Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 68
    1. Lis
      #1
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Mimi ni binti wa,miaka26, tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.

      Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze kuongezeka hata kídogo...
      Kindimbajuu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      vanilla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 193
      Rep Power : 395
      Likes Received
      67
      Likes Given
      37

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      ridhika na jinsi ulivyo ndivyo ulivyoumbwa!!
      Tears are God’s gift to us. Our holy water. They heal us as they flow. . . . .

    4. #3
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,187
      Rep Power : 23379
      Likes Received
      8162
      Likes Given
      5853

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      papag, xcul, mito and 2 others like this.
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    5. #4
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,671
      Rep Power : 966
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Dah hii noma sana hapo nimekukubali

    6. #5
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,680
      Rep Power : 27091
      Likes Received
      10054
      Likes Given
      13953

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      jamani Smile mbavu sina ma dearest.

      bidada naona hata kuandika imekuwa kiwembamba wembamba hivyo hivyo. to me punguza mawazo na ule vizuri pia jikubali tu manake kuna watu ambao ni wembamba labda mpaka wazae ndio wananenepa tena kidogo tu.binafsi jikubali na ishi kwa raha bana usijinyongeze ndio utakonda zaid`
      SnowBall likes this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    7. FemaTV & Radio

    8. Lis
      #6
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By vanilla
      ridhika na jinsi ulivyo ndivyo ulivyoumbwa!!
      naamini
      cjaumbwa
      ivi,coz
      b4
      nlikua
      na
      mwili
      kidogo.

    9. #7
      Michael Scofield's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Location : FOX RIVER/SONA
      Posts : 1,195
      Rep Power : 711
      Likes Received
      428
      Likes Given
      248

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Wembamba dili we unaukana.......! kama nguo tafuta mapigo yanyoendana na mwili wako mbona utapendeza tu!

    10. #8
      LARRYBWAY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Temeke
      Posts : 71
      Rep Power : 380
      Likes Received
      5
      Likes Given
      6

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Ucjal utanenepa cku mambo yakiwa mazuri au ukipata mtoto.,

    11. Lis
      #9
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      ok,
      but
      ni
      aina
      ya
      cm
      nnayotumia,ndiomana,unaona
      nimeandika,kiwembamba,
      nikiandika
      kiunene
      ndo
      hutanielewa
      kabisa,coz
      nikiacha
      space
      nahamía
      mstari
      mwingine.

    12. Lis
      #10
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      du,
      ntajaribu
      bt
      cdhan
      kama
      ntaweza.

    13. #11
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,614
      Rep Power : 13833
      Likes Received
      2259
      Likes Given
      2192

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Tupe mchanganuo wa lishe yako kwa wastani kwa siku...
      Unafanya kazi gani, na wapi...
      Stress zipi unadhani zinakusumbua sana...

    14. Lis
      #12
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      yan
      unanikatisha
      tamaa
      kabisa.

    15. Lis
      #13
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Tuko
      Tupe mchanganuo wa lishe yako kwa wastani kwa siku...
      Unafanya kazi gani, na wapi...
      Stress zipi unadhani zinakusumbua sana...
      kiukweli
      cna
      stress,zaidi
      ya
      hii
      yakukonda,kazi
      nafanya
      kwenye
      kampuní
      moja
      ya
      simu,kula
      nakula
      mlo
      wa
      kawaida
      2,
      ambao
      unatakiwa
      kwa
      binadamu
      yeyote,
      haya
      nambie.
      Smile likes this.

    16. #14
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,614
      Rep Power : 13833
      Likes Received
      2259
      Likes Given
      2192

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By lis
      kiukweli
      cna
      stress,zaidi
      ya
      hii
      yakukonda,kazi
      nafanya
      kwenye
      kampuní
      moja
      ya
      simu,kula
      nakula
      mlo
      wa
      kawaida
      2,
      ambao
      unatakiwa
      kwa
      binadamu
      yeyote,

      haya
      nambie.
      Mi nataka nijue kiasi gani unakula. Maana kimaumbile umeumbwa mwembamba, but kuna wadada nilikuwa nawafahamu wembamba, but walikuwa wanakula chakula kidogo sana, walipokuja kuanza kula cha kutosha wakaongezeka sana...

    17. #15
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,187
      Rep Power : 23379
      Likes Received
      8162
      Likes Given
      5853

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By lis
      kiukweli
      cna
      stress,zaidi
      ya
      hii
      yakukonda
      ,kazi
      nafanya
      kwenye
      kampuní
      moja
      ya
      simu,kula
      nakula
      mlo
      wa
      kawaida
      2,
      ambao
      unatakiwa
      kwa
      binadamu
      yeyote,
      haya
      nambie.
      ahahaaaa dah duniani kuna stress jamani loh
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    18. #16
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Mweeh wengine wanautafuta huo wembamba wengine hawautaki! Anyway try to relax punguza mawazo yasiyokua ya lazima,pata muda wa kutosha kulala, ongeza msosi kwa wingi especially carbohydrates!

    19. #17
      Emma.'s Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 0
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Kula mayai ya kienyeji 2 kila siku matunda ndo iwe chakula kwako juise

    20. #18
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,173
      Rep Power : 28899
      Likes Received
      11650
      Likes Given
      4812

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Hahaha! Sometimes huwa nadhani Mungu akituangalia anachoka kabisa! Wembamba wanataka unene, wanene wanawekeza kwenye diets za kila aina (ati 2 weeks diet laki 6 za madafu, kha! Na kitimoto na mbuzi hauli!)

      Pole na matatizo mwaya!

    21. #19
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      Duh! bonge la diet!..nahs atamzidi Mh.Komb..
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    22. #20
      jamii01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : STREET
      Posts : 913
      Rep Power : 620
      Likes Received
      279
      Likes Given
      172

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Tafuta mume uolewe kisha omba ujifungue baada ya miezi 6 watu watakusahau..

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...