Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Knowing The Unknown

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 65
    1. #1
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Knowing The Unknown

      Ok, This is how it was. Nlienda Mbeya kikazi kwa muda wa kama wiki 3 hivi tokea 29th May mpaka 21st June. Muajiri alinilipia Hotel na chakula pale hoteli nlikuwa nikila ninachotaka na ku sign tu. Kabla hata wiki haijaisha nligundua kuwa nahitaji Companion wa kike to get me through the weeks. Nkapiga simu naumwa next day na kwenda kuzurura Town. Katika pitapita zangu mkononi nikiwa na T-shirt 3 kali za mtumba nlizokuwa nimenunua siku hiyo nkamuona binti bomba sana kwa mbali. All was fine mpaka nlivomsogelea nkaona kabeba mtoto mchanga mgongoni, Nkajipa moyo sio wake na kumuingia. Nlimuanza kwa kumshauri amfunike vizuri mtoto kwani hali ilikuwa baridi na upepo mkali. Nlimsifu mtoto alivyo mzuri huku nikiuliza jina la mtoto na kudai kafanana na mama yake. Nia yangu ilikuwa ni kuhakiki mtoto ka ni wake. Alikana na kudai kachukua sura ya baba yake. Anyway Story zilianzia hapo na nliendelea kuongea naye huku tukitembea kwa pamoja. Tulipanda basi moja ingawa nilikuwa siendi anakoenda, aliposhuka nami nkashuka na kupewa namba kwa sharti nsipige usiku.

      Siku iliyofuata Nliripoti kazini na lunchtime nkampigia. Tuliongea kwa kama saa nzima. Alinieleza kazalishwa na mume wa mtu (Mkristo) so hawezi kuolewa naye. Aliendelea kueleza jamaa anahudumia kila kitu kampangishia chumba na anampa elfu 5 per day yaani 150,000 per month pia mtoto akiumwa na hela ndogo kama vocha e.t.c. Tulizoeana kwa kipindi kifupi nkamualika hoteli aje tubadilishane mawazo kama friends na kumtumia tax mida ya jioni akaja. Tukaongea tu ile siku bali jumaamosi ya wiki ile nlishinda hotelini akaja na kuanzia siku ile tukawa wapenzi. Kama kawaida ya mwanaume mimi uongo mwingi nlimmwagia na ahadi kibao fix. Mapenzi yalinoga mpaka akaacha kulala kwake na kuhamia pale hotelini kwangu. Alikuwa ananyonyesha mtoto so nilikuwa najilia tu peku.

      Matatizo yalianza pale Baba wa yule mtoto alipoambiwa na wapambe kuwa nyumba ndogo yake hailali tena nyumbani. Alikuwa na funguo za ghetto la yule demu so akaenda kubeba kila kilicho mle ndani alichomnunulia yule demu. Mwenye nyumba akakabidhiwa chumba apangishe na kurudisha kodi iliyobaki. Tulienda wote kwake nikayashuhudia haya. Baada ya mimi kuona hivo, siku ninayoondoka (21st June) nilimuamishia mrembo wangu guest ya bei rahisi na kumlipia siku 10. Nkamuachia na 50 ya kula siku 10. Nkasepa na kurudi Dar.

      Sasa hapa Kichwa kinaniuma nisaidieni wana JF nifanyeje? Ukichehe wangu umefanya nimejitwisha Limzigo likubwa na mbaya zaidi yule mwanamke kwao waislamu hivyo kuzaa na mkristo na kukubali kuwekwa nyumba ndogo walishamtenga na hili alinambia mwanzo kabisa. So kurudi kwao hawezi maana huwa wanamfukuza tu. Hapa kichwa kinaniuma mawazo hayaishi. Mtoto sio wangu so SIWEZI hudumia milele na kodi ya guest na hela ya kula yule mwanamke vinaisha in 4 days time. Alisharudi kwa baba wa yule mtoto kamkataa na sasa anasema yule mtoto sio wake maana demu malaya. Mpenzi mwenyewe hana ushauri wa maana analia tu siku nizima hata tukiongea kwenye simu kilio tuuu. Nafikiria sijui nimzimie simu au? Please, PLEASE, PLEASE, PLEASEEEEEEEEE Nishaurini Najitoaje humuuuuuuuuuu.
      Erotica and daniel don like this.
      Kila kitafunwa na kinywaji chake,
      Its No longer a Dream.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,834
      Rep Power : 866
      Likes Received
      470
      Likes Given
      210

      Default Re: Knowing The Unknown

      Quote By Jestina
      uko soo kind,na mie ni singo maza nije kwako?lol
      Njoo kwangu asee..!
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    4. #22
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Re: Knowing The Unknown

      Quote By Kaldinali
      ushauri wangu ni kuwa ungemtafutia chumba cha kupangisha huko Mbeya ukamlipia miezi kama 6 (itakuwa kama laki na hamsini tu) then mpe laki ya matumizi for probably a month na umuache kwa amani. !
      Ahsante kwa ushauri wako. Nlishafikiria kumpangia chumba lakini Costs associated with that decision zikani put-off. Sikia ingekuwa ni 150 na matumizi 100 ka unavyosema nisingekuja kuandika hapa. Ninahitaji kitanda na cha ft 4 X 6 tu cha mwanafunzi kitakachomfanya alale na kichanga kwa tabu ni 150. Add godoro ambalo lipo kwenye 90. Usafiri ni 10. Haya on top of that anahitaji jiko, masufuria, sahani, mabakuli e.t.c. Bado kuna mashuka na mengineyo kama umeme maji and so on. Nguo tu alikuwa nazo 2 na pale alipo ni kauka nikuvae mwanzo mwisho maana nazo zilichukuliwa. Hapo Mtoto hajaumwa na vivocha vya kunibipu mimi na kunisumbua.
      Kila kitafunwa na kinywaji chake,
      Its No longer a Dream.

    5. #23
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Re: Knowing The Unknown

      3 Days to go na mpaka sasa sina maamuzi ya maana. Sasa naombeni nishaurini ntampa vipi Bad news kuwa asini ghasi SIMTAKI tena bila kumuumiza moyo wake? Kuna mtu humu anajua kind way ya kupangilia maneno maybe ili nsimuumize sana? Nafikiria kuzima simu tu au kumkatia madhara ya njia hii sidhani ka makubwa. Hapa nimetoka kuongea nae lakini nashindwa kumwambia anatakiwa ajibebe.

      Kanipa namba ya baba wa mwanawe nataka nimpigie simu nimuombe amrudie mzazi mwenzie, nimuombe msamaha mimi kama mimi hilo limekaaje?
      Kila kitafunwa na kinywaji chake,
      Its No longer a Dream.

    6. #24
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,238
      Rep Power : 28913
      Likes Received
      11716
      Likes Given
      4819

      Default Re: Knowing The Unknown

      Hahaha! Yaani wewe akili yako inakutosha mwenyewe wallah tena! Ati umpigie m'baba wa mwanawe umuombe msamaha!

      Where are the real men jamani? Kha!

    7. #25
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 447
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default Re: Knowing The Unknown

      oh sijaweza kusoma yote kesho nitarudi tena kaa mkao wa kupata

    8. Miaka 50

    9. #26
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Re: Knowing The Unknown

      Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.

    10. #27
      daughter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2009
      Posts : 1,243
      Rep Power : 753
      Likes Received
      667
      Likes Given
      307

      Default

      Quote By Me370
      Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.
      una roho ngumu sana,sijui kama we ni binadamu

    11. #28
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 543
      Likes Received
      170
      Likes Given
      29

      Default Re: Knowing The Unknown

      Mungu wangu, duniani humu watu wameumizwa isivyoezeka plz kumbuka maneno mataam ulomuahidi mwenzako mkiwa pamoja, kumbuka mwili wake na uchi wake wa thaman uloenjoy hadi kufika mshindo, kumbuka ulivyokuwa unajipendekeza kumsaidia kubembeleza mwanae kama ishara ya upendo kwake...haya akaamua kukupa moyo wake, we unamgeuka! utashuhudia laana ya ajabu sana

    12. #29
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 543
      Likes Received
      170
      Likes Given
      29

      Default Re: Knowing The Unknown

      siku ukija oa ukaja gundua ndoa yako ina misuko suko sana, wala usitafute mchawi.. itakuwa ni hizi laana tunazokusanya huku nyuma bla kujua impact zake in the future...jifanye una moyo wa chuma, utakuja bondwa huo na kuwa kama spongy, kamsaidie mwenzako.

    13. #30
      Sa-nya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th December 2011
      Posts : 33
      Rep Power : 382
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Me370
      Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.
      Kaka hapo hujamtendea haki huyo dada, kumbuka wewe ndio umekuwa chanzo matatizo kwa utulivu aliokuwa nao kabla wewe hujamrubuni.
      Nakushauri, pamoja na kumweleza kuwa ulikuwa unamdanganya..mpatie hata some amount of money ili aweze hata kuanza biashara ndogo ndogo, pake Mbeya mjini hawezi akakosa biashara ya kufanya itakayo mwingizia hata 5,000/- kwa siku. Think twice bro.

    14. #31
      Me370's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2008
      Posts : 389
      Rep Power : 649
      Likes Received
      68
      Likes Given
      21

      Default Re: Knowing The Unknown

      Tatizo pa kukaa. Nimemu offer laki 3 akahangaike kivyake kakataa. Na kweli ukipiga hesabu haitoshi. Kodi na kitanda imeisha hata godoro hununui. Bado chakula maana unabaki hata sh kumi huna na jiko tu hununui kwa hiyo hela.
      Kila kitafunwa na kinywaji chake,
      Its No longer a Dream.

    15. #32
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,278
      Rep Power : 13088
      Likes Received
      14157
      Likes Given
      15016

      Default

      hisia haziwi compasated na pesa.

      Namuelewa alivyokataa hizo pesa.

      Quote By Me370
      Tatizo pa kukaa. Nimemu offer laki 3 akahangaike kivyake kakataa. Na kweli ukipiga hesabu haitoshi. Kodi na kitanda imeisha hata godoro hununui. Bado chakula maana unabaki hata sh kumi huna na jiko tu hununui kwa hiyo hela.
      Nyahende Thomas likes this.

    16. #33
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,516
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1294

      Default Re: Knowing The Unknown

      Ooooh pole sana ina bidi ubebe huo mzigo kwa muda

    17. #34
      vanilla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 193
      Rep Power : 396
      Likes Received
      67
      Likes Given
      37

      Default

      Quote By The Boss
      huyo dada kafanyaje?

      unajua thamani ya mwanaume anaetoka DSM mikoani?

      sawa na nyie mkiona wazungu mnavyo chachatika
      tehe tehe. . The Boss weye wa mkoani ama Dsm?
      The Boss likes this.

    18. #35
      Kaldinali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 239
      Rep Power : 400
      Likes Received
      98
      Likes Given
      67

      Default Re: Knowing The Unknown

      Mkuu

      Kama mambo yanakushinda mpe hiyo laki 3 alafu mwambie kwaheri. alafu badili namba ya simu. Atatia akili. Tatizo hapa wewe unatumia akili (kichwa) yeye anatumia emotions (heart). Yeye kakupenda kweli wakati wewe toka mwanzo ulikuwa huna mpango na mapenzi. Ni kama wewe unaongea french yeye anaongea chinese - hamelewani na wala hamtaelewana. Mpe hiyo hela ya kuanzia maisha the move on. Hamtaweza ku reach a commons consensus.

      Ila idea ya kumtafutia kazi ya house girl ni znuri lakini itabidi atafute mahali pa kuacha mtoto. hakuna mtu atapokea housegirl mwenye mtoto hapa Dar.

    19. #36
      yasintha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Location : Arusha,Tanzania
      Posts : 17
      Rep Power : 364
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Knowing The Unknown

      Yani wewe kaka umemuharibia sana maisha mwenzio tena si yeye tu bali umemkosesha haki huyo mtoto malaika asiye na hatia, huyo dada kukubali uongo wako mpaka kukuamini alijua baada ya kosa la kuzaa na mume wa mtu na kutengwa na familia akategemea atapata ndoa halali kwako na believe me kwa situation hiyo anaweza kufanya kitu kibaya sana katika maisha yake maisha yao yako mikononi mwako na tafuta jinsi ya kumsaidia usimuache maana kwa machozi yake Mungu atakulaani hata usifanikiwe ulijua ulichokuwa unakifanya kwako ilikuwa ni game but kwake ulikuwa na thamani kubwa hasa ulivyomtongoza wakati ulijua anamtoto please usimtelekeze jiulize ataenda wapi na huyo mtoto na hata ukimuacha hutapata amani moyoni mwako msaidie kwa ubinadam.

    20. #37
      daniel don's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 356
      Likes Received
      3
      Likes Given
      45

      Default Re: Knowing The Unknown

      Daah! mimi ningesepa! Alikuwa wa kuzugia kwanini uumize kichwa, siku nyingine usitoe mwaliko wa jumla bila kusoma mchezo halisi bro! pole sana.

    21. #38
      zurizuri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Knowing The Unknown

      kweli hapo inabidi umtafutie chumba cha kupanga na umpe ela kidogo ya kuanzia maisha mpaka baba mtoto atakapo rudisha moyo nyuma.... lakini usimtupe coz wewe ndo umemletea hayo matatizo. usinge mpiga sound siku mlipo kutana wala asinge kutilia maanani. pole lakini.

    22. #39
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,175
      Rep Power : 21618
      Likes Received
      13496
      Likes Given
      17794

      Default Re: Knowing The Unknown

      Quote By vanilla
      tehe tehe. . The Boss weye wa mkoani ama Dsm?
      mie mzungu mweusi lol
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    23. #40
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 472
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Knowing The Unknown

      Ukipenda boga...............so vema kutimiza yale mliokubaliana yaliowapelekea kuwa wapenzi.kingine usirudie siku ingine kutamani hovyo kwani sio huyo tu wapo wengi wazuri wenye matatizo zaidi ya hayo.sawa ni mzuri je una uhakika kwamba uko peke yako tu? Vipi mlipima kabla kuanza yale mavituzii au? Sometimes tumia falsafa ndogo tu ya ngoswe.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...