Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 68
    1. Lis
      #1
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Mimi ni binti wa,miaka26, tatizo langu ni kuwa mimi ni mwembamba sana hadi ninajichukia. Kiasi kwamba hata nikivaa nguo nahisi hazinipendezi. Nahitaji niongezeke angalau hata kidogo. Mwanzoni nilijua nikwasababu ya,masomo. Sasa nimeshamaliza chuo na nina mwaka sasa lakini sioni dalili zozote.

      Jamani naomba mnisaidie ushauri,nifanye nini,au nitumie nini niweze kuongezeka hata kídogo...
      Kindimbajuu likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Meritta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2011
      Posts : 1,265
      Rep Power : 666
      Likes Received
      267
      Likes Given
      475

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Dunia hii inamambo wengine wanapunguza mwili wengine wanataka mwili dah basi vurugu tu
      "Ni UPENDO tu"

    4. #22
      mwaJ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2007
      Location : Nowhere
      Posts : 3,450
      Rep Power : 14608
      Likes Received
      2288
      Likes Given
      1501

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By lis
      ok,
      but
      ni
      aina
      ya
      cm
      nnayotumia,ndiomana,unaona
      nimeandika,kiwembamba,
      nikiandika
      kiunene
      ndo
      hutanielewa
      kabisa,coz
      nikiacha
      space
      nahamía
      mstari
      mwingine.
      Kweli wewe wembamba umekukabili. kila neno kwenye mstari wake ili mradi tu wembamba udhihirike! Usijali huo wembamba wako wengine wanautamani hawaupati.
      “Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” -
      Albert Einstein

    5. #23
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 447
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      [my dia sikushauri kukimbilia maakuli jiangalie una shp gani unaweza ukanenepa ukawa kituko .com hapo ndo utachanganyikiwa zaidi na kujichimbia ndani aliyekuumba anajua uzuri wako uko hapo ulipo mpendwa cheers

    6. #24
      vanmedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,201
      Rep Power : 625
      Likes Received
      214
      Likes Given
      47

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      uwe unazinywa naniliu za shemeji....nakupa mwezi tu , utarudi hapa kutoa shukurani

    7. #25
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,488
      Rep Power : 1452
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By lis
      mimi
      ni,binti
      wa,miaka26,
      tatizo
      langu,mimi
      nimwembamba
      sana,adi
      ninajichukia,kiasi
      kwamba,ata
      nikivaa,nguo
      nahisi
      hazinipendezi,nahitaji,niongez eke
      angalau
      ata,kidogo,mwanzoni,nilijua
      nikwasababu
      ya,masomo,nimeshamaliza
      chuo,nna
      mwaka,sasa
      bt,sioni
      dalili
      zozote,nisaidien
      ushauri,nifanye
      nini,au
      nitumie
      nini
      niweze
      kuongezeka
      ata
      kídogo
      jamani.
      Binti si ulishawahi kwenda dukani ukakuta bidhaa ziko za kila rangi na saizi tofauti? Kama hazipati wateja basi zisingewekwa madukani. Jipende nafsi yako na uiringie kabisa kwani wateja wapo na usishangae kuwa Madam X akawa anakuona umefaidi kwa huo wembamba.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: guysnisaidienimawazoyennaushau ri,please

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau

      Khaaaa....... Smile jamaniiiiii.

    10. #27
      Bi nyakomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 267
      Rep Power : 651
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      Hahahah lol,nina wac2 we mganga wa kienyeji au Dr uliekwenye mgomo.

    11. C6
      #28
      C6's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2011
      Location : Mtaa Wa Saba
      Posts : 3,078
      Rep Power : 19360
      Likes Received
      1773
      Likes Given
      1512

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      napenda mademu wembamba, sio mpaka uwe mnene
      MY PORTFOLIO: http://www.mtotosix.info

    12. #29
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,567
      Rep Power : 5616
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      binti unataka unene wa kazi gani?

    13. #30
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 865
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By vanilla
      ridhika na jinsi ulivyo ndivyo ulivyoumbwa!!
      Khaa, watu wenginge bana. Ameshasema haridhiki na alivyo, so kama huna ushauri chapa lapa bana, khaaa!
      Jigongee hapo mwayego.
      high-calorie-foods-to-gain-weight-fast
      Another two important things.
      Pata muda wa kupumzika wa kutosha especially after mlo.
      Remove all stresses.
      charminglady likes this.
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    14. Lis
      #31
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mbimbinho
      Khaa, watu wenginge bana. Ameshasema haridhiki na alivyo, so kama huna ushauri chapa lapa bana, khaaa!
      Jigongee hapo mwayego.
      high-calorie-foods-to-gain-weight-fast
      Another two important things.
      Pata muda wa kupumzika wa kutosha especially after mlo.
      Remove all stresses.
      thanxs

    15. Lis
      #32
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Emma.
      Kula mayai ya kienyeji 2 kila siku matunda ndo iwe chakula kwako juise
      naanza
      hii
      doi
      leo.

    16. Lis
      #33
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By jamii01
      Tafuta mume uolewe kisha omba ujifungue baada ya miezi 6 watu watakusahau..
      nikimtafuta
      uyo,mume
      kwaajili,ya
      kunenepa,iyo
      ndoa,itakua,ndoano,bora
      anitafute
      mwenyewe
      best.

    17. #34
      kapistrano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 961
      Rep Power : 6799
      Likes Received
      315
      Likes Given
      463

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      usiogope hakuna mwembamba duniani kuna mrefu na mfupi tu usiwaze sn siku itafika utananenepa.

    18. Lis
      #35
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 376
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kapistrano
      usiogope hakuna mwembamba duniani kuna mrefu na mfupi tu usiwaze sn siku itafika utananenepa.
      ok
      thanxs
      Reply With Quote

    19. #36
      kapistrano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 961
      Rep Power : 6799
      Likes Received
      315
      Likes Given
      463

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Quote By lis
      ok
      thanxs
      Tupo pamoja na ukinenepa usikose kurudi jamvini kutupa maendeleo yako

    20. #37
      conveter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 115
      Rep Power : 374
      Likes Received
      13
      Likes Given
      21

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Yo pictures pls

    21. #38
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,387
      Rep Power : 33552
      Likes Received
      8038
      Likes Given
      7565

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Lis hii mada ungeipeleka jukwaa la jf doctor',hapa unachorwa tu.

    22. #39
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,478
      Rep Power : 19784
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1247

      Default re: Nauchukia Mwili wangu: Naombeni Msaada.

      Una tatizo lakuto jiamini.

    23. #40
      CORAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 614
      Rep Power : 584
      Likes Received
      132
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Smile
      kunenepa mbona simple...fata menu hii
      asubuhi juice glass mbili za embe na karoti ...na wali kilo moja..pia maharage bakuli mbili
      saa nne uji wa soya na ulezi lita tatu
      mchana kitimoto kilo mbili na ndizi tato
      saa kumi milki shake glass tatu na chocolate tatu
      saa kumi na mbili grandmalta tano
      usiku mguu wa mbuzi na ugali sahani mbili
      wiki moja tu utajisahau
      Hizo gharama si inabidi awe karibu na fisadi mmoja ili amfadhili?

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...