Mimi ni binti wa,miaka26, tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
bidada naona hata kuandika imekuwa kiwembamba wembamba hivyo hivyo. to me punguza mawazo na ule vizuri pia jikubali tu manake kuna watu ambao ni wembamba labda mpaka wazae ndio wananenepa tena kidogo tu.binafsi jikubali na ishi kwa raha bana usijinyongeze ndio utakonda zaid`
ok,
but
ni
aina
ya
cm
nnayotumia,ndiomana,unaona
nimeandika,kiwembamba,
nikiandika
kiunene
ndo
hutanielewa
kabisa,coz
nikiacha
space
nahamía
mstari
mwingine.
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
Tupe mchanganuo wa lishe yako kwa wastani kwa siku...
Unafanya kazi gani, na wapi...
Stress zipi unadhani zinakusumbua sana...
kiukweli
cna
stress,zaidi
ya
hii
yakukonda,kazi
nafanya
kwenye
kampuní
moja
ya
simu,kula
nakula
mlo
wa
kawaida
2,
ambao
unatakiwa
kwa
binadamu
yeyote,
haya
nambie.
kiukweli
cna
stress,zaidi
ya
hii
yakukonda,kazi
nafanya
kwenye
kampuní
moja
ya
simu,kula
nakula
mlo
wa
kawaida
2,
ambao
unatakiwa
kwa
binadamu
yeyote,
haya
nambie.
Mi nataka nijue kiasi gani unakula. Maana kimaumbile umeumbwa mwembamba, but kuna wadada nilikuwa nawafahamu wembamba, but walikuwa wanakula chakula kidogo sana, walipokuja kuanza kula cha kutosha wakaongezeka sana...
kiukweli cna
stress,zaidi
ya
hii
yakukonda,kazi
nafanya
kwenye
kampuní
moja
ya
simu,kula
nakula
mlo
wa
kawaida
2,
ambao
unatakiwa
kwa
binadamu
yeyote,
haya
nambie.
ahahaaaa dah duniani kuna stress jamani loh
It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long
Mweeh wengine wanautafuta huo wembamba wengine hawautaki! Anyway try to relax punguza mawazo yasiyokua ya lazima,pata muda wa kutosha kulala, ongeza msosi kwa wingi especially carbohydrates!
Hahaha! Sometimes huwa nadhani Mungu akituangalia anachoka kabisa! Wembamba wanataka unene, wanene wanawekeza kwenye diets za kila aina (ati 2 weeks diet laki 6 za madafu, kha! Na kitimoto na mbuzi hauli!)
kunenepa mbona simple...fata menu hii
asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
saa kumi na mbili grandmalta tano
usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
wiki moja tu utajisahau
Duh! bonge la diet!..nahs atamzidi Mh.Komb..
..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear
Follow Us Here