenda sana mwanamke possessive! anti possessive ni kibaka, ni kama paka mwizi, au kunguru, wamawake wanaokosa tabia hiyo ni snake, wameniumiza sana, pumbavu sina ham nao

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...